RC CHALAMILA AMCHEKESHA RAIS SAMIA - ''HATA MIMI PIA ni MSANII - INABIDI MJE MCHEZE HAPA''...
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- RC CHALAMILA AMCHEKESHA RAIS SAMIA - ''HATA MIMI PIA ni MSANII - INABIDI MJE MCHEZE HAPA''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
HONGERA SSSSSSANA MH RAISI WANGU KWA KUJIACHIA URAIANI! NCHI IMETULIA KIMYAAAA!❤
Mama kapendeza 👏👏👏
Kwa kweli kutoka moyon mwangu nampenda sana Rais mama Samia SULUHU HASSAN
Ladies in publck hongera mama uko vizuri tuko pamoja unanweza
Big up harmonize
MashaAllaah MashaAllaah mama samiyaa uumependezaaa khan saa khamasaaaaa
Hata Mimi pia. Msanii
Huyo ndio Raisi Mstaarabu na ni Mama mwenye upendo Mungu Ambarik na Amkinge na kila aina ya shari
Amin
Muuza Tanganyika 😂😂
@@shinipapaya846Kauza kiasi gani, acha izo
Mama ni Mrembo Sana. Ana roho ya Upendo Kwa watu wake
Mama wawatu acheni chuki. Mama yetu habagui wa mtu wa khali yeyote penda sasa mama love sana Rais wangu. Siku zote siichoki kukuombea na sintokaa nichoke kukuombea mama yangu
Love you mama ❤❤❤
Kweli kabisa hili tukio ni kubwa nzuri nipwnda ningetamani niwepo kwa kweli
Dizeli petroli inazidi kwenda juu,maisha yanazidi kuwa. Magumu,Kila mahali upigaji tu,alafu eti anaupenda ,dah!!!!!!!!!?
Imebuma hiyo
siyo siri mama kapendeza sana leo
Kuna kuchanganyikiwa kwingi kwa viongozi wetu kwa sasa
Ki ukweli mpka roho inauma sana,,Nani anaangalia kesho ya Tanzania??? 😭😭😭😭😭Tnajenga nchi ya namna gani ??? Tutakuwa na vijana wenye uwezo wa kudhubutu kufanya mambo makubwa kwa ajili ya nchi???😭😭😭😭
Tanzania nchi yangu nakulilia sana,,umepoteza mwelekeo,, Tanzania nchi yangu unawayawaya kama kondoo walio kosa mchungaji . Ole wako Tanzania kwa sababu kesho yako ipo hatarini, huna uwakika wa kustawi tena ,tumain lako limefifia, usatwi wako umezikwa kwenye makaburi ya maiti wanaoishi. Sikia Tanzania,,usikie kutoka mashariki,na uwe makin kupokea sauti kutoka magaharibi na ujifunze Maarifa yalitwayo na upepo kutoka kaskaszini na uvute hewa iliyo toka kusini . Ndani yake Kuna maneno yameandikwa" ujitetee kwa maana watu wako wamekusaliti, miti yako ikutetee,maji, hewa, udongo, wanyama, mawe, na kila kitu kilichopo kisimame kukutetea sasa maana umebaki mpweke""
Siku ya wafanyakazi anamtuma mipango, Uzinduzi wa album yupo😅
Ndio labda siku ya wafanya kazi hakuwepo nchini na pengine iyo siku ilikua mchana na hakupata nafasi
😆😆😆😆
Hata mm pia ni msanii
Mama kaonesha ishara wa2 wakacheze mbele aone wanavo serebuka watoto wake na wajuku zake
Chalamila comedian mno asee
Makubwa hayo
Mama karibu kwenye wedding yangu, nitafurahi sana kukuona maana nayo itakuwa pambe
Chalamila huna taarifa. Mbona huyu huyu alienda kwa Sugu?
Mbona mama huwa anakwenda kwenye matukio mengi
Kwa sugu , samia alikuwepo
Haikuwa kuzindua Album.
Mbona kila siku hafla za ajabu ajabu mama kuwa siliuzi kama baba mambo ya harmonize we unaenda kufanya nini
Sio ya ajabu ajabu sekta ya michezo na sanaaa inachangia uchumi wa nchi nyingi analengo analengo la kuikuza kama diamond kodi analipa zaisi ya ml 300 kwa mwaka msanii mmoja wakiwezeshwa wengi kodi itakuwa kiasi gani
@@AllyMaya-yj3xd kwani nani kasema haiingizi. Ameshindwa kuzuia wezi wanaitafuna nchi anaharibu muda kwa mambo ya mipasho huo muda akautumie kuzuia wezi ambao wanatuibia Kodi zetu Kila siku nchi imemshida kafeli kusimamia rasilimali za nchi nchi Sasa hivi imekuwa pango la wanyanganyi huku akipoteza muda kwenye mipasho ya harmonize
UliSkia wap rais joe biden kaudhulia uzinduzi wa album ya Tyga😓😭😭😭
Mmmmmmmmmmmmmmmmmmh
@@Hussein-gx4quPole sana. Faida ya hili jambo analofanya Mama yetu siyo rahisi kila mtu kulielewa. Inahitaji mtu kuwa na mtazamo chanya wa mambo😂
Sound poor jeshi hawa managers zako wanaocontral spund wafute kaxi