KOMANDO ALIYETAKA KUMPINDUA NYERERE AJULIKANA:ANGEMPIGA RISASI/VITA VYA UGANDA/NI SIRI NZITO.PART3
Вставка
- Опубліковано 17 жов 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Aiseee this guy knows something
Alikuwa anatoka Butiama sio Kenya na walitaka kumuulia kanisani St Peter
Anajaribu kutengeneza Historia ambayo ajaifanyia utafiti wa Kina ,kwanza sio kweli mwaka 1992 hapakuwapo jaribio la mapinduzi ya kumtoa Nyerere ,kwa sababu mwaka 1992 mwalimu alikuwa hayupo madarakani,
82 siyo 92
Broo nakubali sana sana unaongea ukweli Sasa hivi Dunia imebadilika ukweli unatakiwa sio uongo umetawalaa
Rip Makufuli
Yuko vizuri sana shida ni hapo kwenye kuamini mizimu tu ndio panaponikera
Iyo ndo dini ya kweli Africa, yani kuamini kwenye ukristo au uslam ni sawa na mtu aliyeajiriwa, kumwamini mungu ni sawa na mtu aliyejiajiri! Sasa maamuzi ni yako , kujiajiri au kuajiriwa, kumbukumbu dini tumeletewa
@@valentinernestkavishe7297 Ila weweee🤣🤣🤣 haya bana. Duh
Yamipaka sawa nimekuelewa
Walitaka kumuulia kanisani st Peter oysterbay sio airpot.hii ni historia kuwa makini.
kabisa lazima awe makini katika historia ,tukio lilitaka kutokea kanisani St.Peters pale oysterbay sio uwanja wa ndege. kuna tax driver alihusika katika kutoa kutoa taarifa .
Very funny guy
Alikuwa hatuki Kenya alikuwa anatoka Butiama. Historical zenu zinapotosha watu fanyeni utafiti Kwanza
Uko sahihi sn, atakaekupinga ni mpuuzi
Story zake sio sahihi kihivyooo. Mwenye story za uhakika kuhusu maswala hayo ni mzee Peter Bwimbo yupo hai miaka 94 na akili timamu. Mzee anaishi Dar as salaam na ndie alikua mlinzi mkuu wa mwalimu Nyerere na ndiye aliyemlinda na kumficha katika matukio hayo. Kitabu chake kinaitwa Mlinzi mkuu wa mwalimu Nyerere Kiki Amazon , Google
Istoria yeke takusoma ila r.I.p magu
Kwatanzania nikiongozi gani ametengenezwa
Mtani wangu upo sahihi
Huyu anadhani watu waliokuwepo wakati huo walishakufa wote kwahiyo anabwabwaja utumbo. Well, some are still alive. Huyu si anajidai anajua sana usalama wa Taifa sasa aeleze lile gorofa la Uhamiaji pale kurasini original owner alikua nani? Na gorofa la pili yake wanapoishi mapadri au wakatoliki nani original owner wa Ile ngome? Na magorofa ya mitaa Ile nani original owners? Anajitia mjuaji
Hajui chochote
Kaka na kuelewa sana vp naweza je kupata vitabu vyako kununua mie nipo south Africa 🇿🇦
Hapo kibiti umendanganya jeshi yaani jwtz,Sio kweli waulize walio kwenda kwabahati Mambo hayo hayana mda mrefu waliohusika wapi!
Dah ! Huyu kijana mtupu mnooo ! Hajui historia yeyote ile ! Ni vurugu tupu !!
Kwahiyo hata mafunzo ya kijeshi tulipewa n a jeshi la Nigeri
Huyu kijana Ni mwongo . Hajui historia ya Jambo analolizumgumzia
Yap! mwache ajichanganye tu ataingi 18 za watu. Ukweli wa historia hizi pata kwa Mzee Peter Bwimbo yupo hai na akili timamu miaka 94. Mzee anaishi jijini Dar na ndio aliyekua mlinzi mkuu wa mwalimu Nyerere na vilevile mzee Bwimbo Ana mji mkoa wa Mara silaha ya Bunda kijiji cha kisorya uliza kwa Bwimbo utaonyeshwa na Bwimbo ni nani
Mwongo wewe Mohamed Tamimu hakuwa Commando
Bro hii story yako tafuta walioona live wakupe details, unapenda. Hadithi lakini huna details za ukweli, tutafute tukupe details za ukweli
We ni nani vilee ivi Mambo yote unayajua
Any person not any people.
Ilikuwa mwaka 92 au 82 ? Najua unayasoma jitahidi kutunza kumbukumbu, mwaka 92 Raisi alikuwa Mwinyi.
Amekosea ila nadhani anamaanisha mwaka 1982 sio 92
Yes,upon sahihi,,92 Mwalimu hakuwa madarakani
Hajakariri vizuri historian lazima iheshimiwe kwa ukweli wa historia yenyewe Raisi Ally Hassan Mwinyi 1992 hakuwahi kupata jaribio lolote
Nadhani alikusudia 1982
Ni makosa ya matamshi Ila Kuna sehemu kasema 82
Naweza kupata kitabu
Mwl Nyerere alitaka kupinduliwa mwaka 1983 na siyo 1992 chimba tena upate uhakika Maelezo yako ni mazuri
TAFUTENI WATU SAHIHI WA KUWAHOJI HISTORIA YA NCHI HII,,,, sio mtu kasimuliwa huko, na nyie mnamuita kusimulia alivosimuliwa
Danganya mbumbu wenzako wasiojua historia ya kweli.
kwanza anaonekana ana chuki na RAISI WETU WA WANYONGE, The Late JPM, MSIMLETE HAPA HUYU MJINGA
Hiyo si yy tu watu wote waliopoteza watu wao ktk utawala wake wa kiimla hawampendi
Tupe madini mkuu ututoe matogotogo
Dupa unachukua madini kwa mshuwa yerico mabadiliko yanakuja
Sometime jamaa Anakuja alafu kama vile namkataa fran hv...nikisoma comments ...Mnao jua vema ...Embu Mkaombe nafas kama hz...Mtupe sis wa miaka 84 ..tutaamin wap?
Mlinzi mkuu wa mwalimu Nyerere yupo hai Ana miaka 94 yupo jijini Daressalaam na akili timamu na Ana kitabu kinaitwa mwalimu mkuu wa mwalimu Nyerere Kiko google, Amazon. Mzee Peter D. M. Bwimbo, mzee black belt na ndio aliyemficha mwalimu kwahiyo hakuna risasi ingeweza mpata mwalimu nyerere.
Anatoaje historia nyeti hivyo za kiUsalama???Kama lengo la serikali lilikua ni kuziHide, yy kapata wap kibali cha kuziToa???? HAMUONI KAMA MNAMPONZA?
Miaka mitano ya jpm ndo idara zilifanya kaz vzuri ww kumbe una chuki mshenz hapo umeharibu ujui chochote
Ni mwaka 1982
Zilipata uoga sio kupata uimara
Hazikufanya kazi vizuri bali ziliharibu kazi kwa kuuwa uwa watu ovyo
Dar 24 ndo watu kama Hawa mnawaleta studio hawana pointi wajinga eti unazungumza udini acha kupotosha umma waislam wamepigania uhuru wa nchi hili hata Nyerere mwenyewe alikiri Hilo miongoni mean hotuba zake we huna unachojua unaleta habari za mo setung dikteta wa china acha kuchambua wewe.
We jamaa una matanizo na upwani na uislam?mie nakuna kama unapiga story tu tena story za upande mmoja tu but you don't have any proof so it's hard for reasonable man to believe your story bna kwendraaa huko
Mshapigwa nyie
Poleni sana
Tamimu alitokea tanga