Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
DR KUMBUKA - WANAUME MUACHE KUWA WASIRI KWA WAKE ZENU
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 3 вер 2020
КОМЕНТАРІ • 143
Наступне
Автоматичне відтворення
JOGOO AWAGEUKIA BAADHI YA WANAWAKE WANAOWASALITI MARAFIKI ZAO.Dina Marios tv
Переглядів 8 тис.
DR KUMBUKA - MNAOTEMBEA NA WAUME ZA WATU MJUE KULA NA KIPOFUDina Marios tv
Переглядів 51 тис.
MIMI SIO MCHAMBAJI ILA NAONGEA KWA TEMPO, WATU WANAFKI SIWAKAWIZI NAWAPA HAPO HAPO- DR KUMBUKADina Marios tv
Переглядів 40 тис.
🔥 Уся правда про українську СУДЖУЗе Інтерв'юер
Переглядів 198 тис.
Танки ВСУ в Курской области. Что происходит? Руслан Левиев о прорыве границыТелеканал Дождь
Переглядів 2,6 млн
Идеально повторил? Хотите вторую часть?⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Переглядів 17 млн
Дочка Фаріон сяде в тюрму! Хлопець вийде на волю!НОВИНИ МЕДІАКОР
Переглядів 233 тис.
FUKUZA, HAKUNA KUWA CHEKEA CHEKEA HAWA | JOGOO WA MCHANA - DR KUMBUKADina Marios tv
Переглядів 21 тис.
MAKOSA YA KUYAEPUKA KATIKA MALEZI SEHEM YA 5 FULLBUSATI ONLINE TV
Переглядів 201
LEO JOGOO ANAONGEA NA VIDUNYU WOTE WENYE MANENO MANENODina Marios tv
Переглядів 8 тис.
DR KUMBUKA , AKICHAMBANA NA MARIAM MIGOMBA SEASON 1Ndallo Media
Переглядів 6 тис.
Once You Learn These Life Lessons, You Will Never Be The Same (Advice From Old People)Wise
Переглядів 3,7 млн
WAKILI MADELEKA “POLISI KUKAMATA VIONGOZI WA UPINZANI NI MATUMIZI MABAYA YA AKILI WAJITAFAKARIKUSAGA TV
Переглядів 32 тис.
MUACHE ROHO ZA TAMAA| MNA ROHO MBAYA SANA WANAWAKE DR KUMBUKADina Marios tv
Переглядів 51 тис.
LIVE JIRANI: IJUMAA YA MAOMBI NA FREE STYLE / ALLY KAMWE NDANI YA STUDIOCrown Media
Переглядів 679
NDOTO NYINGI NI ZAKWELI // SHEIKH OTHMAN MAALIMarkas online tv
Переглядів 23 тис.
Яшин - интервью после тюрьмы / вДудьвДудь
Переглядів 7 млн
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000MrBeast
Переглядів 150 млн
КУРСК в ОГНЕ, кадыровцы грызутся с ГЕНШТАБОМ РФ, а СКАБЕЕВУ послалиТелеканал ICTV
Переглядів 1,6 млн
Атака ВСУ на Курскую область: что происходит?BBC News - Русская служба
Переглядів 3,4 млн
КУДА ДАЛЬШЕ ДВИНУТСЯ ВСУ? БЕСЕДА С ЮРИЙ ФЕДОРОВФЕЙГИН LIVE
Переглядів 532 тис.
Я тоже так могуDouble Bubble
Переглядів 2,2 млн
Алексей Щербаков разнес ВДВшниковBody Mania
Переглядів 10 млн
«Це край, де я родилася й живу! І нікуди я звідси не поїду» #shortvideoСуспільне Запоріжжя
Переглядів 342 тис.
Nani anekubali usia wa Dr kumbuka kama unatoa mchango mkubwa kwa jamiii
Tuko pamoja
Wanawake wasasahivi tunaogopewa kwa sababu tumekua majambazi
Kweli kabisa! Labda limpate janga ndiyo atasema eti ooh! Nilinunua kiwanja kinamgogoro ndiyo utajua ! Wanaume wa hivyo wapo sana!
Mungu ameshaona roho za wanaume ndiyo maana anawatumbua.
Dr kumbuka unanikosha mie Allah akuweke na akujaalie afya njema
Dr kumbuka kunywa soda kwa mangi nitalipia nakuckiliza USA 🇺🇸
Mmhu wallahi huyu jamaa kajaaliwa MashAllaah vyote huwa anavyoviongea Ni vyakweli vipo kwenye jamii Allah Azidi kukupa umri mrefu yarabil -aalamin
Maneno kuntu dr k allah akuweke uzidi kutuzindua
Ukimuuliza atakuvunja shingo au akuchoma na mkaa kama nyama choma iliyobaki ni kuondoa udhia kumuacha aishi maisha yake na wewe Mungu atakupa maisha yako. Life goes on.
Yani ww kaka napendamanenoyak yabusara san from🇧🇮
Inauma hiyo basi Tu sisi wanawake Tunavumilia na mengi, tunaogopa hata kuolewa kisa Tunayoyaona...
Nachukia sana mwanaume akiwa msiri
Oyoooooooo piga kelele kwa kumbukaakeeee
Dr kumbuka maneno mbukwa duuu asante kaka
Dr . kumbuka mada ya leo nzuri. Nawasikiliza kutoka Canada.Nawapenda sana.
Nakupata nikiwa DRC Dr. Hongera unatujenga sana. Mungu azidi kukupa kipaji uwaguse wengi
Kweli kabisa dr.kumbuka nawapenda saaana love from UK in Newcastle
Like za kumbuka jmn
Kabisaaaa kumbukaaaaaaa yaani unawagusaaaaa
Am based in Uganda
Guy I love ur approach
Yamenikuta mm hayo kbs🇧🇮
Pole ni makosa Sana...
Mmh kumbuka hatari kweli hii vunja ukimya
Wallah we Kaka unanikumbusha mbali
Wapeeeeeeee! Dr Kumbuka
Tena hawataki hata kuulizwa
Kumbuka ww kumbuka dk nakupenda bureeee daah itakuwa unachuo unasomea c kwa maneno kuyapanga uko jmn allaah akuzidishie uzd kutusimamia wanawake tumejisahau sana tulioolewa jmn
Naona comment ni za wanawake tu wanaume mke wapi😀😃😄😄😄 km nawaona kila mki taype mnafuta mnataype mnafuta ata lakukoment hamna zamu yenu leo uhondoooooooooooo
Kweli kabisaaa Kaka ❤️❤️❤️❤️
Doctar kumbuka wew hujaniacha salama mbna kila siku wanitaja tuu...jaman Allah akueke 🙏
From 🇴🇲 nakusikiliza yani kweli Dr.kumbuka unawaponya wengi wanawake tuvunje ukimya ayeeh
Napanda kukusikiliza saana una ujumbe mzur saana
Nayafurahia sana mafundisho yako
Nikweli kabisa kaka yangu
Kama vile tuko leba mochwari ni kweli kaka yapo 💋💋💋penda sana kaka ww
Napenda mda wenu hauchoshi👏👏
Kwakweli kumbuka umeongea ukweli mtupu tunaishi nayo hayooo mume hakushirikishi chochote ukiuliza kosa mueka hazina ndugu mm wangu pesa zake ndugu zake wanamuekea kanunuwa nyumba hata kujuwa nlikuwa sijui niliskia kwa watu wakaribu ana kiwanja kikubwa sijawahi kuona hati ata moja siku nlipouliza alinambia ndugu zake ndio anowaamini kuliko chochote na ndio wataomzika leo umenigusa kumbuka mmnnlikuwa nikihoji naonekana km nataka mali maneno inakuwa mengi kwa sasa nimeachana nayo na siyawazii tena alhamdulillah nafanya maisha yangu
Amina rafiki yangu alimwacha bwana sababu dada na ndugu wote wanajua mali ya bwanako..amejenga majumba mangapi na bibi hajui. Hata mume kuoa aligundua kama mtoto ashazaliwa...yeye hajui lakni familia na marafiki wanajua. Ilimuuma Sana akatoka. Sahii yuko sawa amepata mtu mwengine yuamhusisha kila kitu. Kenya
Wapowengi sana migume gume wape wape maneno kuntu 👌
Kumbuka kumbuka kumbuka mlbavu baba asnte nimecheka wallahi
Ndio yanayonitesa moyo wangu
Kabisa yani hujawakosea nawapata nikiwa IRAQ
Aisee Dr kumbuka wasema kweli kabisa 💕
Congratulations
Mungu azidi kukuatamia ili uendelee kuelimisha jamii
kumbuka we unanikosha
Kweli kumbuka
Jogoo mpeni tuzo jamani
Kweli kapbsaaaa dr kumbuka. Jogoooo hoooooiiii
Yaaaan dah kama unaonaga jaman big up kumbukaa
Kumbuka mwenye kumbukumbu zake umenitoa machozi jamani kaaaaah nimecheka njugu mawe maarage choroko🤣🤣🤣🤣🤣🤣
True story dr,yalinipata hayo,nashkr sahii nimempata wa undani kabisa,hatufichani kitu.
Mm mumewngu kaachishwa kazi ndio anasema kuwa alikuwa analipwa million nne
Unanikosh xan Doctor kumbuka nafurahi sana unavyoongea maneno ya maana
Kweli kabisa ukiuliza unaambiwa umekuja kuchuma amesaau umemkuta anakitanda chafuti tatu
Kweli kabisaaa !!! Longa!! longa!!!Dr.🇧🇪🇧🇪🇧🇪
Ni kweli
Wape makavu baba, kumbuka kama kumbuka😁😁😁😁😁😁😀😀
Kweli uyasemayo kweli wanaume wabinafsi
🇧🇮🇨🇦 kweli...👌👌🥰
Umenikoshaaa dr kumbuka
watu waburundi tujuane
Yamenikuta ukiuliaza unajibiwa unasaidia nn nikushilikishe ?
Mbona umenishika ndipo Dk kumbuka
Nakupendea hapo tu! Uwazi na ukweli!
Naomba no zetu jmn nataka kuongea na kumbuka
kweli kabisa unazungumza ukweli 🙏🙏🙏👍
Yani kumbuka nakupenda mie weye msema ukweli km marehem shehe nyundo
Jogoo awike sanaa Doha Qatar hoeee Dr kumbuka
Wapo kaka ujawaikoxea
Hahaha niache mie eti minjoosho kama mwalim wa kiswahili basi hayaaaa🤣🤣🤣
Hapo umesema yamenikuta mie hayo nimeolewa miaka kumi na mume yupo uk . Kila anachofanya ananificha hasemi ukweli ,kanunua kiwanja hakunambia kanuna shamba hakunambia kanunua.gari haku nambia anafanya biashara hakunambia nimechoka nimedai talaka nimemkimbia nipo ujerumani 🤣🤣
Mam pole haikuwa ridhiki na umejitahidi mno, sie wengne tupo tupo tu
Usiwe na haraka kwa sasa utapata wa size yako kutoka kwa mungu
Daaah kweli kabisa
Ukiuliza unaambiwa nimelipa made I yy Kila cku ni WA madeni tuu
Jogoo wikaaaaa wape wapee jogoo
Yamenikuta hayo
Mabaharia tukutane SAA kumi jioni kuna kikao cha dharula inapaswa tumjadili huyu kumbuka naona anatupanda kichwani sasa nikiwa kama mjumbe kutoka magharibi mwa Tanzania nitatoa tamko leo
Rashid hassan kadege @
😁😁😁 msg sent iyo mkitane lkn ukweli ndo uwooo😁😁😁
😘dk kumbuka
Hata chupi hununukili tehe tehe tehe tehe
Hapo sawa
Aki youtube. Watufanyie mpango wa record sauti jmn 😁😁😁
True
Kweliiii 🏴
🥰🥰from🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Kiukweli dkt hapo umesema ukweli tatizo wanaume hawataki kuulizwa
Dk kumbuka unajuwa kutibu watu 😀😀 huondo ndio mpago mzima
Kipindi cha uhondo kinanoga kuwepo Dr kumbuka
Hii kali
Kweliiiiiii
Umesema kweli tunayaaona meng nandugu bado wanawazulumu
Wala siuwongo hana muamana hao
Waambie ao sio wamesimamisha maskio kama maandazi ya nazi😂😂
Heheheheeee
Chezea kumbuka weye 😁😁😁😁
Tukihoji kipigo.
Gonga loke
Kbsaaaa wanawake vunjeni ukinymaa
Tenaaaa
Swadaqta maneno yako
Waambie wakusikie jogoo😁😁😁😁😁
kabisa wambie hao wp telelee
Yamenikuta hay
Vp
Utadhan mama yake ndio anampa starehe wapupavu sana
😃😃😃😃😃kweli kabisaaa umenifurahisha utampaje hati mama yako mzazi?
Pambeeeee tu