Mwenye sikio la kusikia na asikie ujumbe huu wa Bwana. Mimi nimesikia na kutii. Naomba Mungu anisamehe kwa niliyoyafanya kimakosa. Ninatubu sasa na kumrudia Mungu aniongoze hapa duniani na hata atakaponichukua mbinguni nikae naye milele yote. Amina.
Ahsante sana kwa ushuhuda wako. Nilionywa pia juu ya kupaka piko na kubadilisha nywele zangu rangi. Ni makosa kumtoa Mungu makosa kwani nywele nyeupe ni yeye huwa anatupa.
Shida so kupka piko,shida Ni hiyo piko uliyopaka ilikuwa na nguvu za kuzimu.Shukuru Kuna walikuwa wanakuombea.Simama Sana na Mungu katika Roho na kwel.Ni mkono wa Mungu ulikuchomoa walikokuwa wamekuchua.Sio kufufuka,Yesu tu ndiye alifufuka
Ashukuriwe Mungu kwa ajili yako Mungu alivyokuokoa kwa Neema yake kuu hata ukaweza kutufikishia ujumbe huu muhimu kwa Binadamu wote. Mimi nimeokoka nampenda sana Yesu lakini nilikuwa bado napaka piko. Ujumbe huu umekuja kwa ajili yangu na sitajipaka tena piko. Uzuri ni wa kumjua Mungu na si wa kujipendezesha mwili huu wa udongo ambao hautamwona Mungu bali Roho yangu iwe salama mikononi mwake. Ubarikiwe sana Dada yangu. Mungu akuzidishie Neema.
Muhimu ni tujitahidi kuacha Madhambi Tumuabudu mola wetu,Madhambi ni mengi sana hata ukiatafakari sioni wa mbinguni hata mmoja,Ila ajuaye zaidi ya yote ni Mungu.wanadamu hakika tuko kwenye pazia
Nisamehe Mungu wangu kama ulivyomtendea HUYU mama nitendee na mimi. Kwani nimekukosea kwa mengi hta Kwa kubadili nywele rangi ujumbe umenigusa sana niurumie Mungu wangu
😭😭😭😭😭Asante Sana Kwa huo ujumbe nitatubu na ninajua Mungu atanisamehea, Kwa maana simu nimejaribu,kujinyonga pia,na hata ajali,Bwana wamajeshi azidii kuinuliwa❤❤
Asante kwa ushuhuda na MUNGU Yehova Asifiwe kwa kukutosha mbali.Habari za mtoto aliyezaliwa Mungu Muumbaji wa vyote awabariki katika jina la YESU KRISTO Amen
AMEN Glory to God ubarikiwe sana mtumishi Wa MUNGU mimi pia nikua namaswali juu yahizi vitu lakini Ashukuruwe MUNGU wambinguni kwa kunijibu maswali yangu wacha nikae kama alivyo niuumba MUNGU wangu❤❤❤
Hakika mungu yupo kwajili yetu anatulinda kupitia watumishi wake anatufundisha mungu akubaliki zaidi mamaangu mungu ametufikishia elimu ya uzima wa milele kupitia wewe ubalikiwe sana
Amen Mungu nimwema ubulikiwe kwakufikisha ujumbe . Mungu anapenda waliyo wake azidi kufundisha nawengine maana sisi wa mama ulembo utasababisha tunayikosa Mbingu pamoja na dawa zagupanga uzazazi wengine wanasema za kuachanisha mimba. Nimakosa sasana nimauwaji tunafanya Mungu arinionya kwahivyovyote.
Wana WA Mungu Wana Roho WA Mungu wakuwaelekeza ndomaana MTU hawezi kujipeleka kihivohivo Tu sababu anae Roho WA Mungu wakumuelekeza,mbinguni ni pazuri ndugu zangu kwahiyo tusije tukampinga Roho waMungu,ukimpinga siku nyingi naye atakuacha
Mungu akubariki sana dada... nilikua nimepanga kuweka piko kwa sababu nilinyoa..lakini kwa ujumbe huu sitafanya hivyo.Nimejifundisha mengi kupitia ujumbe huu
Asante mtishi wa Mungu kutuelimmisha kwani hata mimi na uzee wangu natumia rangi kufanya nywele nyeusi, Mungu turehemu na tunaangamia kwa kukosa maarifa ya Mungu ubarikiwe sana mtumishi
Kiukweli ilo la jirani ni la ukweli ila la piko sijalielewa kabisa maana ata bibilia imeandika mpende jirani yako kama mboni ya jicho lako ila mungu atuurumie wote wakosaji
Nikweli tupu, haya mambo yapo Wazi kabisaa ktk vitabu vya kiislamu kuhusu kichwa cha mwanamke,lakin watu wametiapamba masikioni ,kufunika kichwa niushamba,werevu piko,wigi,Carl nk
Siwezi kusema chochote kuhusu hiyo piko maana hakuna ninachokijua lakini Kiukweli Mungu PEKEE ndio hutuvusha tunapokuwa katika mapito na maumivu makali,na kwa ambao tumekuwa tukijifungua kwa upasuaji huwa tunapitia nusu kifo lakini kwa kuwa Mungu wetu ni mwema baada ya yote hayo tunakuwa wazima na tunasahau....neema ya Mungu Muumba wetu izidi kuwa nasi binadamu wotee
Mtumishi wa Mungu asnte kwa ujumbe huu wa kufikirika sana lkn naomba niseme jambo fulani hivi. Swala la mapambo yote na chakula HAYATUZUII KUINGIA MBINGUNI Wapendwa. Lkn pia kinacholeta shida hapo katika imani ni kuyapa mapambo kipaombele zaidi kuliko Mungu hiyo ndo dhmbi inakuja hapo. Mfano 1Petr 3:2-5 Petro alikimaanisha hapo ni kutokutanguliza mapambo mbele bali anataka waipambe miyoyo yao zaidi kuliko mapambo ya nje. Mpendwa unaposema piko. Cheni nk dhambi sio kabisa ebu tuhubirini injili ya kweliii
Watu wa Mungu, MUNGU anasema na mtu mmoja ili kuwaonya watu wake wasienende katika njia sizizo sahihi,sasa nyinyi mnaobeza msidhanie MUNGU atashuka kutuonya,bali yatupasa kufanyia kazi tunayoambiwa,maana MUNGU wetu ni mwingi wà rehema,wengi wanakosea sababu ya kutokujua.ni wakati sasa umefika wa kuwa halisi ili MUNGU aweze kujitwalia utukufu
PIKO NI ILE RANGI NYEUSI AU RANGI YEYOTE INAYOBADILISHA NYWELE ILI ZIWE NYEUSI AU VINGINEVYO, WENYE MVI KICHWANI WANAITUMIA ILI KUONDOA MVI KICHWANI.
Asante
Oho ok Asante sana kwa ufafanuzi nilikuwa najiswali kama piko ni nini. Mubarikiwe sana Watumishi wa Mungu.
Piko kama ni dye si Kuna rangi tofauti, sio tu nyeusi pekee.
Ubarikiwe
Jaman up wap
Mwenye sikio la kusikia na asikie ujumbe huu wa Bwana. Mimi nimesikia na kutii. Naomba Mungu anisamehe kwa niliyoyafanya kimakosa. Ninatubu sasa na kumrudia Mungu aniongoze hapa duniani na hata atakaponichukua mbinguni nikae naye milele yote. Amina.
Asante mama mtumishi nashukulu kwa ushuhuda wako umenibaliki amy
Ahsante sana kwa ushuhuda wako. Nilionywa pia juu ya kupaka piko na kubadilisha nywele zangu rangi. Ni makosa kumtoa Mungu makosa kwani nywele nyeupe ni yeye huwa anatupa.
Asante sana kwa ushuhuda wako naamini umenibadilisha na kuwa na mwelekeo mpya wa Imani . MUNGU azidi kukutia nguvu.
Amina, mwenye kujitakasa aendelee kujitakasa na MWe kujichafua azidi kujichafua, UJUMBE HUU KUNA MTU AMEPONA.
I must commend the host..amemwachia mgeni ajieleze bila interruptions...the flow is awesome.barikiwa sana
👏👏👏vizuri sana
Shida so kupka piko,shida Ni hiyo piko uliyopaka ilikuwa na nguvu za kuzimu.Shukuru Kuna walikuwa wanakuombea.Simama Sana na Mungu katika Roho na kwel.Ni mkono wa Mungu ulikuchomoa walikokuwa wamekuchua.Sio kufufuka,Yesu tu ndiye alifufuka
Ashukuriwe Mungu kwa ajili yako Mungu alivyokuokoa kwa Neema yake kuu hata ukaweza kutufikishia ujumbe huu muhimu kwa Binadamu wote. Mimi nimeokoka nampenda sana Yesu lakini nilikuwa bado napaka piko. Ujumbe huu umekuja kwa ajili yangu na sitajipaka tena piko. Uzuri ni wa kumjua Mungu na si wa kujipendezesha mwili huu wa udongo ambao hautamwona Mungu bali Roho yangu iwe salama mikononi mwake. Ubarikiwe sana Dada yangu. Mungu akuzidishie Neema.
Muhimu ni tujitahidi kuacha Madhambi Tumuabudu mola wetu,Madhambi ni mengi sana hata ukiatafakari sioni wa mbinguni hata mmoja,Ila ajuaye zaidi ya yote ni Mungu.wanadamu hakika tuko kwenye pazia
Yaan kama ni hivi wote ni WA moton maana hakuna tulilokuwa hatujalifanya
Kuacha kutubu,Msalabani tulikombolewa Wapo Watakatifu Wanaompenda Mungu
Mungu tusaidie tupe kuyatambua mapenzi yako maana yapo mambo mengi tunayoyaona ya kawaida kumbe ni machukizo kwa Mungu
Haleluya acha Mungu atujalie kuwa watii ,ubarikiwe sana mama yangu mwenye sikio na asikie
Nisamehe Mungu wangu kama ulivyomtendea HUYU mama nitendee na mimi. Kwani nimekukosea kwa mengi hta Kwa kubadili nywele rangi ujumbe umenigusa sana niurumie Mungu wangu
Amina mama nimeogopa sana mungu nisamehe kwa yote👏
Amen Mungu Akubariki sana,kwa kutufikishia Ujumbe huu utatuokoa wengi.
😭😭😭😭😭Asante Sana Kwa huo ujumbe nitatubu na ninajua Mungu atanisamehea, Kwa maana simu nimejaribu,kujinyonga pia,na hata ajali,Bwana wamajeshi azidii kuinuliwa❤❤
Natumbu Mungu anisamehe sana kwa yote nimetenda ya siyo mupendeza asante mama kwa ujumbe🙏
Mungu wetu na BWANA wetu Yesu Kristo UNIREHEMU na uturehemu
Please ujumbe mzuri kweli kweli mama Mungu akubariki saana....uendelee kutufundisha mengi
Be blessed mum for your powerful testimony I'm so blessed pia Mimi nilionywa kuhusu nywele
Asante kwa ujumbe nzuri maana umetufundisha mengi tusiyoyajua na mungu akubariki
Asante kwa ushuhuda na MUNGU Yehova Asifiwe kwa kukutosha mbali.Habari za mtoto aliyezaliwa Mungu Muumbaji wa vyote awabariki katika jina la YESU KRISTO Amen
Hizo piko na nywele badia na masuruhali nikama vili mwagwa hapa kwetu Kenya 🇰🇪.
Hili ni kweli kabisa, pia Mungu alinionya sana kuhusu jambo hili la kubadili rangi ya nywele.
Asante mama kwa ujumbe mzuri, Mwenyezi Mungu akubariki umenifundisha sana.
Yesu unipendae kwako nakimbilia niww utoshae nisaidie kutenda mema
Mungu tusaidie kupitia roho wako mtakatifu atufundishe jinsi ya kuenenda ktk maisha ya hapa dunian
Ak ubarikiwe sana mamangu umenifungua akili na ujumbe huu akika ntakufanyia kazi nahata wengine ntawaambia ili wajihadhari na haya
AMEN Glory to God ubarikiwe sana mtumishi Wa MUNGU mimi pia nikua namaswali juu yahizi vitu lakini Ashukuruwe MUNGU wambinguni kwa kunijibu maswali yangu wacha nikae kama alivyo niuumba MUNGU wangu❤❤❤
Hakika mungu yupo kwajili yetu anatulinda kupitia watumishi wake anatufundisha mungu akubaliki zaidi mamaangu mungu ametufikishia elimu ya uzima wa milele kupitia wewe ubalikiwe sana
Amina. Mungu aendeleye kuku jaza na Roho wake milele yote Amina.
Amen Mungu nimwema ubulikiwe kwakufikisha ujumbe . Mungu anapenda waliyo wake azidi kufundisha nawengine maana sisi wa mama ulembo utasababisha tunayikosa Mbingu pamoja na dawa zagupanga uzazazi wengine wanasema za kuachanisha mimba.
Nimakosa sasana nimauwaji tunafanya Mungu arinionya kwahivyovyote.
Amen,Asante kwa ujumbe mtumishi wa MUNGU
Amina mtumishi wa Mungu kusikia nimesikia tena Roho wa Mungu amenishuhudia kabisa ila
Mungu nisaidie niwe mtii A
Ubarikiwe sana mama kwa ushuhuda huu kweli tumejifunza.
Amen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana
Mungu Akubariki madam Ujumbe Umeutoa mungu yupo pamoja nawe
Amen Amen, asante Kwa Ujumbe ubarikiwe
Wana WA Mungu Wana Roho WA Mungu wakuwaelekeza ndomaana MTU hawezi kujipeleka kihivohivo Tu sababu anae Roho WA Mungu wakumuelekeza,mbinguni ni pazuri ndugu zangu kwahiyo tusije tukampinga Roho waMungu,ukimpinga siku nyingi naye atakuacha
Asante Bwana akubariki Ila muombe Mungu akufunulie mengi kwa maono ili utufunulie zaidi tumrudie mungu wetu kwa ukamilifu
Hakika ashukuriwe MUNGU Asante mama kwa ujumbe mzuri nimejifunza kitu nanimeelewa sana
Wamama na wa baba wengi wanapaka piko ili kuficha mvi, tuache na Mungu aturehemu. Mithali 16:31 inasema kichwa chenye mvi ni taji ya utukufu.
Mimi nilikua napaka hina sikua najua nikaona mtumishi kutoka kenya kwa promover tv akatufunza nikawacha
Amin mutumishi NAMI pia Nisha wahi kuweka piko kichwani mwenyezi mungu anisamehe sitaludia tena
Nitabu Kwa jina layesu kirsto
Asante Yesu
asante yesu
Mungu akubariki sana dada... nilikua nimepanga kuweka piko kwa sababu nilinyoa..lakini kwa ujumbe huu sitafanya hivyo.Nimejifundisha mengi kupitia ujumbe huu
Asante mtishi wa Mungu kutuelimmisha kwani hata mimi na uzee wangu natumia rangi kufanya nywele nyeusi, Mungu turehemu na tunaangamia kwa kukosa maarifa ya Mungu ubarikiwe sana mtumishi
Ubarikiwe sana mama Mungu twakuomba uturehemu
Amen. Mungu. Akubariki
Haya jamani
Amen Amen Amen
Ukimtafuta Bwana, ndipo utakapojua shetani Hana muda wa kupoteza katka kuteka roho za watu
Siludii. Kupaka .piko Tena Asante mtumishi wa mungu
Asante Mama hili jambo limekuwa ngumu sana kufunza kanisani hasa Wake wachaga
Barikiwa sana mama yetu kwa ujumbe huu
Aaaaa na MUNGU ANISAIDIE MM NI MWENYE DHAMBI TU NA PIA HUU NI USHUUDA WA KUNITAKASA MM AAAA YESU UNANIPENDA MNO
Amen asante sana kwa ujumbe wako ubarikiwe
Aisee!! Mungu atusaidie wa mama na wadada tunapenda sana mapambo
Hongera jamani mch kumbe kuna kanisa takatifu la Mungu kibondo naamini kuna ck litakuwepo hapa morogoro mjini natamani sana
Mamy MUNGU wa mbinguni akubariki ,,
Mungu naomba unihurumie mm maana nilikua sijui .lakin kwaushuuda huu naogopa naogopa naogopa naomba Mungu unihurumie nikaione mbingu
Asante MUNGU kwa sababu bado unatupenda Nina kutukuza sana
Ee Mungu Baba turehemu maana tumekutenda dhambi sana sana hata kulijua hili ni kwa neema yako Baba🙏🙏asante mama kwa ujumbe mzito
Asante mtumish mungu anisamehe kwakutenda dhambi
Mungu akubariki huu ushuunda umenibaliki sana 🙏🙏
Amen watumishi wa Mungu
Kiukweli ilo la jirani ni la ukweli ila la piko sijalielewa kabisa maana ata bibilia imeandika mpende jirani yako kama mboni ya jicho lako ila mungu atuurumie wote wakosaji
Asante nimepokea ujumbe ubarikiwe Sana mama
Mama asante kwa ujumbe mzuri ,mungu aendelee kukutunza.
Amen na mungu aku bariki kutu leteya neno na message njema kwetu
Amen
Emen,emen,asanti sana mchungaji ume nijenga sana hakika mungu wacha aitwe mungu naomba roho mtakatifu aniongoze❤
Mwenye sikio na asikie,Asante kwa ujumbe tumeupokea
Amen mungu atusamehe kabisa
Asante. Sana. Mama. Mungu. Akubariki na aendelee. Kukulinda ili. Uendelee. Kutoa. Ushuhunda wa. Mungu
Nikweli tupu, haya mambo yapo Wazi kabisaa ktk vitabu vya kiislamu kuhusu kichwa cha mwanamke,lakin watu wametiapamba masikioni ,kufunika kichwa niushamba,werevu piko,wigi,Carl nk
Sisi promover TV imetusaidia sana mwa nzo upo ushuhuda wa Aston Mbaya viumba 300 vya kuzimu
Siwezi kusema chochote kuhusu hiyo piko maana hakuna ninachokijua lakini Kiukweli Mungu PEKEE ndio hutuvusha tunapokuwa katika mapito na maumivu makali,na kwa ambao tumekuwa tukijifungua kwa upasuaji huwa tunapitia nusu kifo lakini kwa kuwa Mungu wetu ni mwema baada ya yote hayo tunakuwa wazima na tunasahau....neema ya Mungu Muumba wetu izidi kuwa nasi binadamu wotee
Ndugu ulikuwa hujuwi chochote kuhusu piko?lakini kwasasa umejuwa
Ni kweli kabisaa breach raster mawigi zote dhambi
Nimebarikiwa sana, Mungu wa mbinguni akubariki sana
Nilisikia njia ya kuzimu wanao pita kuelekea huko ni wamama ndio wengi na nasikia shida ni mapambo
Amina Asante Sana nimejifunza mengi ubarikiwe
Asante sana mama Kwa ushuhuda
Asante YESU KRISTO kutufunulia haya
Ubarikiwe sana mtumishi nikweli kabisa ata mm majaribu kama hayo nimepitia mepelekwa huko kuzimu acha tu mungu atusaidie
Mungu nimwema sana ubarikiwe mama ukawe mwalimu wa wote walio hai
Abarikiwe Sana kwa kutumika kwamafundisho hayo mungu amemtendea kwani nimesadiki kwani yamenitoke japo Mimi niwatofauti kidogo mungu atukuzhwe
Mungu atusaidie sana
Ameeen waaah dadangu ameyaona mungu azidi kukutia nguvu
Amen mungu atusaidie kuyashinda yadunia tuishi kwenye kusudi lake
Mungu akubariki mtumishi kwa shuhuda kama hii inatujenga sana na inatusaidia sana naomba mungu anisaidie niyatende kwa upendo na amani yake
Asanteee kwa ujumbe mzuri mama tumepona
Amen umezidi kunifuta karibu na Mungu
Asante mama yetu kwa ushuhuda huu Mungu tusaidie
Asant Ubarkiwe mama kwa ushuhuda tumejifuza kutoka kwako amen
Mtumishi wa Mungu asnte kwa ujumbe huu wa kufikirika sana lkn naomba niseme jambo fulani hivi. Swala la mapambo yote na chakula HAYATUZUII KUINGIA MBINGUNI Wapendwa. Lkn pia kinacholeta shida hapo katika imani ni kuyapa mapambo kipaombele zaidi kuliko Mungu hiyo ndo dhmbi inakuja hapo. Mfano 1Petr 3:2-5
Petro alikimaanisha hapo ni kutokutanguliza mapambo mbele bali anataka waipambe miyoyo yao zaidi kuliko mapambo ya nje.
Mpendwa unaposema piko. Cheni nk dhambi sio kabisa ebu tuhubirini injili ya kweliii
Asante kwa ujumbe mum mungu atusaidie tuenende katka mapenz yake
Poleni msioamini ushuhuda huu,
Asante kwa ushuhuda nimebarikiwa
mungu azidi kukulind na kukuonesh mengi.maan sis binadam hatuamni kuwa mung anaponya mung atusaidie amen
mungu aturehem wamama hakika kwa mungu mimi ni mdhambi na mungu akubariki sana mama kwa hushuuda
Watu wa Mungu, MUNGU anasema na mtu mmoja ili kuwaonya watu wake wasienende katika njia sizizo sahihi,sasa nyinyi mnaobeza msidhanie MUNGU atashuka kutuonya,bali yatupasa kufanyia kazi tunayoambiwa,maana MUNGU wetu ni mwingi wà rehema,wengi wanakosea sababu ya kutokujua.ni wakati sasa umefika wa kuwa halisi ili MUNGU aweze kujitwalia utukufu
Mimi Mungu alionesha juu ya poda jaman hii nyeup
Ameeni ameeni mungu aturehemu tusimame ktk kristo yesu
Hongera mam jeska
Mungu atusiitiye sana🙏🙏🙏
Eeh sijui niseme nini Mamangu wa kiroho wala nitende nini Ila kumshukuru Mwenyezi Mungu.Hata Mimi nilipitia hapo hadi nilitamani nisememe niliyoyaona Bali,,,,,,,,,,,,,,Mungu azidi kutukumbuka
Amina mama ubarikiwe Sanaa ujumbe tumeupata
Ubarikiwe sana nimejifunza mengi ila nikwa neema 2 nimesikia