JOHN HECHE -"TUTAWEKA NYARAKA za MARIDHIANO WAZI -ALISAINI KINANA na MBOWE -KILA KITU KILIKUWA WAZI"
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- JOHN HECHE -"TUTAWEKA NYARAKA za MARIDHIANO WAZI -ALISAINI KINANA na MBOWE -KILA KITU KILIKUWA WAZI"...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Nakupenda bure ndugu Heche kwa uwazi, kuwa mkweli, shujaa bila kuwa mwoga. Ni watu wachace sana kama wewe. Watanzania tungekuwa hivi, Taifa letu lingeshasonga mbele sana. Watanzania tuache unafiki, tuache kuwa machawa, tutumie elimu zetu kwa manufaa ya umma na maendeleo yetu sote na maendeleo ya mtu binafsi. Ni wachache sana wenye hekima, na utashi b na kuvitumia bila woga. Unapata elimu unashindwa kujitambua kuwa una majukumu. Shida tupu.
Endelea kutoa elimu bure kwa watanzani bila kukata tamaa. Wameanza kuwaeleweni. Watanzania wanaelewa ukiwapa elimu sahihi. Na Watanzania wanauelewa mkubwa sana. Wanawaunga mkono.
Asante Mh. Heche, unaongea ukweli ndg,nakupenda sana, 2025 Mungu akupe kibali uwe mbunge wa Tarime vijijini. Tunakuhitaji Bungeni.
Big up sana bro uko street hapindishi ukweli daima
Safi sana
Heche upo vzr
Hawa wametufichia sukari na Mgao wa umeme. Chadema wamehukumiwa serikali
Heche is a good politician!
100% nakupenda bile mkuu
Safi sana heche
Mnamuogopa huo ndo ukweli ndo maana amewahamisha agenda
Heche ni jembe!.Mungu aendelee kumlinda na kumtetea!
👊✌️👍.
Mbona Sasa mara nyingi mnamshukru mama
Kwa hiyo kama kuna jambo atakuwa amefanya vizuri asipongezwe?
Ruzuku ni matekeo ya uchaguzi
Napenda watu wanao ongeya ukweli
Tunamshukuru kwa serikali kwa kufyeka mashamba ya bangi.
Global mmesomea wapi mnarusha vipisi vya interview haijulikani ipi ya mwanzo ipi ya pili . Try to make improvements
Nimekupata heche poit nzuli
Ruzuku Ni haki yenu Chadema pia ni Kodi ya wananchi cyo Hela ya mama Wala CCM
Eti unaenda kujichungulia ujue kama ww ni mwanamke au mwanaume
Mume ramba asali ya samia mwizi mwenzenu
Waongo ofisi imejengwa wap
😂😂😂 heche ni chuma
🎉kama mwenyekiti wako mpaka Leo anaona hakuna mwingine kama yeye funga domO
Si yeye M/kiti Mbowe anajiona ni yeye peke yake anafaa, ila wenye akili kuliko wewe wanafahamu kuwa MH. Mbowe ni Mwenyekiti Bora kuliko mwenyekiti yeyote aliyewahi kuwamwenyekiti wa chama cha siasa nchini tangu uhuru !!! KATIKATI YA BONDE LA UVULI WA MAUTI AMEIJENGA CHADEMA IMARA ISIYOTIKISIKA, MBOWE ANA VIONGOZI WENYE AKILI KUBWA AJABU!!! Wajinga Wana amini maneno ya propaganda za CCM, Mh. Mbowe ndiye KIBOKO CHA CCM WAMESHINDWA KUMNUNUA KWA SABABU SI MALAYA WA KISIASA NI KIONGOZI WA KWELI, ILIVYOBAHATI MBAYA TU TAIFA LIMELEMEWA NA WATU WENYE UWEZO MDOGO WA KUFIKIRI HATA KUSHINDWA KUMTUMIA KULIKOMMBOA TAIFA KUTOKA MIKONONI MWA MAFISADI. WANA ISHIA KUZIAMINI PROPAGANDA ZA CCM. WENYE VITI KARIBU WOTE UKIMWACHA ALIYE KUWA M/KITI WA NCCR MAGEUZI MH. J. MBATIA WALISHA TIWA MFUKONI MW CCM KUNA WENYE VITI WANA MUDA MREFU KULIKO MH. MBOWE LAKINI CCM HAWAWATAJI KUWA VYAMA VYAO HAVINA DEMOKRASIA KWA SABABU NI WATEJA WAO. M/ KITI WA CUF NI TANGU LINI? NA UDP NI WA TANGU LINI? N.K.
AF NYIE WAANDISH KABLA YA KUWAITA HAWA KWENYE INTERVIEW MSIWARUHUSU KUTUMIA POMBE KALI WE UNAONA ANAVYO ROPOKA OYO YUKO CHAKAL ATAR EM NEXT TIME MSIRUDIE BANA JAMAA YUKO CHAKAL HAJIELEW KABISA
pumba
Hivi kati yako na Heche nani yuko chakari na hajitambui. Kama huwezi kuelewa kinachoongelewa katika interview hii basi wewe uko chakari!
Sijawahi ona mtu anayeandika kwa herufi kubwa maneno yote kuwa na akili😅😅😅
@@issaowden4400 You're quite right, that's understandable fact!
Bado Heche haujanishibisha. Ruzuku ni ya chama cha CCM? Mi nilijua au nijuavyo ruzuku si ya chama tawala ila ni fedha ya umma ambapo imetengwa kisheria ili kuimarisha demokrasia nchini. Na mgao wake ni sahihi ulivosema itategemea sasa kura/wabunge ulionao. Na hata chama tawala nacho kinapata mgao wake kwa sheria hiyo. Sasa unataka kuniambia mfano CCM imetoka madarakani, itaondoka na hela/ruzuku yake?
SIASA ZA MAJIMBO MNATAKA KUGAWANA TAIFA LETU
Acha ushamba wewe nnchi nyingi Zina tumia huo mfumo 😊
Chadema mmehujumu serikali, mmesababisha shida yasukari na umeme
Wewe unaonekana jinga lisilojitambua! Utakumbuka shuka kumekucha wewe kupe wa ccm!
Wamehujumu ya baba ako
Pumbavu tu huyu,kila siku katiba katiba mumeishiwa hoja
Mjinga tu anawaza katiba tu
Huwa nashangaa Sana watu bado wako Kama hivi heche ni moja ya vijna shupavu sana Tanzania
Wamehukumiwa serikali, mgao wa umeme na sukari niwao
Ww unaoona Katina ainaumuim bakinamakonda
Wewe ni zuzu kweli kweli aiseee