Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Mungu aendelee kukupumzisha kwa Aman hayati Dr John Joseph pombe magufuli
Sema hv Ma Samia Nakuomba Mrudishe Huyu Kazini Tena Umweke na Makonda Utaona nchi itakavyo safishika nakutftia 5 G Bora Tanzania hpo ni 2
27/4/2024 kama unaangalia Gonga Like
Kama mnaona uyu jamaa anafaa kuwa raisi agonge like apo chini
Saw
Tumbuaaaa kabisaaa ao
Good leadership hongera sana from Canada
Hello
🦓🇹🇿
nakupenda,nakueshimu,huko ulipo kiongozi Bora RC agrey Mwanri
Safi sana mkuu nimekukubali mzee upo vizuri kwenye kazi yako
Nataka watu wa mkoa tu wagonge like hapa
Kwa upande wangu anafaa kua Rais wa Tanzania, haki ya MUNGU nasema!!!!!
Umeona eee
👍👍👍
Anafaaa kweli
Wangapi tumepitia hapa mwaka huu nipeni like plz
❤❤❤
Mm
Anafaa sana kuwa makamu was raisi,gongs laiki kama umekubali
Yes
Eliza kazana anafaa kwa kuwa ana akil za kipumbavu kama zako
Kwa sasa ZILIPENDWA
NAGUNDUA NDO MAANA WACHAGAA HATUPEW MADARAKA KWA KUWA TUNAONGEA KWA KUROPOKA
🤣🤣🤣🤣🤣
Nataka watu wa mkoa tu GONGA LIKE hp 😁😁😁
Oyooo comedian also
Hivi Raisi anafuatilia clips za huyu bwana!,huyu ndo best kuliko wote
Nimecheka.yuko sirias
😂😂😂😂😂😂😂 moto wakuhoteambali
Ongera kwa kazi nzuri kustaafu kwako kuwe kwa amani
Dah yani huyu mkuu ni nomaaa,hataki utani na kazi angekua headquarter ingekua noma zaid
Chukua kalamu ya kijani upate upako
Mzee wangu kweli unapiga kazi kisawasawa hongera muheshimiwa rais wetu kwa kumchangua mpiga kazi huyu
it is my tradition to come and watch this in a while.....
I thought i was alone, 😂
Mwalimu Dotto pole kwa kusoma 👍👍
Mh. Rais wangu utakapomaliza mda wako mkabidhi huyu uraisi maana wazembe watanyooka2.
kwa watu wengine nisawa lakn kwako utalia
da!
Hapo umenena iliokweli
piga kazii
Napenda kufanya kazi na huyo mzee somaa hiyo
huyu mchaga ni noma xana nataman angerud awe mkuu wa mkoa wa kilmanjaro awaonyeshe kaz hapo wanyamwez wamekoma ubixhi
Mwanry anatakiwa kua Naibu Waziri UJENZI. Ndo wajanja WATAKOMA!!!!😀😀. HONGERA SANA MH MWANRY. Kiongozi Bora na mcheshi..😍🤝🤝🤝
Uzuri wa huyu Mkuu wa Mkoa,haingizi siasa kwenye kaz kama wengine
Kweli kabisaa!.
Kweli kabisa..
Askar huyo ataingizaje siasa...yeye anafanya vitu kijeshi
Hataki utani
Msiniangalie Kwa Huruma😁😁😁
😂😂😂 we Mwalimu Dotto soma uko! Kama umesikia hii gonga like!
Hahahaha
Andrew Tamba 🔉ongeza saut
😁😁😁😁😁😁
🤣🤣🤣🤣
Hahaha noma kweli mwalimu dotto
Jamani mwenye namba ya injinia naomba anipe nimempenda sana vile alivyo cool kwenye makelele
😂😂😂😂😂😂😂 daaaaa cjawai kuona uyu jamaaa Hana mambo ya siasa kwenye kazi
KAMA NA WEWE UMEMMIC BINGILIII SUKUMA NDANI PITA NA LIKE👍
Mwamba Yuko vizuri sana anachekesha lakin anafatilia sana majukumu yake na kazi inaonekana
😅😅😅😅🙌kama kuna mtu anabisha hapa anyooshe mkono hapa hapa halafu OCD jiandae😅😅
Hongera sana mheshimiwa
Utawala wa hawa viongozi wazalendo wananchi tulikua so happy
Nimewakumbuka sana makamanda wa kweli
Shika hii kalamu ya kijani leo upate upako hahhahaaaa kama umeskia iyo mwishon apa gonga like...
Asante baba!
Taifa tunajivunia watu kama hawa! mungu wapemaisha malefu,
You deserve to president in this country.
😂😂😂😂😂😂😂😂 angekuwa rais huyu tungekomaaaaaa
Hahaha
Angetufaa SANA huyu MWAMBA DUH 🙄🙄🙄🤣🤣🤣🤣
wale wa tabora boys, shujaa wetu uyu tunampata fresh😂
Nadhan siku iyoo mwalim dotto alilalaa na dicropa kwa kwelii... 😀
😂😂😂🤣
😂😂😂😂😂😂😂 hatar
Nakushauri next time RC tape measure kule kunapo anzia mpe mtu akushikie wewe uwe unaziona redings wasikudanganye
Kweli yeye bora asome
hawezi kudanganya sababu wanajua ni dakika 3 mbele, hakawii kurudia kusoma apoteze ajira
Sanaaa asikae.nwanzi wa tape
Soma iyoooh
Kiongoz bora kbsaa
Tarehe 27 kama bado mpo na mna mkubali huyu jamaa gonga like zenu hapa 🎉🎉
KWELI AWAMU YA JPM NI YA MOTO
Zefa Mange hi
Huyu mzee namkubali Sana hebu angeletwa huku Zanzibar kuna mainjinia wa kichina wanatengeza mitaro ya ya maji taka hadi leo hawajamaliza huu sijui mwaka wa ngapi yani kila zikija mvua lazima mafuriko yatokeee
This is genius leader
🤣 Jamani muangaliage nahela zakupja nyingine hazipigiki Jamani kueni makani kazi 🤣🙏👍 Vema sana Mkuu wamkoa Nc
Angekuwepo Hadi Leo magufuli inchi yetu ingezidi Africa kusini kwa maendeleo
😂😂😂😂😂 Namkubali sana huyu mwamba
Ndio wanao faa madaraka,sijui mama umesaau
Yupo vzr sana anafaa kuja kuwa raisi
Napenda anavyosema ATAKUSOMESHA UYO
Dhaaa uyuu mwwmba nomaaa sanaaa namkubali
Inamaana wakuu wa mikoa wa sehemu nyingine kwao hawajengi hata vyoo mbona sioni wakisimamia ujenzi ipasavyo
Mh magufr pls Baba ukistafu mwachie uyuuu mh icho kity ni ombi tu kwa mtazamo wangu
Enzi wa magufuli kazi ilikua inaenda kwa uhakika R.I.P MAGUFULI
Juyu ndivyo alivyo toka alivyokuwa tamisemi naibu waziri Kwa kikwete Hana mchezo
Yaan nataman huyu mbogo apewe cheo cha juu serikalini mbna watajamba ubwabwa 😂😂😂😂 hawa akina bashiru na wakurugenz wa bandari
Mwanri Big up Sana kiongozi
Soma hiyo!!! Engeneer
Kwa nini wakuuu wa mkoa wengi wasiige kazi za huyo yuko vizuriii mno
Ishu inakuja uyo ni injinia tofau na wengine kwayo umdanganyi
Noma sana
Jembe langu nakukumbuka sana mwanry, ni wachache sanaaaa
Ukimuangalia huyu mzee unajikuta unachekacheka kwaraha Kama unatekenywa
Daah i like this RC
Hongera
😀😀😀jamaa bwana we mwalimu Dotto
Nakupendaa
katika kazi namkibari uyu hana siasa kazi zake
Tunakumbuka sana mzee wa soma hiyoooooo
we mwalimu doto soma huko 😁😁😁😁😁😂😂😂
Ngapi ukoo
ataliiiiii
Chukua hii kalamu ya Kijani Leo upate upako
Basaga hahahaha
Huyu mzee akabidhiwe wizara yoyote ile tufurahie maendeleo🤣🤣🤣😂😂😂
Wangepatikana Saba wangefaa sana
Mimi ni mkenya,,nafuraia uwongozi wako tabora,Wewe ni Mzee wa maendelo kabisa
Mama Samia kwanini tumia watu kama hawaaa hasaa apa kwetu mpunguzi dodoma ajeee
Sukuma ndani.
Ukiwa rais itapendeza sana
Hapa kazi2 andika andika cjaona unaandika shila hii karamu uandike
tunamuomba raisi amuludishe jaman injinia soma hiyooo😂😂😂
Mzeee nimecheka nimekumiss sana mzee mwanri
kwenye karam ya kijan gonga mezaaaaa
Kaz nzuriiiiii
Huyu anawafaa mkoa wa Lindi please
Kama umesikia mbaka yesu atajua hamja maliza hapa
🤣🤣🤣HUYU Mzee nikiboko arudi tena 😂
Wangapi tumepitia hapa mwaka huu2021
Laaaaaaaaa aiseee noma sana
Naomba Baba JPM mpe Uwaziri mana kazi anaijua vzr piga kaz Mwanri
Nataka watu wa mkoa TU 😅😅😅😅😅
Mis you mwamri!!
Nimeyapanga maalum kwaajil ya kumpa agust4/ 2024
Mwalimu doto job is present
Watu hawa ndio wachapa kazi mama hana Habari nao dah
Anafaa kuwa Raisi wa jamhuri ya Tanzania
"msiniangalie kwa huruma, hakuna cha kiniangalia kwa huruma hapa, mimi nabeba zamanaaa😂
Amekunywa
Magu ampe uwaziri wa michezo
Kwenye michezo atafer uyo injinia awe wazili wa ujenz
😂 kwenye karatasi, ila Angekuwa raisi huyu mmmh
😹😹😹nacheka sana. Mainjiniaa msomeni huyoooooo
Hatami napenda Sana awe raisi huyu mzee
Mungu aendelee kukupumzisha kwa Aman hayati Dr John Joseph pombe magufuli
Sema hv Ma Samia Nakuomba Mrudishe Huyu Kazini Tena Umweke na Makonda Utaona nchi itakavyo safishika nakutftia 5 G Bora Tanzania hpo ni 2
27/4/2024 kama unaangalia Gonga Like
Kama mnaona uyu jamaa anafaa kuwa raisi agonge like apo chini
Saw
Tumbuaaaa kabisaaa ao
Good leadership hongera sana from Canada
Hello
🦓🇹🇿
nakupenda,nakueshimu,huko ulipo kiongozi Bora RC agrey Mwanri
Safi sana mkuu nimekukubali mzee upo vizuri kwenye kazi yako
Nataka watu wa mkoa tu wagonge like hapa
Kwa upande wangu anafaa kua Rais wa Tanzania, haki ya MUNGU nasema!!!!!
Umeona eee
👍👍👍
Anafaaa kweli
Wangapi tumepitia hapa mwaka huu nipeni like plz
❤❤❤
Mm
Anafaa sana kuwa makamu was raisi,gongs laiki kama umekubali
Yes
Eliza kazana anafaa kwa kuwa ana akil za kipumbavu kama zako
Kwa sasa ZILIPENDWA
NAGUNDUA NDO MAANA WACHAGAA HATUPEW MADARAKA KWA KUWA TUNAONGEA KWA KUROPOKA
🤣🤣🤣🤣🤣
Nataka watu wa mkoa tu GONGA LIKE hp 😁😁😁
Oyooo comedian also
Hivi Raisi anafuatilia clips za huyu bwana!,huyu ndo best kuliko wote
Nimecheka.yuko sirias
😂😂😂😂😂😂😂 moto wakuhoteambali
Ongera kwa kazi nzuri kustaafu kwako kuwe kwa amani
Dah yani huyu mkuu ni nomaaa,hataki utani na kazi angekua headquarter ingekua noma zaid
Chukua kalamu ya kijani upate upako
Mzee wangu kweli unapiga kazi kisawasawa hongera muheshimiwa rais wetu kwa kumchangua mpiga kazi huyu
it is my tradition to come and watch this in a while.....
I thought i was alone, 😂
Mwalimu Dotto pole kwa kusoma 👍👍
Mh. Rais wangu utakapomaliza mda wako mkabidhi huyu uraisi maana wazembe watanyooka2.
kwa watu wengine nisawa lakn kwako utalia
da!
Hapo umenena iliokweli
piga kazii
Napenda kufanya kazi na huyo mzee somaa hiyo
huyu mchaga ni noma xana nataman angerud awe mkuu wa mkoa wa kilmanjaro awaonyeshe kaz hapo wanyamwez wamekoma ubixhi
Mwanry anatakiwa kua Naibu Waziri UJENZI. Ndo wajanja WATAKOMA!!!!😀😀. HONGERA SANA MH MWANRY. Kiongozi Bora na mcheshi..😍🤝🤝🤝
Uzuri wa huyu Mkuu wa Mkoa,haingizi siasa kwenye kaz kama wengine
Kweli kabisaa!.
Kweli kabisa..
Askar huyo ataingizaje siasa...yeye anafanya vitu kijeshi
Hataki utani
Msiniangalie Kwa Huruma😁😁😁
😂😂😂 we Mwalimu Dotto soma uko! Kama umesikia hii gonga like!
Hahahaha
Andrew Tamba 🔉ongeza saut
😁😁😁😁😁😁
🤣🤣🤣🤣
Hahaha noma kweli mwalimu dotto
Jamani mwenye namba ya injinia naomba anipe nimempenda sana vile alivyo cool kwenye makelele
😂😂😂😂😂😂😂 daaaaa cjawai kuona uyu jamaaa Hana mambo ya siasa kwenye kazi
KAMA NA WEWE UMEMMIC BINGILIII SUKUMA NDANI PITA NA LIKE👍
Mwamba Yuko vizuri sana anachekesha lakin anafatilia sana majukumu yake na kazi inaonekana
😅😅😅😅🙌kama kuna mtu anabisha hapa anyooshe mkono hapa hapa halafu OCD jiandae😅😅
Hongera sana mheshimiwa
Utawala wa hawa viongozi wazalendo wananchi tulikua so happy
Nimewakumbuka sana makamanda wa kweli
Shika hii kalamu ya kijani leo upate upako hahhahaaaa kama umeskia iyo mwishon apa gonga like...
Asante baba!
Taifa tunajivunia watu kama hawa! mungu wapemaisha malefu,
You deserve to president in this country.
😂😂😂😂😂😂😂😂 angekuwa rais huyu tungekomaaaaaa
Hahaha
Angetufaa SANA huyu MWAMBA DUH 🙄🙄🙄🤣🤣🤣🤣
wale wa tabora boys, shujaa wetu uyu tunampata fresh😂
Nadhan siku iyoo mwalim dotto alilalaa na dicropa kwa kwelii... 😀
😂😂😂🤣
😂😂😂😂😂😂😂 hatar
Nakushauri next time RC tape measure kule kunapo anzia mpe mtu akushikie wewe uwe unaziona redings wasikudanganye
Kweli yeye bora asome
hawezi kudanganya sababu wanajua ni dakika 3 mbele, hakawii kurudia kusoma apoteze ajira
Sanaaa asikae.nwanzi wa tape
Soma iyoooh
Kiongoz bora kbsaa
Tarehe 27 kama bado mpo na mna mkubali huyu jamaa gonga like zenu hapa 🎉🎉
KWELI AWAMU YA JPM NI YA MOTO
Zefa Mange hi
Huyu mzee namkubali Sana hebu angeletwa huku Zanzibar kuna mainjinia wa kichina wanatengeza mitaro ya ya maji taka hadi leo hawajamaliza huu sijui mwaka wa ngapi yani kila zikija mvua lazima mafuriko yatokeee
This is genius leader
🤣 Jamani muangaliage nahela zakupja nyingine hazipigiki Jamani kueni makani kazi 🤣🙏👍 Vema sana Mkuu wamkoa Nc
Angekuwepo Hadi Leo magufuli inchi yetu ingezidi Africa kusini kwa maendeleo
😂😂😂😂😂 Namkubali sana huyu mwamba
Ndio wanao faa madaraka,sijui mama umesaau
Yupo vzr sana anafaa kuja kuwa raisi
Napenda anavyosema ATAKUSOMESHA UYO
Dhaaa uyuu mwwmba nomaaa sanaaa namkubali
Inamaana wakuu wa mikoa wa sehemu nyingine kwao hawajengi hata vyoo mbona sioni wakisimamia ujenzi ipasavyo
Mh magufr pls Baba ukistafu mwachie uyuuu mh icho kity ni ombi tu kwa mtazamo wangu
Enzi wa magufuli kazi ilikua inaenda kwa uhakika R.I.P MAGUFULI
Juyu ndivyo alivyo toka alivyokuwa tamisemi naibu waziri Kwa kikwete Hana mchezo
Yaan nataman huyu mbogo apewe cheo cha juu serikalini mbna watajamba ubwabwa 😂😂😂😂 hawa akina bashiru na wakurugenz wa bandari
Mwanri Big up Sana kiongozi
Soma hiyo!!! Engeneer
Kwa nini wakuuu wa mkoa wengi wasiige kazi za huyo yuko vizuriii mno
Ishu inakuja uyo ni injinia tofau na wengine kwayo umdanganyi
Noma sana
Jembe langu nakukumbuka sana mwanry, ni wachache sanaaaa
Ukimuangalia huyu mzee unajikuta unachekacheka kwaraha Kama unatekenywa
Daah i like this RC
Hongera
😀😀😀jamaa bwana we mwalimu Dotto
Nakupendaa
katika kazi namkibari uyu hana siasa kazi zake
Tunakumbuka sana mzee wa soma hiyoooooo
we mwalimu doto soma huko 😁😁😁😁😁😂😂😂
Ngapi ukoo
ataliiiiii
Chukua hii kalamu ya Kijani Leo upate upako
Basaga hahahaha
Huyu mzee akabidhiwe wizara yoyote ile tufurahie maendeleo🤣🤣🤣😂😂😂
Wangepatikana Saba wangefaa sana
Mimi ni mkenya,,nafuraia uwongozi wako tabora,Wewe ni Mzee wa maendelo kabisa
Mama Samia kwanini tumia watu kama hawaaa hasaa apa kwetu mpunguzi dodoma ajeee
Sukuma ndani.
Ukiwa rais itapendeza sana
Hapa kazi2 andika andika cjaona unaandika shila hii karamu uandike
tunamuomba raisi amuludishe jaman injinia soma hiyooo😂😂😂
Mzeee nimecheka nimekumiss sana mzee mwanri
kwenye karam ya kijan gonga mezaaaaa
Kaz nzuriiiiii
Huyu anawafaa mkoa wa Lindi please
Kama umesikia mbaka yesu atajua hamja maliza hapa
🤣🤣🤣HUYU Mzee nikiboko arudi tena 😂
Wangapi tumepitia hapa mwaka huu2021
Laaaaaaaaa aiseee noma sana
Naomba Baba JPM mpe Uwaziri mana kazi anaijua vzr piga kaz Mwanri
Nataka watu wa mkoa TU 😅😅😅😅😅
Mis you mwamri!!
Nimeyapanga maalum kwaajil ya kumpa agust4/ 2024
Mwalimu doto job is present
Watu hawa ndio wachapa kazi mama hana Habari nao dah
Anafaa kuwa Raisi wa jamhuri ya Tanzania
"msiniangalie kwa huruma, hakuna cha kiniangalia kwa huruma hapa, mimi nabeba zamanaaa😂
Amekunywa
Magu ampe uwaziri wa michezo
Kwenye michezo atafer uyo injinia awe wazili wa ujenz
😂 kwenye karatasi, ila Angekuwa raisi huyu mmmh
😹😹😹nacheka sana. Mainjiniaa msomeni huyoooooo
Hatami napenda Sana awe raisi huyu mzee