RC CHALAMILA AMCHEKESHA RAIS SAMIA - ''HATA MIMI PIA ni MSANII - INABIDI MJE MCHEZE HAPA''...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 жов 2024
  • RC CHALAMILA AMCHEKESHA RAIS SAMIA - ''HATA MIMI PIA ni MSANII - INABIDI MJE MCHEZE HAPA''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 45

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 місяці тому +5

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 4 місяці тому +9

    HONGERA SSSSSSANA MH RAISI WANGU KWA KUJIACHIA URAIANI! NCHI IMETULIA KIMYAAAA!❤

  • @samwa9496
    @samwa9496 4 місяці тому +6

    Mama kapendeza 👏👏👏

  • @NurdinSaleh-jf8so
    @NurdinSaleh-jf8so 4 місяці тому

    Kwa kweli kutoka moyon mwangu nampenda sana Rais mama Samia SULUHU HASSAN

  • @SporaMrutu
    @SporaMrutu 4 місяці тому

    Ladies in publck hongera mama uko vizuri tuko pamoja unanweza

  • @juliusphaustine
    @juliusphaustine 4 місяці тому +4

    Big up harmonize

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 4 місяці тому

    MashaAllaah MashaAllaah mama samiyaa uumependezaaa khan saa khamasaaaaa

  • @diplomaticdiplomatic3931
    @diplomaticdiplomatic3931 4 місяці тому +1

    Hata Mimi pia. Msanii

  • @moddy8744
    @moddy8744 4 місяці тому +9

    Huyo ndio Raisi Mstaarabu na ni Mama mwenye upendo Mungu Ambarik na Amkinge na kila aina ya shari

  • @aminielyusufu4351
    @aminielyusufu4351 4 місяці тому +3

    Mama ni Mrembo Sana. Ana roho ya Upendo Kwa watu wake

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 4 місяці тому +6

    Mama wawatu acheni chuki. Mama yetu habagui wa mtu wa khali yeyote penda sasa mama love sana Rais wangu. Siku zote siichoki kukuombea na sintokaa nichoke kukuombea mama yangu

  • @angolina1768
    @angolina1768 4 місяці тому

    Love you mama ❤❤❤

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 4 місяці тому

    Kweli kabisa hili tukio ni kubwa nzuri nipwnda ningetamani niwepo kwa kweli

  • @peterkasonso3169
    @peterkasonso3169 4 місяці тому

    Dizeli petroli inazidi kwenda juu,maisha yanazidi kuwa. Magumu,Kila mahali upigaji tu,alafu eti anaupenda ,dah!!!!!!!!!?

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb 4 місяці тому

    Imebuma hiyo

  • @Gracemagoma-mi9ub
    @Gracemagoma-mi9ub 4 місяці тому +5

    siyo siri mama kapendeza sana leo

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda9232 4 місяці тому +2

    Kuna kuchanganyikiwa kwingi kwa viongozi wetu kwa sasa

    • @jamesloshilunye414
      @jamesloshilunye414 4 місяці тому

      Ki ukweli mpka roho inauma sana,,Nani anaangalia kesho ya Tanzania??? 😭😭😭😭😭Tnajenga nchi ya namna gani ??? Tutakuwa na vijana wenye uwezo wa kudhubutu kufanya mambo makubwa kwa ajili ya nchi???😭😭😭😭
      Tanzania nchi yangu nakulilia sana,,umepoteza mwelekeo,, Tanzania nchi yangu unawayawaya kama kondoo walio kosa mchungaji . Ole wako Tanzania kwa sababu kesho yako ipo hatarini, huna uwakika wa kustawi tena ,tumain lako limefifia, usatwi wako umezikwa kwenye makaburi ya maiti wanaoishi. Sikia Tanzania,,usikie kutoka mashariki,na uwe makin kupokea sauti kutoka magaharibi na ujifunze Maarifa yalitwayo na upepo kutoka kaskaszini na uvute hewa iliyo toka kusini . Ndani yake Kuna maneno yameandikwa" ujitetee kwa maana watu wako wamekusaliti, miti yako ikutetee,maji, hewa, udongo, wanyama, mawe, na kila kitu kilichopo kisimame kukutetea sasa maana umebaki mpweke""

  • @twalibmassea6593
    @twalibmassea6593 4 місяці тому +2

    Siku ya wafanyakazi anamtuma mipango, Uzinduzi wa album yupo😅

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 4 місяці тому +3

      Ndio labda siku ya wafanya kazi hakuwepo nchini na pengine iyo siku ilikua mchana na hakupata nafasi

    • @beatricefelix1271
      @beatricefelix1271 4 місяці тому +1

      😆😆😆😆

  • @AzoryIgnas
    @AzoryIgnas 4 місяці тому

    Hata mm pia ni msanii

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz 4 місяці тому

    Mama kaonesha ishara wa2 wakacheze mbele aone wanavo serebuka watoto wake na wajuku zake

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 місяці тому +2

    Chalamila comedian mno asee

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 4 місяці тому

    Makubwa hayo

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 4 місяці тому

    Mama karibu kwenye wedding yangu, nitafurahi sana kukuona maana nayo itakuwa pambe

  • @Jackson-Novat
    @Jackson-Novat 4 місяці тому +1

    Chalamila huna taarifa. Mbona huyu huyu alienda kwa Sugu?

  • @shmaiderkiborey5144
    @shmaiderkiborey5144 4 місяці тому +1

    Mbona mama huwa anakwenda kwenye matukio mengi

  • @LutenganoCharles-d7t
    @LutenganoCharles-d7t 4 місяці тому +1

    Kwa sugu , samia alikuwepo

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu 4 місяці тому +2

    Mbona kila siku hafla za ajabu ajabu mama kuwa siliuzi kama baba mambo ya harmonize we unaenda kufanya nini

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd 4 місяці тому

      Sio ya ajabu ajabu sekta ya michezo na sanaaa inachangia uchumi wa nchi nyingi analengo analengo la kuikuza kama diamond kodi analipa zaisi ya ml 300 kwa mwaka msanii mmoja wakiwezeshwa wengi kodi itakuwa kiasi gani

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 4 місяці тому +3

      @@AllyMaya-yj3xd kwani nani kasema haiingizi. Ameshindwa kuzuia wezi wanaitafuna nchi anaharibu muda kwa mambo ya mipasho huo muda akautumie kuzuia wezi ambao wanatuibia Kodi zetu Kila siku nchi imemshida kafeli kusimamia rasilimali za nchi nchi Sasa hivi imekuwa pango la wanyanganyi huku akipoteza muda kwenye mipasho ya harmonize

    • @mwakimedia291
      @mwakimedia291 4 місяці тому +1

      UliSkia wap rais joe biden kaudhulia uzinduzi wa album ya Tyga😓😭😭😭

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 4 місяці тому

      Mmmmmmmmmmmmmmmmmmh

    • @NDEWARA
      @NDEWARA 4 місяці тому

      ​​@@Hussein-gx4quPole sana. Faida ya hili jambo analofanya Mama yetu siyo rahisi kila mtu kulielewa. Inahitaji mtu kuwa na mtazamo chanya wa mambo😂

  • @sarahmuhammed6872
    @sarahmuhammed6872 4 місяці тому

    Sound poor jeshi hawa managers zako wanaocontral spund wafute kaxi