*Habar zenu ndugu zangu naomba nikukarbishen katika masomo yetu yanayohusu tiba za maradhi mbali mbali kila Alhamisi saa2usiku karbuun mjifunze ingia UA-cam andika sir Binladen 786*
Dr kumbuka mm ni mdau wako naomba useme na wanaume waliotuweka tuishi ukweni ikiwa Ana uwezo wa kupanga,ukimwambie basi tupange imekuwa mda typo hapa hakuelewi Cha ajabu zaidi huyo mama mkwe alivyo na kisebengo usivae nguo ambayo hajawahi kuiona hata Kama ulikuwa huivai Mara kwa Mara anakusemq kwa wapangaji wake,gubu la chini chini ,kununa ndio mahala pake,mm naomba useme na wanaume wasiopenda kubadilika tunakosa Uhuru na kutamani kukimbia ndoa,hata kusuka upendeze inakuwa tabu.
Wewe kumbuka ukitoka kwenye ichi kipindi na mm natoka👌
Nakupendaga sn dr kumbuka unamaneno jmn ts like unayasoma sehemu!!!
🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Nimechekaa baiyaaa 😂😂😂😂
Waoh! bora mmerudi jmn nawapenda
Ilikuwa kikii
Nakukubali sana Dr kumbuka ningependa kufanya kazi nawwe
Docta kumbuka kunjwa maji kidogo ila nakupenda sn unaelimisha wallah
baiyaaa leta toto 😄😁😁😆😆kumbuka kweli ni kichefuchefu
Swebe nakupendaje Ila mwili nyumba
Nashukuru mmerudi tena kipindi
Ndugu waki gombana shika jembe mkalime wakipata shika kapu mkavune mme nifurahisha kwali hongereni kwa hilo
Mumerdi tena nimefurai sana kuwaona tena 😂😂
Ilikuwa kikkii
Mim mwenyew kijumbe nazitafuna
Halafu swebe Unapenda mashati y mistari Kw nini
Waaaambie wajumbe midomo yao iko kama ya kunguru baadhi yao lakn
Vijumbe wana zingua kweli
😂😂😂😂😂😂vijumbe
Swadaktaaaa
Haswaaaa
Wape
Kweli kabisaaa
Sasa hivi huyo mama atawaheshimu
Kuntu 👌
Uhondooooooooo
*Habar zenu ndugu zangu naomba nikukarbishen katika masomo yetu yanayohusu tiba za maradhi mbali mbali kila Alhamisi saa2usiku karbuun mjifunze ingia UA-cam andika sir Binladen 786*
Ugali na siki mtamu htri unakula balaa
Maputo ya bathyday
Kaz yao kuvimba mishavu kama mimba ya panya
Wapo wengi aisha wa moro wakipokew wao hawataki kulipa
Vijumbe mpoo😂😂😂😂
Wapewe salaam 😂😂
Haswaaaaa
Hahahaha wamerudi
Kumbuka naomba uzungumze na mashangazi jmn Wake wa Makaka watoto wa Makaka hawapumui jmn
Wewe ni mume wa mtu kwali hiyo mke akasome Kwa mashushu
Mmeelewana msije mkasusa tena.
Mmepatana eeeh? Mana mlijua kuwakiana ile siku!
Kijumbe anavunja mayai
Mwingine anachukua hela alaf anatafuta safari na hela zenu,
😂😂😂😂😂
Hahahaaa mweee
Good
Umejuwaje umenifurahisha sana yupo kijumbe taper kaka mpatiye maneno yake
Hahahaahaaaaaaaahaaa
🤣🤣🤣🤣
Ila swebbe dah unajua kutia chumvi 🤣
mmbeyaaaa huyo balaa 😄😄😄
Sio chumvi tu na pilipili😂
😆😆😆😆😆😆🐓🐓🐓🐓🐓🐓📌
*Mvuto wa kupendwa na watu kazin biashara*
ua-cam.com/video/rdBBJqLQ8GE/v-deo.html
🤣🤣🤣
😆😆😆
Sofia ameendawapi
Kuolewa
Dr kumbuka mm ni mdau wako naomba useme na wanaume waliotuweka tuishi ukweni ikiwa Ana uwezo wa kupanga,ukimwambie basi tupange imekuwa mda typo hapa hakuelewi Cha ajabu zaidi huyo mama mkwe alivyo na kisebengo usivae nguo ambayo hajawahi kuiona hata Kama ulikuwa huivai Mara kwa Mara anakusemq kwa wapangaji wake,gubu la chini chini ,kununa ndio mahala pake,mm naomba useme na wanaume wasiopenda kubadilika tunakosa Uhuru na kutamani kukimbia ndoa,hata kusuka upendeze inakuwa tabu.
Pole sana aiseee
🤣🤣🤣🤣🤣
Fujo ziliisha mulielewana