SPIKA NDUGAI ALIVYOMTOA NJE MBUNGE CONDESTER - "NENDA KAVAE VIZURI"..

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • SPIKA NDUGAI ALIVYOMTOA NJE MBUNGE CONDESTER - "NENDA KAVAE VIZURI"..
    Spika wa Bunge, Job Ndugai amemtoa katika ukumbi wa Bunge mbunge wa Momba (CCM) Condester Sichwale, kutokana na kuvaa suruali iliyombana.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

КОМЕНТАРІ • 115

  • @JohnMashamba
    @JohnMashamba Місяць тому

    Na maandiko ya Mungu yanabaki vile vile na IMEANDIKWA

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514 3 роки тому +6

    Ni kweli wanawake tunaenda uchi sana tunawapa shida wanaume wao wameumbwa na hisia za karibu sana

  • @frankmakomba378
    @frankmakomba378 3 роки тому +1

    Mfumo dume vazi ni zuri kabisa. Pia alichaguliwa na wanawake huko jimboni kwake. Msilete mambo ya jinsia na dini bungeni.

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we 2 місяці тому

    Vizur

  • @rehemamasoud3687
    @rehemamasoud3687 3 роки тому

    Dugai uko sawa izo nguo mtavaa mkitoka bungeni

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 3 роки тому +5

    Islam religion--ililiona hili kitambo

  • @emanuelisraelmandi5891
    @emanuelisraelmandi5891 3 роки тому +2

    Hawa wazee wanawachukulia vijana kama watt wao ni sawa lkn mambo ya kuaibishana kama watt hayana maana nadhan hekima imempungua mheshimiwa Omar angetumia namna nzur tu kumjulisha huyo mbunge , amenikera sana anataka avae baibui au kwann nahc analeta udini tu

  • @hamzanasry8011
    @hamzanasry8011 3 роки тому +4

    Kweli arudishiwe hukohuko getini asiingie

  • @jaffarabdullah4011
    @jaffarabdullah4011 3 роки тому

    Huyo mzee yuko sawa baadhi ya wanna wake mnapend kuvaa uchi mkiambia mnasema mnadhalilishwa wacheni kuvaa uchi

  • @papafikiri
    @papafikiri 4 місяці тому

    Maisha yanaenda kasi

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 3 роки тому +9

    Nyie waislam msitulazimishe tuvae kama nyie, hamtutendei haki, sisi wakristo, watu milioni zote tuvae utakavyo wewe haitawezekana ,

    • @suleimaniamadi1441
      @suleimaniamadi1441 3 роки тому +5

      Sasa Dada yangu ukristo umewaambia mvae nusu uchi mbona mnajitoa ufaham hata kristo atawashagaa

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 3 роки тому

      Kwahiyo Wakristo ndio wakaa uchi

    • @rmaryp6269
      @rmaryp6269 3 роки тому +5

      Walio wa Kristo org. Wanaliangalia Neno la Mungu na kulifuata. Neno la Mungu ktt Kumbukumbu la Torati 22:5 limeandikwa:- "Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyae mambo hayo ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako.

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 3 роки тому +5

      @@rmaryp6269 afadhali umetukumbusha maana mambumbumbu na mazwazwa mengi yanahisi ukristo ndio kimbilio Za uchenzi

    • @shabanimohamedi3680
      @shabanimohamedi3680 3 роки тому +1

      hatupo KANISANI apa BUNGENI kanuni na Shelia kuzingatiwe. asubili akienda KANISANI akaonyeshe DUDE.

  • @zainarashid1024
    @zainarashid1024 3 роки тому +2

    Na avae kwake au nyumbani sio kazini nawe vaa sio waislam heshima haiuzwi

  • @brightonkomba3200
    @brightonkomba3200 3 роки тому

    Huo ndo msimamo, nmekuelew Ndugai

  • @solomonsamson1907
    @solomonsamson1907 3 роки тому +2

    Yeye huyo Mbunge mbona amevaa kofia ya Msikitini kwani mule Msikitini, Mule Bungeni siyo msikitini Dada yupo vizuri..

    • @Muhammad-wu1om
      @Muhammad-wu1om 3 роки тому

      Mbona wakristo wanaingia na misalaba, kwan kanisani?

    • @solomonsamson1907
      @solomonsamson1907 3 роки тому

      Nimesema huyo Mbunge amevaa kofia, Sijasema waislam soma vizuri .

    • @Muhammad-wu1om
      @Muhammad-wu1om 3 роки тому

      kwan wanaoingia misiktin nan ww?

    • @faridaltamimi7454
      @faridaltamimi7454 3 роки тому

      Wapi ime andikwa kofia ya msikitini? Kwani kofia kama hizo wazee mikoani wanavaa tena nyekundu au chuki zako binasfi ? We zuzu mbuzi we tumia akili usitumie matako kufikiria! Kofia haina jina ni ya wapi.

    • @coyancodavao6891
      @coyancodavao6891 3 роки тому

      Kofia hiyo unavaa popote wee zuzu, ttzo lako hata sheria za nchi huzijui

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 роки тому

    Ni kweli vazi Hilo halifai bungeni.

  • @mohamediazizi3658
    @mohamediazizi3658 3 роки тому

    Na kwann mruhusu mavazi hayo ikiwa nyie ndio kioo cha jamii!!!!? Inashangaza sn kwa mtanzania kufanya vitu vya kuiga ninaimani hiyo sio asiliyetu jamani yani sipendi mwanamke anaevaa suruali yaaani mtihani sn nampenda kwa kujiridhishatu kwa tamanio lake lakini nikizungumkuti tumcheni mungu tuepukane na mitihani ya mungu ogopeni sn

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Рік тому

    Tulikuwaga na lispika la ajabu sana miaka hiyo, na majitu mashamba sana

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa3148 3 роки тому +2

    Pasipo maono taifa huangamia

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi 3 роки тому

    Kwa nini msianze na utaratibu wa Wabunge wote kuvaa majoho wakati wakiwa kwenye vikao?

  • @fidelludemwa2943
    @fidelludemwa2943 3 роки тому

    Sawasawa

  • @magrethmtengie5133
    @magrethmtengie5133 3 роки тому

    Mm sijaona kama kavaa vibaya labda muwawekee majoho wakifika hapo muwavishe

  • @verostaherman4952
    @verostaherman4952 3 роки тому +2

    Duuu sawa lakini udhalilishaji huo angepewa onyo kipekee

  • @aishadubat8028
    @aishadubat8028 3 роки тому

    Anakiherehere

  • @shebizo4769
    @shebizo4769 3 роки тому +1

    Hii iwe muendelezo Adi mtaan uku

  • @jumaramadhani5214
    @jumaramadhani5214 3 роки тому

    Naaam

  • @dr.djshigongo4927
    @dr.djshigongo4927 3 роки тому

    Kwa nini wasingemuita kwene kamati ya maadili ya bunge?

  • @floranyambominja5797
    @floranyambominja5797 3 роки тому

    Bungee liwekwe bango la dress code nje linaloonyesha mivao isiyokubalika. Kwani huko ndani si kuna wengi na wanaume waliovaa suruali mninginizo!

    • @faridaltamimi7454
      @faridaltamimi7454 3 роки тому

      Nadhani kimtindo umekasirika kiambiwa ukweli ! Wewe ushawahi kuona mbunge wa kiume kavaa matako nje acha unazi kichwani mmezidi kutuonesha makalio na mishepu yenu ! Nawewe katoe mfano bunguni .

  • @rogatianmtenga7265
    @rogatianmtenga7265 3 роки тому +1

    Huu ulikua ushamba wa spika. Shame on him.

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 3 роки тому +1

    Hao ndio wabeba maono napeleka kelo za wananchi jamani

    • @salomemchewa5187
      @salomemchewa5187 3 роки тому

      Baada ya wapeleke shida za watu , ,ushamba Tu unawasumbua kavaa uchi ,hapo sasa ,ni ushamba ,mmezoa mavitenge.

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 3 роки тому

    Stara iheshimiwe mpk aib

  • @abdillahhussein3020
    @abdillahhussein3020 3 роки тому

    Na hk mtaani je ?

  • @charlesmwisera7175
    @charlesmwisera7175 3 роки тому +2

    Wanaonyesha matako yao.

  • @rmaryp6269
    @rmaryp6269 3 роки тому +4

    Hao wanawake wanaovaa hivyo, wanatangaza biashara yao.

    • @mayrfrimi4759
      @mayrfrimi4759 3 роки тому

      Hakuna kitu, acheni raia wawe huru na mavazi yao, kwani hakuna aliezaliwa na nguo, na hakuna cha biashara yoyote ni fikra zenu duni.

    • @seifnassor3729
      @seifnassor3729 3 роки тому +1

      @@mayrfrimi4759 Kama hoja ni kuzaliwa uchi kwanini unavaa nguo.

    • @saidichilyenga2847
      @saidichilyenga2847 3 роки тому

      @@mayrfrimi4759 Uhuru gani wa kuvaa vibaya? Kama ni hivyo ubakaji uruhusiwe

  • @hamadiseleman3677
    @hamadiseleman3677 3 роки тому

    Ila alipendeza huyu mbunge

  • @faridaltamimi7454
    @faridaltamimi7454 3 роки тому

    Wengine ni watu wazima kidogo sijui wanatafuta nini nadhani hata mtoto anaelewa

  • @benedictmhina6741
    @benedictmhina6741 3 роки тому

    Zee limeomba mzigo limekataliwa

  • @albertremmy3479
    @albertremmy3479 3 роки тому +2

    hivi unawezaje kujua kwamba huyu mtu hajavaa nguo za heshima kama hukuchukua hatua ya kumtazama.hebu tuwe makini na macho yetu sio lazima kumtazama mtu.

    • @frankkaduganyatindo784
      @frankkaduganyatindo784 3 роки тому

      🤣🤣sasa tutazame wapi?

    • @frankkaduganyatindo784
      @frankkaduganyatindo784 3 роки тому

      🤣🤣sasa tutazame wapi?

    • @albertremmy3479
      @albertremmy3479 3 роки тому

      Ninamaana hv yani usimtazame mwanamke kwa kumtamani. sio una mtazama kwa kumtamani mambo yanakushinda unakuja kutusumbua ndani ya bunge.

    • @coyancodavao6891
      @coyancodavao6891 3 роки тому

      Wee ndo mjinga wa mwisho kwani macho yana pazia? Acha kutetea upumbavu

    • @willymwaipaja6783
      @willymwaipaja6783 3 роки тому

      YAANI NAONA HUJAFIKIRI, HIVI UNAMJUAJE NDUGU NA ASIYE NDUGU, MWENYE AKILI TIMAMU NA KICHAA? INA MAANA WEWE HUJAWAHI KUMWONA ALIYEVAA OVYO AU ALIYEVAA KWA HESHIMA. NA KAMA UMEWAHI KUWAONA, ULITUMIA NINI KAMA SI MACHO. KWANI KUNA SHERIA YA KUKATAZA KUONA? MIE NAJUA TUNAKATAZWA KUCHUNGULIA MTU KWENYE FARAGHA YAKE AU KUKITAZAMA KITU BILA RIDHAA YA MHUSIKA. KAMA WEWE HUTAZAMI YALIYO WAZI, BASI WEWE UNACHUNGULIA MAANA MACHO UNAYO.

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 3 роки тому

    Getini hukohuko..

  • @jmk7b947
    @jmk7b947 3 роки тому

    Shameful for those women why are they still sitting with colonizers

  • @mashaallhmkonokwakwamkonog4845
    @mashaallhmkonokwakwamkonog4845 3 роки тому

    Uzalilishaji wangemuita pembeni

    • @binrashid8671
      @binrashid8671 3 роки тому

      Wewe ndio mzalilishaji aitwe pembeni vipi kwamba hajui kua yupo uchi?

    • @faridaltamimi7454
      @faridaltamimi7454 3 роки тому

      Ni kweli ilipaswa wamstiri badae wamwambie ingekuwa bora zaidi

  • @mwanajumamohammed6327
    @mwanajumamohammed6327 3 роки тому

    😅😅😅😅kazi kwelikweli

  • @mussataliye7815
    @mussataliye7815 3 роки тому +1

    Wana jiuza wengine humo

  • @aishadubat8028
    @aishadubat8028 3 роки тому +1

    Huyu mzee akakiherehere hatar

    • @binrashid8671
      @binrashid8671 3 роки тому

      Getini huko huko

    • @faridaltamimi7454
      @faridaltamimi7454 3 роки тому

      Nawewe kavae nguo za kubana kama ume kasirika

    • @aishadubat8028
      @aishadubat8028 3 роки тому

      @@faridaltamimi7454 ivi umeelewa nilichoandika au umekurupuka

  • @skeetermasoi3068
    @skeetermasoi3068 3 роки тому +1

    Angekuwa amevaa vibaya angerudishwa getini. Huyu Baba alikuwa na lake

    • @donjb3178
      @donjb3178 3 роки тому

      Getini anarudishwaje wakati yupo na gari yke 😂😂😂

    • @skeetermasoi3068
      @skeetermasoi3068 3 роки тому

      @@donjb3178 Wabunge huwa wanakaguliwa na usalama wa taifa kabla ya kuingia kwenye ukumbi

    • @donjb3178
      @donjb3178 3 роки тому

      @@skeetermasoi3068 Sasa huyo kaingiaje humo ina maana hawakumkagua? Au hawakumuona?

    • @skeetermasoi3068
      @skeetermasoi3068 3 роки тому

      @@donjb3178 Hata mimi hicho ndo nilichosema, kama walimkagua wakaona yuko sawa inakuwaje wamemtoa. Mi nahisi ameonewa

    • @binrashid8671
      @binrashid8671 3 роки тому

      Wewe ndio una lako

  • @charlesmwisera7175
    @charlesmwisera7175 3 роки тому

    Wanawake mbona wanatembea uchi kila mahali.

  • @nishasalim2880
    @nishasalim2880 3 роки тому

    Duh! Aibu🤭

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 3 роки тому

    Wengine wakuja kuuza k tu kudanga kama huyu arusha magige

  • @aishadubat8028
    @aishadubat8028 3 роки тому

    Anakiherehere