INJINIA AINGIA KWENYE 18 ZA RC MWANRI/ ASOMESHWA NAMBA HADHARANI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 380

  • @asiasaidi6302
    @asiasaidi6302 2 роки тому +8

    Mungu aendelee kukupumzisha kwa Aman hayati Dr John Joseph pombe magufuli

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 5 років тому +150

    Kama mnaona uyu jamaa anafaa kuwa raisi agonge like apo chini

  • @beatricshadrack321
    @beatricshadrack321 2 роки тому +25

    Kwa upande wangu anafaa kua Rais wa Tanzania, haki ya MUNGU nasema!!!!!

  • @abdulhemedabdulhemed7110
    @abdulhemedabdulhemed7110 3 роки тому +91

    Wangapi tumepitia hapa mwaka huu nipeni like plz

  • @decruzz6792
    @decruzz6792 4 місяці тому +9

    27/4/2024 kama unaangalia Gonga Like

  • @mheheoriginal9712
    @mheheoriginal9712 13 днів тому +2

    Tarehe 27 kama bado mpo na mna mkubali huyu jamaa gonga like zenu hapa 🎉🎉

  • @isamazatv.115
    @isamazatv.115 5 років тому +15

    Good leadership hongera sana from Canada

  • @farajakihembwe307
    @farajakihembwe307 4 роки тому +4

    nakupenda,nakueshimu,huko ulipo kiongozi Bora RC agrey Mwanri

  • @yahayamkone4040
    @yahayamkone4040 5 років тому +14

    Mzee wangu kweli unapiga kazi kisawasawa hongera muheshimiwa rais wetu kwa kumchangua mpiga kazi huyu

  • @am_blessed.1
    @am_blessed.1 4 роки тому +39

    Nataka watu wa mkoa tu GONGA LIKE hp 😁😁😁

  • @barakajulius5938
    @barakajulius5938 5 років тому +32

    Hivi Raisi anafuatilia clips za huyu bwana!,huyu ndo best kuliko wote

  • @mohamedkigwehe3479
    @mohamedkigwehe3479 5 років тому +6

    Safi sana mkuu nimekukubali mzee upo vizuri kwenye kazi yako

  • @eliakazana7252
    @eliakazana7252 3 роки тому +43

    Anafaa sana kuwa makamu was raisi,gongs laiki kama umekubali

  • @rehemamsuya2263
    @rehemamsuya2263 5 років тому +9

    Dah yani huyu mkuu ni nomaaa,hataki utani na kazi angekua headquarter ingekua noma zaid

  • @erickmassawe5107
    @erickmassawe5107 5 років тому +12

    huyu mchaga ni noma xana nataman angerud awe mkuu wa mkoa wa kilmanjaro awaonyeshe kaz hapo wanyamwez wamekoma ubixhi

  • @bockernyarusahi3655
    @bockernyarusahi3655 5 років тому +63

    Uzuri wa huyu Mkuu wa Mkoa,haingizi siasa kwenye kaz kama wengine

  • @kassimjuma8713
    @kassimjuma8713 5 років тому +85

    Mh. Rais wangu utakapomaliza mda wako mkabidhi huyu uraisi maana wazembe watanyooka2.

  • @slaustv6129
    @slaustv6129 5 років тому +48

    Nataka watu wa mkoa tu wagonge like hapa

  • @dismassamwel7130
    @dismassamwel7130 4 роки тому +5

    Jamani mwenye namba ya injinia naomba anipe nimempenda sana vile alivyo cool kwenye makelele

  • @jafarymdollo4420
    @jafarymdollo4420 5 років тому +6

    Napenda kufanya kazi na huyo mzee somaa hiyo

  • @davismremi8986
    @davismremi8986 3 роки тому +21

    it is my tradition to come and watch this in a while.....

  • @ramsoramaa6798
    @ramsoramaa6798 4 роки тому +4

    Mwalimu Dotto pole kwa kusoma 👍👍

  • @rahmarama5669
    @rahmarama5669 2 місяці тому

    Sema hv Ma Samia Nakuomba Mrudishe Huyu Kazini Tena Umweke na Makonda Utaona nchi itakavyo safishika nakutftia 5 G Bora Tanzania hpo ni 2

  • @junioramos2997
    @junioramos2997 5 років тому +8

    😂😂😂😂😂😂😂 daaaaa cjawai kuona uyu jamaaa Hana mambo ya siasa kwenye kazi

  • @allykazoa7065
    @allykazoa7065 4 роки тому +12

    Msiniangalie Kwa Huruma😁😁😁

  • @andrewtamba6671
    @andrewtamba6671 5 років тому +174

    😂😂😂 we Mwalimu Dotto soma uko! Kama umesikia hii gonga like!

  • @jacksonsawe2301
    @jacksonsawe2301 5 років тому +32

    Nakushauri next time RC tape measure kule kunapo anzia mpe mtu akushikie wewe uwe unaziona redings wasikudanganye

    • @abrahamdaniel7564
      @abrahamdaniel7564 5 років тому

      Kweli yeye bora asome

    • @mrs2918
      @mrs2918 5 років тому +1

      hawezi kudanganya sababu wanajua ni dakika 3 mbele, hakawii kurudia kusoma apoteze ajira

    • @mohamedkichendo7720
      @mohamedkichendo7720 5 років тому

      Sanaaa asikae.nwanzi wa tape

    • @yusufuheri6524
      @yusufuheri6524 3 роки тому +1

      Soma iyoooh

  • @veronicasamson7121
    @veronicasamson7121 Рік тому

    Mwanry anatakiwa kua Naibu Waziri UJENZI. Ndo wajanja WATAKOMA!!!!😀😀. HONGERA SANA MH MWANRY. Kiongozi Bora na mcheshi..😍🤝🤝🤝

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella9651 5 років тому +5

    Inamaana wakuu wa mikoa wa sehemu nyingine kwao hawajengi hata vyoo mbona sioni wakisimamia ujenzi ipasavyo

  • @ayubuwilliam130
    @ayubuwilliam130 4 роки тому +1

    Ongera kwa kazi nzuri kustaafu kwako kuwe kwa amani

  • @ramsokhamis9262
    @ramsokhamis9262 5 років тому +16

    Nadhan siku iyoo mwalim dotto alilalaa na dicropa kwa kwelii... 😀

  • @user-eu6ql9zl7n
    @user-eu6ql9zl7n Місяць тому +1

    Asante baba!

  • @stevoovlogs8645
    @stevoovlogs8645 5 років тому +13

    😂😂😂😂😂😂😂😂 angekuwa rais huyu tungekomaaaaaa

  • @ahmadymuhina6546
    @ahmadymuhina6546 2 роки тому +1

    😅😅😅😅🙌kama kuna mtu anabisha hapa anyooshe mkono hapa hapa halafu OCD jiandae😅😅

  • @daudimlamka1239
    @daudimlamka1239 2 роки тому +3

    Utawala wa hawa viongozi wazalendo wananchi tulikua so happy

  • @elibarikimiage6204
    @elibarikimiage6204 2 роки тому +9

    Enzi wa magufuli kazi ilikua inaenda kwa uhakika R.I.P MAGUFULI

    • @msafiriduwiya953
      @msafiriduwiya953 Рік тому

      Juyu ndivyo alivyo toka alivyokuwa tamisemi naibu waziri Kwa kikwete Hana mchezo

  • @alikhamisame9636
    @alikhamisame9636 5 років тому +8

    Huyu mzee namkubali Sana hebu angeletwa huku Zanzibar kuna mainjinia wa kichina wanatengeza mitaro ya ya maji taka hadi leo hawajamaliza huu sijui mwaka wa ngapi yani kila zikija mvua lazima mafuriko yatokeee

  • @tsagytz6755
    @tsagytz6755 3 роки тому +4

    Yaan nataman huyu mbogo apewe cheo cha juu serikalini mbna watajamba ubwabwa 😂😂😂😂 hawa akina bashiru na wakurugenz wa bandari

  • @odilinadonald261
    @odilinadonald261 5 років тому +12

    Kwa nini wakuuu wa mkoa wengi wasiige kazi za huyo yuko vizuriii mno

    • @beckasalum2620
      @beckasalum2620 3 роки тому

      Ishu inakuja uyo ni injinia tofau na wengine kwayo umdanganyi

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 5 років тому +6

    Ukimuangalia huyu mzee unajikuta unachekacheka kwaraha Kama unatekenywa

  • @husseinsalimhemed7169
    @husseinsalimhemed7169 5 років тому +14

    Mimi ni mkenya,,nafuraia uwongozi wako tabora,Wewe ni Mzee wa maendelo kabisa

  • @alfredmsambaa1443
    @alfredmsambaa1443 5 років тому +7

    Shika hii kalamu ya kijani leo upate upako hahhahaaaa kama umeskia iyo mwishon apa gonga like...

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 3 роки тому +27

    KAMA NA WEWE UMEMMIC BINGILIII SUKUMA NDANI PITA NA LIKE👍

  • @raphaelsikumbi5517
    @raphaelsikumbi5517 2 роки тому +2

    Nimewakumbuka sana makamanda wa kweli

  • @papaampondele1750
    @papaampondele1750 5 років тому +13

    Taifa tunajivunia watu kama hawa! mungu wapemaisha malefu,

  • @sospetermigera685
    @sospetermigera685 5 років тому +15

    Kiongoz bora kbsaa

  • @rashidsalim3801
    @rashidsalim3801 5 років тому +5

    Hongera sana mheshimiwa

  • @fadhilplatnumz6209
    @fadhilplatnumz6209 4 роки тому +3

    🤣 Jamani muangaliage nahela zakupja nyingine hazipigiki Jamani kueni makani kazi 🤣🙏👍 Vema sana Mkuu wamkoa Nc

  • @khanbaba8125
    @khanbaba8125 3 роки тому +1

    Mh magufr pls Baba ukistafu mwachie uyuuu mh icho kity ni ombi tu kwa mtazamo wangu

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 5 років тому +3

    Napenda anavyosema ATAKUSOMESHA UYO

  • @jamesmassy5022
    @jamesmassy5022 2 роки тому

    Mama Samia kwanini tumia watu kama hawaaa hasaa apa kwetu mpunguzi dodoma ajeee

  • @mwalaprosper2291
    @mwalaprosper2291 3 роки тому +3

    Mis you mwamri!!

  • @ishaq9925
    @ishaq9925 5 років тому +5

    rais tupe n.a. cc japo miez6 daa Huyu mzee wa fyekereambali Jiji Liwe ok

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 5 років тому +12

    Chukua hii kalamu ya Kijani Leo upate upako

  • @kyambarungwe4453
    @kyambarungwe4453 5 років тому +2

    jamani tungiwa na kiongozi kama huyu mbeya daaa yani mbeya ingiwa kama ulaya magu mlete mbeya huyu maana ni kiongozi bora

  • @lucasmanyama2892
    @lucasmanyama2892 Рік тому

    You deserve to president in this country.

  • @FalajaKabungwa
    @FalajaKabungwa 7 днів тому

    😂😂😂😂😂 Namkubali sana huyu mwamba

  • @gigotz1755
    @gigotz1755 5 років тому +11

    Magu ampe uwaziri wa michezo

    • @beckasalum2620
      @beckasalum2620 3 роки тому

      Kwenye michezo atafer uyo injinia awe wazili wa ujenz

  • @mpambanajitz7026
    @mpambanajitz7026 8 місяців тому +1

    Angetufaa SANA huyu MWAMBA DUH 🙄🙄🙄🤣🤣🤣🤣

  • @barakaalmas3399
    @barakaalmas3399 5 років тому +5

    Sukuma dani mweshimi huyo

  • @mwidiniharuna9618
    @mwidiniharuna9618 5 років тому +9

    kwenye karam ya kijan gonga mezaaaaa

  • @kindboywillsmis8152
    @kindboywillsmis8152 5 років тому +9

    Amekunywa

  • @jamesmodest3206
    @jamesmodest3206 3 роки тому +2

    Wangapi tumepitia hapa mwaka huu2021

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 5 років тому +11

    Yani huyu muheshmiwa ana akili cjapata ona humuibii bwana

  • @dennisdennis7559
    @dennisdennis7559 5 років тому +5

    Chukua hii kalamu ya kijan Leo upate upako hahahah

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 5 років тому +17

    KWELI AWAMU YA JPM NI YA MOTO

  • @shedrackboniphace7755
    @shedrackboniphace7755 5 років тому +4

    Huyu anawafaa mkoa wa Lindi please

  • @abdullasuleiman
    @abdullasuleiman 3 місяці тому

    "msiniangalie kwa huruma, hakuna cha kiniangalia kwa huruma hapa, mimi nabeba zamanaaa😂

  • @salehali9203
    @salehali9203 5 років тому +3

    Mh,haingizi siasa ktk kazi zake,viongozi wengine waige mfano wa mh,mkuu wa mkoa huyu

  • @graysonnyamsogoro376
    @graysonnyamsogoro376 4 роки тому +1

    Daah i like this RC

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 2 роки тому +1

    🤣🤣🤣HUYU Mzee nikiboko arudi tena 😂

  • @ramamtetu2327
    @ramamtetu2327 5 років тому +5

    Awamu Hii Wapiga Dili Kazi wanayo Maana Ugali wa Moto Mboga Moto
    Ulle Umangi Meza haupo Watu Wanawajibika Mbaya !

  • @TeophilBuilding
    @TeophilBuilding Місяць тому

    Nimeyapanga maalum kwaajil ya kumpa agust4/ 2024

  • @swaleheally8134
    @swaleheally8134 3 роки тому +2

    Kama umesikia mbaka yesu atajua hamja maliza hapa

  • @ezekielndaraba7221
    @ezekielndaraba7221 5 років тому +3

    😀😀😀jamaa bwana we mwalimu Dotto

  • @iddyshabani5942
    @iddyshabani5942 5 років тому +16

    we mwalimu doto soma huko 😁😁😁😁😁😂😂😂

  • @jamesmassy5022
    @jamesmassy5022 2 роки тому

    Dhaaa uyuu mwwmba nomaaa sanaaa namkubali

  • @ramsokhamis9262
    @ramsokhamis9262 5 років тому +4

    Aiiiseee lololoooo atatusomesha uyuu mwambiyee akaye pembenii.. 😂😂

  • @009biafra8
    @009biafra8 2 роки тому +1

    Huu ndo ulikuwa uongozi kipindi hicho Agrey Mwanri, Makonda, Sabaya,Ally happy hawa jamaa walifanya kazi na wananchi wazalendo wakifurahia.

  • @davidmbwilo4954
    @davidmbwilo4954 2 роки тому

    Noma sana

  • @amanimwaifunga6524
    @amanimwaifunga6524 5 років тому +1

    Mwanri Big up Sana kiongozi

  • @mwengwamwengwa9678
    @mwengwamwengwa9678 3 роки тому +1

    Tunakumbuka sana mzee wa soma hiyoooooo

  • @amrimalumbo1712
    @amrimalumbo1712 5 років тому

    Naomba Baba JPM mpe Uwaziri mana kazi anaijua vzr piga kaz Mwanri

  • @hunchoonetz8747
    @hunchoonetz8747 3 роки тому +2

    Uyu jamaa anafka mbali namuombea awe rais aseh

  • @princegabytv7251
    @princegabytv7251 5 років тому +1

    😹😹😹nacheka sana. Mainjiniaa msomeni huyoooooo

  • @MusaMasika-yx6ho
    @MusaMasika-yx6ho Рік тому

    Mwalimu doto job is present

  • @paulkessy5267
    @paulkessy5267 5 років тому +1

    Laaaaaaaaa aiseee noma sana

  • @johnbuluma8861
    @johnbuluma8861 2 роки тому

    Jembe langu nakukumbuka sana mwanry, ni wachache sanaaaa

  • @michaelphabian4120
    @michaelphabian4120 10 місяців тому +1

    Nataka watu wa mkoa TU 😅😅😅😅😅

  • @HaradiHongo
    @HaradiHongo 12 днів тому

    Ma RC wote wawe ivi ivi nchi itanyooka SEMA mama eti mpole

  • @mchaking6504
    @mchaking6504 5 років тому +2

    Value for Money

  • @maxmaizer4631
    @maxmaizer4631 5 років тому +17

    😂😂😂😂uku tabora balaa tupu uyu mzee watu wanalala na viatu

  • @eliahedward7490
    @eliahedward7490 4 роки тому

    Hapa kazi2 andika andika cjaona unaandika shila hii karamu uandike

  • @lukwesaabdala2255
    @lukwesaabdala2255 5 років тому +6

    😂😂😂kama mtu anabisha anyoshe kidole

  • @proffjay3882
    @proffjay3882 3 роки тому

    Wapendao maendeleo na kuchukia ufisadi na watakao haki kwa wananchi bila mzaha, tafutieni uyu kiongozi kura za urais muhura ujao....

  • @JAY-YTZ
    @JAY-YTZ 8 місяців тому

    Hatami napenda Sana awe raisi huyu mzee

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 5 місяців тому

    Ss wananchi tunachangilia sana ila watumishi wa umma wanastress hao hawana raha yan

  • @zeddyshiznit
    @zeddyshiznit 5 років тому +2

    Jamani kama Mkenya mungetupatia huyu Muchukue bunge yetu yote dah!

    • @gloriousnp
      @gloriousnp 5 років тому

      Zablab 😆😆😆😆😆😆

    • @allyomaly7795
      @allyomaly7795 3 роки тому

      Aiwezekani izinizawadi kutoka kwamungu tunataka kusongambele

  • @amriharuna4236
    @amriharuna4236 5 років тому +3

    Mwalimu DOTTOOO

  • @bantukauky5408
    @bantukauky5408 3 роки тому +1

    Hahahahhaahah ukiwa umevurugwa angalia video za huyu mzee baba