Uelewe ulimwengu wa Roho Ufanikiwe katika Maisha III

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 лис 2018
  • NI MUHIMU SANA KUFAHAMU ULIMWENGU WA ROHO ILI UFANIKIWE KATIKA ULIMWENGU MWILI, KWANI VITU VYOTE UANZIA ROHONI NDIPO HUTOKEA MWILINI.-MTUMISHI WANGU SUNBELLA KYANDO.
    PIA UNAWEZA KUTUPATA KUPITIA NAMBA YA SIMU +255657173322

КОМЕНТАРІ • 51

  • @amaniipatrokil4214
    @amaniipatrokil4214 Місяць тому

    MUNGU wa mbinguni akubariki saaana mtumishi wa MUNGU aliehai umekuwa baraka saaana kwangu kupitia mafundisho unayotupa watoto wako, natamani saana kukuona ila nipo rombo Kilimanjaro na cjajua nitawezaje kukufikia mtumishi wa MUNGU 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @viviankuzilwa3556
    @viviankuzilwa3556 18 днів тому

    Wow what knowledge?!so profound ,Asante Yesu. “Kwa kinywa chake mtu asiyemwamini Mungu humwangamiza jirani yake, bali kwa maarifa mwenye haki huokolewa.”
    ‭‭Mithali‬ ‭11‬:‭9‬ ‭NEN‬‬

  • @angeljoseph4666
    @angeljoseph4666 Рік тому

    Amen

  • @MJSTV-up7xd
    @MJSTV-up7xd Рік тому

    Mtumishi Asante Sana nakufuatilia kutoka DRC.Congo

  • @magdalenapaul9846
    @magdalenapaul9846 Рік тому

    Asante mtumish Mungu akutunze zaid

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 2 роки тому

    Amina asante sana pastor natoka kwa Kasi ya ajabu

  • @esthersikuli794
    @esthersikuli794 2 роки тому

    Asante minister Sunbella

  • @viddamgeneka-fo9fp
    @viddamgeneka-fo9fp Рік тому

    Yaanii Sunbellaa!

  • @paulmwangi294
    @paulmwangi294 Рік тому

    I need to access spiritual realm through the holyspirit in the name of Jesus Christ .

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 11 місяців тому +1

    SASA NIMEELEWA KUMBE KUNA TOFAUTI KUBWA KATI YA VIONGOZI WA DINI NA WATUMISHI WA MUNGU, BABA UBARIKIWE MNOO

  • @esaiehakizimana5783
    @esaiehakizimana5783 2 роки тому +1

    Nashukuru Paster Soumbera Mimi ni mutumishi wa Mungu nimeandariwa n'a Mungu gupambana vitæ za Mungu nahitaji maombezi Yako nipate mafuta ya kazi ya Mungu yani Uwe muzazi wangu wa kiroho nina mwito wa kazi ya Mungu ukiomba Mungu atakuonenesha kazi Yake Mungu ndani yangu

    • @EK-kp2np
      @EK-kp2np 2 роки тому

      Soumbera❌ Sunbella✅

  • @judithpraisesmusic
    @judithpraisesmusic 2 роки тому

    amina

  • @angeljoseph4666
    @angeljoseph4666 2 роки тому

    Asante Mungu nimejifunza kitu kizuri sn,siendi Tena kwa waganga

  • @aloycelusungu1322
    @aloycelusungu1322 3 роки тому +1

    Minister. Sunbella the value of your teaching is more than Gold

  • @ModesterJackson-g8r
    @ModesterJackson-g8r 14 днів тому

    Hii inahitaji ufunguke kiroho

  • @janekalondu4633
    @janekalondu4633 2 роки тому

    Amen..I learn alot..God bless you soo much pastor

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 5 років тому +1

    Tuko pamoja Asante sana kwa hili Somo Mungu akubariki sana

  • @kakadkarima2448
    @kakadkarima2448 3 роки тому +1

    Mtumishi wa Mungu barikiwa sana. leo nimesikiliza somo la uelewe ulimwengu roho ( Nov 2018) bado lina moto na nguvu sana. Wewe ni mwalimu mzuri sana.

  • @elinamushi1556
    @elinamushi1556 2 роки тому

    Mungu akubariki sana mtumishi

  • @ostazclassic3370
    @ostazclassic3370 5 років тому

    Mwenyezi mungu akutangulie sana mtumishi 👈 namimi nibariki pia ili niamini Kama unaniona mchungaji🏃

  • @liliankeyabaraka8195
    @liliankeyabaraka8195 Рік тому

    Amen 🙏

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 2 роки тому

    Amen mtumishi

  • @bukeyegunaguje2524
    @bukeyegunaguje2524 2 роки тому

    Asante Roho Mtakatifu!!!!

  • @rachelandrew5588
    @rachelandrew5588 5 років тому

    Amen unanibariki Sana mtumishi ubarikiwe

  • @eliudmsey7925
    @eliudmsey7925 5 років тому +1

    Amen somo Zuri kabisa

  • @irenefrank2644
    @irenefrank2644 3 роки тому

    Mungu akuweke akupe uzima dady 🙏

  • @christopherkalinga3358
    @christopherkalinga3358 5 років тому

    Mungu ni mwema

  • @mwinjilisti.wayesu6196
    @mwinjilisti.wayesu6196 5 років тому

    Mbarikiwe wateule

  • @yusuphkayoka5452
    @yusuphkayoka5452 5 років тому

    Aksante, somo zuri.

  • @umubyeyileila863
    @umubyeyileila863 2 роки тому

    mutumishi mungu akubariki sana, rakini tupe siri vizuri, sasa ju tubaki kuco turico umbiwa inatubidi tufanye nini tupe siri nasisi na ubarikiwe

  • @farajasiame1053
    @farajasiame1053 5 років тому

    Thanks we learn it

  • @ezrommkambati1554
    @ezrommkambati1554 5 років тому +2

    Kuanzia leo kila kitu naanza kupambana katika ulimwengu wa roho

  • @bensonpaul3672
    @bensonpaul3672 4 роки тому

    Kila siku nahitaji kujifunza zaidi, ,Mungu akubarikia Mtumishi.

  • @esaiehakizimana5783
    @esaiehakizimana5783 2 роки тому

    Nahitaji unifungue ngombo zote nimutumikiye Mungu wa Yesu Kristo nikiwa hutu kabisa

  • @marianakapeller4699
    @marianakapeller4699 2 роки тому +1

    We thank God for you, imagine jinsi elimu ya ulimwengu wa roho ilivyonibariki mimi, baba mchungaji endelea kuchunga kondoo wako

  • @collinslyimo8095
    @collinslyimo8095 3 роки тому

    Ameeen

  • @samuelmdota8452
    @samuelmdota8452 5 років тому +1

    pastor tunaomba namba yako tafadhali .

  • @meshackmanofgod8151
    @meshackmanofgod8151 2 роки тому

    Naitwa meshack ni dreva wa shabiby nakufuatilia sanaaa mtumishi wa mokozi

  • @ezekiaaliko1015
    @ezekiaaliko1015 5 років тому

    Majini mahaba yanawezaje kufanya mapenz na binadamu ikiwa wao wapo kwenye ulimwengu wa roho?

    • @yusuphkayoka5452
      @yusuphkayoka5452 5 років тому +3

      ezekia Aliko Majini huvaa mwili ktk ndoto, Na kitendo uonekana ktk uhalisia,baada ya kujikuta umelowa.

  • @makaramayatibamrmichaelkih3683
    @makaramayatibamrmichaelkih3683 5 років тому

    Kwanini huwa hatujitambui tukiwa ulimwengu wa roho

    • @hassanbukambu931
      @hassanbukambu931 Рік тому

      Utajitambua ukiwa umelala Kwa njia ya Ndoto na pia ukitaka uishi Moja Kwa Moja kabisa omba maombi ya maneno ambayo utaona matokeo Yake ndo kuutawala unatamka kitu kinatokea ni Moja ya kuumiliki

  • @shabansalum9283
    @shabansalum9283 5 років тому

    unajitaihidi ila unajichanganya kimaelezo

    • @ezrommkambati1554
      @ezrommkambati1554 5 років тому +5

      Pole sana Shabani kwani nyuma yako namuona shetani akihusika kwa siri sana

    • @ezrommkambati1554
      @ezrommkambati1554 5 років тому +3

      Kwa jina la Yesu na akuachie

    • @irenefrank2644
      @irenefrank2644 3 роки тому +1

      Ww muislam kuelewa ngumu angeongea shekhe ungemuelewa

    • @georgebugangazpoa4975
      @georgebugangazpoa4975 2 роки тому +1

      Pole majini yanakusumbua yameshikilia ufahamu wako unachotakiwa sasa ni uombewe tu majini yaachilie ufahamu wako hakuna namna ingine zaidi ya jina la YESU KRISTO NDIO likufungue

  • @granceneema772
    @granceneema772 2 роки тому

    Amen

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 5 років тому +1

    Tuko pamoja Asante sana kwa hili Somo Mungu akubariki sana

  • @jeannettefuraha854
    @jeannettefuraha854 2 роки тому

    Amen