Bongo Flava ivi wasani wanaimba matusi na Kiki uchawa ukahaba yaanii industry ya bongo entertainment iko vibaya. Amna wa producer wasomi wala wa director wasomi. Akuna wa sound engineer.
ndo maana munauwana sana kwa tabia hii wachaga mn munaficha mingi at the end munauwa wazee au familia na watu wa karibu kwa vile munabeba mizigo moyoni
Master kama ulikua kwenye mawazo ya fikra zangu, wahuni wengi wana tupotosha sana hata show moja mwaka mzima hana alafu anabang nakujitamba mziki umempa
Naomba mjomba aletwe kwenye kipindi,kwasababu mrisho mpoto anamambo mengi sana yakuongeya alafu muhimu kwelikweli,toka nimeanza kufuatiliya interview za mjomba hajawahi kupewa nafasi ya kutowa aliyo nayo moyoni nahiyo ni hasara !,kwamimi kama kio chajamii basi mjomba ni zaidi ya kio . Nadhani ombi langu litafanyiwa kazi.
Nimeisubiri sana hii...MastaJay ana story nyingi sana za zamani. Likes zangu kama commentator wa kwanza😎😎🍹
Watu wa wili napenda kuskiliza tanzania wanao towaga maoni ya akili bila kumficha mtu kwa lengo yakumbadilisha awe bora. Big up Salam and Master j
Tanzania raha sana mzanzibar mchaga wanacheka na kufurahi kama wamezaliwa pamoja
Am ur big fun salama frm Nairobi.......salama na Otile Brown ikam thru itakua 🔥🔥
Yaaniii Bora kwasasa kusikiliza wakenya na bongo Flava ya zamani
Master J u said it all....big mind
Mzee Kijana...Maneno kintu Sana🔥🙏🏾🤞🏾❤️🇰🇪❤️.
Nimewapendaaa dah eti the eyeeess
Dread locks ni fashion Rasta ndio dini...not the other way round sir.
hapo patamu na ukimleta na chid benz itakuwa mpango mzima
Duuuh master J 🙌🙌🙌 napenda SN interview zako nikiona tuuu interview yko nafungua kaka
BEST OF THE BEST !!
MASTER MASTER TU.✊
Haya majama mi nayapendaga sana!
Ningependa kiswahili kingetumika kwa ability kubwa
We mwenyw umetumia ngeli 😂😂
Kweli kbs watoto wakike wanapenda sana baba zao
Mungu ndio mtoaji kuhusu watoto nakubali mtoto wakike
True master jay….joliee dada mkali yulee sema showw show za wasanii weng zimemuweka pemben
Hakuna kitu kigumu kama iyo issue ya watoto baada ya kutengana 😔🤦🏽♂️
Kiingereza kingi sana
Very honest
Salama yuko mrembo san🎉❤
yani salama nakupenda sana mdogo wangu natamani sikumoja nikuone
Salama Boss Lady💪
Great interview salama from zanzibar
Tuletee Fatma Abdulhabib Fereji
Kama kizungu kinazidi tuwekeeni subtites
Nilikua
Na
Isubiri sana salama na jay
Kipindi kizuri sana.turetey na harmonize
Sasa si muongee kiswahili jamani
Hii kazi ya kupanda Gari la njano ilinishinda😭
jamani salama,,,,,uwe unawazuia kiingereza
Asante Sana master j wanajifanya muziki unawapa maisha kumbe malaya
Salama naomba utuletee KALA JEREMIAH
Bongo Flava ivi wasani wanaimba matusi na Kiki uchawa ukahaba yaanii industry ya bongo entertainment iko vibaya. Amna wa producer wasomi wala wa director wasomi. Akuna wa sound engineer.
M nikimuonaga tu master nafungua link madini mengi sana huyujamaa
Swala la muda tuu
straight from the 254 with mob love mnakaa biee
24:00 🔥
Machale wawili wamekutana pia ila akili mingi hao 😂
Sanaa salama amembadikisha master si amekubali kuwa yeye siyo mangi tena
Nasaubiri SALAMA NA MCHOMVU, SALAMA NA MILLARD AYO na SALAMA NA MWIJAKU
Kingerez kingi
Hio ni kweli wanaume tunakufa kwa kuficha mengi moyoni
🔥🔥
Good
Nakukubali sana Master J
Master 💃Jay🤸♂️🤸♀️🤸♂️
💛
Lete master J hio list ninaisubiri kwa hamu
Nahisi itakua kwa wanaume umemzungumzie ommy dimpoz kua mwenzetu sio riziki 😂😂😂
🤣🤣km kwl
Master Jay
tunapenda kujua na kujifunza lakni kiingereza kingi ananikera aisee
Kiswahili, Kiswahili; itapendeza!
Acha kukerwa na maisha ya watu aloo, jifunze na ww
Master umependeza saaana bonge la dress code
Ukweli mchungu sana huu kauongea
Salama tuleteeni na madebe lidai
ndo maana munauwana sana kwa tabia hii wachaga mn munaficha mingi at the end munauwa wazee au familia na watu wa karibu kwa vile munabeba mizigo moyoni
Shabiki wa salama nampenda look yak
Br ni mkweli kabisa
Salama Leo umeamua kutuonesha hayo mapaja ya kuku😊
Salama was kishua wewee
Unifungua master j, these guys are kidding me
Master kama ulikua kwenye mawazo ya fikra zangu, wahuni wengi wana tupotosha sana hata show moja mwaka mzima hana alafu anabang nakujitamba mziki umempa
Salamaaaaa
tuleteee na watu wa futbal
BADO WEMA 😥NA NASB
Wachaga tunalilia hela tu mekuuu
Sasa huo ni ujinga mnakufa na majanga moyoni
Naomba mjomba aletwe kwenye kipindi,kwasababu mrisho mpoto anamambo mengi sana yakuongeya alafu muhimu kwelikweli,toka nimeanza kufuatiliya interview za mjomba hajawahi kupewa nafasi ya kutowa aliyo nayo moyoni nahiyo ni hasara !,kwamimi kama kio chajamii basi mjomba ni zaidi ya kio .
Nadhani ombi langu litafanyiwa kazi.
Salama Y black every day
I think it looks good on her😊
Dred na rasta
Tofauti ni lugha au ni aina?
Dredi ni zauzi na rasta hz km nywele
@@khadijahali4837 na zile wanazosuka akina dada zinaitwaje
@@emmamatemu8225 zote ndo hz hz
Sasa salama kila kipindi unavaa nguo nyeusi hauna nguo nyengine
Wewe salama analipua mavazi hatar huyo ni tajiri na msomi ety usimchukulie was kawaida tajiri huyo
look like he was high
Salama mlete Mume wako hapo.
👍
❤️❤️❤️❤️
Jamaniii Kiswahili hii kitu hatuelewo
🔥🔥🔥💯💟❤️
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
BROO YOU LIKE ME SORRY BROO.
WachGue moja nigg