Salama Na ALLYBEE SE6 EP72| KULE NI KULE... PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460
Вставка
- Опубліковано 18 чер 2023
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Kwenye jiji la ‘Maraha’ hapa nyumbani kwetu Tanzania ambayo kwa miaka ya hivi karibuni sehemu za starehe zimekua tele na kila mmoja ana uwezo wa kula bata zake vizuri tu kulingana na urefu wa mfuko wake basi hakuna ambaye HAJUI jina la DJ huyu mahiri ambaye kwa ubunifu wake ameweza sana kubadilisha kabisa jinsi ambavyo wenzake walomtangulia walikua wanafanya. Yaani Ally alikichukua kitabu cha jinsi ya kutoa burudani kama DJ na kukichanachana na kisha akaanza kuandika cha kwake, ambacho mpaka tunaenda mtamboni kiiila msomaji wake anapeeenda ambayo yameandikwa na ambayo anaendelea kuyaandika.
Wakati msimu huu unaanza Ally Bee hakua moja ya majina ambayo yalikua yameandikwa kama mmoja ya watu ambao tungependa kujua story ya maisha yake, kutaka kujua nini kinampa hamasa ya kufanya ambacho anafanya na pengine mambo mengine tele ambayo atakua na uhuru wa ku share na sisi. Ila kuna siku nilikua nyumbani na Rafiki yangu ambaye pia ni mdogo wangu Ndugu Sadam Almando Sanare ambaye nilikua namuuliza maswali kuhusu Dj mwengine kabisa huku nikilalamika kuhusu huyo mtu kwamba pengine kuna jambo haliko sawa kuhusu simulizi zake za baadhi ya mambo maana amekua kama anaongelea sana skuizi, then yeye akaniambia kuhusu Ally Bee (binafsi hupenda kumuita Ally Bee kwasababu wote tunamjua nyuki, na ukali wake lakini asali yake sote ndo kama hivyo, hopefully it will make sense kwake someday 😄). So wakati ananiambia nami tayari nilikua nishamuona, basi mengine yakaendelea kwenye meza yetu adhimu.
Story ya maisha yake Ndugu yetu huyu ni ya mateso mengi sana, ila kwa sasa na hata pengine mwanzo kwa adha zote hizo tunamshukuru Allah kwa hayo yote maana hayo ndo yameleta hasira za yeye kutaka zaidi, kuomba zaidi na kufanyia kazi zaidi yote ambayo anayo leo. Ally anakumbuka jinsi alivyofika Dar es Salaam mara ya kwanza na pia amenihadithia adha ya kutokua na sehemu ya kukaa hasa unapokua umekuja mjini mara ya kwanza. Alinifanya nijiulize maswali mengi sana mimi kama binadamu wa kawaida kabisa, au ambaye Mwenyezi kanibariki kwa mengi zaidi ya wengine, nini nafanya kuwasaidia ambao nawaona barabarani? Au ambao hawana uwezo wa kunifikia lakini wana uhitaji? Kanifundisha kuhusu kutochukulia maisha au nafasi ambazo tunazo kwenye maisha yetu kwamba ni kawaida tu. Ki ukweli kila ambacho tunacho kwenye maisha yetu TUNA KILA SABABU YA KUMSHUKURU AMBAYE AMETUPA. Ila pia inabidi mara moja moja tujipigie makofi kwa mbali ambapo tumetoka na ambapo tumefika lakini zaidi tumuombe Mwenyezi Mungu azidi kutuimarisha na kutufungulia milango ya Kheri, ZAIDI.
Niamini mimi nikikuambia kuhusu kutoa, kwamba kutoa ni raha zaidi kuliko kupokea ingawa wengi wetu tunapenda zaidi kupokea, ukitaka kujua hilo jaribu kwa kuanza kumpa hata mtu zawadi ndogo tu, hata pipi ambayo alikua hategemei kama utampa au utakumbuka, sura yake itakueleza mengi hata kama yeye ataamua asikuambie kwasababu zake zozote tu. Ally alisaidiwa na mtu ambaye hata walikua hawafahamiani na kuamua kumpa hifadhi katika sehemu ambayo yeye alikua anakaa. Pengine yeye alipofanya wala hakujua kama Ndugu Ally atakuja kuwa mmoja wa ma DJ HODARI na Hyper Man bora ambae nchi hii imewahi kuona.
Leo ningependa tujifunze kuhusu hilo, kuhusu kuwa kind, kuhusu kuwapa watu nafasi kwenye maisha yetu na kutosubiri malipo kutoka kwao maana pengine yanaweza yasije lakini wewe tayari unakua ushamaliza kazi yako.
Yangu matumaini story ya DJ Ally Bee itakua na impact kwenye maisha yako kama ambavyo imekua kwenye maisha yangu.
Enjoy and stay BLESSED.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
UA-cam Link bit.ly/UA-camSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - Розваги
Hii interview ina kupa moyo kwenye kupambana na kuamini unacho kiamini 👊✊
Dah!! Huyu jamaa anaongea ya maana Sana na anaonekana ni mwenye heshma na utu tofauti na umuoneakano wake katika kazi yake! MUNGU AKUBARIKI SANA bro
Natamanii ujihoji ww salama tujue lifestyle yakoo
Sahihi kabisa , naweza toa ushuhuda Kaka ! Wazazi ni kila kitu, R.I.P Mama
A very big fan of Salama na... From Nairobi.
Had waited for this interview, finally I get a chance to watch this East African Star.
I watch this show with my Tanzanian wife as well huku Pia nikijifunza Kiswahili sanifu kwenye hii show sanaaaaaa tena mno.
Salama you're a legendary interviewer, a big fan!🔥!
Me too...Salama is just awesome! Mob love from 🇰🇪
Very inspiring indeed. As a human being we ain't limited at all.
Ana lafudhi na swaga za chuga/moshi
🔥🔥🔥namkubalii huyu kaka history yake huwa inanipaa nguvu
Allyb afadhari wewe ni lafiki alikukataa mimi ndugu yangu kabisa ndio alinitolea mbavuni
Mashallah, umeongea point brother.
Mama mzaramo baba mpare umenisha sna mwanang
Daah!! Ur very humble bro ally
Athumani tajiri umetisha sana bonge moja la yastone town.
Salam umeua san namkubar san huyu jamaa kwer hvi vinatokea ila binfsi siwez kuleta dem ghet nkiwa na mshikajii siweziii kbsaa
YahstoneTown is a true classroom
Umeongea point nimeipenda kua kuna fadhira kubwa pindi sana kwa wazazi pindi unawafanyia mema
Daah yaan hii interview imenifundisha nijuwe kuwa bongo usione watu wametoboa kuna miziki nyuma watu wanapitia hatarii 😅😂😂😂😂
Salam when u will invite Harmonize I will appreciate
Very inspiring
Salama tunaomba part 2 isikawie
Big up to you salama,and Am so proud of you Ally B keep it up bro.😍
Kichaa ndani ya nyumba
Ali B ni mjasiri
Show love to Salama from +254🇰🇪
Ajeee
Nasemajee!! Nasemajeee😂😂
Nasemajeee kula nyama nyamaza ww✌️
17:25 hapo kweli kabisa. Story of my life
salama Queen interviewer
siku zote tharau mbaya ukisha pata shida ndo binadam unarud chini na kujifunza umejifunza kuheshim watu sasa hivi sasa umekua na heshima vizur nitham ndo kila kitu ukiwa maskini au tajir heshima ndo kila kitu
Pesa nyingi
Kelele kidogo
Wakazie ivo ivo mtu wangu ..
Kaka 😂😂 appendix umetisha unatengenza box za nyaja
First to comment
Nimesubir sana atimae asuman
Asumanii, Salama pure talents
Msasani home 🏠 welcome again brother
This is the reality show i loved the most apart from lil ommy podcast
#big up da salama
Second to comment
🔥🔥✨🎵🎶
Mie nacho mpendea uyu jamaa nimsafi mpaka laha bigup baba sumaniiiiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👊👊👊👊👊👊
Asuman💃👌🏽
Nyanya
salama I luv u ❤
Big up broo😍
Nakubali sana
Tunaomba next awe wema sepetu jmn
Mimi Ni shabiki mkubwa wa Salama tangu enzi za mkasi mpaka Sasa Salama na... Kama unasoma comments za sisi mashabiki zako mbona hatuoni feedback coz nilieomba tangu kipindi kilipokua pale EATV. Naomba umlete ALI CHOKI mzee wa Farasi pliz🙏🙏🙏
Asumoney. 😅 asumaniiii 😅😂
Auna baya DJ ALLYB PAMBANA BABA UMEASO SNA MUDA WAKO HUUU TUMIA BABA
💛💛💛
The guy is being really
❤👊👊
He used to be big in Arusha back in th days
Wanangu wa tpc
Wakwanza likes zanguu😊😢
Mnakera mbwa ww
@@shamsasoud2989 😂😂😂😂naww unakera shenzii kbsa
You get it
Izo like zitakufikisha wap sas
Ally B 🙏
uyu ameiedit ii story nsikilize mimi, Aliyefanikiwa awezi kukupa full story yake.
Allyy b
Jamaa tumesoma shule moja mawenzi primary school pale stand ya bus tunatazamana darsa moja alikua anatuita fidodido tuko mapacha hasan na husen mafidodido ndo majina yetu dah mwamba km unanikumbuka big up sana unamkumbuka mwalimu nkya 😂😂😂😂
Acha ushamba
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
14:49😅
Umegundua nn hapo huyo msela ni Mchugastan
Kula nyama nyamaza kuna kitu anatuficha kuhusu mafanikio yake
Tuambie wewe
Athumaniiiii😊😅🤗
We ni ally Kurwa Kama sikosei
Bwana said kokote uliko nakuaalimu😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Kuji adjusti adjusti ndo nini, watangazaji kuchanganya kiingereza na kiswahili inakera hamjui tuu..mara inspiration yako,mxiewwwww
Wivu tu na shida zinakusumbua kalale hukoo
Ivi 2010 boda boda zilikuwepo??
Yah boda zilianza 2007
Yap
Zilikuwepo my mm mwenye nilikuwa na boda boda wangu nikiumwa ananipeleka hospital nikiwa dodoma ila ndioo nilikuwa zinaaazaaaa
Inasikitisha Mzee wako ni Imamu na wewe umeangukia kua Dj
Huyu Dj nae mbembwe nyingi Hana lolote anaongea sana
Heeeeeeeeeeee,,,,,roho bhaaana
Unateseka ukiwa wp na wivu😂
Acha makasiriko
We ndo said nin😂😂😂
Kuna watu Wana nongwa 😂😂😂
Nyanya
Nasemaje, kula nyama nyamaza. 😂😂😂👏👏
Nyanya