Ukifanya Hivi Ndani Wiki Moja Tuu Unafungua Mambo Yako | Khutba Ya Ijumaa - Sheikh Othman Michael

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 жов 2024
  • #QiblateinOnline #sheikhothmanmichael #2024
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv
    FACEBOOK; www.facebook.c...
    UA-cam; / @qiblatainonline

КОМЕНТАРІ • 75

  • @kontawaa
    @kontawaa Місяць тому

    Mwenyezi mungu niongoze nami niwe kstika kumsifu mtumena aniondoe katika shida yahela yarabi

  • @fatumatsopa3941
    @fatumatsopa3941 7 місяців тому +9

    Naunga maneno yako Sheikh .Swalla ya mtume ina ajab.Allah akupe mapenzi zaidi ya kumpenda mtume na akuandalie pepo kwa ajili ya kuhimiza swala ya mtume.

  • @AishaKansime-wt3np
    @AishaKansime-wt3np 7 місяців тому +1

    Assalam alaikum ww Allah akulipe zaidi duniani Na adhéra

  • @rehemakibwana9903
    @rehemakibwana9903 7 місяців тому +1

    Maashaallah shekhe Allah akulipe na akutie nguvu

  • @HabibaDhoti
    @HabibaDhoti 7 місяців тому +2

    mashaAllah,our religion is amazing,it has an answer to every question,this year have planned to memorize the holy Quran, kindly remember me in prayers🎉

  • @ANIFASELEMANI-ec2cp
    @ANIFASELEMANI-ec2cp 4 місяці тому

    Mungu akuzidishie ghelimu

  • @KhadijaChenji
    @KhadijaChenji 7 місяців тому +3

    Sheikh swala ya Mtume swalallha huwalaiyhiwa swallah ni KIBOKO

  • @KheriMtani
    @KheriMtani 7 місяців тому +2

    Jazakalaukheiry,hakika tunafatisha na tunafanimiwa

  • @SuleiBakari
    @SuleiBakari 6 місяців тому

    Allah akupe mwisho mwema na AKupe mwisho mwema

  • @muhinanjowa7229
    @muhinanjowa7229 7 місяців тому

    Man Sha Allah Tabaraka Allah 🙏 ❤️ Allah akuifadhi sheikh wetu mja wa Allah ❤️ 🙏

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 7 місяців тому

    Mashallah niombee dua kwa familia juma tatu ju ya ndoto za kula nyama harusi yajjirudia

  • @hassanhussein2371
    @hassanhussein2371 6 місяців тому

    MashaAllah 🎉

  • @estherwamaitha1006
    @estherwamaitha1006 7 місяців тому

    JazakaAllahkheir

  • @qwnlynuzlah3115
    @qwnlynuzlah3115 7 місяців тому

    MashaAllah Darsa Nzuri,,Shukran Jazzillah Sheikh

    • @ashakomba2480
      @ashakomba2480 6 місяців тому

      Mashaallaa allah akuzidishie

  • @faridadumasalhathoseni
    @faridadumasalhathoseni 6 місяців тому

    Ubarikiwe shekhe wetu

  • @HusnaNgwaya
    @HusnaNgwaya 5 місяців тому

    Allah akuifadhi shekh.

  • @mwanaherimatata8571
    @mwanaherimatata8571 7 місяців тому +1

    Shekh ALLAH AKUFIFADHI 😢 NKIKUSKILIZA SICHOKI HADI MACHOZ YANANITOKA
    NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAH MUNGU AKUPE PEPO YA JANATIL FIRDAUTHI😭🤲

  • @RasiyaRasi-m1f
    @RasiyaRasi-m1f 7 місяців тому

    Jazakallau kheiran 🤲🤲

  • @qurankareem582
    @qurankareem582 3 місяці тому

    Allahu albar

  • @hassanhussein2371
    @hassanhussein2371 6 місяців тому

    Mashaallah 🎉

  • @nasrahassan2260
    @nasrahassan2260 7 місяців тому

    Masha allah ❤❤❤❤

  • @nimosaid2497
    @nimosaid2497 7 місяців тому

    Mashalla Mashalla Mashalla

  • @salmahanai
    @salmahanai 7 місяців тому

    Alhamdulillah mawaidha yamenitoà machozi Allah Rahmu atuongoze tuwe na ufahamu

  • @fatema-y8d
    @fatema-y8d 7 місяців тому

    Mashallah ❤❤

  • @MwajumaSalim-r9g
    @MwajumaSalim-r9g 7 місяців тому

    SubhanAllah

  • @KhadijaKhadijadawa
    @KhadijaKhadijadawa 7 місяців тому +2

    Mashallah

  • @FekiHappy
    @FekiHappy 7 місяців тому

    Allah atujalie kheri

  • @aminasuphian7685
    @aminasuphian7685 7 місяців тому

    Mashaallah alahuakibaru

  • @SarahIrakoze-m3w
    @SarahIrakoze-m3w 7 місяців тому +1

    Asalamualeykum warahmatullah wabarakatuh Allah akulipe mema duniyani n'a kesho a khera nichoki kutiza vidéo zako🎉

  • @hamzaabdallah1969
    @hamzaabdallah1969 7 місяців тому

    Allahu

  • @mwanaherimatata8571
    @mwanaherimatata8571 7 місяців тому +16

    Shekh Naomba mas hafu Hata moja niwe nasoma Allah Atakulipa,na mwingine nkampe kakangu kijijini Anasoma sana QURAN 😢 SAMAHANI KM NTAKUA NMEKOSEA

    • @naimahhussein8430
      @naimahhussein8430 7 місяців тому +4

      Asalam alaikum warahmatulah wabarakhatu ,unapatikan wapi?naomba nikununulie msahafu iwe swadaka kwa baba angu ALLAH apunguzie adhabu ya kabur 🤲na pia usinisahau kwenye dua zako nifanikiwe kwenye rizki zangu niweze kununua juz na misahafu mingi nigawe kwa watoto wa madrsa 🤲

    • @mwanaherimatata8571
      @mwanaherimatata8571 7 місяців тому

      @@naimahhussein8430 inshallah mwenyezi Mungu Akuripe ,na patikana sinza kwe remy nkaa kwa sister pia nyumbani Bagamoyo, pia kuna wanafunzi wa madarasa lakini sisi tumelelewa katika kuisoma quran sasa hata kka zangu wana mashafu chakavu na uwezo sina wa kununua ila Naamini kupitia wewe watu wataisoma quran na inshallah nia yako kwa mzazi wako kila utaposomwa msahafu basi kher zitaingia

    • @mwanaherimatata8571
      @mwanaherimatata8571 7 місяців тому +4

      Na Allah kuamrisha maraika wamuandikie mema yule ambaye Aliyefikiria kufanya jema hata km hajalifanya..MUNGU AKUFANIKISHIE NDUGU YANGU.. KATIKA MWEZI HUU WA SHAABANI UWEZE KUPATA KHER NA NEEMAA INSHALLAH

    • @HawaOmar-y6b
      @HawaOmar-y6b 7 місяців тому

      Unapatikana wapi nitafte nikupe misahafu

    • @wardalwena5846
      @wardalwena5846 7 місяців тому +2

      Mashallah ALLAH awabariki nyote mnaotaka kutoa

  • @nyawazawadi856
    @nyawazawadi856 7 місяців тому +1

    Assalam alaykum warahimatulillah wabarakatuh kwa majina naitwa zawadi natoka kenya me ustadhi niko na shida jambo la kwanza nimesoma lakini sijapata kazi, pili niko na watoto wawili lakini sijaolewa mtu nikishikana nae huwa anaishiwa thamani yakua na mimi mpka tunatenga la tatu huyu mtoto wa pili yuko na kifafa huu mwaka wake wa 4 na bado anafifitika dawa anatumia lakini bado anafifitika hizo ndizo shida zangu

    • @ShaniAbdala
      @ShaniAbdala 7 місяців тому +1

      Allah akufanyie wepes nakupe subra sana

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 7 місяців тому

    Ninaomba unikutanishe mtume hata kwa ndoto inshaalla

  • @AsiaMtemi
    @AsiaMtemi 7 місяців тому +1

    Ostadh naomba msaada wa dawa ya kifua mam yangu nd anacho mwak wa 3 katembembe mpak kachoka bd hajapt dawa ya kumponya

  • @yusramwadini
    @yusramwadini 3 місяці тому

    😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @khamisjuma3760
    @khamisjuma3760 7 місяців тому

    Namba zake sizipo hapo mpigiye

  • @AminaSalim-e5q
    @AminaSalim-e5q 7 місяців тому

    A w w mimi ninajaribu angalao kukutafuta hata mimi hutuma ujumbe lakini sipati majibu je nifanyeje ndoo tupatane

  • @khamisjuma3760
    @khamisjuma3760 7 місяців тому

    Nyaza wadi mtafute kwa Namba zake hapo kwenye sceen

  • @ShabanMohamed-e9l
    @ShabanMohamed-e9l 7 місяців тому

    Sasa kama yy huyu ni muongo tuambie wewe mkweli jiblili kaja mala ngapi Kwa mtume

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan3902 7 місяців тому

    Hivi nyie Masufi mtaacha lini kuilingania uwongo Mcheni ALLAH

    • @wardalwena5846
      @wardalwena5846 7 місяців тому

      Una matatizo na akili pia huna

    • @wardalwena5846
      @wardalwena5846 7 місяців тому

      Acha kufata mkumbo

    • @abuurayaan3902
      @abuurayaan3902 7 місяців тому

      @@wardalwena5846
      Wewe Jahil kweli Dini inataka Dalili wala sio fikra zako na Akili
      Leteni hoja wapi mtume kafundisha? na Dua ni Ibada. Ibada zenu munazitoa wap ??

    • @abuurayaan3902
      @abuurayaan3902 7 місяців тому

      @@wardalwena5846
      Acha kutetea uwongo Ustadh wako huyo maneno makavu bila Dalili Sasa atuambie Dua hiyo alio fundisha ameitoa kwa nani ??

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed1589 7 місяців тому

    Jibril kaja mara elf 24 kwa mtume hadithi za alf Lela ulela hizo. nikikuomba dalil huwezi kunipa usanii mtupu

    • @ammaryammary3554
      @ammaryammary3554 7 місяців тому +3

      ALLAH ndo mkamilifu yote mazur aliongea huja yaona acha roho mbaya

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 7 місяців тому

      @@ammaryammary3554 mazuri yapi ameongea mbali na uongo na usanii tu nyie wafuateni lakini mi nawambia mashehena wetu hawana elimu wanakalia uchawi wanawake na hadithi za alfu lela ulela za kulaza watoto hawana tofauti na ze comedy

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 7 місяців тому

      @@ammaryammary3554 nimemuomba anipewe dalil kitabu gani jibril kaja kwa mtume mara elf 24 acha kushobokea mwache anijibu au kama unaweza msaidie kujibu

    • @MamyRahma
      @MamyRahma 7 місяців тому +1

      Miongoni mwa sifa mbaya tulizonazo sisi waislam ni kujifanya mtu anajua wala hajui na hawezi lolote ambalo mwenzie anafanya

    • @MamyRahma
      @MamyRahma 7 місяців тому +3

      Toa na wewe mawaidha basi tukuone
      Waislam tupunguze choyo