Asalam aleikum, walia nilikua na dhalili mingi sana izi bt nlipoanza kufanya dhikri Allah ameniondolea yote, allhamdhulillah,...shehq mwenyezi mungu akubarki sna akuzdishie elim amen
Kwa wale ambao hamjaelewa kwenye fundo la nguo ni hivi unachukua nguo uliovaa unakunja kwa chini then unaloesha kwenye maji halaf unakuamua ni hivyo tu
Shukran jazeelan sheikh wetu, Allah akujaaliye kila kheri kwa mafundisho yako Ila kunasehemu vidéo ni kama imeruka pale ulipotaka elezea unapinda kanzu
Asalam aleikum, walia nilikua na dhalili mingi sana izi bt nlipoanza kufanya dhikri Allah ameniondolea yote, allhamdhulillah,...shehq mwenyezi mungu akubarki sna akuzdishie elim amen
Kisha cha mwisho unachukua nguo unakucha fundo, Quraan! Hapo sikuelewa pamefahamishwa nini aliefahamu anisaidie kunielewesha alichosema
Shekh bindo la qur ani huja eleza vizur unakunja au nivipi tunataka kujiondosheya hasadi
Jaman mbona dalili zote ninazo😢😢yarab niondoshee kwakwel,vip jinsi gan naweza kuepukana au kujitibu?
Unakunja pindo la nguo yako kw chini unalowanisha kwny yale maji ikisha unakamua nguo.
Kwene.nguo rudiya hapo.mimi.sijaelewa
Shukran sheikh wetu Allah akuhifadhi na balaa zote fi dunia wal akheira...ulinitibu hasad na hivi niko sawa alhamdulilah
Ni kweli sheikh,Majini na Hasad ni vitu vibaya saana,kiukweli mimi naathiriwa sana na vitu hivyo..naomba msaada wako
Aya mambo yanatisha, asa sheikh wng kama mtu amekusifu kwamba ah bwana umekuwa na unapendeza iyo nayo ni asidi??
Shekh wetu apo kwa kukunja nguo chini sijapaelewa mana umetaja Qur'an nataka kufanya iyo dawa na mm
Shekh kweli kabisa watusaidiaje waumini wako
Am from Uganda and follow up your teachings but I understand swahili well
Wajazakalah khaira shehk 🎉🎉
Mashallah mimi iweke jwa dua yte hyo nimo inshallah
JazakaAllahu khaira.
jazakaAllah nimesoma mambo mengi alhamdhulillah
Kwa wale ambao hamjaelewa kwenye fundo la nguo ni hivi unachukua nguo uliovaa unakunja kwa chini then unaloesha kwenye maji halaf unakuamua ni hivyo tu
Shukran jazeelan sheikh wetu, Allah akujaaliye kila kheri kwa mafundisho yako Ila kunasehemu vidéo ni kama imeruka pale ulipotaka elezea unapinda kanzu
Shukran sana sheikh Allah akuhifadhi.
Assalam Aleykum Wa Rahmatullahi Ta'ala Wa Barakatuh.