WENGI HAWAFAHAMU KUHUSU JINI MAHABA ,PASTOR SUNBELLA KYANDO
Вставка
- Опубліковано 12 чер 2020
- #SunbellaKyando #RealityofChrist #RocTv
Somo hili linaelezea ni jinsi gani Jini mahaba linaweza kuharibu maisha yako kwa namna moja ama nyingine,pia watu wengi wamekuwa wakiishi na vifungo au jini mahaba pasipo wao kujua
Asante Yesu kwa kuniponya, wakati Mtumishi wa Mungu anaomba nimesikia kama moto kwenye tumbo la uzazi. Naamini Mungu katenda jambo kwenye maisha yangu.
Thanks u Jesus
Wakat mtumishi anaomba nilisikia mwili unatetemeka Asante yes najua kunakitu kimetendeka ubarikiwe Sana mtumishi ameen
dawa please
Asante Mungu wangu kwa kuniweka huru siku hii ya leo, wakati mtumishi wako alipokua anaomba kuna kitu nmekihiss kwa mwili kimetoka kinapaa, pia nmevua pete zote na nmepiga nduru kupitia hayA maombi na imani nmekombolewa katika jina la yesu, jini mahaba hana nafasi tena katika mwili wangu🙏🙏🙏
Asante Yesu kwa kuniponya na kuniweka huru tena 🙏.
Wakati mtumishi wa Mungu anaomba nikiwa nimeshika kidole cha pete, nimeskia tumbo linacheza kisha nikakakamaa mwili kwa dk hv hlf ghafla nikarud kwenye hali yangu ya kawaida. Naamini nimepokea uponyaji kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth aliye hai.
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu 🙏
Wakat unaomba nimehisi kitu kinatoka kupitia mgongo .......asante Yesu nmekuwa huru sasa kwan mi ni binti wa miaka 20 nmekuwa nkisumbuliwa na hamu ya kuangalia ponography mara kwa mara na nikijaribu kujizuia nashindwa lakin kwa sasa nmepona na niko huru kwa jina la Yesu wa nazaleti aliye hai
...Amen
Tangu niaze kukanyaga madhabah hii nimekutana na deliveries Zaid ya mbili now Niko ok Mungu amenifungua na soon naleta sadaka ya shukran na kusema vile nilikua na Sasa...
@@pamelanyamko5293 panaitwaje nahitaji Kwenda
@@pamelanyamko5293 Mtaa Gani
Nashukuru kipindi unaomba chuchu ilikuwa ikiwasha na kidole cha Pete kimewasha mpaka Sasa naamini nimepona Amina
Mungu akubariki sana PASTOR tunapona kwakweli kupitia wewe maana tuko nchi za nje kanisa letu ni hili .
Amina🙏Asante Mungu kwa kunikomboa na kunifungua!!!Asante Mtumishi wa Mungu kwa kunifanyia maombi🙏Sifa na utukufu ni kwako tu Bwana Yesu🙏
Mtumishi wakati unatuombea Mungu kanitendea hao majini mahaba waliokua wakinitesa kwa mda mrefu wameniachia kabisa na wameteketea kwa damu ya Yesu katika Jina last Yesu sawasawa na ulivyoomba na ninajisikia kua mwepesi sana saga na mwenye amanita na furaha tofauti na mwanzo🙂Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏
I feel fire all over my body and I trust that God has delivered me from these spirit husbands... glory be to God Almighty...Amen
I felt a burning sensation in my chest. Thank you Jesus I'm free😊
I feel instant healing all of my Body thank you God bless you abundantly.
Asanteee nimefuguliwa maana vitu vilikuwa vinatoka vidoleni Bwana Yesu Apewe Sifa
Nimesikia nguvu ya Mungu.. I declare that I am a free woman.. and blessed 🙏🏽
Nimejisikia kuvurugika sana kwa mwili wote, nakutokwa machozi kulia kwa chini chini. Asante Mtumish kwa jina la BwanaYesu. Amen
Hata mm nmeshindwa
Naamini kuwa niko huru, na majini mahaba wameniachia, asante mtumishi wa Mungu sunbella kyando. Asante Mungu Baba kwa kuniokoa
Asante yesu nimefunguliwa kwenye kifungo cha kuangalia ponography na kuwaingilia wengine kinyume cha maumbile
Thank you man of God. I believe that I am free indeed in the Mighty name of Christ Jesus of Nazareth. God bless you and strengthen you in His ministry.
Asante Yesu nimini nime funguliwa kupitia mt. Wako maana nime jikuta natetemeka sana na nime piga kama miayooo kisha nika kohoa sana alafu chamwisho nime toa ute mdomoni mwangu asnte sana Yesu kupitia Roho mtakatifu kwa mt. Wako Amen
Asante Mungu,nimeenda chooni ule mzigo nilioutoa ni mkubwa sana naamini Mungu amenifungua
Bless be upon you man of God..I testify today I connected on this prayer I have delivered from this bad spirit I have settled free by blood of JESUS.
Mungu amenifungua kwa damu ya Yesu nimeuona mkono wa Mungu..Nimekohoa na kutetemeka wakati wa Maombi haya.Nakushukuru Mchungaki Namshukuru bwana Yesu kwa damu yake nimekombolewa.Amen
Asante sana Bwana Yesu nimefunguliwa, nilisikia nguvu za ajabu kwenye kidole changu cha pete mpka nikavua pete yangu ya ndoa, nimepiga mihayo mingi sana na miguu imewasha sanaaa, namshkuru Mungu nimefunguliwa, ubarikiwe sana Pastor Sunbella. Asante sana.
Heh nimefuguka katika jina la yesuuuuuu Amen!!! Kweli wewe You are a man of God and anointed.!!!! God bless your ministry 🙏
Asante Mungu nimefunguliwa wakat Mtumishi unaomba nimesikia vitu vinatembea kichawan na kuniachia. Asante yesu I’m free and competent delivered
Thank you for such an eye opening revelation
Thank you Jesus for this delivery
Wakati wa maombi nimelia Sana nilikuwa nasikia koo linauma nimetokwa jasho mno na kutema mate namshukuru Mungu nimefunguka
From Kenya I feel relieved man of GOD am free thank you Jesus
Mwili wangu umesisimka kwanzia juu mpka chini..alafu nikaanza kupiga miayo mingi,,, thank u Jesus I'm Free
Amina Mtumishi Mungu akubariki nipo iringa mafinga nasumbuliwa sana nahaya madudu Bwana Yesu aniponye
Ninashukru saana mungu kwa maombi yako mtumishi maana wakati unaomba kuna kitu kilikuwa kinanikaba na mate mengi mazito yametoka naamini nimefunguliwa mungu akubariki.
Amen amen. Naamini niko huru sasa Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Thnx pastor, God bless you,by Ramso,manyoni,singida.
Amina baba nimefunguliwa leo kwenye hiki kifungo hakika nimemwona Bwana akitenda kwangu
Nimewekwa huru wakati wa maombi nimesikia kitu kimeniachia na nikasikia uchangamfu na uhuru ndani yangu Asante YESU kwa ukombozi .MUNGU akubariki dady bella 🙏🙏🙏
Wakati wa maombi kifua kulikuwa kinabana, na nimetapika, namshukuru Mungu nimefunguliwa
Asante kwanza kwa message yako mchungaji nahisi nimefunguliwa ,na nimeona maana nilikua kama kipofu na maombo yamevunja ngome ya wovu ambayo ilikua imeniteka nyara ,na hili liwe somo kwa wengi ,kwa kuwa yote ulioyazungumuza yamenipitia kila nikiota na lala nahuyu jini ,najua mambo hayaendi sawa na maranyingi imekua changamoto kwangu kwenye maswala ya mahusiano ,Asante mchungani kwafundisho lako Zuri Mungu akubariki saana
Amen pastor I feel delivered be bless
Praise be to God.Thank you Mtumishi for the teachings and prayer
Asante sana Mungu Baba kuniweka huru kwa njia ya Yesu Kristo aliye hai. Wakati wa maombi nyayo zimewasha na nimepata wepesi sana. Barikiwa sana Mtu wa Mungu kwa huduma. Amina.
Wakati wa maombi nimepiga sana miayo..naamini Mungu amenifungua.Amen 🙏
Shallom baba nimeangali leo ila nimeriact nimepita sana kelele na nikawa nataka kukimbia nimepona kwajina la yesu kristo Amen asante sana baba
Amina ubarikiwe mtumishi
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu. Nimetapika wakati unaomba. Asante Yesu🙏🙏
Amen nimefunguliwa kwa jina la Yesu Kristin... wakat mtumishi unaomba ulipofika hatua ya kuhesabu nimetetemeka mpk meno yakawa yanagongana nikaishiwa nguvu Mungu ametenda
Naitwa lulu namshukuru mungu mtumishi wa mungu alivokuwa anaomba nikawa nahisi Kuna vitu vinatoka mwilini.
Asantee sana baba kwa huduma yako naamini nmepokea .maana nlishawahi kuota ndoto nafanya mapenzi nkiwa advance na sasa npo chuo.lakin ndoto haijawah jirudia tena.Mungu akubariki sana
Pastor nlikuwa napiga miayo zaidi ya mara 2 nina Imani Mungu ameniweka huru katika jina la Yesu,amina
Namshukuru Mungu nimefunguliwa nitaendelea kuangalia mpaka kieleweke
Shaloom, wakati unaomba na kushika kidole nimepiga kelele, nimerusha mikono, mwili mzima umetetemeka...Mungu akubariki sana mtumishi Kyando.
Thank God . I feel healing Power
Ufunuo 12:11. Napenda kumshukuru Mungu kwa kuwa mchana wa Leo nimefunguliwa kwa kusikiliza maombi haya kwa Imani.
Mungu kaniponya nami wakati unaomba midomo yangu ilikua inacheza kwa namna ya ajabu na kidole changu cha pete nimekivuta san namshukuru Mungu wa madhabahu hii ni wakati wangu wa kupata mume nimetesek san na mandoto haya Mungu akutunze baba
Asante,mtumishi wa mungu ,nimefunguliwa,ubarikiwe sana,kweli mungu ni mwema na hana umbali
Amen nmekombolewa Sasa kupitia maombi haya naamini katoka jina la Yesu kirsti aliehai, kwa uwezo wa Mungu na maombi haya kunakitu kimetoka ndani kwangu mda anaomba pastor kunakitu kimetoka ndani kwangu.
Nimesikia baridi mwili mzima barikiwe sna mtumishi
I am derived in Jesus , thanks pastor
Nimefunguliwa kwa jina la Yesu niko huru ahsante Yesu. Hakika Mungu amekutumia mtumishi wakati unaomba kuna vitu nimevisikia mwilini na nimetema mate. Ahsante Yesu kwa kuniweka huru.
Amen I get delivered 🙏🙏
Wakati wa maombi nilijisikia kutetemeka mtume Asante mungu akubarik
Asante pasta katika Jina la yesu nimefunguliwa mm nilikua nikiota ndoto usiku nikiwa nafanya zinaa na mtuu ninae mjue au nisie mjua naamini katika Jina LA yesu nimeokolewa na pepo limetoka amini🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante YESU kwakuniweka huru hyo roho imenisumbua kwa mda mrefu Sana huu mwaka wa saba nimepiga miaya Sana Hadi mafua yakawa yananichuruzika jama maji
Ubarikiwe mtumishi wamungu.nakufata kutoka Kigali Rwanda.ili nimeyagunduwa mengi kwa maisha yangu.ivi nitajitaidi kuja Tanzania nikuone ukaniombee nateseka saaaana.mungu akulinde tena
Asante mtumishi ulivyokuwa unaomba mwili ulikuwa unatikisika na kulia Sana naimani kubwa Sana huyu kiumbe hatofanya kwangu ndio makazi yake na kunitesa nimepokea uponyaji Amen
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu sana nimefunguliwa Mimi nipo huru niliona kabisa mwili ukiangaika na pia nilivyo maliza kusali nimenena Kwa lugha na sijawahi neno Kwa lugha nikiwa nyumbani Mungu mwaminifu amenifungua ubarikiwe mtumishi wa Mungu
I got delivered....glory to God🙌
Jambo waamini wa BWANA. Miminilisikiya kidole cha pète kinawasha,na bas ventre na kiuno,asante papa pasteur.naamini nimefunguliwa kwa jina la YESU CHRISTO
Amen UKWERI Ni kwamba Mungu amefungua yaliyo MENGI na kutenda miujiza SMG TV online nashukulu mtumishi wa mungu
Asantee Yesu na shukuru nimepokea na nimefunguliwa nimetengwa mbali kama mashariki ilivo mbali na magaribii jini mahaba halina nafasi Tena kwangu jina la Yesu limeinuliwa juu🙏🙏
Nakufatilia sana Pasta nateseka nipo iringa mafinga natamani Mungu anisadie nifike dar tuonane
Asante Mchungaji nimefunguliwa kwa damu ya YESU...ubarikiwe Sana.
Namshukulu Mungu kipindi unaomba mwili wangu ulipata joto sana na jasho kunitoka ubarikiwe nimepokea na nimefunguliwa,Amen.
Asante mtumishi wa Mungu wakati unaomba Mimi nimepiga Sana miayo naamini Mungu amenifungua..Mungu akubariki
Amina nimepokea uponaji ..Asante Yesu
Asante mtumishi mungu akubarik Sana Kwa maombi
Namshukuru Mungu kupitia maombi haya nimeona nguvu kubwa ya Mwenyenzi Mungu imenishukia Naamini nimefunguliwa Kwa Jina la Yesu Kristo wa nazareti alie Hai
amen thanks
Nilisikia tumbo limenibana na nilikuwa nahema kwa haraka sana naamin mungu amenifungua na nimepona kwa jina la yesu amina
Ninambariki Mungu WA mbinguni katika jina la YESU Kristo wa Nazareth ulipokua unaomba nimefunguliwa...pia Mungu akubariki Sana Kwa sababu huku you tube hakuna mafundisho ya namna hii ambayo yatafungua watu wengi zaidi Mungu akubariki Sana
Mtumishi Bwana Yesu asifiwe,wakati napita kwenye UA-cam nkakuta na somo ulilofundisha kuhusu jini mahaba,nmefuatilia somo kwa makini na dalili ulizozitaja mojawapo ninayo...na pia nmemaliza chuo miaka 13 iliyopta nkiapply kazi naitwa kwenye intervw lakn cjawah kuvuka had leo nmeolewa,wakati wa maombi nmepiga miayo naamin Mungu amenifungua kwenye hcho kifungo na ntaenda kupata kazi,barikiwa sana mtumishi.
Pole Sana kaka
Amen, Asante Yesu wangu kwa KUNIFUNGUA!!!, kiukweli najiskia kama kitu kimeachia mwili wangu kabsaa, na wakati wa maombi nimetapika na pia kuna mda yalikuwa yanaongea kusema ntaolewa yakasema hadi wakati na mwezi
Asante kwa kufunguliwa mtumishi
Asante Bwana Yesu Kristo. Naamini nimefunguliwa sasa. Wakati ukiomba, nilihisi msisimko Wa mwili mzima.
Asante Sana pastor hakika wakati unaomba sauti kubwa imetoka na pia nimeeza kusikia nikama naona Giza asante Sana aki
Asante Yesu umeniokoa nimetetemeka sana kudondoka wakati mtumishi wa Mungu anaomba kwa imani nimefunguliwa thankyu Jesus
Amen naamin mungu aliehai amenifungua na mm leo
Asante Yesu kwa kuniokoa,asante Yesu kwa kuniokoa Nimeokolewa na kufunguliwa leoo Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Asante Yesu namshukuru Mungu wakati mtumishi akiomba nimehisi kuishiwa nguvu na kulegea kabisa nina imani Mungu amenifungua ahsante sana mtumishi
Asante Kwa maombi mtumishi...nimefunguliwa Kwa jina la YESU kristu.Amina
Amen, I'm free now
Nimefunguliwa katika jina la Yesu Kristo
Amina niwakati wangu wakumshukuru MUNGU alie nisaidia kupitia mtumishi wake wakati wamaombi nimeponywa nimeteemeka,nimepumuwakwa mhemo,nimeanguka, mungu amenisaidia ubalikiwe mtumishi wa mungu
Asante pasta niko huru usiku huu waleo nilikuwa nikisumbuliwa na huyo jini na amenisumbua zaid ya miaka saba nawakati ulipo sema nishike kidole changu cha pete ulipo anza kuomba nilihisi nguvu zamungu ndani yangu
Praise the lord am free dady nmejikuta kama navua pete uku natetemeka pia wakati naanza kuangalia hii clip tumbo lilinkamata nkaenda kuharisha Mungu ni mwema
Asante kwa kila jambo🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Asante Mungu nimefunguka kabisa hiyo ndoto imenisumbua sana
Asante mtumishi wa Mungu najisikia huru
Asante Yesu kwa kunifungua na kuniweka huru,wakati unaomba nimesikia Hali ya kushushwa mzigo mzito na baada ya hapo kusikia wepesi,Mungu akubariki mtumishi
Amen 🙏 amen 🙏 amen 🙏 Nimesikiya ufungulivu kabisa Asante Asante YESU
Ulipokuwa ukihomba nilisikiya moto ndani ya mwili wangu na tumbo kama vitu vinanihachiya Amen amen 🙏 amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥
Ameeen ubarkiwe sana mtumishi wa Mungu
Am free from every evil spirit from tonight I'm Jesus name.Amen.
Ameeeeen 🙏 napokea uponyaji mtumishi
Very true
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu