MFAHAMU ALIYETAKA KUMPINDUA NYERERE/ NI KOMANDO WA JWTZ/ALIJIPANGA AIRPORT/ USALAMA WALIZUBAA! PART4
Вставка
- Опубліковано 17 жов 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#iringa #nyerere #mapinduzi
82 siyo 92
Msimuliaji anaonekana anapenda historia lakini vitu anavyosimulia vina dosari nyingi sana. Simulizi zake ni kama zile za vijiwe vya kahawa. Hii simulizi ya mipango ya mapinduzi ya mwaka 1982 ameieleza ikiwa na makosa makubwa akiwa ameongeza chumvi nyingi. Simulizi hiyo ilielezwa na Luteni Eugene Maganga ambaye alikuwa ni mmoja wa wahusika wakuu wa mipango ile. Simulizi yake iliwahi kutolewa mfululizo kama makala kwenye Gazeti la RAI mwanzoni mwa miaka ya 2000. Alieleza kwa usahihi na kwa kirefu.
Hujaelezea makosa na chumvi ya Msimuliaji..Mpaka sasa sisi ambao hatukuisikia Simulizi unayoisema tutabaki kwa Yericko mpaka hapo utakaposimulia wewe.
Kama kawaida yetu binadamu kutokusaport
Omba na wewe interview
😀😀😀hata Maganga mengine hakuyaandika ila ujasusi ni darasa la taaluma maalum ila nimwambie tu Tanzania wapo idadi haipungui 16 kama wote wapo hai
A lot of incorrect news. Kwa mfano Dr Kleruu aliuliwa jumapili na sio jumamosi.pia Captain Tamim aliuliwa na maafisa usalama akikimbia kutoka nyumba uliyokuwa kinondoni mkwajuni na sio from airport, a lot of incorrect news/ narration
Yeriko nyerere mwamba anamadini sana #appreciate 💎🔥
Huyu Yeriko ni muongo sana vitu vingi havijui ila inaelekea amesimuliwa
Hamjui kusimulia story, mnafeli sana
Uko sawa
Hii haipo sawa,1992 Mwalimu Nyerere hakuwa Rais Wa JMT alikuwepo Rais Alli Hassan Mwinyi
92 Rais alikuwa Mwinyi Siyo
Nyerere
Huyu jamaa yuko vizuri sana
Wewe Yerricko Nyerere umezaliwa mwaka 1983, hilo jaribio ambalo unalizungumzia limetokea 1983, Maana Yake umehadithiwa na hukafanya utafiti sasa tutafute cc tuliokuwepo mwaka huo na tukupe taarifa kamili nini kilitokea, wacha habari za vijiweni zinapotosha vizazi vipya, ukiwa na miaka 2 ndio mwalimu alistaafu, Maana yake hata uongozi wa mwalimu huujui
Mfanya Biashara aliehusishwa na Mapinduzi 1992 alijulikana kwa jina la LUGAKINGIRA
Regebisha 1992 kuwa 1982
Hakuna mapinduzi yaliojaribiwa 1992 mmnatoawapi story za uongo 😊
yerikobnyerere huku kigamboni tunakuitaji uwe mbunge wetu kupitia cdm au chadema unatufaa huku
Hapo sawa
Nyapara nae ana machawa wakee🤣
Hakuuliwa ubalozi wa Marekani bali Kinondoni Mkwajuni. Nyuma tu ya nyumba ya mama yake. Hakuu askari yeyote bali alidandia Gari la soda akawa anarusha chupa kabla ya kupigwa risasi.
Yaani huyu Jamaa ni mwongo sijapata kuona.
Sababu ilikuwa ni utaifishaji wa mashamba siyo kukataa kulima alikataa amri alali ya kutaifishwa shamba lake na amri ilitolewa na waziri mkuu edward moringe sokeine
safi sana
Wapo acha kabisa Akina Mayunga,Waulize M23 Balaa lake
Aliyetoroka Nairobi asikamatwe ni Rugangira.
Jamaa muongo huyu Tamim aliuawa kinondoni mkwajuni kweli lakini aliishi maeneo hayohayo ya mkwajuni
Huyu jamaa ki umri ni mdogo lakini anajua sana, story zote anazozieleza kweli tupu 7babu mimi ninajua!
Waulize wanaojua usidanganye watu
Uyu jamaa anasimulia kama hana uhakika😂😂 hiz n story tu sio mahojiano😊
Huyu hajuwi chochote nadhani alipata habari vijiweni. Kama kweli mbona hajamtaja Hans Pop, hana lolote. Kwanza anaonekana ni kijana mdogo wakati huo hangeweza kuyajuwa hayo yote.
Kwanza huyu dogo vitu vingi anapotosha. SANA.anatakiwa kusoma historian. Vvzzuri. Ila nimjanja wa kupiga. Stori. Za kufikiria na uwongo
Yeye ndo wa familia husika kayakuta apo kwao lazima ajue
Ukweli huyu jamaa nayeye amesimliwa tu...
Hao wote wawili ni wapiga porojo...
92 au 82
Ni kweli Tamimu kazi yake iliishia Kinondoni .Mkwajuni.
Na zaidi DR Kiluruu kutokana na kazi yake nzuri /usimamizi akitokea Mikoa ya kusini ndipo aliamishiwa Mkoa wa Iringa na kukutana na kisanga hicho.Je Dr Kileruu alikuwa ni mzaliwa wa Mkoa gani?
Iringa au Kilimanjaro?
Kwa faida yako kwa kupenda historia , nakufahimisha kuwa Mwamindi alikuwa na wakili alikuwa anamtetea kwenye case yake hiyo ya mauaji ya Dr.Kleruu, na si kweli kwamba alijitetea mwenyewe.
Wakili aliemtetea Mwamindi alikuwa mhindi ambae ofisi yake ulikuwa kwenye corner ya Jamhuri street na Zanaki street jina lake ni Advocate Jadeja.
Maganga hakuwa mahabusu Butimba ni uongo eti makomandoo walitoroka jela uongo walitoroka gereza keko pekeyao😂nao ni Hatt MaCgee Rugangira wakisaidiwa na mama Dunia na askari magereza mmoja
Hii story ni kama naikumbuka nilikuwa primary hivi na tuliazipata tukiwa chipukizi ni za kweli .
Sauti ya msimulizi haisikiki ipo chini saana
Hamjui Kabisa Kusimulia Story Anae simulia Zero (0) na Anaesimuliwa nae Zero (0)😂😂😂😂😂
Anapenda history lakini hana details za ukweli
Huyo kijana ni muongo sana kwanza alikuwa na umri gani wacheni kuibia watu MB zao
Mambo mengi ya mapinduz ya akina Tamim huyajui unadanganya kizazi cha leo Tamim amefia Kinondoni alipigwa risasi na Mfalingundi enzi hizo tulikuwepo hivyo basi kajifunze upya history hiyo
Hati maghii Haku uliwa ubarozi alirukua Gari ya bia toyota stauty pick up ambayo ilikuwa imetokea ugawaji kinondoni pale usawa wa mwanamboka njiapanda ya kwenda surrender ilikuwa karibu ba nyumbani kwetu na alipigwa risasi na mrema ba akakamatwa akafia muhimbili
NDIZI INASAIDIA KULAINISHA HAJA KUBWA
ANAYEHOJIWA NI NANI?
SIO KILA ANAYETIZAMA NI MTANZANIA ETI.
Huyu jamaa anaitwa nani kwani anajua sana?
Usalama alikuwa mahiga
1992 au 1982. Media inaandika....
Huyu jama hajui hisitoria akawaulize wakongwe watakujuza
Nikitu Cha uongo sana
Sasa wewe unaumligani mbaka ukayajuwa yote hayo
Jamaa muongo sn
Washenzi sana hao jamaa walitutesa sana kulala nje miezi mingi tukiwa kwenye alert 100% wakati huo tulikuwa JKT Kambi ya Mgambo. Wakati huo Kenya kulikuwa kumechafuka na Tanzania kumechafuka pia, hivyo ilibidi tupewe SMG full magazine na kulala kwenye mahandaki kuilinda nchi yetu. Vijana wa siku hizi hawawezi kuelewa haya mambo.
Kuna sehemu haukubani vizuri Wala chanzo pia mwaka wa wajaribio ya mapindu siyo 1992 ni 1982 baada ya maskari wetu walikuwa wanatoka Uganda kunyang'anywa vifaa na Mali waliyora Uganda kitendo kilichowakasirsha maaskari histori ulizotoa Zina mapungufu
Msimlizi ana code za kinyaru anaonekana wa igungindembwe
Ahahaaàahahahahahaha
Katupoteza kujiita Nyerere lakini huyu mnyakilambo VA kukaye kabisaa iwoneka myalukolo vetu kabisa
Aniambie litakalomkuta kesho
Njoo na wewe utusimulie usijificjee
😂😂😂😂 kwa kupata story ya uhakika muulize mlinzi mkuu wa mwalimu Nyerere Mr. Peter Bwimbo ana miaka 94 yupo hai na ana akili timamu mjini Dar as salaam na ana kitabu Kiko Google na Amazon kinaitwa Mlinzi mkuu wa mwalimu Nyerere. Huyo ndio mlinzi wa mwalimu, black belt in judo and karate ndio aliyemficha mwalimu siku hiyo na kuokoa nchi matatizoni.
Lakini kumbuka hata mlinzi wa mwalimu hakuwa kwenye tukio naye alifanya kusimuliwa tu
@@aminburhankyaruzi731Acha dharau wewe what do you mean? President secret service anasimuliwaga na who? Angalia picha ya siku ya uhuru Ile gari ya wazi ( convertable)uwanja wa taifa kulikua na watu watatu mwalimu, mlinzi ambaye ni Peter D. M. Bwimbo na dereva for a reason. Mwalimu trusted him to die for him, trusted his qualifications,there were only a handful that could be trusted even now. There is no where he went without him, America, Europe allover Africa. He was not There for Instagram op or fame, he was there for a job a very tough job. There was no mother fucker who could have gotten to mwalimu just like that, no f&*% commando no bull sh&*@ t. There were a lot of defectors even now but P. D. M Bwimbo was ngangari, true Tanzanian son and that's why he received a gallantry medal, hayumbishwi na majasusi, hayumbishwi na defectors waliopo nchini with you being one of them. Hata mama si mnanichukia mnadharau kwakua ni mwanamke maana mmezoea kudharau hata mama zenu mko mitaani kama mmezaliwa na mafisi mmepauka visigino kama mnacheza sindimba kwenye mabanda ya nguruwe. Kazi yenu kudharau viongozi wa nchi, sasa kamjaribuni si unaona walinzi wake wanawake na kazi yenu ni kudharau wanawake, unadhani walinzi wa maraisi ni wa kispotispoti nenda wakakupapase manyonyo pekeka vitako vyako vilivyosinyaa pale jitoe ufahamu ujichanganye ukalianzishe uone wale wanawake watakufanya nini ukitoka hapo utakua na mimba ya kiserikali haizaliki na haitoki. Like I said kwa stori ya uhakika mtafute Peter D. M. Bwimbo, Tanzanian son, son of chief Bwimbo of majita mountains. You seem to know other countries history but zero about your own. Fanya appointment maana huwezi kuingia Ile ngome kifalafala utashutiwa na ukijilengesha kiholela Ile area polisi defender watakubeba jujuu na vikamera vyenu
Ndgu zangu, kuandika kitabu ni utafiti. Lazima uwe umepitia maandiko mengi kama si yote na simulizi (interview) za awali kuhusu mada unayoandikia nyingi kama c zote ili kujiridhisha na kanuni (facts). Nakubaliana na waliosema jamaa anayesimulia kitabu chake ni mwongo. Kwa kuanzia Eugen Maganga alikuwa c commando bali alikuwa ofisa wa kwaida wa jeshi (infantry officer). Na mitandao ya jamii mkwepe cheap popularity, fanyeni mchujo kabla ya kurusha taarifa ili muwe na mashiko (credibility)!
@@stewartdyamvunye-wz6rn That's very true, anatupiga kitu kizito huyu jamaa huku waliokuwa katika hayo matukio wako hai na akili zao timamu ingawa ni wazee miaka zaidi ya 90
Uongo mtupu.
Sema jomba hii kwenye cabon 14 umetupiga bhan mbwa ww
Huyu mwandishi wa Habari sijui mtangazaji naye ni zero kichwani hewa kabisaa una danganywa hata hupingi wala kumuuliza maswali yenye logic mbaka watoto wa primary hapa wanajua historia vzuri
1992? Mwalimu hakuwepo madarakani? au mnamanisha nini?
Carbon 14 imechambuliwa katika namna isio sahihi!. Carbon 14 inapima muda tu kwa mfano mfupa unaweza kupimwa kwa kutumia C14 ikaonyesha umri wa kiumbe hicho
Lakini huyu kijana anajitahidi Sana baadhi ya maelezo yake n so
Uongo umetawala. Hizi ni kama story za vijiweni.
😂😂😂😂😂
Ya 92 au 82 msimulizi anapenda 92 😜
Ni mwaka 1982 hiyo
Dokotor gree alipigwa lisasi na mwamwindi ambaye yeye slikataa kulima pamoja. Mwamwindi alimpiga na gobole na akampeleka mwenyewe polisi
Alinyongwa. Mimi mtoto wake nilifanya naye kazi DMT.natulisindikiza kwenye maombolezo ya baba yake .
Tutemeke sanga alinunua degree
@@johnsinyinza7450 Mwamwindi aliona mbali sana..yeye ndiye aliyesafisha pori kufungua shamba kubwa..wapo wazee wengi waliofanya kazi sana kwa spirit ya mjerumaani walinyang'anywa mashamba ili wagawiwe wavivu.. hata mzee wangu na wengine yaliwakuta..tulinyang'anywa ekari 40,tukabakiwa 8 tu.
@@josephlorri431 huyu ajaitendea haki hiyo stori sio hivyo aende akatafakari tena hiyo sio sahihi asidanganye
Shortgun
Noma sana
Duuh Tamimu alikuwa anaishi mkwajuni kinondon nanaliuwawa kinondon siyo Airport huyu jamaa ana potosha watu achukuliwe hatua kabisaaa na hicho kitabu nani kaki pitisha Cha uwongo hivyo ana danganya jamii