MNAOWEKA PIKO KICHWANI,SIKILIZENI USHUHUDA HUU, KILICHOMTOKEA JESCA. Sambaza Ujumbe huu.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2023

КОМЕНТАРІ • 529

  • @peterkarimu00
    @peterkarimu00  10 місяців тому +29

    PIKO NI ILE RANGI NYEUSI AU RANGI YEYOTE INAYOBADILISHA NYWELE ILI ZIWE NYEUSI AU VINGINEVYO, WENYE MVI KICHWANI WANAITUMIA ILI KUONDOA MVI KICHWANI.

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 6 місяців тому +2

    Mwenye sikio la kusikia na asikie ujumbe huu wa Bwana. Mimi nimesikia na kutii. Naomba Mungu anisamehe kwa niliyoyafanya kimakosa. Ninatubu sasa na kumrudia Mungu aniongoze hapa duniani na hata atakaponichukua mbinguni nikae naye milele yote. Amina.

  • @FelicianAndrea
    @FelicianAndrea 20 днів тому +1

    Asante mama mtumishi nashukulu kwa ushuhuda wako umenibaliki amy

  • @annethiongo6899
    @annethiongo6899 9 місяців тому +3

    Ahsante sana kwa ushuhuda wako. Nilionywa pia juu ya kupaka piko na kubadilisha nywele zangu rangi. Ni makosa kumtoa Mungu makosa kwani nywele nyeupe ni yeye huwa anatupa.

  • @daudindelembi6206
    @daudindelembi6206 6 місяців тому +2

    Asante sana kwa ushuhuda wako naamini umenibadilisha na kuwa na mwelekeo mpya wa Imani . MUNGU azidi kukutia nguvu.

  • @aidaraphael1956
    @aidaraphael1956 10 місяців тому +5

    Amina, mwenye kujitakasa aendelee kujitakasa na MWe kujichafua azidi kujichafua, UJUMBE HUU KUNA MTU AMEPONA.

  • @janewaititu8051
    @janewaititu8051 2 місяці тому +3

    I must commend the host..amemwachia mgeni ajieleze bila interruptions...the flow is awesome.barikiwa sana

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 6 місяців тому +1

    Shida so kupka piko,shida Ni hiyo piko uliyopaka ilikuwa na nguvu za kuzimu.Shukuru Kuna walikuwa wanakuombea.Simama Sana na Mungu katika Roho na kwel.Ni mkono wa Mungu ulikuchomoa walikokuwa wamekuchua.Sio kufufuka,Yesu tu ndiye alifufuka

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 9 місяців тому +3

    Ashukuriwe Mungu kwa ajili yako Mungu alivyokuokoa kwa Neema yake kuu hata ukaweza kutufikishia ujumbe huu muhimu kwa Binadamu wote. Mimi nimeokoka nampenda sana Yesu lakini nilikuwa bado napaka piko. Ujumbe huu umekuja kwa ajili yangu na sitajipaka tena piko. Uzuri ni wa kumjua Mungu na si wa kujipendezesha mwili huu wa udongo ambao hautamwona Mungu bali Roho yangu iwe salama mikononi mwake. Ubarikiwe sana Dada yangu. Mungu akuzidishie Neema.

  • @angle3600
    @angle3600 10 місяців тому +10

    Muhimu ni tujitahidi kuacha Madhambi Tumuabudu mola wetu,Madhambi ni mengi sana hata ukiatafakari sioni wa mbinguni hata mmoja,Ila ajuaye zaidi ya yote ni Mungu.wanadamu hakika tuko kwenye pazia

    • @christinashaban7262
      @christinashaban7262 10 місяців тому +1

      Yaan kama ni hivi wote ni WA moton maana hakuna tulilokuwa hatujalifanya

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 9 місяців тому +1

      Kuacha kutubu,Msalabani tulikombolewa Wapo Watakatifu Wanaompenda Mungu

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 8 місяців тому +6

    Mungu tusaidie tupe kuyatambua mapenzi yako maana yapo mambo mengi tunayoyaona ya kawaida kumbe ni machukizo kwa Mungu

  • @ErneusMlelwa-vk3pu
    @ErneusMlelwa-vk3pu 9 місяців тому +2

    Haleluya acha Mungu atujalie kuwa watii ,ubarikiwe sana mama yangu mwenye sikio na asikie

  • @MamaIbra-kx4hm
    @MamaIbra-kx4hm 8 місяців тому +1

    Nisamehe Mungu wangu kama ulivyomtendea HUYU mama nitendee na mimi. Kwani nimekukosea kwa mengi hta Kwa kubadili nywele rangi ujumbe umenigusa sana niurumie Mungu wangu

  • @user-sc7pl4pi2v
    @user-sc7pl4pi2v 6 місяців тому +1

    Amina mama nimeogopa sana mungu nisamehe kwa yote👏

  • @cyprianmwasanga6041
    @cyprianmwasanga6041 10 місяців тому +5

    Amen Mungu Akubariki sana,kwa kutufikishia Ujumbe huu utatuokoa wengi.

  • @user-mb4lt2cx7j
    @user-mb4lt2cx7j 9 місяців тому +3

    😭😭😭😭😭Asante Sana Kwa huo ujumbe nitatubu na ninajua Mungu atanisamehea, Kwa maana simu nimejaribu,kujinyonga pia,na hata ajali,Bwana wamajeshi azidii kuinuliwa❤❤

  • @fortunadafura
    @fortunadafura 6 місяців тому +1

    Natumbu Mungu anisamehe sana kwa yote nimetenda ya siyo mupendeza asante mama kwa ujumbe🙏

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 10 місяців тому +4

    Mungu wetu na BWANA wetu Yesu Kristo UNIREHEMU na uturehemu

  • @mercykibunguchi9581
    @mercykibunguchi9581 10 місяців тому +2

    Please ujumbe mzuri kweli kweli mama Mungu akubariki saana....uendelee kutufundisha mengi

  • @user-dv4ch3sy8l
    @user-dv4ch3sy8l 9 місяців тому +2

    Be blessed mum for your powerful testimony I'm so blessed pia Mimi nilionywa kuhusu nywele

  • @consolataanyambililemwakib1111
    @consolataanyambililemwakib1111 10 місяців тому +1

    Asante kwa ujumbe nzuri maana umetufundisha mengi tusiyoyajua na mungu akubariki

  • @user-du2gt8ff1r
    @user-du2gt8ff1r 10 місяців тому +1

    Asante kwa ushuhuda na MUNGU Yehova Asifiwe kwa kukutosha mbali.Habari za mtoto aliyezaliwa Mungu Muumbaji wa vyote awabariki katika jina la YESU KRISTO Amen

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 10 місяців тому +6

    Hizo piko na nywele badia na masuruhali nikama vili mwagwa hapa kwetu Kenya 🇰🇪.

  • @ernestmshana3752
    @ernestmshana3752 10 місяців тому +4

    Hili ni kweli kabisa, pia Mungu alinionya sana kuhusu jambo hili la kubadili rangi ya nywele.

  • @VioletNamz-tq4tg
    @VioletNamz-tq4tg 10 місяців тому +2

    Asante mama kwa ujumbe mzuri, Mwenyezi Mungu akubariki umenifundisha sana.

  • @user-eq4hs7xq8u
    @user-eq4hs7xq8u 10 місяців тому +4

    Yesu unipendae kwako nakimbilia niww utoshae nisaidie kutenda mema

  • @anithasanga361
    @anithasanga361 6 місяців тому +1

    Mungu tusaidie kupitia roho wako mtakatifu atufundishe jinsi ya kuenenda ktk maisha ya hapa dunian

  • @RubaR-nr5wz
    @RubaR-nr5wz 6 місяців тому +2

    Ak ubarikiwe sana mamangu umenifungua akili na ujumbe huu akika ntakufanyia kazi nahata wengine ntawaambia ili wajihadhari na haya

  • @bajkljs9058
    @bajkljs9058 9 місяців тому +2

    AMEN Glory to God ubarikiwe sana mtumishi Wa MUNGU mimi pia nikua namaswali juu yahizi vitu lakini Ashukuruwe MUNGU wambinguni kwa kunijibu maswali yangu wacha nikae kama alivyo niuumba MUNGU wangu❤❤❤

  • @richmwaij3368
    @richmwaij3368 Місяць тому

    Hakika mungu yupo kwajili yetu anatulinda kupitia watumishi wake anatufundisha mungu akubaliki zaidi mamaangu mungu ametufikishia elimu ya uzima wa milele kupitia wewe ubalikiwe sana

  • @justinekalunga8488
    @justinekalunga8488 10 місяців тому +3

    Amina. Mungu aendeleye kuku jaza na Roho wake milele yote Amina.

  • @felicitemihungo3600
    @felicitemihungo3600 10 місяців тому +1

    Amen Mungu nimwema ubulikiwe kwakufikisha ujumbe . Mungu anapenda waliyo wake azidi kufundisha nawengine maana sisi wa mama ulembo utasababisha tunayikosa Mbingu pamoja na dawa zagupanga uzazazi wengine wanasema za kuachanisha mimba.
    Nimakosa sasana nimauwaji tunafanya Mungu arinionya kwahivyovyote.

  • @user-qp6bc2fu6d
    @user-qp6bc2fu6d 10 місяців тому +1

    Amen,Asante kwa ujumbe mtumishi wa MUNGU

  • @JemaMbwilo
    @JemaMbwilo 4 місяці тому

    Amina mtumishi wa Mungu kusikia nimesikia tena Roho wa Mungu amenishuhudia kabisa ila
    Mungu nisaidie niwe mtii A

  • @RachelThomas-ox3jr
    @RachelThomas-ox3jr 10 місяців тому +3

    Ubarikiwe sana mama kwa ushuhuda huu kweli tumejifunza.

  • @DominaPatrick-ri8sc
    @DominaPatrick-ri8sc 6 місяців тому +1

    Amen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar5094 10 місяців тому +2

    Mungu Akubariki madam Ujumbe Umeutoa mungu yupo pamoja nawe

  • @doricemrema2177
    @doricemrema2177 10 місяців тому +2

    Amen Amen, asante Kwa Ujumbe ubarikiwe

  • @NshimirimanaGerardine-xo3ht
    @NshimirimanaGerardine-xo3ht 9 місяців тому +1

    Wana WA Mungu Wana Roho WA Mungu wakuwaelekeza ndomaana MTU hawezi kujipeleka kihivohivo Tu sababu anae Roho WA Mungu wakumuelekeza,mbinguni ni pazuri ndugu zangu kwahiyo tusije tukampinga Roho waMungu,ukimpinga siku nyingi naye atakuacha

  • @rebecca-nj6wl
    @rebecca-nj6wl 10 місяців тому

    Asante Bwana akubariki Ila muombe Mungu akufunulie mengi kwa maono ili utufunulie zaidi tumrudie mungu wetu kwa ukamilifu

  • @DiarraLimited-nt2th
    @DiarraLimited-nt2th 9 місяців тому

    Hakika ashukuriwe MUNGU Asante mama kwa ujumbe mzuri nimejifunza kitu nanimeelewa sana

  • @annijulius4953
    @annijulius4953 10 місяців тому +8

    Wamama na wa baba wengi wanapaka piko ili kuficha mvi, tuache na Mungu aturehemu. Mithali 16:31 inasema kichwa chenye mvi ni taji ya utukufu.

    • @rerisamba
      @rerisamba 10 місяців тому

      Mimi nilikua napaka hina sikua najua nikaona mtumishi kutoka kenya kwa promover tv akatufunza nikawacha

  • @ElizaPetro-fy2rm
    @ElizaPetro-fy2rm 9 місяців тому

    Amin mutumishi NAMI pia Nisha wahi kuweka piko kichwani mwenyezi mungu anisamehe sitaludia tena

  • @user-xy7py7up5g
    @user-xy7py7up5g 6 місяців тому +2

    Asante Yesu

  • @abigaelwamboi8149
    @abigaelwamboi8149 9 місяців тому

    Mungu akubariki sana dada... nilikua nimepanga kuweka piko kwa sababu nilinyoa..lakini kwa ujumbe huu sitafanya hivyo.Nimejifundisha mengi kupitia ujumbe huu

  • @dekarisaomiro9009
    @dekarisaomiro9009 10 місяців тому +2

    Asante mtishi wa Mungu kutuelimmisha kwani hata mimi na uzee wangu natumia rangi kufanya nywele nyeusi, Mungu turehemu na tunaangamia kwa kukosa maarifa ya Mungu ubarikiwe sana mtumishi

  • @ernesttomas85
    @ernesttomas85 10 місяців тому +5

    Ukimtafuta Bwana, ndipo utakapojua shetani Hana muda wa kupoteza katka kuteka roho za watu

  • @user-tx4ze8kq3x
    @user-tx4ze8kq3x 10 місяців тому +2

    Siludii. Kupaka .piko Tena Asante mtumishi wa mungu

  • @user-yj2dl3cr5o
    @user-yj2dl3cr5o 7 місяців тому +1

    Asante Mama hili jambo limekuwa ngumu sana kufunza kanisani hasa Wake wachaga

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 10 місяців тому +5

    Barikiwa sana mama yetu kwa ujumbe huu

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 10 місяців тому +4

    Aaaaa na MUNGU ANISAIDIE MM NI MWENYE DHAMBI TU NA PIA HUU NI USHUUDA WA KUNITAKASA MM AAAA YESU UNANIPENDA MNO

  • @user-wy6cs8kj4y
    @user-wy6cs8kj4y 10 місяців тому +1

    Amen asante sana kwa ujumbe wako ubarikiwe

  • @user-fy9zl1oq7x
    @user-fy9zl1oq7x 10 місяців тому +5

    Aisee!! Mungu atusaidie wa mama na wadada tunapenda sana mapambo

    • @luthgadeschrispin6554
      @luthgadeschrispin6554 10 місяців тому

      Hongera jamani mch kumbe kuna kanisa takatifu la Mungu kibondo naamini kuna ck litakuwepo hapa morogoro mjini natamani sana

    • @ChausikuMarko-mt3gl
      @ChausikuMarko-mt3gl 10 місяців тому +1

      Mamy MUNGU wa mbinguni akubariki ,,

  • @user-xt3gb3ei7j
    @user-xt3gb3ei7j 10 місяців тому +1

    Mungu naomba unihurumie mm maana nilikua sijui .lakin kwaushuuda huu naogopa naogopa naogopa naomba Mungu unihurumie nikaione mbingu

  • @user-rs3ht5wm8p
    @user-rs3ht5wm8p 5 місяців тому

    Asante MUNGU kwa sababu bado unatupenda Nina kutukuza sana

  • @jacquelinelukambuzi5085
    @jacquelinelukambuzi5085 8 місяців тому

    Ee Mungu Baba turehemu maana tumekutenda dhambi sana sana hata kulijua hili ni kwa neema yako Baba🙏🙏asante mama kwa ujumbe mzito

  • @RebekaMwangomale
    @RebekaMwangomale 10 місяців тому +1

    Asante mtumish mungu anisamehe kwakutenda dhambi

  • @joycelongo1213
    @joycelongo1213 9 місяців тому +1

    Mungu akubariki huu ushuunda umenibaliki sana 🙏🙏

  • @Farijimvela-fp8jy
    @Farijimvela-fp8jy 10 місяців тому +3

    Amen watumishi wa Mungu

  • @EsterMbise-pj4vd
    @EsterMbise-pj4vd Місяць тому +1

    Kiukweli ilo la jirani ni la ukweli ila la piko sijalielewa kabisa maana ata bibilia imeandika mpende jirani yako kama mboni ya jicho lako ila mungu atuurumie wote wakosaji

  • @elizabetheliza4751
    @elizabetheliza4751 10 місяців тому

    Asante nimepokea ujumbe ubarikiwe Sana mama

  • @tumsiimekente1656
    @tumsiimekente1656 10 місяців тому

    Mama asante kwa ujumbe mzuri ,mungu aendelee kukutunza.

  • @user-rt2fr3ri6d
    @user-rt2fr3ri6d 10 місяців тому +2

    Amen na mungu aku bariki kutu leteya neno na message njema kwetu

  • @user-is9gg5cg1n
    @user-is9gg5cg1n 9 місяців тому

    Emen,emen,asanti sana mchungaji ume nijenga sana hakika mungu wacha aitwe mungu naomba roho mtakatifu aniongoze❤

  • @mmangasalum2195
    @mmangasalum2195 8 місяців тому

    Mwenye sikio na asikie,Asante kwa ujumbe tumeupokea

  • @FatimahAlshehri-gt1gj
    @FatimahAlshehri-gt1gj 9 місяців тому +2

    Amen mungu atusamehe kabisa

  • @user-vw4te3lq5x
    @user-vw4te3lq5x 9 місяців тому

    Asante. Sana. Mama. Mungu. Akubariki na aendelee. Kukulinda ili. Uendelee. Kutoa. Ushuhunda wa. Mungu

  • @zaidasalumualute6437
    @zaidasalumualute6437 10 місяців тому +3

    Nikweli tupu, haya mambo yapo Wazi kabisaa ktk vitabu vya kiislamu kuhusu kichwa cha mwanamke,lakin watu wametiapamba masikioni ,kufunika kichwa niushamba,werevu piko,wigi,Carl nk

  • @rerisamba
    @rerisamba 10 місяців тому +3

    Sisi promover TV imetusaidia sana mwa nzo upo ushuhuda wa Aston Mbaya viumba 300 vya kuzimu

  • @oliversulle124
    @oliversulle124 10 місяців тому +2

    Siwezi kusema chochote kuhusu hiyo piko maana hakuna ninachokijua lakini Kiukweli Mungu PEKEE ndio hutuvusha tunapokuwa katika mapito na maumivu makali,na kwa ambao tumekuwa tukijifungua kwa upasuaji huwa tunapitia nusu kifo lakini kwa kuwa Mungu wetu ni mwema baada ya yote hayo tunakuwa wazima na tunasahau....neema ya Mungu Muumba wetu izidi kuwa nasi binadamu wotee

  • @aloycesilwela3485
    @aloycesilwela3485 10 місяців тому

    Nimebarikiwa sana, Mungu wa mbinguni akubariki sana

  • @rerisamba
    @rerisamba 10 місяців тому +3

    Nilisikia njia ya kuzimu wanao pita kuelekea huko ni wamama ndio wengi na nasikia shida ni mapambo

  • @user-ot7kw4kl2j
    @user-ot7kw4kl2j 10 місяців тому

    Amina Asante Sana nimejifunza mengi ubarikiwe

  • @user-dc2bt3hy7s
    @user-dc2bt3hy7s 6 місяців тому +1

    Asante sana mama Kwa ushuhuda

  • @JudithElias-ig5nb
    @JudithElias-ig5nb 9 місяців тому

    Asante YESU KRISTO kutufunulia haya

  • @deooisso-wv3ex
    @deooisso-wv3ex 10 місяців тому

    Ubarikiwe sana mtumishi nikweli kabisa ata mm majaribu kama hayo nimepitia mepelekwa huko kuzimu acha tu mungu atusaidie

  • @user-wy2bz6tr9s
    @user-wy2bz6tr9s 10 місяців тому

    Mungu nimwema sana ubarikiwe mama ukawe mwalimu wa wote walio hai

  • @AmerdaKavishe-pu3cf
    @AmerdaKavishe-pu3cf 10 місяців тому

    Abarikiwe Sana kwa kutumika kwamafundisho hayo mungu amemtendea kwani nimesadiki kwani yamenitoke japo Mimi niwatofauti kidogo mungu atukuzhwe

  • @user-bs2cw8xn6h
    @user-bs2cw8xn6h 6 місяців тому +1

    Mungu atusaidie sana

  • @hellen9467
    @hellen9467 7 місяців тому

    Ameeen waaah dadangu ameyaona mungu azidi kukutia nguvu

  • @KeziaAbel
    @KeziaAbel 7 місяців тому

    Amen mungu atusaidie kuyashinda yadunia tuishi kwenye kusudi lake

  • @StrongWomen-ob8yq
    @StrongWomen-ob8yq 10 місяців тому +2

    Mungu akubariki mtumishi kwa shuhuda kama hii inatujenga sana na inatusaidia sana naomba mungu anisaidie niyatende kwa upendo na amani yake

  • @gobregobre9964
    @gobregobre9964 10 місяців тому

    Asanteee kwa ujumbe mzuri mama tumepona

  • @reginahghati160
    @reginahghati160 7 місяців тому

    Amen umezidi kunifuta karibu na Mungu

  • @user-jq2ru8kf8x
    @user-jq2ru8kf8x 9 місяців тому

    Asante mama yetu kwa ushuhuda huu Mungu tusaidie

  • @yohanajames7269
    @yohanajames7269 9 місяців тому

    Asant Ubarkiwe mama kwa ushuhuda tumejifuza kutoka kwako amen

  • @user-pf6uo9qm8j
    @user-pf6uo9qm8j 9 місяців тому

    Mtumishi wa Mungu asnte kwa ujumbe huu wa kufikirika sana lkn naomba niseme jambo fulani hivi. Swala la mapambo yote na chakula HAYATUZUII KUINGIA MBINGUNI Wapendwa. Lkn pia kinacholeta shida hapo katika imani ni kuyapa mapambo kipaombele zaidi kuliko Mungu hiyo ndo dhmbi inakuja hapo. Mfano 1Petr 3:2-5
    Petro alikimaanisha hapo ni kutokutanguliza mapambo mbele bali anataka waipambe miyoyo yao zaidi kuliko mapambo ya nje.
    Mpendwa unaposema piko. Cheni nk dhambi sio kabisa ebu tuhubirini injili ya kweliii

  • @user-vz2mu8ze9u
    @user-vz2mu8ze9u 10 місяців тому

    Asante kwa ujumbe mum mungu atusaidie tuenende katka mapenz yake

  • @EmmyKanjanja-qi1vl
    @EmmyKanjanja-qi1vl 10 місяців тому +3

    Poleni msioamini ushuhuda huu,

  • @julianawairimu801
    @julianawairimu801 10 місяців тому

    Asante kwa ushuhuda nimebarikiwa

  • @user-gh2kk2et5r
    @user-gh2kk2et5r 10 місяців тому

    mungu azidi kukulind na kukuonesh mengi.maan sis binadam hatuamni kuwa mung anaponya mung atusaidie amen

  • @user-dp8qj1gi9x
    @user-dp8qj1gi9x 6 місяців тому

    mungu aturehem wamama hakika kwa mungu mimi ni mdhambi na mungu akubariki sana mama kwa hushuuda

  • @olyconstantine1550
    @olyconstantine1550 6 місяців тому

    Watu wa Mungu, MUNGU anasema na mtu mmoja ili kuwaonya watu wake wasienende katika njia sizizo sahihi,sasa nyinyi mnaobeza msidhanie MUNGU atashuka kutuonya,bali yatupasa kufanyia kazi tunayoambiwa,maana MUNGU wetu ni mwingi wà rehema,wengi wanakosea sababu ya kutokujua.ni wakati sasa umefika wa kuwa halisi ili MUNGU aweze kujitwalia utukufu

  • @user-kk9jn8dp9m
    @user-kk9jn8dp9m 7 місяців тому +1

    Mimi Mungu alionesha juu ya poda jaman hii nyeup

  • @bahatikilingo7176
    @bahatikilingo7176 6 місяців тому

    Ameeni ameeni mungu aturehemu tusimame ktk kristo yesu

  • @rosemaryshayo7256
    @rosemaryshayo7256 10 місяців тому

    Hongera mam jeska

  • @angelamugoywa4917
    @angelamugoywa4917 6 місяців тому

    Mungu atusiitiye sana🙏🙏🙏

  • @ednandiwa-fk2es
    @ednandiwa-fk2es 10 місяців тому

    Eeh sijui niseme nini Mamangu wa kiroho wala nitende nini Ila kumshukuru Mwenyezi Mungu.Hata Mimi nilipitia hapo hadi nilitamani nisememe niliyoyaona Bali,,,,,,,,,,,,,,Mungu azidi kutukumbuka

  • @RachelKihombo-qh1jb
    @RachelKihombo-qh1jb 7 місяців тому

    Amina mama ubarikiwe Sanaa ujumbe tumeupata

  • @MasamElisha-zu5ve
    @MasamElisha-zu5ve 9 місяців тому

    Ubarikiwe sana nimejifunza mengi ila nikwa neema 2 nimesikia