Wanadamu wengine bana ni tatizo. Kwaiyo kumzalilisha uyo Mtumishi ndiyo anaona bora?. Aya bana. Uzuri Makonda hana upendeleo. Mungu mkuu awape Rehema.. Amen.
Eti mapastor ,umeona wangapi,acha kuchafua watumishi wewe,kunawatu wanataka kuwadhulimu pastors kwa kuwa hawawezi na hawapendi vikesi,hata huyo binti ameumbuk sana..
Mungu akubarikisana sana makonda na familia yako na watoto.wako.amem
Uyo ndiyo Mungu wetu ni mwaminifu. Amen.
Hongera sana brother makonda una mungu ndani yako ndio maana hata maneno yako Yana hekima sana
AISE wewe makonda duh Kuna mungu ndani Yako anakuongoza
Wanadamu wengine bana ni tatizo. Kwaiyo kumzalilisha uyo Mtumishi ndiyo anaona bora?. Aya bana. Uzuri Makonda hana upendeleo. Mungu mkuu awape Rehema.. Amen.
Part 2 iko wap? Nasubiri, move tamu.
Makonda nakupenda kijana wangu
Makonda mimi ni mkenya natamani ungekua uku kwetu kenya sisi tunateseka
Hata sijui nisemeje ila makonda Mungu akupiginie
Makonda mungu akuweke
Jamaa Makonda ana Busara sana.
Aaaaaa!!! Wewe dada nimuongo jaman embu acha hizo wewe sema umemwonea wivu huyo mtumishi.
Wachungaji mashekh ndio wenye we siku hizi Allah anawaona
Huyo mama ni tapeli
unamdharirisha mchungaj we dada mwongo kwanza hauelewek
Mimi sielewi kwanini mtu anatoa sadaka ya kiwanja au nyumba wakati mwenyewe hana mahali pa kuishi😮😮
Wanao kimbilia kulia mda mwingine waongo 😂
Daaaa aisee makonda MUNGU azidi kukuweka ili tuendelee kuona kuwa magufuli bado anaishi tz
Mchungaji ni mkweli
KATIKA HAO WAWILI LAZIMA KUNA MMOJA MUONGO NA MWINGINE MKWELI
Acha kulia 😮
Pokea Baraka makonda Kwa Jina la yesu
Huyu Dada Anaonekana Ni kigeugeu
Huyu mama ni muongo anatishiya na machozi
Mchungaji unacheka nini kinafiki
Mchungaji Lipa pesa acha huuuni tunakujua
Mtu yoyote anayekbilia kulia ni muongo
Aki mapastor wamekua wauni ngai
Eti mapastor ,umeona wangapi,acha kuchafua watumishi wewe,kunawatu wanataka kuwadhulimu pastors kwa kuwa hawawezi na hawapendi vikesi,hata huyo binti ameumbuk sana..
Hekima ya suleimain iko kwa nabii makonda
Nina wasiwasi na huyo dada