ALIYETAKA KUMPINDUA NYERERE AJULIKANA:MIPANGO YA "URUSI"/VITA VYA UGANDA/UJASUSI NI SIRI NZITO.....
Вставка
- Опубліковано 18 лют 2023
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Ujasusi #ukraine #maelezo
USIKOSE KUFUATILIA MUENDELEZO WA KIPINDI HIKI,UTAKUJIA SIKU YA JUMA PILI YA TAREHE 26/02/2023......SAA TANO KAMILI ASUBUHI
Sawa
Kwenye app Gani kinapatikana?
Nimepata mafunzo mzuri sana hizi maswala zinaelezea mwafrika maisha yake kila mahali afrika mashariki haswa kenya na tz
Dar24 mnajutahidi sn ktk mahojiano wew na Stanslaus Lambert mpo vizuri sana
Marvelous, sijakisoma kitabu hiki, ila kupitia interview hii, kwa kweli nitakitafuta nikisome, bravo! ameiweka vizuri dhana ya ujasusi.
Mpo vizur sana
Yani Africa ilibidi tumuunge mkono Putin maana katusaidia Sana warus ni binadam sio wamagharibi
Nakubal sana mwanangu supa dupa✌️🤛🔥🔥🔥🔥
Huyu Jamaa ana akili sana,Hongera sana Yericko Nyerere. Sema Upo Taifa ambalo linaamini ili utumike lazima uwe CCM
Hongera sana Jerico
Super
Kaka nahitaji kitabu..Cha ujasusi wa kiuchumi na dola
Daaaa aiseee
Mbona mnachelewesha muendelezo sana
Hiki kitabu kinapatikanaje nakihitaji
broo umepambana sana. mana kitabu kuandika kwake mpaka kitimie ni hatar
Nimesha jua kwann saanane alitoweka jamaa umemponza mwenzako weweee! Walio husika kuandika wote wamekimbia chama na mmoja hajulikan alipo, una bahat ya kuwa mtu mwenye damu moja na Mwalim, Ndicho kilicho kuokoa.
Huyu hana uhusiano wowote na mwalimu. Na Wala sio mtu wa Kanda ya ziwa.
Acha uongo kitambo hcho internet cafe zlkuwa kibao t watu wanapata habar
Tuna ma Genius Tanzania lakini kinachoharibu ni ccm
Mtanzania wa kwanza kufanya nini! Acha matango
Mkuu wewe sio mtanzania wa kwanza kutumia mitandao ya kijamii miaka ya 1993 au 94 kulikuwa na Tanznet ambayo ilikuwa based US na wanafunzi wengi wa TZ tuilitumia kujua habari za nyumbani
Naweza kupata wapi hicho kitabu
Mbona mjamaliza
Sorry hicho kitabu naweza kukipataje?
We muongo, siyo wa kwanza husidanganye watu. Mimi binafsi nimeanza kutumia mitandao 1997. Wapo wengi wa zamani siyo wewe
Mjinga huwa hajiamini bali mpumbavu ndio hujiamini sana lakini hajui kitu na anajiona anajua lakini hajui kitu.
Kwa mjinga yeye hajui na kweli hajui na pia anajua kuwa hajui,ukimwelewesha anajua na tayari ujinga unakuwa umekwisha.Nature kila mtu ni mjinga na hakuna mtu sio mjinga,kwani hakuna mtu anaye juwa kila kitu.
Na mm nahitaj icho kitabu wp nitakipata
uwongo yeye alikuwa mjamaa duuuu
Sehem ya pili Iko wap?
usikose muendelezo wa kipindi hiki siku ya jumapili ya tarehe 26/02/2023, saaa tano kamili
Tatzo lenu hua mnaleta stori alafu mnasema mlaleta mwendelezo n hamlet au mkileta maletaaa kwa kuchelewa utazan mb tuna tumia zenu
usikose muendelezo wa kipindi hiki siku ya jumapili ya tarehe 26/02/2023, saaa tano kamili
Mkuu hapo umetumia kauli TATA inabidi ukaombe radhi chuoni au hata kupitia mtandaoni bila ya hivyo ni kesi hii...(CHUO CHA MA-HOUSE GIRL)
Ndo mjitahidi Kiwe chuo cha nyumba ya maarifa
Acha kujibu kwa mhemko mkuu
Mtu kama uyu ndo siku anataka kua kiongoz uku kichwan kwake ana negative attitude km ivo
Unauza wewe tu, na house of wisdom, so amazon na wallmart hawapo tena?
Tanikaty ilinga hiyo
Kichwa Cha Habari Akiendani Na Story Zenu Inamana Mnakula MB Za Bule Kwa Habari Za Uongo Akuna Kisa Mpango Na Vita Mnaongea Ujinga Mtupu
Bado kipindi hakijaisha
Hacha uongo wewe