CHALAMILA ATOBOA SIRI SUALA LA USHOGA NCHINI HASWA DAR ES SALAAM AWAWAKIA WAZAZI WA TABATA MALEZI...
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►UA-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Wewe ni mkuu wa mkoa ambaye Nakukubali sana MUNGU azidi kukubariki kila siku katika kazi zako...piga kazi baba Nakuelewa sana
Unaufunza umma una wapa Wazazi Elimu ya Bure kiongozi wa aina yako ni adimu sana katika ulimwengu wa sasa
Safi Sana Mkuu wa Mkoa
Ni kweli ndiyo maana huwa ninakupenda unajua kupasua jipu nahisi ulisema ulifaulu Biology.
Big up mzee baba
ivimkuu nguvu inayo tumika kuzibiti wapinzani je ingetumika kwenye kuzibiti ushoga msingefanikiwa?
Washoga meaning British people living in Tanzania ✌️
Anakuelewa sana mkuu wa mko wangu
Ni kweli kabisa jamani
Huyu cheka tuu imzingatie 😂😂😂
Naam Dar imeoza kwa watu wanaokula vinyesi vya binadamu wenzao na kuvichezea. Ingawa tabia hizo zimekubuhu sana hasa mikoa ya Pwani tangu enzi za uhuru na sasa zimesambaa kwa kasi bara kwa sababu ya mwingiliano wa watu. Mikoa ya Pwani ni kama utamaduni kufanya huo uchafu ushetani tena mpaka kwa jinsia zote.
Acha uongo wewe hakuna kabila lolote la pwanì lenye utamaduni wa ushoga ,hakuna hata moja.Masuala ya ushoga yaliletwa na wageni hasa maeneo ya mijini,labda utumie kigezo kwamba mikoa ya pwani imekuwa na muingiliano mkubwa na wageni tangu miaka mingi iliyopita ndio maana ilianza kuathirika mapema.Lakini ukisema ni utamaduni huo uongo.
Arusha inaongoxa kwa huu uchafu
hilo suala la mzazi achangie pesa kwa ajili ya waalimu wa ziada, haija kaa sawa kidogo. Kodi hazitoshi? Makonda's tuition required
Jamani mkuu lazima waweka sawa
Mtu akiwa shoga mlio tu wa bomu lazima utumbo ukose mawasiliano ataharisha tu😅
Nnueni mashangingi kila mwaka, mnashindwa kununua chakula shuleni, viongozi wote,mlikua mnakula shule, serikali iliwalipia fedha
Serikali imeshimdwa kutatua tatizo la ajira. Sioni haja ya kuwakazania watoto shule tu, serikali ianzishe miradi iwekeze vijana wapate ajira.
Pole mkuu MUNGU awe nawe kamata wote TUKO nawe
Baba akilawiti watoto wa wenziwe na yeye hata akifa akiacha watoto wadogo watalawitiwa tu. Na wanaolawiti na wao walilawitiwa utotoni mwao kama hujalawitiwa huwezi kulawiti. Huu mchezo unazunguka chunguzeni mtanikubali.
Mkuu wa mkoa unakuwa mbabaishaji serikari.ishindwe kuajiri sembuse mwañanchi.Ccm mmezoea kufeli,shule zenu za ccm ( wazazi) mmeuza.Jmn tunawafahamu wengine mlikuwa walimu wa shule hizo.
Wanaume na watoto wa kiume ndio wakufaliki mkuu?????😂😂
Leo mnatutukana walipa kodi
Hela zote za bajeti mnakula halafu leo unahutubia wazazi kuchangia mmh Huna hata aibu
Serilali inajitahidi kutoa pesa ambazo ni kodi za wanainch kwa ajiri ya huduma za wananch mnakula tu huku mnahutubia kuchangisha wazazi yaan unayoyaongea unatafakari kweli..!?