Huyu mbona Alikuwa anafanya sana Hii stail. Mfuatilieni Alipokuwa Mbeya na Hata Mwanza mpaka akatimuliwa . Kwa kuwaambie mkiwa na mabango ya Kero nyoosheni
Wakuu wa mikoa huu mtindo wa kusikiliza kero za wanachi nawapongeza sana MUNGU awabariki to the maximum level. Migogoro ya ardhi ni shida kubwa sana Tanzania. Endeleeni kutusaidia wanyonge.
Mikoa mingine hakujakucha? Tunamuona Mhshmw Makonda, Mhshmw Silaa na mhshmw Chalamila chini ya muheshimiwa mama Yetu mama mpenda watu, mama mwenye wannyonge na wahanga...
Daah!!?.. Hivi ndivo tunavo taka viongozi kua Bhana Kule Mako Anawasha Huku Chala Anawasha yani Sasaivi Manyang'au Watazikiri Uchi Njiapanda Saba 🤲 Mungu Ibariki Tanzania Mungu Wabariki Viongozi wetu Wanao Tenda Haki Kwa Wanachi Wanaonyanyasika Mungu Wabariki Watanzania Amin
Yaani kwa Sasa ndo naweza kuangalia taarifa ya habari nikisikia silaa,makonda na charamila, Big up Sana mungu awatie nguvu na subra kwa wingi,mungu awakinge na husda,na wanafiki wote.
Inachangamka wapi, hizi ni mbwembwe TU maana tunaelekea kwenye uchaguzi hivyo tunatekwa akili tutoe kura zetu tena, Alf hatutawaona Hawa wakifanya haya, mpaka uchaguzi mwine ufike
Natamani wakuu wa mikoa wote nchi nzima wawe na hii kazi ya kuskiliza na kutatua kero za hapo kwa hapa.kwani tutaijenga nchi katika hali haki na upendo baina ya watanzania.naipend sana nchi yetu Tanzania.
Chalamila hao wenyeviti hawakuchaguliwa ni mfumo wenu ndio matunda yenu mlioyaanzisha na magufuli wenu sasa yanawagharimu ACHENI HIZO hamtafanikiwa Arusha ni hivyohivyo Waziri SLAA hivyohivyo
@@hassanamani2131 nani ametengeneza hayo matatizo nasawa na unatengeneza tatizo mwenyewe then unalitatua alafu unataka tukushanglie nani aliyewatengeneza hao watumishi wakawa hivyo kungekuwana usimamiz mzuri tokamwanzo haya yasingekuewpo so tatizo ni mifumo ya ccm haifanyikazi na hawa jamaa wamechoka sana wanabid waondoke ije akili mpya
@@sonnyr1899 ije mifumo mipya ya uongozi na akili mpya sio hii akili ya ccm leounamsherekama Makonda kesho akipndoka tunarudi square one, hii nchi shida sio viongozi shida ni mifumo haifanyi kazi ndo maana ata watendaji wanafanya wanavyotaka wakitaka kula rushwa wanakula, wengine wanahonga mahakaman so inabid tuwe na mifumo bora ambayo ata akija kichaa tunao uwezo wa kumdhibit na mambo yakaenda
Makonda the Great ameonyesha njia asnate RC Makala kwa kazi nzuri
Huyu mbona Alikuwa anafanya sana Hii stail. Mfuatilieni Alipokuwa Mbeya na Hata Mwanza mpaka akatimuliwa . Kwa kuwaambie mkiwa na mabango ya Kero nyoosheni
Jerry Silaa mbona kufanya sana
Chalamila na sio makala
huyu sio makala ni Chalamila
Makala gani tena
Wakuu wa mikoa huu mtindo wa kusikiliza kero za wanachi nawapongeza sana MUNGU awabariki to the maximum level.
Migogoro ya ardhi ni shida kubwa sana Tanzania.
Endeleeni kutusaidia wanyonge.
Mikoa mingine hakujakucha?
Tunamuona Mhshmw Makonda,
Mhshmw Silaa na mhshmw Chalamila chini ya muheshimiwa mama Yetu mama mpenda watu, mama mwenye wannyonge na wahanga...
Makonda 💪💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏nchi inaaanza kua tam
Naona makonda amewaamshaa kabisaa asante sana makondaaaa
Yani viongizi wanajua kazizao shida niuwoga ila makonda ndie mwamba
Huu mtindo alianzisha happy akiwa iringa makonda kufwatisha kwa kiwango cha juu
🎉🎉🎉
Duh!!!!! Mhe mkuu wa mkowa Dar hongera sana
RC Chalamila mnyama kazi nzuri sana, nakukubali
Makonda wapili yupo pugu weeee❤❤❤❤❤ fanya
Duh makonda chalamila
UWIUIIIIII🎉🎉,, NDIO MA RC TUNAOWATAKA HAWA… yaani mwananchi inafikia hatua humjui RC wakoo!!! Ni hatari sanaaaa… Mamma SAMIA OYEEEEEEEEE🎉🎉❤
😂😂😊😊
Ni huzuni kwa kwel
Mkuu, Chalamila, Asante. Aina hii ya uongozi ndiyo inafurahisha wanyonge. MUNGU akulinde Mkuu .
Safi sana mkuu huko poa sana sana watu kutapeli 24vhour
Safiiiiiiii like Makonda
The effect of Makonda wote igeni kuchapa kazi
Congratulations RC Albert Chalamila, Kazi Iendelee 🇹🇿
#NasimamanaSamia
Wapiga kura tunaona.....Mwenyezi Mungu awabariki viongozi wetu muendelee ivo ivo hata baada ya uchaguzi .....Samia ..mitano tena. ...hii imeenda
Daah!!?.. Hivi ndivo tunavo taka viongozi kua Bhana Kule Mako Anawasha Huku Chala Anawasha yani Sasaivi Manyang'au Watazikiri Uchi Njiapanda Saba 🤲 Mungu Ibariki Tanzania Mungu Wabariki Viongozi wetu Wanao Tenda Haki Kwa Wanachi Wanaonyanyasika Mungu Wabariki Watanzania Amin
Hongera Makonda Kwa funzo juu ya wenzako
Makonda Makonda Makonda, akili kubwa, unawafanya wengine wajue kazi zao. Endelea kuchangamsha nchi, wenye mamlaka wajue kuwajibika kikamilifu.
Mkiwanyoosha wajumbe na wenyekiti tutaapumua. Zurma itaisha. ALLAH AKULINDE. CHALAMILA
Viongozi MUNGU Awabariki sana Katika Jina La YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai
Makonda ni mfano wakuigwa..
Magufuli kaonyesha njia na vijana wanatekeleza
Chalamila una masihala sana
Chalamila oyeeeeer
Yaani kwa Sasa ndo naweza kuangalia taarifa ya habari nikisikia silaa,makonda na charamila, Big up Sana mungu awatie nguvu na subra kwa wingi,mungu awakinge na husda,na wanafiki wote.
Mweshimiwa Mkuu wamkoa kazi Yako njema Sana Sana
Makonda kaonyesha njia
Nakupenda sasa chalamila mkuu wamkoa.
Endapo mikoa yote itapata RC kama huyu namakonda nchi yetu imepona
Huyu sasa ndo makonda namba 2 MUNGU awatunze
wanaanza kuingia system ya makonda wameanza kumuelewa sqsa
Kabisa nchi itakuwa nzuri
MAKONDA ROLE MODEL WAOOOO
Hongera RC Chalamila
Hongera Charamila
Safi sana RC kwa kuinunua kesi
Kazi nzuli mkuu
Ongera Sana baba
Safi sana lipa baba ,ili yeye akulipe wewe tuone kama atakukimbia😂😂😂
Makonda asante sana kwakuamsha wakuu wa mikoa tunaimani na ccm
Naona nchi imeanza kuchangamka
Laaa sanaaaaa...
Inachangamka wapi, hizi ni mbwembwe TU maana tunaelekea kwenye uchaguzi hivyo tunatekwa akili tutoe kura zetu tena, Alf hatutawaona Hawa wakifanya haya, mpaka uchaguzi mwine ufike
Huwa vinawezekana mkiamua kuwakomalia. Wanatuumiza sana hao tuliowapa dhamana
chalamila kamua tuko nawewe piga kazi tunataka wateja haki nchini like wewe mwaaah❤❤😊
Natamani wakuu wa mikoa wote nchi nzima wawe na hii kazi ya kuskiliza na kutatua kero za hapo kwa hapa.kwani tutaijenga nchi katika hali haki na upendo baina ya watanzania.naipend sana nchi yetu Tanzania.
Wewe ndo komesha ya wezi.
Utapeli Mwingi sana Tz
Kwa kweli jamani bila kuwa na na viongozi wakali hata haki zetu ndogo hatutapata.
Tulimiss sana wapiga kazi kama hawa.
Safisana chalamilla
Sio Makonda, Chalamila ameanza ziara hata kabla ya Makonda kuteuliwa
Safi Sana mkuu
Pongezi kwako mkuu wa mkoa chalamila
Nahii ndostaili nzuri ya uwongozi
KUMEKUCHA! WAPIGAJI MJIPANGE! SASA HUYU KAPINDA AFAZALI YA MAKONDA😢
Kabisa yeye mpk ananunua kesi😅😅
😂😂
huyu kweli noma
Kibaya zaidi ni mhehe huyo shauriyenu
Tena ajali lolote chazeya chalamila wewee 😂😂uwiii ni kiboko
Hii ndo yenyewe no kukaa ofisini msaidieni mama wananchhi. wanaonewa sana
Chanika hayo mambo yamekisiri sana
Makonda.hii
Kazi.nzito
makonda na chalamila Mungu awape nguvu
Mh. Chalamila Mbezi malamba mawili maji hakuna mwezi mzima Sasa DAWASA wanahujumu maji malamba2
Makonda Jeri slaa charamila nchi razima ichangamke
Nafikiri Magufuli hawezi kupotea tunaona
Duuh anapita njia za makonda safi sana
Kuna makonda,silaa na chalamila hawa watu jaman Mungu awalinde
Safi sana
Safii chalamila
Mmfuatwa nyao za makonda.
Chalamila maconda jeriiii hivi vichwa vi 3 vikiungana pamoja tanzania tuta fika mbali na rushwaaa kwaishaaa
Viongozi wameanza kuchangamshwa akili,,asanteni sanaaa maDC serikali ya mama Samia
Utapeli wa wenyeviti serikal imesababisha walipeni mishahara wenyeviti maana mmewafanya kama maumbwa
Nakubali
Allah awape subhanallah na haki
chalamila hamuigi makonda wote niwachapa kazi chalamila tunamjua toka akiwa mbeya enzi ya raisi wa Tanzania mwenye uchungu na wa tz
Jamani aje huku madale tunadai mishahala zaidi ya mwaka.
Mimi huwa nakuelewa sana,basi tu mama alikuvutia handbrake la sivyo ungekiwasha Dar,baba kegan nae akakiwasha Ars mambo yangenyoookaaaa
Mwenye nyumba kapewa ufunguo.
Pacha makondo ! Na wengine jmn muige mfano !! 🙏🙏
❤❤❤❤
MAKONDA AMEWAAMSHA KUTOKA USINGIZIN😢😢
NAUONA MZIMU WA MAGUFULI
Ebwana huku Dar nako kumechafukwa
Msela kala milioni 2 kaogopa kusema bado laki,, deni lake ni milion 2 na laki 1
mtanunua kesi ngapi
😂😂😂😂😂😂 Watasema mwaka huu
Wenye viti wajumbe wa mashina ndio wezi kuliko watu wote
KAMA MNAVYOONA WATAZAMAJI TAYARI KUAMEANZA KUCHANGAMKA 😂😂😂😂😂😂😂😂
So mkuu kaamua kupita na upepo wa makonda 😂😂
Tunaeuhusiwa kuiga mazuri kwa mustakabari wa Tanzania yetu
Hiiii nimeipenda lkn kuwe na Sheria maalumu itakayo saidia watu kupata haki zao
Chalamila wewe mtu wa maana kabisa
Mda wa kampeni huu...hapo hakuna lolote hiyo imeisha hiyo
Matunda ya ccm hayo chukua chako mapema
Huyu jamaa mjanjamjanja sana tunamjua huku pugu
Chalamila hao wenyeviti hawakuchaguliwa ni mfumo wenu ndio matunda yenu mlioyaanzisha na magufuli wenu sasa yanawagharimu ACHENI HIZO hamtafanikiwa Arusha ni hivyohivyo Waziri SLAA hivyohivyo
Makonda unanimaliziaga bando kwakweli upo vizur kaka
Ila Hawa wenyeviti hatukuwachagua sisi ndio maana wanafanya wanavyotaka
Hizo pesa zinapatikana wapi wajameni tugawieni na sisi
Wengine igeni jamani
MAKONDISATION.!!!!!!
Chalamila kama chalamila
RC Mkoa wa Pwani naye achunguzwa kuhusubutaperinwa ardhi. Anawalonda wenyeviti wa vijiji vya Pwani
inaonyesha nchi jisingan inahitaji mifumo mipya na uongozi mpya CCM must go
Sasa hao si ni CCM, unataka tena waondoke wakati wanafanya kazi nzuri, kweli hatuna upinzani nchi hii
Alafu aje nani sasa? Mbona mku wa mkoa anafanya kazi Nzuri tu.
Acha kupanik
@@hassanamani2131 nani ametengeneza hayo matatizo nasawa na unatengeneza tatizo mwenyewe then unalitatua alafu unataka tukushanglie nani aliyewatengeneza hao watumishi wakawa hivyo kungekuwana usimamiz mzuri tokamwanzo haya yasingekuewpo so tatizo ni mifumo ya ccm haifanyikazi na hawa jamaa wamechoka sana wanabid waondoke ije akili mpya
@@sonnyr1899 ije mifumo mipya ya uongozi na akili mpya sio hii akili ya ccm leounamsherekama Makonda kesho akipndoka tunarudi square one, hii nchi shida sio viongozi shida ni mifumo haifanyi kazi ndo maana ata watendaji wanafanya wanavyotaka wakitaka kula rushwa wanakula, wengine wanahonga mahakaman so inabid tuwe na mifumo bora ambayo ata akija kichaa tunao uwezo wa kumdhibit na mambo yakaenda
Chalamila 😂😂 umemaliza kesi vizuri ❤
NA HUYU WA DODOMA NAE AJE ASIKILIZE KERO KONDOA DC,