Hekima yako ya mafundisho yako ni zaid ya dhahabu, lulu na almasi za dunia hii maana yangu ni kua n kitu cha thaman mnooo ambacho Mungu amekubarikia na hakika u mfano bora wa kuigwa na huo unyenyekevu ni silaha tosha ya kuilinda ndoa yako. Nabarikiwaaa sana na ningependa wanawake wajifunze na kuiga kutoka kwako mtumishi wa Bwana.
Hekima yako ya mafundisho yako ni zaid ya dhahabu, lulu na almasi za dunia hii maana yangu ni kua n kitu cha thaman mnooo ambacho Mungu amekubarikia na hakika u mfano bora wa kuigwa na huo unyenyekevu ni silaha tosha ya kuilinda ndoa yako.
Nabarikiwaaa sana na ningependa wanawake wajifunze na kuiga kutoka kwako mtumishi wa Bwana.
Hongera sana kwa huduma hii ya kipekee mno. Mungu akubariki
Well said mama
Hakuna jina la mama mchungaji kwa biblia nzima wala hukana mama mtume ?na kiwahalisia mama mchungaji ni mama ake mazazi
Amina. Well said