KIKEKE USO KWA USO NA MKURUGENZI CRDB BANK, MASWALI MAGUMU, AMTAJA MMILIKI CRDB BANK
Вставка
- Опубліковано 8 жов 2024
- Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
First: Niwapongezi Crown Media kwa kazi mnayoifanya ila mahojiano mengi mnayoyafanya ni kama MARKETING STRATEGIES za pande mbili Interviewer na interviewee and we are the product.
Nje ya tunacho jifunza King Kikeke Unatupatia zaidi ya SHULE yaani harakati na upambanaji wako 🙌🙌🙌Jah bless you🙏🙏
Tatizo la benki hii hisa zake huwa hazikui!! Walianza kuuza hisa miaka ya '90 na mwaka 2009 nikanunua hisa karibu 1280 hivi kwa bei ya wastani wa sh.150/- wakati huo nao NMB wako sokoni.
Leo hii ulizia bei ya hisa zao pia za NMB na wakwambie tatizo la hisa zao kutokukua linatokana na nini?
Nje ya Africa Crdb wanakwenda 🇨🇳
👍👊✌️.
Mumiliki wa crdb ni Nani
CRDB wanafanya kazi nsuri
Mie ni mtanzamia najitafuta hapa nchin DRC natamani niwe wakala CRDB inawezekana? Napatikana Lubumbashi na kolowezi
Your number please
Kua makini unatapeliwa mda simrefure badea uanze kulia na CRDB BANK kumbe sio wao
Tafuta account yao ya instagram yenye tiki ya blue uwasiliane nao kwa msaada zaidi
Huku congo bank yao inaitwaje
Mundende bank
Mundende bank 😂😂😂😂😂😂
Kikeke naumbe umuulize huyo mkurugenzi mwambiye sisi tuliopo zanzibarr mbona tukiomba mikopo CRDB mbona masharti ynakuwa makubwa lkn mkopo huohuo ukiomba upande wa pili unapewa bila masharti makubwa
In general kupata mkopo CRDB ni changamoto Zanz na Tanganyka.
Swali la kizushi sawa na vipi mbona mbara kupata ardhi zenj inakuwa ni ngumu?
@@festokemibala5832 Kila Nchi inataratibu zake kk.
wapi kasema crdb ni ya nani?
Ili iweje
Asante
Kikeke nikopee ml 2 basi nizungushe
Toa mfano wapi mumefanikiws kuwaibia wananchi
angalia bank statement yako