SPIKA NDUGAI ALIVYOMTOA NJE MBUNGE CONDESTER - "NENDA KAVAE VIZURI"..
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- SPIKA NDUGAI ALIVYOMTOA NJE MBUNGE CONDESTER - "NENDA KAVAE VIZURI"..
Spika wa Bunge, Job Ndugai amemtoa katika ukumbi wa Bunge mbunge wa Momba (CCM) Condester Sichwale, kutokana na kuvaa suruali iliyombana.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Na maandiko ya Mungu yanabaki vile vile na IMEANDIKWA
Ni kweli wanawake tunaenda uchi sana tunawapa shida wanaume wao wameumbwa na hisia za karibu sana
Waambie
Mfumo dume vazi ni zuri kabisa. Pia alichaguliwa na wanawake huko jimboni kwake. Msilete mambo ya jinsia na dini bungeni.
Ww nimtu wa aina gani hapo sio bich ujue
Vizur
Dugai uko sawa izo nguo mtavaa mkitoka bungeni
Islam religion--ililiona hili kitambo
Hawa wazee wanawachukulia vijana kama watt wao ni sawa lkn mambo ya kuaibishana kama watt hayana maana nadhan hekima imempungua mheshimiwa Omar angetumia namna nzur tu kumjulisha huyo mbunge , amenikera sana anataka avae baibui au kwann nahc analeta udini tu
Kweli arudishiwe hukohuko getini asiingie
Huyo mzee yuko sawa baadhi ya wanna wake mnapend kuvaa uchi mkiambia mnasema mnadhalilishwa wacheni kuvaa uchi
Sahihi
Maisha yanaenda kasi
Nyie waislam msitulazimishe tuvae kama nyie, hamtutendei haki, sisi wakristo, watu milioni zote tuvae utakavyo wewe haitawezekana ,
Sasa Dada yangu ukristo umewaambia mvae nusu uchi mbona mnajitoa ufaham hata kristo atawashagaa
Kwahiyo Wakristo ndio wakaa uchi
Walio wa Kristo org. Wanaliangalia Neno la Mungu na kulifuata. Neno la Mungu ktt Kumbukumbu la Torati 22:5 limeandikwa:- "Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyae mambo hayo ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako.
@@rmaryp6269 afadhali umetukumbusha maana mambumbumbu na mazwazwa mengi yanahisi ukristo ndio kimbilio Za uchenzi
hatupo KANISANI apa BUNGENI kanuni na Shelia kuzingatiwe. asubili akienda KANISANI akaonyeshe DUDE.
Na avae kwake au nyumbani sio kazini nawe vaa sio waislam heshima haiuzwi
Huo ndo msimamo, nmekuelew Ndugai
Yeye huyo Mbunge mbona amevaa kofia ya Msikitini kwani mule Msikitini, Mule Bungeni siyo msikitini Dada yupo vizuri..
Mbona wakristo wanaingia na misalaba, kwan kanisani?
Nimesema huyo Mbunge amevaa kofia, Sijasema waislam soma vizuri .
kwan wanaoingia misiktin nan ww?
Wapi ime andikwa kofia ya msikitini? Kwani kofia kama hizo wazee mikoani wanavaa tena nyekundu au chuki zako binasfi ? We zuzu mbuzi we tumia akili usitumie matako kufikiria! Kofia haina jina ni ya wapi.
Kofia hiyo unavaa popote wee zuzu, ttzo lako hata sheria za nchi huzijui
Ni kweli vazi Hilo halifai bungeni.
Na kwann mruhusu mavazi hayo ikiwa nyie ndio kioo cha jamii!!!!? Inashangaza sn kwa mtanzania kufanya vitu vya kuiga ninaimani hiyo sio asiliyetu jamani yani sipendi mwanamke anaevaa suruali yaaani mtihani sn nampenda kwa kujiridhishatu kwa tamanio lake lakini nikizungumkuti tumcheni mungu tuepukane na mitihani ya mungu ogopeni sn
Tulikuwaga na lispika la ajabu sana miaka hiyo, na majitu mashamba sana
Pasipo maono taifa huangamia
Kwa nini msianze na utaratibu wa Wabunge wote kuvaa majoho wakati wakiwa kwenye vikao?
Sawasawa
Mm sijaona kama kavaa vibaya labda muwawekee majoho wakifika hapo muwavishe
Duuu sawa lakini udhalilishaji huo angepewa onyo kipekee
Kwan sheria hazijui
@@ibnually7648 nashangaa
Yaani wanawake kwa kuteteana utafkiri wanapendana kumbe maadui
Haya hilo bwangwa lina tatizo gani siyo kuteteana
Kwani lazima mvae suruali?
Anakiherehere
Hii iwe muendelezo Adi mtaan uku
Naaam
Kwa nini wasingemuita kwene kamati ya maadili ya bunge?
Bungee liwekwe bango la dress code nje linaloonyesha mivao isiyokubalika. Kwani huko ndani si kuna wengi na wanaume waliovaa suruali mninginizo!
Nadhani kimtindo umekasirika kiambiwa ukweli ! Wewe ushawahi kuona mbunge wa kiume kavaa matako nje acha unazi kichwani mmezidi kutuonesha makalio na mishepu yenu ! Nawewe katoe mfano bunguni .
Huu ulikua ushamba wa spika. Shame on him.
Hao ndio wabeba maono napeleka kelo za wananchi jamani
Baada ya wapeleke shida za watu , ,ushamba Tu unawasumbua kavaa uchi ,hapo sasa ,ni ushamba ,mmezoa mavitenge.
Stara iheshimiwe mpk aib
Na hk mtaani je ?
Wanaonyesha matako yao.
Hao wanawake wanaovaa hivyo, wanatangaza biashara yao.
Hakuna kitu, acheni raia wawe huru na mavazi yao, kwani hakuna aliezaliwa na nguo, na hakuna cha biashara yoyote ni fikra zenu duni.
@@mayrfrimi4759 Kama hoja ni kuzaliwa uchi kwanini unavaa nguo.
@@mayrfrimi4759 Uhuru gani wa kuvaa vibaya? Kama ni hivyo ubakaji uruhusiwe
Ila alipendeza huyu mbunge
Wengine ni watu wazima kidogo sijui wanatafuta nini nadhani hata mtoto anaelewa
Acha kuongea san
Zee limeomba mzigo limekataliwa
Babako ama ?
hivi unawezaje kujua kwamba huyu mtu hajavaa nguo za heshima kama hukuchukua hatua ya kumtazama.hebu tuwe makini na macho yetu sio lazima kumtazama mtu.
🤣🤣sasa tutazame wapi?
🤣🤣sasa tutazame wapi?
Ninamaana hv yani usimtazame mwanamke kwa kumtamani. sio una mtazama kwa kumtamani mambo yanakushinda unakuja kutusumbua ndani ya bunge.
Wee ndo mjinga wa mwisho kwani macho yana pazia? Acha kutetea upumbavu
YAANI NAONA HUJAFIKIRI, HIVI UNAMJUAJE NDUGU NA ASIYE NDUGU, MWENYE AKILI TIMAMU NA KICHAA? INA MAANA WEWE HUJAWAHI KUMWONA ALIYEVAA OVYO AU ALIYEVAA KWA HESHIMA. NA KAMA UMEWAHI KUWAONA, ULITUMIA NINI KAMA SI MACHO. KWANI KUNA SHERIA YA KUKATAZA KUONA? MIE NAJUA TUNAKATAZWA KUCHUNGULIA MTU KWENYE FARAGHA YAKE AU KUKITAZAMA KITU BILA RIDHAA YA MHUSIKA. KAMA WEWE HUTAZAMI YALIYO WAZI, BASI WEWE UNACHUNGULIA MAANA MACHO UNAYO.
Getini hukohuko..
Shameful for those women why are they still sitting with colonizers
Uzalilishaji wangemuita pembeni
Wewe ndio mzalilishaji aitwe pembeni vipi kwamba hajui kua yupo uchi?
Ni kweli ilipaswa wamstiri badae wamwambie ingekuwa bora zaidi
😅😅😅😅kazi kwelikweli
Wana jiuza wengine humo
Huyu mzee akakiherehere hatar
Getini huko huko
Nawewe kavae nguo za kubana kama ume kasirika
@@faridaltamimi7454 ivi umeelewa nilichoandika au umekurupuka
Angekuwa amevaa vibaya angerudishwa getini. Huyu Baba alikuwa na lake
Getini anarudishwaje wakati yupo na gari yke 😂😂😂
@@donjb3178 Wabunge huwa wanakaguliwa na usalama wa taifa kabla ya kuingia kwenye ukumbi
@@skeetermasoi3068 Sasa huyo kaingiaje humo ina maana hawakumkagua? Au hawakumuona?
@@donjb3178 Hata mimi hicho ndo nilichosema, kama walimkagua wakaona yuko sawa inakuwaje wamemtoa. Mi nahisi ameonewa
Wewe ndio una lako
Wanawake mbona wanatembea uchi kila mahali.
Duh! Aibu🤭
Wengine wakuja kuuza k tu kudanga kama huyu arusha magige
Anakiherehere