"NAKULIPA HELA YANGU HIYO KESI NAINUNUA" RC CHALAMILA AMCHIMBA MKWARA MWENYEKITI ANAYEDAIWA KUTAPELI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 жов 2024
  • MIMI NIMFUPI WA UMBO NIKIAMUA KUZITUMIA ZOTE" RC CHALAMILA AMBANA MWENYEKITI ANAYEDAIWA KUDHULUMU

КОМЕНТАРІ • 176

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 4 місяці тому +32

    Makonda the Great ameonyesha njia asnate RC Makala kwa kazi nzuri

    • @farijala1
      @farijala1 4 місяці тому

      Huyu mbona Alikuwa anafanya sana Hii stail. Mfuatilieni Alipokuwa Mbeya na Hata Mwanza mpaka akatimuliwa . Kwa kuwaambie mkiwa na mabango ya Kero nyoosheni

    • @godiegodie1336
      @godiegodie1336 4 місяці тому

      Jerry Silaa mbona kufanya sana

    • @Syikiwaryoba
      @Syikiwaryoba 4 місяці тому

      Chalamila na sio makala

    • @selector728
      @selector728 4 місяці тому

      huyu sio makala ni Chalamila

    • @emanuelleopod3949
      @emanuelleopod3949 4 місяці тому

      Makala gani tena

  • @johnjoycemalusu4886
    @johnjoycemalusu4886 4 місяці тому +16

    Wakuu wa mikoa huu mtindo wa kusikiliza kero za wanachi nawapongeza sana MUNGU awabariki to the maximum level.
    Migogoro ya ardhi ni shida kubwa sana Tanzania.
    Endeleeni kutusaidia wanyonge.

    • @dorahmushi-we6ts
      @dorahmushi-we6ts 4 місяці тому +1

      Mikoa mingine hakujakucha?
      Tunamuona Mhshmw Makonda,
      Mhshmw Silaa na mhshmw Chalamila chini ya muheshimiwa mama Yetu mama mpenda watu, mama mwenye wannyonge na wahanga...

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 4 місяці тому +19

    Makonda 💪💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏nchi inaaanza kua tam

  • @imanuelzakayo8703
    @imanuelzakayo8703 4 місяці тому +30

    Naona makonda amewaamshaa kabisaa asante sana makondaaaa

    • @MaryShayo-tg4vq
      @MaryShayo-tg4vq 4 місяці тому +2

      Yani viongizi wanajua kazizao shida niuwoga ila makonda ndie mwamba

    • @stevenemwakasimba-pt8er
      @stevenemwakasimba-pt8er 4 місяці тому

      Huu mtindo alianzisha happy akiwa iringa makonda kufwatisha kwa kiwango cha juu

    • @ce-08
      @ce-08 4 місяці тому

      🎉🎉🎉

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 4 місяці тому +9

    Duh!!!!! Mhe mkuu wa mkowa Dar hongera sana

  • @GodfrryGabriel
    @GodfrryGabriel 4 місяці тому +2

    RC Chalamila mnyama kazi nzuri sana, nakukubali

  • @Fatuma-p9y
    @Fatuma-p9y 4 місяці тому +1

    Makonda wapili yupo pugu weeee❤❤❤❤❤ fanya

  • @saadatiyahyashabani-yg2xy
    @saadatiyahyashabani-yg2xy 4 місяці тому +14

    Duh makonda chalamila

  • @ConstanciaShangali
    @ConstanciaShangali 4 місяці тому +8

    UWIUIIIIII🎉🎉,, NDIO MA RC TUNAOWATAKA HAWA… yaani mwananchi inafikia hatua humjui RC wakoo!!! Ni hatari sanaaaa… Mamma SAMIA OYEEEEEEEEE🎉🎉❤

  • @timothymoshi5800
    @timothymoshi5800 4 місяці тому

    Mkuu, Chalamila, Asante. Aina hii ya uongozi ndiyo inafurahisha wanyonge. MUNGU akulinde Mkuu .

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 4 місяці тому +9

    Safi sana mkuu huko poa sana sana watu kutapeli 24vhour

  • @isaacorengo1404
    @isaacorengo1404 4 місяці тому +8

    Safiiiiiiii like Makonda

  • @muhambwetvonline
    @muhambwetvonline 4 місяці тому +19

    The effect of Makonda wote igeni kuchapa kazi

  • @robertlary6007
    @robertlary6007 4 місяці тому

    Congratulations RC Albert Chalamila, Kazi Iendelee 🇹🇿
    #NasimamanaSamia

  • @Joycejerad
    @Joycejerad 4 місяці тому +8

    Wapiga kura tunaona.....Mwenyezi Mungu awabariki viongozi wetu muendelee ivo ivo hata baada ya uchaguzi .....Samia ..mitano tena. ...hii imeenda

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 4 місяці тому +5

    Daah!!?.. Hivi ndivo tunavo taka viongozi kua Bhana Kule Mako Anawasha Huku Chala Anawasha yani Sasaivi Manyang'au Watazikiri Uchi Njiapanda Saba 🤲 Mungu Ibariki Tanzania Mungu Wabariki Viongozi wetu Wanao Tenda Haki Kwa Wanachi Wanaonyanyasika Mungu Wabariki Watanzania Amin

  • @paulmaganga9700
    @paulmaganga9700 4 місяці тому +1

    Hongera Makonda Kwa funzo juu ya wenzako

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 4 місяці тому +9

    Makonda Makonda Makonda, akili kubwa, unawafanya wengine wajue kazi zao. Endelea kuchangamsha nchi, wenye mamlaka wajue kuwajibika kikamilifu.

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 4 місяці тому

    Mkiwanyoosha wajumbe na wenyekiti tutaapumua. Zurma itaisha. ALLAH AKULINDE. CHALAMILA

  • @MarcoPeter-y5n
    @MarcoPeter-y5n 4 місяці тому +5

    Viongozi MUNGU Awabariki sana Katika Jina La YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai

  • @chire4574
    @chire4574 4 місяці тому +12

    Makonda ni mfano wakuigwa..

  • @amisindondi4549
    @amisindondi4549 4 місяці тому +7

    Magufuli kaonyesha njia na vijana wanatekeleza

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 4 місяці тому +6

    Chalamila una masihala sana

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 4 місяці тому +4

    Chalamila oyeeeeer

  • @kulwankuba2785
    @kulwankuba2785 4 місяці тому

    Yaani kwa Sasa ndo naweza kuangalia taarifa ya habari nikisikia silaa,makonda na charamila, Big up Sana mungu awatie nguvu na subra kwa wingi,mungu awakinge na husda,na wanafiki wote.

  • @lwitikoasa6899
    @lwitikoasa6899 4 місяці тому

    Mweshimiwa Mkuu wamkoa kazi Yako njema Sana Sana

  • @EligiaMligo
    @EligiaMligo 4 місяці тому +20

    Makonda kaonyesha njia

  • @HAPPYSULE
    @HAPPYSULE 4 місяці тому

    Nakupenda sasa chalamila mkuu wamkoa.

  • @steve-zf4tj
    @steve-zf4tj 4 місяці тому +6

    Endapo mikoa yote itapata RC kama huyu namakonda nchi yetu imepona

  • @dizzboss7526
    @dizzboss7526 4 місяці тому +9

    Huyu sasa ndo makonda namba 2 MUNGU awatunze

    • @dereva0
      @dereva0 4 місяці тому

      wanaanza kuingia system ya makonda wameanza kumuelewa sqsa

    • @HajiJuma-xw7vh
      @HajiJuma-xw7vh 4 місяці тому

      Kabisa nchi itakuwa nzuri

  • @babuuriziq3243
    @babuuriziq3243 4 місяці тому +1

    MAKONDA ROLE MODEL WAOOOO

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209 4 місяці тому

    Hongera RC Chalamila

  • @daudimwakipesile4801
    @daudimwakipesile4801 4 місяці тому

    Hongera Charamila

  • @ezehabari947
    @ezehabari947 4 місяці тому +2

    Safi sana RC kwa kuinunua kesi

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 4 місяці тому

    Kazi nzuli mkuu

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240 4 місяці тому +1

    Ongera Sana baba

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 4 місяці тому +1

    Safi sana lipa baba ,ili yeye akulipe wewe tuone kama atakukimbia😂😂😂

  • @DiniMwambashi
    @DiniMwambashi 4 місяці тому

    Makonda asante sana kwakuamsha wakuu wa mikoa tunaimani na ccm

  • @mugapro
    @mugapro 4 місяці тому +6

    Naona nchi imeanza kuchangamka

    • @mkombozifreshoil
      @mkombozifreshoil 4 місяці тому +1

      Laaa sanaaaaa...

    • @fortidaskashaigili7496
      @fortidaskashaigili7496 4 місяці тому

      Inachangamka wapi, hizi ni mbwembwe TU maana tunaelekea kwenye uchaguzi hivyo tunatekwa akili tutoe kura zetu tena, Alf hatutawaona Hawa wakifanya haya, mpaka uchaguzi mwine ufike

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 4 місяці тому +1

    Huwa vinawezekana mkiamua kuwakomalia. Wanatuumiza sana hao tuliowapa dhamana

  • @PiusNjelekela
    @PiusNjelekela 4 місяці тому

    chalamila kamua tuko nawewe piga kazi tunataka wateja haki nchini like wewe mwaaah❤❤😊

  • @abusufianijuma1224
    @abusufianijuma1224 4 місяці тому

    Natamani wakuu wa mikoa wote nchi nzima wawe na hii kazi ya kuskiliza na kutatua kero za hapo kwa hapa.kwani tutaijenga nchi katika hali haki na upendo baina ya watanzania.naipend sana nchi yetu Tanzania.

  • @nyanziratatou5404
    @nyanziratatou5404 4 місяці тому

    Wewe ndo komesha ya wezi.

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 4 місяці тому

    Utapeli Mwingi sana Tz

  • @mkombozifreshoil
    @mkombozifreshoil 4 місяці тому

    Kwa kweli jamani bila kuwa na na viongozi wakali hata haki zetu ndogo hatutapata.

  • @mkombozifreshoil
    @mkombozifreshoil 4 місяці тому

    Tulimiss sana wapiga kazi kama hawa.

  • @MalifezaMajidi
    @MalifezaMajidi 4 місяці тому

    Safisana chalamilla

  • @SAIDKAJUMULO
    @SAIDKAJUMULO 4 місяці тому

    Sio Makonda, Chalamila ameanza ziara hata kabla ya Makonda kuteuliwa

  • @emmabrownmissana6996
    @emmabrownmissana6996 4 місяці тому

    Safi Sana mkuu

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 4 місяці тому +1

    Pongezi kwako mkuu wa mkoa chalamila

  • @harunirashid
    @harunirashid 4 місяці тому +8

    Nahii ndostaili nzuri ya uwongozi

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 4 місяці тому +14

    KUMEKUCHA! WAPIGAJI MJIPANGE! SASA HUYU KAPINDA AFAZALI YA MAKONDA😢

    • @dizzboss7526
      @dizzboss7526 4 місяці тому +2

      Kabisa yeye mpk ananunua kesi😅😅

    • @abuusufian6506
      @abuusufian6506 4 місяці тому

      😂😂

    • @casperegreen3034
      @casperegreen3034 4 місяці тому

      huyu kweli noma

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 4 місяці тому

      Kibaya zaidi ni mhehe huyo shauriyenu

    • @rosehaule6765
      @rosehaule6765 4 місяці тому +1

      Tena ajali lolote chazeya chalamila wewee 😂😂uwiii ni kiboko

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 4 місяці тому +2

    Hii ndo yenyewe no kukaa ofisini msaidieni mama wananchhi. wanaonewa sana

  • @musamwambara6835
    @musamwambara6835 4 місяці тому +1

    Chanika hayo mambo yamekisiri sana

  • @evelina9621
    @evelina9621 4 місяці тому

    Makonda.hii
    Kazi.nzito

  • @fredykephacy5166
    @fredykephacy5166 4 місяці тому

    makonda na chalamila Mungu awape nguvu

  • @titokimambo1367
    @titokimambo1367 4 місяці тому

    Mh. Chalamila Mbezi malamba mawili maji hakuna mwezi mzima Sasa DAWASA wanahujumu maji malamba2

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 4 місяці тому +1

    Makonda Jeri slaa charamila nchi razima ichangamke

  • @PaulMasolwa-ir4fp
    @PaulMasolwa-ir4fp 4 місяці тому +1

    Nafikiri Magufuli hawezi kupotea tunaona

  • @HajiJuma-xw7vh
    @HajiJuma-xw7vh 4 місяці тому

    Duuh anapita njia za makonda safi sana

  • @JasminEddy-cc3tx
    @JasminEddy-cc3tx 4 місяці тому

    Kuna makonda,silaa na chalamila hawa watu jaman Mungu awalinde

  • @godlistenuriourio6114
    @godlistenuriourio6114 4 місяці тому

    Safi sana

  • @FurahaMwajeka
    @FurahaMwajeka 4 місяці тому

    Safii chalamila

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 4 місяці тому +1

    Mmfuatwa nyao za makonda.

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 4 місяці тому

    Chalamila maconda jeriiii hivi vichwa vi 3 vikiungana pamoja tanzania tuta fika mbali na rushwaaa kwaishaaa

  • @tupacthedon7104
    @tupacthedon7104 4 місяці тому

    Viongozi wameanza kuchangamshwa akili,,asanteni sanaaa maDC serikali ya mama Samia

  • @MussaKitaluta
    @MussaKitaluta 4 місяці тому

    Utapeli wa wenyeviti serikal imesababisha walipeni mishahara wenyeviti maana mmewafanya kama maumbwa

  • @leonardmulimila1632
    @leonardmulimila1632 4 місяці тому

    Nakubali

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 4 місяці тому

    Allah awape subhanallah na haki

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 4 місяці тому +1

    chalamila hamuigi makonda wote niwachapa kazi chalamila tunamjua toka akiwa mbeya enzi ya raisi wa Tanzania mwenye uchungu na wa tz

  • @SeraphineKamau-db9ty
    @SeraphineKamau-db9ty 4 місяці тому

    Jamani aje huku madale tunadai mishahala zaidi ya mwaka.

  • @samochristopherroche9953
    @samochristopherroche9953 4 місяці тому

    Mimi huwa nakuelewa sana,basi tu mama alikuvutia handbrake la sivyo ungekiwasha Dar,baba kegan nae akakiwasha Ars mambo yangenyoookaaaa

  • @LoishieMollel
    @LoishieMollel 4 місяці тому

    Mwenye nyumba kapewa ufunguo.

  • @justerissaya9165
    @justerissaya9165 4 місяці тому

    Pacha makondo ! Na wengine jmn muige mfano !! 🙏🙏

  • @mohamedkindem843
    @mohamedkindem843 4 місяці тому

    ❤❤❤❤

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 3 місяці тому

    MAKONDA AMEWAAMSHA KUTOKA USINGIZIN😢😢

  • @mahatakitengewamuninga1260
    @mahatakitengewamuninga1260 4 місяці тому

    NAUONA MZIMU WA MAGUFULI

  • @edwardmaguluko6541
    @edwardmaguluko6541 4 місяці тому +2

    Ebwana huku Dar nako kumechafukwa

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 4 місяці тому

    Msela kala milioni 2 kaogopa kusema bado laki,, deni lake ni milion 2 na laki 1

  • @renatusgasembe3338
    @renatusgasembe3338 4 місяці тому +2

    mtanunua kesi ngapi

  • @Bless-sk8uv
    @Bless-sk8uv 4 місяці тому

    😂😂😂😂😂😂 Watasema mwaka huu

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 4 місяці тому +1

    Wenye viti wajumbe wa mashina ndio wezi kuliko watu wote

  • @apostlej.rministiryprophet2219
    @apostlej.rministiryprophet2219 4 місяці тому

    KAMA MNAVYOONA WATAZAMAJI TAYARI KUAMEANZA KUCHANGAMKA 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @stanleynombwe4865
    @stanleynombwe4865 4 місяці тому +3

    So mkuu kaamua kupita na upepo wa makonda 😂😂

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 4 місяці тому

      Tunaeuhusiwa kuiga mazuri kwa mustakabari wa Tanzania yetu

  • @stephanSandika
    @stephanSandika 4 місяці тому

    Hiiii nimeipenda lkn kuwe na Sheria maalumu itakayo saidia watu kupata haki zao

  • @FestoKalenga
    @FestoKalenga 4 місяці тому

    Chalamila wewe mtu wa maana kabisa

  • @japhetisraelsmafie997
    @japhetisraelsmafie997 4 місяці тому

    Mda wa kampeni huu...hapo hakuna lolote hiyo imeisha hiyo

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub 4 місяці тому

    Matunda ya ccm hayo chukua chako mapema

  • @tembatembele5332
    @tembatembele5332 4 місяці тому

    Huyu jamaa mjanjamjanja sana tunamjua huku pugu

  • @michaelmlugu5654
    @michaelmlugu5654 4 місяці тому

    Chalamila hao wenyeviti hawakuchaguliwa ni mfumo wenu ndio matunda yenu mlioyaanzisha na magufuli wenu sasa yanawagharimu ACHENI HIZO hamtafanikiwa Arusha ni hivyohivyo Waziri SLAA hivyohivyo

  • @nadiatanzania
    @nadiatanzania 4 місяці тому

    Makonda unanimaliziaga bando kwakweli upo vizur kaka

  • @daudimwaipaja1734
    @daudimwaipaja1734 4 місяці тому

    Ila Hawa wenyeviti hatukuwachagua sisi ndio maana wanafanya wanavyotaka

  • @japhetisraelsmafie997
    @japhetisraelsmafie997 4 місяці тому

    Hizo pesa zinapatikana wapi wajameni tugawieni na sisi

  • @MalifezaMajidi
    @MalifezaMajidi 4 місяці тому

    Wengine igeni jamani

  • @musichealsTz
    @musichealsTz 4 місяці тому

    MAKONDISATION.!!!!!!

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 2 місяці тому

    Chalamila kama chalamila

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 4 місяці тому

    RC Mkoa wa Pwani naye achunguzwa kuhusubutaperinwa ardhi. Anawalonda wenyeviti wa vijiji vya Pwani

  • @NM-yl2uw
    @NM-yl2uw 4 місяці тому +1

    inaonyesha nchi jisingan inahitaji mifumo mipya na uongozi mpya CCM must go

    • @hassanamani2131
      @hassanamani2131 4 місяці тому +2

      Sasa hao si ni CCM, unataka tena waondoke wakati wanafanya kazi nzuri, kweli hatuna upinzani nchi hii

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 4 місяці тому

      Alafu aje nani sasa? Mbona mku wa mkoa anafanya kazi Nzuri tu.
      Acha kupanik

    • @NM-yl2uw
      @NM-yl2uw 4 місяці тому

      @@hassanamani2131 nani ametengeneza hayo matatizo nasawa na unatengeneza tatizo mwenyewe then unalitatua alafu unataka tukushanglie nani aliyewatengeneza hao watumishi wakawa hivyo kungekuwana usimamiz mzuri tokamwanzo haya yasingekuewpo so tatizo ni mifumo ya ccm haifanyikazi na hawa jamaa wamechoka sana wanabid waondoke ije akili mpya

    • @NM-yl2uw
      @NM-yl2uw 4 місяці тому

      @@sonnyr1899 ije mifumo mipya ya uongozi na akili mpya sio hii akili ya ccm leounamsherekama Makonda kesho akipndoka tunarudi square one, hii nchi shida sio viongozi shida ni mifumo haifanyi kazi ndo maana ata watendaji wanafanya wanavyotaka wakitaka kula rushwa wanakula, wengine wanahonga mahakaman so inabid tuwe na mifumo bora ambayo ata akija kichaa tunao uwezo wa kumdhibit na mambo yakaenda

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 4 місяці тому

    Chalamila 😂😂 umemaliza kesi vizuri ❤

  • @HuseniMsumba
    @HuseniMsumba 4 місяці тому

    NA HUYU WA DODOMA NAE AJE ASIKILIZE KERO KONDOA DC,