Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
MIMI SIO MCHAMBAJI ILA NAONGEA KWA TEMPO, WATU WANAFKI SIWAKAWIZI NAWAPA HAPO HAPO- DR KUMBUKA
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 12 сер 2020
КОМЕНТАРІ • 130
Наступне
Автоматичне відтворення
NDOTO ZANGU ILIKUA NI KUWA MWANAJESHI | MPAKA HAPA NIMESHAPITIA MIKUKI MINGI SANA -DR KUMBUKADina Marios tv
Переглядів 74 тис.
UJUMBE WA DR KUMBUKA KWA WANAOJIMILIKISHA NYUMBA ZA KUPANGADina Marios tv
Переглядів 37 тис.
KUMBUKA KAFUNGUKA "MIMI SIO MCHAMBAJI, NIMEJISOMESHA QT, NINA VYETI VYA UANDISHI, NIMEPITIA MAGUMU"Millard Ayo
Переглядів 32 тис.
🔥 Уся правда про українську СУДЖУЗе Інтерв'юер
Переглядів 163 тис.
Дочка Фаріон сяде в тюрму! Хлопець вийде на волю!НОВИНИ МЕДІАКОР
Переглядів 233 тис.
Курянка: «Я не украинка, но разговариваю на украинском языке» #shorts #курскаяобластьАпостроф TV
Переглядів 577 тис.
ПОЛЬЩА на межі КАТАСТРОФИ. Українці МАСОВО їдуть з країни. Що сталося?Ми - Україна
Переглядів 1 млн
DR KUMBUKA - KUZAA MAJAALIWA MSIWAELELEZE WATUDina Marios tv
Переглядів 27 тис.
MAKOSA YA KUYAEPUKA KATIKA MALEZI SEHEM YA 5 FULLBUSATI ONLINE TV
Переглядів 199
DR KUMBUKA , AKICHAMBANA NA MARIAM MIGOMBA SEASON 1Ndallo Media
Переглядів 6 тис.
JOGOO AWAGEUKIA BAADHI YA WANAWAKE WANAOWASALITI MARAFIKI ZAO.Dina Marios tv
Переглядів 8 тис.
DR KUMBUKA - MLIO KWENYE MAHUSIANO ACHENI KUDHALILISHANA | KINA DADA SIO LAZIMA KILA KITU UWE NACHODina Marios tv
Переглядів 7 тис.
MICHEPUKO ACHENI KUIBA WAUME WA WATU @DRKUMBUKAEFM TANZANIA
Переглядів 307
DRKUMBUKA KILA MTU ANAMAPUNGUFU / ACHENI KUJIKWEZAEFM TANZANIA
Переглядів 318
NONDO za MBUNGE SHIGONGO, Kama UMEKATA TAMAA Tazama HAPA - "KUFELI SHULE, sio KUFELI MAISHA"Global TV Online
Переглядів 10 тис.
LEO JOGOO ANAONGEA NA VIDUNYU WOTE WENYE MANENO MANENODina Marios tv
Переглядів 8 тис.
Идеально повторил? Хотите вторую часть?⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Переглядів 17 млн
СТАСЯ МАКЄЄВА: СЕРДЮЧКА на гендер паті. Тато ЗРАДЖУВАВ, коли мама хворіла на РАК. Коли українською?Okay Eva
Переглядів 463 тис.
ПОДІЇ НА КУРЩИНІ: ЕКСКЛЮЗИВНИЙ РЕПОРТАЖ НАТАЛІ НАГОРНОЇ З СУДЖІТСН Тиждень
Переглядів 214 тис.
Удар по російській колоні в Курській області #shorts #війна #курськ #арміярфBBC News Україна
Переглядів 802 тис.
ВСУ зашли в Белгородскую область. Ахмат снова сбежалOm TV
Переглядів 1,1 млн
ШОК! 😱 Кадиров пішов ПРОТИ ПУТІНА | ШотамрашаOBOZ UA
Переглядів 282 тис.
SCHOOLBOY. Последняя часть🤓⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Переглядів 10 млн
Можно ли пропускать завтрак? #эндокринолог #питание #диеты #правильноепитаниеВлад Аганов
Переглядів 3,1 млн
Hongeraa Dr kumbuka Allah akujaliee kila la kheri kwenyee maisha yako akuepushe na sharii zote uweee na mafanikio zaid kwako na wenzioo ilii uweee mwanzo wa kuwasaidiaa wenzieoo
Amin Kila lenye khery
Allah amjaalie kher na amfanyie wepes wa kazi na amfikishe mbali zaid 🙏🏾
Ameen yarab alamin
Nawaomba watu wa mitandao yote dr kumbuka mumpe tuzo kwasababu watu Wana nunua vifurushi kwa wingi na kuweka data ili wamsikilize kumbuka naomba mumtendee haki kiukweli.dr kumbuka uko vizuri Sana mshukuru mungu kakupa kipaji kweli cha kuongea.
Nakupenda bulee kumbuka yani unanifulaisha sana nikiwa na angaliya vipindi vyako mungu akusimamee katika kazi ya mikoyako
Hongere kumbuka mungu akutangulie pia mtangulize kwa kila jambo
jmn mm nimechokaaaa jmn uyu kiumbe ni shida ❤️simama na nguzo ya Allah. utafika unapo taka.
Yaaani saiv uhondo utanogaa balaaaa
Kabisa
Nakupendea bule Dr mwenye kumbukumbu yako
Love you docta kumbuk
Kumbuka nakuelewa Sana kaka ukija moro Karibu kihonda
Umeongea vizuri dr kumbuka
Tunakupenda saana mie moja kumbuka nakupenda
Kumbuka ni kiboko wasishindane na mwenye kipaji mwenye kipaji huwasha taa kwa maji na utambi ukawaka
Umetoka kwenye maisha ya kimasini kumbuka mungu hatakujali utafika mbali kaka nakupenda sana kaka unalimisha jamii
Jmn bro nakupenda mpk basi ! Dr kumbuka ishi miaka yote❤❤❤❤Allah azidi kukupa amani tele ktk moyo wako!
Kumbuka yaani huwa unanichekesha sana mbavu zangu kumbuka uko juu kumbuka
Kumbuka wewe endelea kupiga kazi usijali maneno ya waja, Mungu ndie mpaji
Dr kumbuka unatosha hapo🔥🔥🔥🔥
Dina weka Uhondo Live..tuwe turned in kwa wale tusio na radio au nje ya nchi
Ni kwel Ahsante kwa ukumbusho
Nakupenda sana ww kaka uko real na unasema ukwel asaa unajua nn unafanya god bless u
Hongera sana Dr kumbuka, Allah akusimamie katika kazi zako, na akupe mafanikio wewe na Familia yako 🙏.
Welcome bro, l love your show alot watching from Norway lslo 🇳🇴.
instablaster...
Kumbukaa nakupenda bureeee🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mashallah M.mungu akubariki sana ktk kazi yako kwa kweli tunakupenda sana Hongera sana
Maa sha Allah, mungu akuongoze kwenye kipaji chako.
Hongera Sana kumbuka
Kumbuka una nifurahisha sana mungu atakulinda
Ila uhondo mmepatia sana maana napenda maneno ya Kumbuka yaani nacheka ananitoa stress.
Kabisaaaaa
Nitasikiliza leodio kwa ajiri yake
Dr kumbuka kiboko warare.
Uko vizur kumbuka,,,unanizuuza!!
Huyu mkaka nampenda bure nampnd sanaaaa daah
kumbuka kama kumbuka natamani cku moja mama angu akuone live
Masha Allah mungu akuzidishiye ndugu
hahahahhahhaahahahah jamani nimecheka loh kumbuka nakupenda hayo maneno yako sijui umesomea hayo majibu sijui hahahahhahahahhaha
Kumbuka all the way from Croatia,me ni Zena kwetu ni kenya naishi Croatia,nimefurahi kukuona tena especially efm,iam your big fun,mungu akuendelezee zaidi,wewe ni zaidi ya hapo bro keep it up uko juu,tupe bro nasubiria mengi kutoka kwako.
From zagreb ama wapi
Kumbuka mwenyezi mungu akutunze vyema nakupenda bure unaelimisha jamii
Hatareee sana, Dr kumbuka wewe kiboko 😃😃
Hongera
Nampenda huyu mm hayo maneno yake tuu mm hoi
MashaAllah hongera sana Dr kumbuka
Penda sana Dr Kumbuka, super man
Dr kumbuka the best
Kutoka kenya nampenda Dr, sana
Hongera nami nakupendaga
Nakupenda bureee dr kumbuka
KILA LA KHERY KUMBUKA ❤❤❤❤❤👍
Napenda sana maneno yako kaka kumbuka
Yaaani wewe pambee tuu
Nimekupenda bure kumbuka upo vzuli sana
Dr kumbuka unanidai👌❤❤❤❤
Dokta kumbuka hvi unajua nakupenda xna jaman
Uhondo imekuwa nzuri safi sana
Kaka unawapasha sana nimekumisi unawanyosha sana watu
Nakupenda bure Dr kumbuka
Hahaha nkpnda sana broo
Ubarikiwe kaka
Nakukubali San kumbuka
Nakupenda Sana
A a kumbuka endelea allah 🙏 mbele wachana na viskrungwengwe
Waooo nimependa sana
Hongera zako
Nakupenda dada dina
Namkubali sana dr hahahaha raha sana kumskiliza
❤❤❤❤❤❤Kumbuka
Wewe kumbuka noma sana
HR KAMA HR
mambo ni pambe kipindi kimenoga Dr kumbuka ni fayaaaaa
Kalibu kwenye CHAMA la waswahili e fm
Huyu bwana anapanga maneno😆
Yanamtoka tu maana ukiyapanga asinge weza kutiririka ivi kwakweli
Nakupa hongera dk. Kumbuka Mungu akulinde ishaallah
Jmn hd raha
Na wengine huwa hawajui kama mwalim anaweza akapitwa na mwanafunzi ndio maana mwalim anaweza akawa mwalim tu na mwanafunzi akawa Raisi au waziri hiyo ni shani yake mola sasa wapo wenye roho mbaya akikuvuta akiona unampita anaanza kusiliba anafikiri wengine nao watakuangalia kama anavyokuangalia yy.
piga kazi mwanangu watoto waende maktaba kuu achana na wenye roho korosho.
Ongela sana kaka upo vizuli
Yani ata ukiongea kutwa Mimi sawa tu unafurahisha sana sana hiyo mineno
🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌🏾
Uhondo sasa imetimiya😂😂😂
Hongera sana mungu akubariki usijali nakupenda sana
Nakupenda sana Mungu akulinde
Kukupenda bure Dr kumbuka
😂😂 Eti siku saba kama yupo eda
😂😂😂😂😃😃
Kumbuka wewe yani uko poa sana
Kumbuka kukupenda tu
Nieleweshen kumbuka karudi redio efm
Sawa nimeelewa
Kaja hhhh
Mwanzani nilikuwa.sijakujua vizuri wewe unashauli vizuri
Ongera kumbuka
Kumbuka unaongea sana kama umechelewa kutembea unanikoshaga ww
Wewe Kaka ww mhm hatari Sana
Jamani nipo mbali na tz tunaangalia kwa you tube so nipe jina lako la youtube live
Yani nakupendaga wewe kaka ,hayo maneno yako yanaitiaga raha
wapo wengi hao mwengine anakusaidia halafu anataka umsujudoe hicho kitu hakiwezekani
❤️
Hi
Kutoka Morogoro ..Ujenzi..Dr mwenye kumbukumbu zake tunakupata na hongera saana kwa hatua hiyo...ukweli utabakia ukweli..no one like you..fact
Teeeenaaa
Kwa sasa shabik namba moj wa uhondo
Kumbuk kama kumbuk😂😂😂😂😂
😀😀😀😍
Nimechekaa.eti asinunue vitafunio vya jero.duu
Nakipenda hiki kipindi kwasababu ya kumbuka
UKO VIZURI
🤣🤣🤣🤣kaka wanikosha
😂😂❤❤
Vp
MUNGU akululinde SIKU zote
Ndiyo brother MDOMO wako dawa