Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
KUMBUKA KAFUNGUKA "MIMI SIO MCHAMBAJI, NIMEJISOMESHA QT, NINA VYETI VYA UANDISHI, NIMEPITIA MAGUMU"
Вставка
- Опубліковано 4 бер 2021
- Kutana na Mtangazaji wa radio Dr Kumbuka ambaye ameshare na sisi aliyopitia, ikiwemo kujisomesha QT akiwa Mtu mzima na leo hii tayari anavyeti vinavyomtambulisha kama mwandishi wa habari mwenye level ya Diploma. PLAY hapa kumtazama.
Hahahaha!!! I love you Kumbuka nimecheka saana Wallah khaa?? Ila uko vizuri Sana, keep inspiring others.
Big up, kweli wewe Ni dhahabu iliyochomwa Moto ikangara, Dr Kumbuka Mungu azidi kukuinua Sana, tunakuombea🙏🙏🙏🙏🙏💅
Dah..Maneno yako ya taarabu yananipa raha,na ujumbe uko fire
Nakukubali sana Dr Kumbuka, nakuombea ufikie huo u Dr. wa ukweli kweli
Inawezekana endelea baba
Nakupenda kumbuka, ulipambana sio mchezo QT upate Two ya 19.
☝️😅 wewe Mungu anakuonaa !
Hongera Dr.kumbuka kwa kujiongeza.
Kumbuka uko vzr
Km kazi rahisi na wewe bwata!😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kumbuka wee!!
Kuna wakati mwingine Kumbuka yupo vizuri💯
Una point sana
Uko vizuri kumbuka
Maneno yako kweli wallah nime penda mie kukaa bila pesa siwezi apa oman kila biashara nataka kujaribu Alhamdulilah pesa napaata uongo Alhamdulilah
Nipe mbinu plz
ILA ANA PONT DAH🙏
Nimejifunza kitu🤙
kumbe kumbuka unaongeaga point mda mwingine
🤣🤣🤣😃😃
Dr. Kumbuka umejaaliwa kipaji cha kuongea
Kakaangu kumbuka sema umwjiongeza mwenyewe ukumbuke kuaanzia nasary ulifundishwa na baba ila hongera kwa hili unafundisha vijana wajiongeze kama wewe wachukue mfano kutoka kwako🙏🙏
Good ayo tv
Usipocheka kwa maneno ya DK. KUMBUKA ndo basi tena😂😂😂😂
Hongera baba umejitahidi
Kumbuka unafanana an Hamisa Mobeto!
🤣🤣🤣🤣🤣
Mashavu yameshuka kama taulo la gest🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 siyo kwa kujichamba huko looh
😂🤦🏿♂️
Kumbuka tunakukaribisha studio yetu ipo tabata barakuda
Adi huni chokonoe 🤣🤣🤣👌🏽asa????
Hahaha Niitieni Kumbuka🤣🤣🤣🤣
Puwa ndefu kama mshumaa wa pasaka😜😜😜😜😁😁😄😄
Big up sana
Napenda intAviu za kumbuka
Nikweli kabisa kumbuka bosi wako kama anakupenda usitoke
nisisemwe kwan mi hela😁😁😁😁
😎
Baba afi amekata lifaa kama unatengemea mali za urithi tujuane
🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪Eti Hadi Ela inasemwa 😂😂😂😂😂😂😂
Et wazee wamekata rufaa sikuiz hawafi🤣🤣🤣🤣🤣
So good
🤣😂😂😂😂😊yani nikiwa na mawazo hua natafuta video za d kumbuka yani uwiii nacheka
😄😄😄😄😄😄 daaah aisee yan kumbuka nampend san..
Amentia moyoo tusikate tamaa vijana
Kumbuka kibiko
Hahahaha pua ndefu kama mshumaa wa Christmas
kumbuka analana 🤣🤣
Pasaka si christimas
Vido leo kacheka mwanzo mwisho
duhh
Well done dr kumbuka kwa kurudi shule 😅
Kiukweli jua Kali umetisha darali🤪🤪🤪Leo nmecheka hatar
Jaman naomba number ya video vdox nampenda huyu kijana
Asante Mwajuma
@@vidovidox2632 mpe namba kasema anakupenda
@@emmanueljoseph2576 🤣🤣🤣
@@rehemasalim4590 😁😁😁😁
@@emmanueljoseph2576 kheee 😂😂😂😂
Jaman dkt kumbuka uje mum tusome wt degree of mass comm
Etiii nyoka akidondoka mapunxiko mvua ikinyeesha likizo 😄 😄
Kama umeweza kufaulu form four basi form six ni rahisi sana,pambana
Waambie wanasubir urithi
Kwann kila aliyefanikiwa anasema kapitia magumu?
Yaani lazima! Sbb unajituma ili usiludie yale magumu ulopita! Hamna kitu kibaya kama mateso ya utotoni k ukiwaza unajikuta unasonga kwa nguvu
@@tusajigwemathias1808 kweli kabisa hakuna mafanikio bila misukosuko
@@sadanassor4992 kweli tulopitia huko tunajua maumivu yake!! Lakini sasa tumekomaa na inafika wakati walokuwa wanakucheka kuwa huwezi wanabaki wanasema ni uchawi si bule, yaani hawawezi kusema moja kwa moja kuwa muachen jamani alipitia magumu acha Mungu amuinue tu!
Utafanikiwa vipi kama ujateseka? Labda kama kwenu kuna hela
@@zaydelabay9776 kabisa kabisa!
Embe ng’wang’wa du unanikumbusha kilosa ba mdogo songa
🤣🤣🤣😂🤣wanamchekaa dr uku anapanda mawinguni
Hahahahaha haha
Mzaramoooo!
🤣🤣🤣🤣😂 eti uso umekushuka kama taulo la guest
Hapo mi nilicheka sana sana
Eti Mbwa wa Polisi kaona bange😂😂😂
kuswaluka ndio nini???!!😅😅😅
😁😁😁
🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂
😆😆😆😆😆😆
😆😆😆😆