Salama Na Master Jay SE6 EP21 | NDUGU MHANDISI PART 1| SendTip MPESA LIPA NO 5578460

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 90

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh 2 роки тому +28

    Nimeisubiri sana hii...MastaJay ana story nyingi sana za zamani. Likes zangu kama commentator wa kwanza😎😎🍹

  • @yussufbellamy11
    @yussufbellamy11 2 роки тому +12

    Watu wa wili napenda kuskiliza tanzania wanao towaga maoni ya akili bila kumficha mtu kwa lengo yakumbadilisha awe bora. Big up Salam and Master j

  • @franklinassey6600
    @franklinassey6600 2 роки тому +12

    Tanzania raha sana mzanzibar mchaga wanacheka na kufurahi kama wamezaliwa pamoja

  • @isaacmweni164
    @isaacmweni164 2 роки тому +6

    Am ur big fun salama frm Nairobi.......salama na Otile Brown ikam thru itakua 🔥🔥

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 2 роки тому +2

    Yaaniii Bora kwasasa kusikiliza wakenya na bongo Flava ya zamani

  • @joshuamacha8751
    @joshuamacha8751 8 місяців тому

    Master J u said it all....big mind

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao 2 роки тому +8

    Mzee Kijana...Maneno kintu Sana🔥🙏🏾🤞🏾❤️🇰🇪❤️.

  • @millymack1370
    @millymack1370 2 роки тому +10

    Dread locks ni fashion Rasta ndio dini...not the other way round sir.

  • @mbarakasaidi8243
    @mbarakasaidi8243 2 роки тому +7

    hapo patamu na ukimleta na chid benz itakuwa mpango mzima

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 2 роки тому +1

    Duuuh master J 🙌🙌🙌 napenda SN interview zako nikiona tuuu interview yko nafungua kaka

  • @Djso26
    @Djso26 2 роки тому +4

    BEST OF THE BEST !!
    MASTER MASTER TU.✊

  • @drtobias_
    @drtobias_ 2 роки тому +4

    Haya majama mi nayapendaga sana!

  • @georgechande8140
    @georgechande8140 2 роки тому +5

    Ningependa kiswahili kingetumika kwa ability kubwa

  • @siasia5469
    @siasia5469 2 роки тому

    Kweli kbs watoto wakike wanapenda sana baba zao

  • @suleimansaid2633
    @suleimansaid2633 2 роки тому +4

    Mungu ndio mtoaji kuhusu watoto nakubali mtoto wakike

  • @kisamokachema3064
    @kisamokachema3064 2 роки тому

    True master jay….joliee dada mkali yulee sema showw show za wasanii weng zimemuweka pemben

  • @chrisbonfils4024
    @chrisbonfils4024 2 роки тому +7

    Hakuna kitu kigumu kama iyo issue ya watoto baada ya kutengana 😔🤦🏽‍♂️

  • @GodfreyWilliam-pb3wh
    @GodfreyWilliam-pb3wh Рік тому

    Kiingereza kingi sana

  • @salimdibundile4872
    @salimdibundile4872 Рік тому

    Very honest

  • @BerthaModest
    @BerthaModest 8 місяців тому

    Salama yuko mrembo san🎉❤

  • @mariamkitwana6148
    @mariamkitwana6148 2 роки тому +1

    yani salama nakupenda sana mdogo wangu natamani sikumoja nikuone

  • @chikotosammy3891
    @chikotosammy3891 2 роки тому +4

    Salama Boss Lady💪

  • @Hassanchora
    @Hassanchora Рік тому

    Great interview salama from zanzibar

  • @mkuuhapingwi
    @mkuuhapingwi 8 місяців тому

    Tuletee Fatma Abdulhabib Fereji

  • @mtukwaomedia
    @mtukwaomedia Рік тому

    Kama kizungu kinazidi tuwekeeni subtites

  • @kapona927
    @kapona927 2 роки тому

    Nilikua
    Na
    Isubiri sana salama na jay

  • @danielnderagakura8174
    @danielnderagakura8174 2 роки тому +4

    Kipindi kizuri sana.turetey na harmonize

  • @ibbu-tz
    @ibbu-tz 2 роки тому +4

    Sasa si muongee kiswahili jamani

  • @jasmineedamu6089
    @jasmineedamu6089 2 роки тому +6

    Hii kazi ya kupanda Gari la njano ilinishinda😭

  • @danieljoseph4725
    @danieljoseph4725 2 роки тому +2

    jamani salama,,,,,uwe unawazuia kiingereza

  • @evelinemsaki2057
    @evelinemsaki2057 2 роки тому

    Asante Sana master j wanajifanya muziki unawapa maisha kumbe malaya

  • @Epicmarkmedia
    @Epicmarkmedia 2 роки тому +2

    Salama naomba utuletee KALA JEREMIAH

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 2 роки тому +1

    Bongo Flava ivi wasani wanaimba matusi na Kiki uchawa ukahaba yaanii industry ya bongo entertainment iko vibaya. Amna wa producer wasomi wala wa director wasomi. Akuna wa sound engineer.

  • @wedream7506
    @wedream7506 2 роки тому +1

    M nikimuonaga tu master nafungua link madini mengi sana huyujamaa

  • @Boaz22
    @Boaz22 Рік тому

    Swala la muda tuu

  • @mosesmuithi5693
    @mosesmuithi5693 2 роки тому +1

    straight from the 254 with mob love mnakaa biee

  • @RiricaMswati
    @RiricaMswati 8 місяців тому

    24:00 🔥

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya6455 2 роки тому +2

    Machale wawili wamekutana pia ila akili mingi hao 😂

    • @evelinemsaki2057
      @evelinemsaki2057 2 роки тому +1

      Sanaa salama amembadikisha master si amekubali kuwa yeye siyo mangi tena

  • @mrfashion1687
    @mrfashion1687 2 роки тому +1

    Nasaubiri SALAMA NA MCHOMVU, SALAMA NA MILLARD AYO na SALAMA NA MWIJAKU

  • @hassanhajj6804
    @hassanhajj6804 2 роки тому

    Kingerez kingi

  • @franklinassey6600
    @franklinassey6600 2 роки тому +1

    Hio ni kweli wanaume tunakufa kwa kuficha mengi moyoni

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Рік тому

    🔥🔥

  • @honestgroup2116
    @honestgroup2116 2 роки тому

    Good

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 роки тому

    Nakukubali sana Master J

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 роки тому

    Master 💃Jay🤸‍♂️🤸‍♀️🤸‍♂️
    💛

  • @thatkidluffy6390
    @thatkidluffy6390 2 роки тому

    Lete master J hio list ninaisubiri kwa hamu

  • @Masaki_001
    @Masaki_001 2 роки тому

    Nahisi itakua kwa wanaume umemzungumzie ommy dimpoz kua mwenzetu sio riziki 😂😂😂

  • @israelmkaka2807
    @israelmkaka2807 2 роки тому

    Master Jay

  • @danieljoseph4725
    @danieljoseph4725 2 роки тому +1

    tunapenda kujua na kujifunza lakni kiingereza kingi ananikera aisee

  • @lufundishajigoro4323
    @lufundishajigoro4323 2 роки тому

    Master umependeza saaana bonge la dress code

  • @athmanjuma3768
    @athmanjuma3768 2 роки тому

    Ukweli mchungu sana huu kauongea

  • @mikhitaryankombo9604
    @mikhitaryankombo9604 2 роки тому

    Salama tuleteeni na madebe lidai

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis3303 2 роки тому

    ndo maana munauwana sana kwa tabia hii wachaga mn munaficha mingi at the end munauwa wazee au familia na watu wa karibu kwa vile munabeba mizigo moyoni

  • @fernandokezumukama1537
    @fernandokezumukama1537 2 роки тому

    Shabiki wa salama nampenda look yak

  • @juvenalxavier6477
    @juvenalxavier6477 2 роки тому

    Br ni mkweli kabisa

  • @jasmineedamu6089
    @jasmineedamu6089 2 роки тому +1

    Salama Leo umeamua kutuonesha hayo mapaja ya kuku😊

  • @erastomwakalukwa3946
    @erastomwakalukwa3946 2 роки тому

    Unifungua master j, these guys are kidding me

  • @mathewdyzymaleyafrica9128
    @mathewdyzymaleyafrica9128 2 роки тому

    Master kama ulikua kwenye mawazo ya fikra zangu, wahuni wengi wana tupotosha sana hata show moja mwaka mzima hana alafu anabang nakujitamba mziki umempa

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 2 роки тому

    Salamaaaaa

  • @meky9404
    @meky9404 2 роки тому

    tuleteee na watu wa futbal

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 роки тому

    BADO WEMA 😥NA NASB

  • @kilimonachangamotozake6652
    @kilimonachangamotozake6652 2 роки тому

    Wachaga tunalilia hela tu mekuuu

  • @bitegemurisho54
    @bitegemurisho54 2 роки тому

    Naomba mjomba aletwe kwenye kipindi,kwasababu mrisho mpoto anamambo mengi sana yakuongeya alafu muhimu kwelikweli,toka nimeanza kufuatiliya interview za mjomba hajawahi kupewa nafasi ya kutowa aliyo nayo moyoni nahiyo ni hasara !,kwamimi kama kio chajamii basi mjomba ni zaidi ya kio .
    Nadhani ombi langu litafanyiwa kazi.

  • @wariobavedastus3157
    @wariobavedastus3157 2 роки тому

    Salama Y black every day

  • @emmamatemu8225
    @emmamatemu8225 2 роки тому

    Dred na rasta
    Tofauti ni lugha au ni aina?

  • @sabraridhwan2858
    @sabraridhwan2858 2 роки тому

    Sasa salama kila kipindi unavaa nguo nyeusi hauna nguo nyengine

    • @evelinemsaki2057
      @evelinemsaki2057 2 роки тому

      Wewe salama analipua mavazi hatar huyo ni tajiri na msomi ety usimchukulie was kawaida tajiri huyo

  • @farajilalah8379
    @farajilalah8379 2 роки тому

    look like he was high

  • @noelbernard6390
    @noelbernard6390 2 роки тому

    Salama mlete Mume wako hapo.

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 2 роки тому

    👍

  • @naomiprincess4169
    @naomiprincess4169 2 роки тому

    ❤️❤️❤️❤️

  • @sabraridhwan2858
    @sabraridhwan2858 2 роки тому

    Jamaniii Kiswahili hii kitu hatuelewo

  • @lufundishajigoro4323
    @lufundishajigoro4323 2 роки тому

    🔥🔥🔥💯💟❤️

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 роки тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌

  • @ismaildavid6970
    @ismaildavid6970 2 роки тому

    BROO YOU LIKE ME SORRY BROO.

  • @nwntz
    @nwntz Рік тому

    WachGue moja nigg