AFISA ELIMU AZIMIA GHAFLA KISA KATUMBULIWA NA RC MWANRI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 65

  • @jaybinmwinyi5918
    @jaybinmwinyi5918 2 роки тому +9

    Hongera sana mwanrri kwa kazi bora unayoichapa big up, , , , moto wa kuotea mbali..💥💥

  • @balakakalagho1388
    @balakakalagho1388 2 роки тому +6

    Eti amekunywa dilisha😀

  • @amanmwalyambi1416
    @amanmwalyambi1416 11 місяців тому +2

    Nilikuwa nampenda mwanri

  • @jacksonjacksonjacksonjacks9879
    @jacksonjacksonjacksonjacks9879 2 роки тому +1

    Mzee una tumia nguvu nyingi sana kuongea daha pole sana mzee wetu 2022

  • @aloycendalu6867
    @aloycendalu6867 2 роки тому +1

    Hongera sana unanibaliki muno kamaumeokokavile

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy Рік тому +1

    Hio safi ujinga na uzembe hta Kama unacheo

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 7 місяців тому +1

    Mtu alikunywa drisha 😂

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 7 місяців тому +1

    Awamu ya sita wakuu wa mikoa wakula bata tu, hakuna kazi wanayofanya,zaidi ya kucheza pull table,

  • @mathayocharles5449
    @mathayocharles5449 2 роки тому +3

    Mzee huyu namkubali mpaka naumwa

  • @newforcejv9721
    @newforcejv9721 5 років тому +4

    Huyu Mzee ni Moto wa Tipa

  • @sebaskibiki4836
    @sebaskibiki4836 5 місяців тому +1

    Mtu kazima! Suo mchezo

  • @victormtani7170
    @victormtani7170 2 роки тому +12

    Magufuli alikufa kwa sababu Kikwete hakupenda Uongozi wa ukweli na yeye atakufa tu Msoga muuaji na genge lake. Magufuli alikuwa anaweka watu wa kuongoza wachapa kazi siyo km huyo bibi Tozo anavyo tuburuza Watanzania anaweka washenzi wezi vibaka waliokuwa wamefukuzwa na Magufuli

  • @theonlyonebeautiful3726
    @theonlyonebeautiful3726 5 років тому +6

    🤣🤣🤣I loooove this guy,kweli simba huzaa simba magu hoyeeeeee

  • @aceofspades3728
    @aceofspades3728 2 роки тому +1

    Mzee mwanri😂😂👍

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga3626 2 роки тому +1

    RIP Magufuli

  • @aronpaul2331
    @aronpaul2331 2 роки тому

    Nyieee😂😂😂😂mtakomaaa mbonaa

  • @oscarmachume8886
    @oscarmachume8886 2 роки тому

    Dah kweli mzee

  • @majaliwarobert7709
    @majaliwarobert7709 2 роки тому

    Naomba es

  • @ancomagu3155
    @ancomagu3155 5 років тому +2

    Huyu ndie RC MWANRI eti

  • @shukuruezekiel1988
    @shukuruezekiel1988 2 роки тому +3

    Duu kweli mwanile angekuwa raisi sijui tungekuwaje viboko vingeahusu wasio penda kazi

  • @salmaiddy6059
    @salmaiddy6059 5 років тому

    Sweka ndani

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 2 роки тому +1

    Huyu apewe form ya urais 2025. Hata akisimama peke yake anachukua

  • @paulmuchu9095
    @paulmuchu9095 2 роки тому +1

    Soma hiyo

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 Рік тому

    Usiniangarie Kwa huruma sio mchezi majembe ya magu haikuwa kitoto kazkz

  • @nestgrammyz5475
    @nestgrammyz5475 5 років тому +2

    Eti Amekunywa hili 😂 😂

    • @robertj.4484
      @robertj.4484 2 роки тому

      Amekuywa dirisha... 😂😂😂😂

  • @kilimanjaro77international26
    @kilimanjaro77international26 8 місяців тому

    Huyu mwar namuita BLACK MAMBA

  • @amriharuna4236
    @amriharuna4236 4 роки тому +3

    Usiniangalie kwa jicho la Huruma

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 4 роки тому

    Kioja😁😁

  • @adijajuma4978
    @adijajuma4978 5 років тому +3

    Sukumaa ndani hao

  • @aronpaul2331
    @aronpaul2331 2 роки тому

    Amekunywa dilisha 🤣🤣🤣🤣injinia anatia huruma

  • @ericktweve5477
    @ericktweve5477 5 років тому +2

    Fyekelea mbalii

  • @ramadhanjuma1184
    @ramadhanjuma1184 2 роки тому

    Daniel mgogo

  • @emmanicko1535
    @emmanicko1535 2 роки тому +1

    NANI AMEKUNYWA DILISHA🤪😀

  • @PrissilaHussein-og3cg
    @PrissilaHussein-og3cg 11 місяців тому

    Eti amekunywa dirisha haha

  • @vitusgeraldo2282
    @vitusgeraldo2282 5 років тому

    Fyekelea mbalii hao

  • @mubarakahamis2259
    @mubarakahamis2259 5 років тому

    Nomasan

  • @amranisongoro3497
    @amranisongoro3497 2 роки тому

    Amekunywa hili

  • @hasanially9294
    @hasanially9294 5 років тому

    Nishidaa

  • @josephatjohn2390
    @josephatjohn2390 5 років тому +2

    Utakuja kuua Babuu

    • @omaryshafii50
      @omaryshafii50 5 років тому

      Alafu yule mama hana utaalam wowote

  • @robertj.4484
    @robertj.4484 2 роки тому

    Songombingo na kitimutimu make, Mzee anachachafya vumbi kabisa huyu, daaah!!

  • @keffajacob8952
    @keffajacob8952 2 роки тому

    Hivi kuna mtu anaitwa bibi tozo🤣🤣🤣🤣

    • @busnaoman9981
      @busnaoman9981 2 роки тому

      @Mtanzania Halisi ndio walewale mn unamvaa Kila anaeuliza swali hovyoo👌👌👌👌

  • @happykimaya2762
    @happykimaya2762 5 років тому

    Safi kabisa walizoea

  • @salmaiddy6059
    @salmaiddy6059 5 років тому

    Hahahaha kazimia hahahahhaaaa

  • @hamadyussuf5307
    @hamadyussuf5307 4 роки тому +1

    Mzee unawazalilisha wenzio

  • @theonlyonebeautiful3726
    @theonlyonebeautiful3726 5 років тому

    Safi uzembe umezidi Tanzania wakomeshe wote wajue nafasi zao

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 2 роки тому

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @flova7022
    @flova7022 2 роки тому +1

    Utaratibu WA kumsimamisha mtumishi haupo hivo...mwanasiasa hata mandatory power ya kumsimamisha mtumishi.. na ni udhakilishaji ambao ni kosa kisheria kufanya huo upuuzi

    • @josephatmassae7316
      @josephatmassae7316 2 роки тому +2

      Ulitaka ufwate utaratibu wa nini wakati umeharibu kazi kwa uzembe wako!!
      Labda kwa tamaa zako binafsi sasa unataka awabembeleze!!
      Ndo maana akasema wasimame kazi uchunguzi ufanyike wakikutwa hawana hatia watarudi kwenye shughuli zao!!

    • @thomasmartinez786
      @thomasmartinez786 2 роки тому +3

      Wee nae mjinga kweli hujui kitu

    • @flova7022
      @flova7022 2 роки тому

      @@thomasmartinez786 wewe ndio mjinga na hujuii... Pengine hujui sheriaa za utumishi na mipaka ya wanasiasa nenda ofisi ya utumishi kajifunze. Shida za watu msio jua sheria za utumishi omba ufundishwe ndugu yangu.usikae kusema mjinga...kumsimamisha mtumishi hadharani hiyo haipo kwenye ofisi zetu za utumishi na ni kosa la udhalilishaji..nukuu speech ya mama. Ummy avokuaa tamisemi utajuaa nachosema hususan juu ya Madiwani...pia unapaswa kujuaa mipaka na kazi ya Kila kiongozi ndio utaelewa hili

    • @hindisaidi5097
      @hindisaidi5097 2 роки тому

      Jifunze kuelewa maudhui kwanza...hapa hajafukuzwa mtu kazi , wanachunguzwa tu.bado waajiriwa lakini kasoro ziliopo "dhaahiri" ni kubwa!

    • @flova7022
      @flova7022 2 роки тому

      @@hindisaidi5097 weww ndio hujanielewa sijaandika kufukunzwa hapo.. nimesema Hana mandat ya kumsimamisha hadharani hivyo ni kosa kisheria. Kuna taratibu zake usitumie mihemko kujibu