Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Mungu aendelee kukupumzisha kwa Aman hayati Dr John Joseph pombe magufuli
Kama mnaona uyu jamaa anafaa kuwa raisi agonge like apo chini
Saw
Tumbuaaaa kabisaaa ao
Kwa upande wangu anafaa kua Rais wa Tanzania, haki ya MUNGU nasema!!!!!
Umeona eee
👍👍👍
Anafaaa kweli
Wangapi tumepitia hapa mwaka huu nipeni like plz
27/4/2024 kama unaangalia Gonga Like
Tarehe 27 kama bado mpo na mna mkubali huyu jamaa gonga like zenu hapa 🎉🎉
Good leadership hongera sana from Canada
Hello
🦓🇹🇿
nakupenda,nakueshimu,huko ulipo kiongozi Bora RC agrey Mwanri
Mzee wangu kweli unapiga kazi kisawasawa hongera muheshimiwa rais wetu kwa kumchangua mpiga kazi huyu
Nataka watu wa mkoa tu GONGA LIKE hp 😁😁😁
Oyooo comedian also
Hivi Raisi anafuatilia clips za huyu bwana!,huyu ndo best kuliko wote
Nimecheka.yuko sirias
😂😂😂😂😂😂😂 moto wakuhoteambali
Safi sana mkuu nimekukubali mzee upo vizuri kwenye kazi yako
Anafaa sana kuwa makamu was raisi,gongs laiki kama umekubali
Yes
Eliza kazana anafaa kwa kuwa ana akil za kipumbavu kama zako
Kwa sasa ZILIPENDWA
NAGUNDUA NDO MAANA WACHAGAA HATUPEW MADARAKA KWA KUWA TUNAONGEA KWA KUROPOKA
🤣🤣🤣🤣🤣
Dah yani huyu mkuu ni nomaaa,hataki utani na kazi angekua headquarter ingekua noma zaid
Chukua kalamu ya kijani upate upako
huyu mchaga ni noma xana nataman angerud awe mkuu wa mkoa wa kilmanjaro awaonyeshe kaz hapo wanyamwez wamekoma ubixhi
Uzuri wa huyu Mkuu wa Mkoa,haingizi siasa kwenye kaz kama wengine
Kweli kabisaa!.
Kweli kabisa..
Askar huyo ataingizaje siasa...yeye anafanya vitu kijeshi
Hataki utani
Mh. Rais wangu utakapomaliza mda wako mkabidhi huyu uraisi maana wazembe watanyooka2.
kwa watu wengine nisawa lakn kwako utalia
da!
Hapo umenena iliokweli
piga kazii
Nataka watu wa mkoa tu wagonge like hapa
Jamani mwenye namba ya injinia naomba anipe nimempenda sana vile alivyo cool kwenye makelele
Napenda kufanya kazi na huyo mzee somaa hiyo
it is my tradition to come and watch this in a while.....
I thought i was alone, 😂
Mwalimu Dotto pole kwa kusoma 👍👍
Sema hv Ma Samia Nakuomba Mrudishe Huyu Kazini Tena Umweke na Makonda Utaona nchi itakavyo safishika nakutftia 5 G Bora Tanzania hpo ni 2
😂😂😂😂😂😂😂 daaaaa cjawai kuona uyu jamaaa Hana mambo ya siasa kwenye kazi
Msiniangalie Kwa Huruma😁😁😁
😂😂😂 we Mwalimu Dotto soma uko! Kama umesikia hii gonga like!
Hahahaha
Andrew Tamba 🔉ongeza saut
😁😁😁😁😁😁
🤣🤣🤣🤣
Hahaha noma kweli mwalimu dotto
Nakushauri next time RC tape measure kule kunapo anzia mpe mtu akushikie wewe uwe unaziona redings wasikudanganye
Kweli yeye bora asome
hawezi kudanganya sababu wanajua ni dakika 3 mbele, hakawii kurudia kusoma apoteze ajira
Sanaaa asikae.nwanzi wa tape
Soma iyoooh
Mwanry anatakiwa kua Naibu Waziri UJENZI. Ndo wajanja WATAKOMA!!!!😀😀. HONGERA SANA MH MWANRY. Kiongozi Bora na mcheshi..😍🤝🤝🤝
Inamaana wakuu wa mikoa wa sehemu nyingine kwao hawajengi hata vyoo mbona sioni wakisimamia ujenzi ipasavyo
Ongera kwa kazi nzuri kustaafu kwako kuwe kwa amani
Nadhan siku iyoo mwalim dotto alilalaa na dicropa kwa kwelii... 😀
😂😂😂🤣
😂😂😂😂😂😂😂 hatar
Asante baba!
😂😂😂😂😂😂😂😂 angekuwa rais huyu tungekomaaaaaa
Hahaha
😅😅😅😅🙌kama kuna mtu anabisha hapa anyooshe mkono hapa hapa halafu OCD jiandae😅😅
Utawala wa hawa viongozi wazalendo wananchi tulikua so happy
Enzi wa magufuli kazi ilikua inaenda kwa uhakika R.I.P MAGUFULI
Juyu ndivyo alivyo toka alivyokuwa tamisemi naibu waziri Kwa kikwete Hana mchezo
Huyu mzee namkubali Sana hebu angeletwa huku Zanzibar kuna mainjinia wa kichina wanatengeza mitaro ya ya maji taka hadi leo hawajamaliza huu sijui mwaka wa ngapi yani kila zikija mvua lazima mafuriko yatokeee
This is genius leader
Yaan nataman huyu mbogo apewe cheo cha juu serikalini mbna watajamba ubwabwa 😂😂😂😂 hawa akina bashiru na wakurugenz wa bandari
Kwa nini wakuuu wa mkoa wengi wasiige kazi za huyo yuko vizuriii mno
Ishu inakuja uyo ni injinia tofau na wengine kwayo umdanganyi
Ukimuangalia huyu mzee unajikuta unachekacheka kwaraha Kama unatekenywa
Mimi ni mkenya,,nafuraia uwongozi wako tabora,Wewe ni Mzee wa maendelo kabisa
Shika hii kalamu ya kijani leo upate upako hahhahaaaa kama umeskia iyo mwishon apa gonga like...
KAMA NA WEWE UMEMMIC BINGILIII SUKUMA NDANI PITA NA LIKE👍
Nimewakumbuka sana makamanda wa kweli
Taifa tunajivunia watu kama hawa! mungu wapemaisha malefu,
Kiongoz bora kbsaa
Hongera sana mheshimiwa
🤣 Jamani muangaliage nahela zakupja nyingine hazipigiki Jamani kueni makani kazi 🤣🙏👍 Vema sana Mkuu wamkoa Nc
Mh magufr pls Baba ukistafu mwachie uyuuu mh icho kity ni ombi tu kwa mtazamo wangu
Napenda anavyosema ATAKUSOMESHA UYO
Mama Samia kwanini tumia watu kama hawaaa hasaa apa kwetu mpunguzi dodoma ajeee
Mis you mwamri!!
rais tupe n.a. cc japo miez6 daa Huyu mzee wa fyekereambali Jiji Liwe ok
Mbona Makonda naye yupo Moto?
Chukua hii kalamu ya Kijani Leo upate upako
Basaga hahahaha
jamani tungiwa na kiongozi kama huyu mbeya daaa yani mbeya ingiwa kama ulaya magu mlete mbeya huyu maana ni kiongozi bora
You deserve to president in this country.
😂😂😂😂😂 Namkubali sana huyu mwamba
Magu ampe uwaziri wa michezo
Kwenye michezo atafer uyo injinia awe wazili wa ujenz
Angetufaa SANA huyu MWAMBA DUH 🙄🙄🙄🤣🤣🤣🤣
Sukuma dani mweshimi huyo
kwenye karam ya kijan gonga mezaaaaa
Amekunywa
Wangapi tumepitia hapa mwaka huu2021
Yani huyu muheshmiwa ana akili cjapata ona humuibii bwana
Chukua hii kalamu ya kijan Leo upate upako hahahah
KWELI AWAMU YA JPM NI YA MOTO
Zefa Mange hi
Huyu anawafaa mkoa wa Lindi please
"msiniangalie kwa huruma, hakuna cha kiniangalia kwa huruma hapa, mimi nabeba zamanaaa😂
Mh,haingizi siasa ktk kazi zake,viongozi wengine waige mfano wa mh,mkuu wa mkoa huyu
Daah i like this RC
🤣🤣🤣HUYU Mzee nikiboko arudi tena 😂
Awamu Hii Wapiga Dili Kazi wanayo Maana Ugali wa Moto Mboga Moto Ulle Umangi Meza haupo Watu Wanawajibika Mbaya !
Nimeyapanga maalum kwaajil ya kumpa agust4/ 2024
Kama umesikia mbaka yesu atajua hamja maliza hapa
😀😀😀jamaa bwana we mwalimu Dotto
we mwalimu doto soma huko 😁😁😁😁😁😂😂😂
Ngapi ukoo
ataliiiiii
Dhaaa uyuu mwwmba nomaaa sanaaa namkubali
Aiiiseee lololoooo atatusomesha uyuu mwambiyee akaye pembenii.. 😂😂
Safi sana mkuu wa mkoa big up
Huu ndo ulikuwa uongozi kipindi hicho Agrey Mwanri, Makonda, Sabaya,Ally happy hawa jamaa walifanya kazi na wananchi wazalendo wakifurahia.
Noma sana
Mwanri Big up Sana kiongozi
Tunakumbuka sana mzee wa soma hiyoooooo
Naomba Baba JPM mpe Uwaziri mana kazi anaijua vzr piga kaz Mwanri
Uyu jamaa anafka mbali namuombea awe rais aseh
😹😹😹nacheka sana. Mainjiniaa msomeni huyoooooo
Mwalimu doto job is present
Laaaaaaaaa aiseee noma sana
Jembe langu nakukumbuka sana mwanry, ni wachache sanaaaa
Nataka watu wa mkoa TU 😅😅😅😅😅
Ma RC wote wawe ivi ivi nchi itanyooka SEMA mama eti mpole
Value for Money
😂😂😂😂uku tabora balaa tupu uyu mzee watu wanalala na viatu
Hahahahah
Saf
😁😁😁😁🙌🙌🙌🙌🏃🏃🏃🏃🏃🏃👌👌👌👌mambo ni fireeeee
Hahahah watabika sana😂😂😂
Hapa kazi2 andika andika cjaona unaandika shila hii karamu uandike
😂😂😂kama mtu anabisha anyoshe kidole
😂😂
Wapendao maendeleo na kuchukia ufisadi na watakao haki kwa wananchi bila mzaha, tafutieni uyu kiongozi kura za urais muhura ujao....
Hatami napenda Sana awe raisi huyu mzee
Ss wananchi tunachangilia sana ila watumishi wa umma wanastress hao hawana raha yan
Mtu anamka na stress zake anawaka
Jamani kama Mkenya mungetupatia huyu Muchukue bunge yetu yote dah!
Zablab 😆😆😆😆😆😆
Aiwezekani izinizawadi kutoka kwamungu tunataka kusongambele
Mwalimu DOTTOOO
Hahahahhaahah ukiwa umevurugwa angalia video za huyu mzee baba
Mungu aendelee kukupumzisha kwa Aman hayati Dr John Joseph pombe magufuli
Kama mnaona uyu jamaa anafaa kuwa raisi agonge like apo chini
Saw
Tumbuaaaa kabisaaa ao
Kwa upande wangu anafaa kua Rais wa Tanzania, haki ya MUNGU nasema!!!!!
Umeona eee
👍👍👍
Anafaaa kweli
Wangapi tumepitia hapa mwaka huu nipeni like plz
27/4/2024 kama unaangalia Gonga Like
Tarehe 27 kama bado mpo na mna mkubali huyu jamaa gonga like zenu hapa 🎉🎉
Good leadership hongera sana from Canada
Hello
🦓🇹🇿
nakupenda,nakueshimu,huko ulipo kiongozi Bora RC agrey Mwanri
Mzee wangu kweli unapiga kazi kisawasawa hongera muheshimiwa rais wetu kwa kumchangua mpiga kazi huyu
Nataka watu wa mkoa tu GONGA LIKE hp 😁😁😁
Oyooo comedian also
Hivi Raisi anafuatilia clips za huyu bwana!,huyu ndo best kuliko wote
Nimecheka.yuko sirias
😂😂😂😂😂😂😂 moto wakuhoteambali
Safi sana mkuu nimekukubali mzee upo vizuri kwenye kazi yako
Anafaa sana kuwa makamu was raisi,gongs laiki kama umekubali
Yes
Eliza kazana anafaa kwa kuwa ana akil za kipumbavu kama zako
Kwa sasa ZILIPENDWA
NAGUNDUA NDO MAANA WACHAGAA HATUPEW MADARAKA KWA KUWA TUNAONGEA KWA KUROPOKA
🤣🤣🤣🤣🤣
Dah yani huyu mkuu ni nomaaa,hataki utani na kazi angekua headquarter ingekua noma zaid
Chukua kalamu ya kijani upate upako
huyu mchaga ni noma xana nataman angerud awe mkuu wa mkoa wa kilmanjaro awaonyeshe kaz hapo wanyamwez wamekoma ubixhi
Uzuri wa huyu Mkuu wa Mkoa,haingizi siasa kwenye kaz kama wengine
Kweli kabisaa!.
Kweli kabisa..
Askar huyo ataingizaje siasa...yeye anafanya vitu kijeshi
Hataki utani
Mh. Rais wangu utakapomaliza mda wako mkabidhi huyu uraisi maana wazembe watanyooka2.
kwa watu wengine nisawa lakn kwako utalia
da!
Hapo umenena iliokweli
piga kazii
Nataka watu wa mkoa tu wagonge like hapa
Jamani mwenye namba ya injinia naomba anipe nimempenda sana vile alivyo cool kwenye makelele
Napenda kufanya kazi na huyo mzee somaa hiyo
it is my tradition to come and watch this in a while.....
I thought i was alone, 😂
Mwalimu Dotto pole kwa kusoma 👍👍
Sema hv Ma Samia Nakuomba Mrudishe Huyu Kazini Tena Umweke na Makonda Utaona nchi itakavyo safishika nakutftia 5 G Bora Tanzania hpo ni 2
😂😂😂😂😂😂😂 daaaaa cjawai kuona uyu jamaaa Hana mambo ya siasa kwenye kazi
Msiniangalie Kwa Huruma😁😁😁
😂😂😂 we Mwalimu Dotto soma uko! Kama umesikia hii gonga like!
Hahahaha
Andrew Tamba 🔉ongeza saut
😁😁😁😁😁😁
🤣🤣🤣🤣
Hahaha noma kweli mwalimu dotto
Nakushauri next time RC tape measure kule kunapo anzia mpe mtu akushikie wewe uwe unaziona redings wasikudanganye
Kweli yeye bora asome
hawezi kudanganya sababu wanajua ni dakika 3 mbele, hakawii kurudia kusoma apoteze ajira
Sanaaa asikae.nwanzi wa tape
Soma iyoooh
Mwanry anatakiwa kua Naibu Waziri UJENZI. Ndo wajanja WATAKOMA!!!!😀😀. HONGERA SANA MH MWANRY. Kiongozi Bora na mcheshi..😍🤝🤝🤝
Inamaana wakuu wa mikoa wa sehemu nyingine kwao hawajengi hata vyoo mbona sioni wakisimamia ujenzi ipasavyo
Ongera kwa kazi nzuri kustaafu kwako kuwe kwa amani
Nadhan siku iyoo mwalim dotto alilalaa na dicropa kwa kwelii... 😀
😂😂😂🤣
😂😂😂😂😂😂😂 hatar
Asante baba!
😂😂😂😂😂😂😂😂 angekuwa rais huyu tungekomaaaaaa
Hahaha
😅😅😅😅🙌kama kuna mtu anabisha hapa anyooshe mkono hapa hapa halafu OCD jiandae😅😅
Utawala wa hawa viongozi wazalendo wananchi tulikua so happy
Enzi wa magufuli kazi ilikua inaenda kwa uhakika R.I.P MAGUFULI
Juyu ndivyo alivyo toka alivyokuwa tamisemi naibu waziri Kwa kikwete Hana mchezo
Huyu mzee namkubali Sana hebu angeletwa huku Zanzibar kuna mainjinia wa kichina wanatengeza mitaro ya ya maji taka hadi leo hawajamaliza huu sijui mwaka wa ngapi yani kila zikija mvua lazima mafuriko yatokeee
This is genius leader
Yaan nataman huyu mbogo apewe cheo cha juu serikalini mbna watajamba ubwabwa 😂😂😂😂 hawa akina bashiru na wakurugenz wa bandari
Kwa nini wakuuu wa mkoa wengi wasiige kazi za huyo yuko vizuriii mno
Ishu inakuja uyo ni injinia tofau na wengine kwayo umdanganyi
Ukimuangalia huyu mzee unajikuta unachekacheka kwaraha Kama unatekenywa
Mimi ni mkenya,,nafuraia uwongozi wako tabora,Wewe ni Mzee wa maendelo kabisa
Shika hii kalamu ya kijani leo upate upako hahhahaaaa kama umeskia iyo mwishon apa gonga like...
KAMA NA WEWE UMEMMIC BINGILIII SUKUMA NDANI PITA NA LIKE👍
Nimewakumbuka sana makamanda wa kweli
Taifa tunajivunia watu kama hawa! mungu wapemaisha malefu,
Kiongoz bora kbsaa
Hongera sana mheshimiwa
🤣 Jamani muangaliage nahela zakupja nyingine hazipigiki Jamani kueni makani kazi 🤣🙏👍 Vema sana Mkuu wamkoa Nc
Mh magufr pls Baba ukistafu mwachie uyuuu mh icho kity ni ombi tu kwa mtazamo wangu
Napenda anavyosema ATAKUSOMESHA UYO
Mama Samia kwanini tumia watu kama hawaaa hasaa apa kwetu mpunguzi dodoma ajeee
Mis you mwamri!!
rais tupe n.a. cc japo miez6 daa Huyu mzee wa fyekereambali Jiji Liwe ok
Mbona Makonda naye yupo Moto?
Chukua hii kalamu ya Kijani Leo upate upako
Basaga hahahaha
jamani tungiwa na kiongozi kama huyu mbeya daaa yani mbeya ingiwa kama ulaya magu mlete mbeya huyu maana ni kiongozi bora
You deserve to president in this country.
😂😂😂😂😂 Namkubali sana huyu mwamba
Magu ampe uwaziri wa michezo
Kwenye michezo atafer uyo injinia awe wazili wa ujenz
Angetufaa SANA huyu MWAMBA DUH 🙄🙄🙄🤣🤣🤣🤣
Sukuma dani mweshimi huyo
kwenye karam ya kijan gonga mezaaaaa
Amekunywa
Wangapi tumepitia hapa mwaka huu2021
Yani huyu muheshmiwa ana akili cjapata ona humuibii bwana
Chukua hii kalamu ya kijan Leo upate upako hahahah
KWELI AWAMU YA JPM NI YA MOTO
Zefa Mange hi
Huyu anawafaa mkoa wa Lindi please
"msiniangalie kwa huruma, hakuna cha kiniangalia kwa huruma hapa, mimi nabeba zamanaaa😂
Mh,haingizi siasa ktk kazi zake,viongozi wengine waige mfano wa mh,mkuu wa mkoa huyu
Daah i like this RC
🤣🤣🤣HUYU Mzee nikiboko arudi tena 😂
Awamu Hii Wapiga Dili Kazi wanayo Maana Ugali wa Moto Mboga Moto
Ulle Umangi Meza haupo Watu Wanawajibika Mbaya !
Nimeyapanga maalum kwaajil ya kumpa agust4/ 2024
Kama umesikia mbaka yesu atajua hamja maliza hapa
😀😀😀jamaa bwana we mwalimu Dotto
we mwalimu doto soma huko 😁😁😁😁😁😂😂😂
Ngapi ukoo
ataliiiiii
Dhaaa uyuu mwwmba nomaaa sanaaa namkubali
Aiiiseee lololoooo atatusomesha uyuu mwambiyee akaye pembenii.. 😂😂
Safi sana mkuu wa mkoa big up
Huu ndo ulikuwa uongozi kipindi hicho Agrey Mwanri, Makonda, Sabaya,Ally happy hawa jamaa walifanya kazi na wananchi wazalendo wakifurahia.
Noma sana
Mwanri Big up Sana kiongozi
Tunakumbuka sana mzee wa soma hiyoooooo
Naomba Baba JPM mpe Uwaziri mana kazi anaijua vzr piga kaz Mwanri
Uyu jamaa anafka mbali namuombea awe rais aseh
😹😹😹nacheka sana. Mainjiniaa msomeni huyoooooo
Mwalimu doto job is present
Laaaaaaaaa aiseee noma sana
Jembe langu nakukumbuka sana mwanry, ni wachache sanaaaa
Nataka watu wa mkoa TU 😅😅😅😅😅
Ma RC wote wawe ivi ivi nchi itanyooka SEMA mama eti mpole
Value for Money
😂😂😂😂uku tabora balaa tupu uyu mzee watu wanalala na viatu
Hahahahah
Saf
😁😁😁😁🙌🙌🙌🙌🏃🏃🏃🏃🏃🏃👌👌👌👌mambo ni fireeeee
Hahahah watabika sana😂😂😂
Hapa kazi2 andika andika cjaona unaandika shila hii karamu uandike
😂😂😂kama mtu anabisha anyoshe kidole
😂😂
Wapendao maendeleo na kuchukia ufisadi na watakao haki kwa wananchi bila mzaha, tafutieni uyu kiongozi kura za urais muhura ujao....
Hatami napenda Sana awe raisi huyu mzee
Ss wananchi tunachangilia sana ila watumishi wa umma wanastress hao hawana raha yan
Mtu anamka na stress zake anawaka
Jamani kama Mkenya mungetupatia huyu Muchukue bunge yetu yote dah!
Zablab 😆😆😆😆😆😆
Aiwezekani izinizawadi kutoka kwamungu tunataka kusongambele
Mwalimu DOTTOOO
Hahahahhaahah ukiwa umevurugwa angalia video za huyu mzee baba