Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
WAHUDUMU WA AFYA MUACHE KUWA NA TABIA ZISIZOFAA MAENEO YENU YA KAZI JOGOO WA MCHANA
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 16 лис 2020
КОМЕНТАРІ • 64
Наступне
Автоматичне відтворення
MIMI SIO MCHAMBAJI ILA NAONGEA KWA TEMPO, WATU WANAFKI SIWAKAWIZI NAWAPA HAPO HAPO- DR KUMBUKADina Marios tv
Переглядів 40 тис.
JOGOO AWAGEUKIA BAADHI YA WANAWAKE WANAOWASALITI MARAFIKI ZAO.Dina Marios tv
Переглядів 8 тис.
MBIO ZA URAIS 2025: NABII ROLINGA NA SIRI NZITO, GIZA NENE ''SI RAHISI''Haleluya Tv
Переглядів 65 тис.
Битва умов. ❤️ПІДПИШИСЬ! Андрій Попик. чат рулетка.Андрій Попик чат рулетка
Переглядів 449 тис.
Я тоже так могуDouble Bubble
Переглядів 2,2 млн
Почему саморез не держится в дереве. Столярные секреты.Стройхак
Переглядів 2,5 млн
MLENDA WA BAMIA NA KARANGA MTAMU SANA / KOMBATASTYFOODKombatastyfood
Переглядів 7 тис.
DR KUMBUKA , AKICHAMBANA NA MARIAM MIGOMBA SEASON 1Ndallo Media
Переглядів 6 тис.
Soma Surah 2 Hizi Kila Usiku Ni Kiboko Kwa Wachawi Na Matatizo Yote / Sheikh Hashimu RusaganyaDARSA TV
Переглядів 7 тис.
WANANDOA TUNZENI SIRI ZENU MSIANIKE MITANDAONIEFM TANZANIA
Переглядів 328
"Mawazo" Sehemu Ya 66 Thoughts Dr Elie VD WaminiaChomoza Tv
Переглядів 3 тис.
KUMBUKA KAFUNGUKA "MIMI SIO MCHAMBAJI, NIMEJISOMESHA QT, NINA VYETI VYA UANDISHI, NIMEPITIA MAGUMU"Millard Ayo
Переглядів 32 тис.
DR KUMBUKA BAADHI YA WATU MUHESHIMU MISINGI NA MAMLAKA YA NDOA JOGOO WA MCHANADina Marios tv
Переглядів 5 тис.
LEO JOGOO ANAONGEA NA VIDUNYU WOTE WENYE MANENO MANENODina Marios tv
Переглядів 8 тис.
Колишній увʼязнений - про мотивацію воюватиСуспільне Новини
Переглядів 1,2 млн
😳 Все русские уже знают итальянский?🇮🇹Super Italiano
Переглядів 5 млн
MELLSTROY - первое интервью: как живет самый обсуждаемый стример годаВПИСКА
Переглядів 5 млн
КУРСК в ОГНЕ, кадыровцы грызутся с ГЕНШТАБОМ РФ, а СКАБЕЕВУ послалиТелеканал ICTV
Переглядів 1,6 млн
бедный дед на ламборгини проверяет силу прохожих и платит за подъем гириABRACADABRA TV
Переглядів 8 млн
Советы на всё лето 4 @postworkllcИстория одного вокалиста
Переглядів 5 млн
SCHOOLBOY. Последняя часть🤓⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Переглядів 10 млн
Кадиров пішов НА ПЕРЕГОВОРИ із ЗСУ? АХМАТівці ТІКАЮТЬ! Київ захоплює НОВІ МІСТА РФ | НОВИНИ СЬОГОДНІУКРАЇНА СЬОГОДНІ
Переглядів 517 тис.
Maneno ulosema nikweli wallahi baadhiyao hawana imani ALLAH anawaona visirani kweli
Nilienda magomeni MUNGU apishie mbali nilishinda siku nzima
Yaani haswa hospital za serikali naomba ziwekwe camera na control room ili haya muyaone vingozi
Dr kumbuka my al time crush
Kweli Dr yani yanatokea
Huyu dr kumbuka jmn 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Leo tumechambwa ila mm sipo ivyo hadi manesi wenzangu hunichukia zay from Iraq
Kweli kabisa dr kumbuka , ipo sana hiyo
Kweli Kumbuka kabisa mimi naikumbuka siku moja nimepelekwa hospital sasa mie nimuoga sana wa shindano bsi sister anga anamwambia yule mchoma shindano huyu muogaa kama nini ngoja tumshike kajibu we muaache tu ntamtiaa mabaooo sasa yaani nituliaa bila kupendaaa kweli kabisaaa
🤣🤣🤣🤣🤣
@koja Helly 🤣🤣🤣🤣🙋♀️uyoooo meme kabisaaa yan heeeee me niliambiwa kuvua chupi unaweza Sindano unaogopaaa
@@thresherjordan6829 ahahahahahaha nimechekaa
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yani baada nicheke yani nalia machozi yananitoka😭😭😭nilienda kuzaa amana nilitaka kufa na mwanangu Allah kwa rehma zake kanisimamia yaliyo nikuna sina ham sitosahau mpaka nakufa ila nimewasamehe
Jamani matatizo hayo temeke uspitali tobaaa haswa sehem ya ultra sound utakoma pale ni byeshara ya tissue kwenda mbele 😭😭😭😭
Kweli kabisaa nilipeleka mgonjwa dokta anamuuliza Aya wewe unaitwa Nani Mimi namwambiya anaitwa Fulani anaanza kumgombeza uyo mgonjwa kwanini unazarau uyu mgonjwa anazarau kweli kumbe kashakufa ana mfokeya maiti
Jamaniiii Dr nakupenda yamenitokea nilitaka kuwasaidia tz watu nikakasilika sana haswa mimi nikazi yangu huku nje. Nikasikitika sanaaaaa nakuomba waambie sana
Waambie kumbuka huwa wanajiona wamefika wanasahau Kama maisha tunategemeana ngoja wakukute wewe Sasa kwenye eneo lako la kazi wajichekesha Kama mzungu mgeni waonekane wastaraabu
Kàbbsa
Nàmí nkíwajua ñàwanyóosha
umeongea jogoo wahudumu wengi wao hawana adabu wanajiona wamefika mi mwenyewe nna hasira nao atari.
Aslm alkm kaka zangu na dada zangu kwa majina fatuma Said mm mkenya napenda kutetea umma jee mwaeza nisaidia vipi jinsi ya kufanya hii kz munifundishe plz naomba jibu
Leo umenigusa hatar ningezaa kabla ya miezi hapo zakhem hospital pameoza jamani....
Pole dear
Wanatakiwa manager awe anapita kila mara kuwacheki watu wazembe kwani hiki kime kua too much
Wanaweza kumsemanga mgonjwa na kumuona kama taahira sababu ya ugonjwa wake
Unaumwa uchungu nesi unamkuta kapaka hina kuchani, eneo la kazi kweli mtu anapaka hina
Safi
Yashantokeaga sema kijijini kwetu mi niliwachamba kwa kweli!
Wapeeeeeeeeeeee😂😂😂😂😂😂
Yaani kweli kabisa
Kelelewe hahahaaaa
Kbsaa wadum wanakera kwely
Yani kila siku nakusikiliza reo nskupa.1000 zote zako
wauguzi muna dhambii nyieeee
Maneno kuntu Dr kumbuka kweli kabisa awa tendei haki wagonjwa. Tena usiombe umepata Shida ucku eti doctor kalala hasa wanawake.nishida kasabisa.
Yahani hiyo ya wahudumu wa hospitali haswa wanawake hawana wito kabisa na hii kazi wanakera sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sawa tutafanya hivyo ahsante sana kwa ushauri wako Dr kumbuka
Dha kwel kabisa
Kumbuka eti, head spin😂😂😂uhondooooo
Kweli hawana maneno mazur kabisa
Tena na. Manes wanaowasaidia wa mama wajawazito kujifungua ndo wanatabia mbaya
Wamenikumbusha hospital.mwananyamala namwita nesi njoo mtoto keshatoka bila kuniangalia kanipiga kibao.baada yakujifungua bila aibu naomba hela yasoda
Wapeeeeeee
Kumbuka ilinitokea mimi mume wangu kuandikia vifaa vya uparesheni elfu 50 nilijifungua kawaida nurse alitokomea navyoo
Kwl kbs
Sitamani kuumwa wana initokee kuumwa wauguzi chefuuuuuu fyuuuuuuuuuu
hapo uwe na uchungu wakata ufungue ukakoma
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀kumbuka akeeeeeeeeeeeeeh😁😁😁
kumbuk umesem kwali man wanajion ndo wamemaliza kazi wakat Kaz ni wito2 lkn wagonjwa tuna nyanyasik sn hiz za serikali ni shidaa tupu wamezid jp so wote lkn asilimia Mia ndo tabia zao
Yani kumbuk utaniua mbavu 🤣🤣🤣🤣🤣
🤔😂😂😂😂👌
wapee baba njo maana zingine ichi wanatuzidi kila kitu mimi nafasi nipo camera zinajaa hospital nzima wapee
Haswa hao wanawallke wachafu wa tabia wanajiona pumbavuu wakubwa
😃😃😃🤣
Ila nikweli kabisa
Yani wape vidonge vyao hawajui majukumu ya kazi ya mwisho wa mwezi tu tena wanamatusi usiombe tena wanawake ndio sana
Zakhiem pale huduma zao ziro kabisa
Kweli maneno yako na hiyo ndio ilivo na wakifukuzwa kazi wanalia. Jee wao wakiugua watakubali huduma hizo mbaya?
Mim. Asa ivi Nina tabia mbaya. Mtumishi yoyete. Akijishauwa na mrekodi napeleka video kwa manager wake
Wanakataza cm nimeona hospital ya amana nililazwa cku 6 niliona km mwaka yani manesi wana maneno machafu kwa wagonjwa huduma mbovu hospital inavuja na cm wanakataza ili tusirekodi madhambi yao ila Mungu atawalani
Waambie wapumbavu ao
Unaongea ukweli kabisa
Na vicheko😃😄😄