Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
DR KUMBUKA - KUZAA MAJAALIWA MSIWAELELEZE WATU
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 15 вер 2020
КОМЕНТАРІ • 104
Наступне
Автоматичне відтворення
LIVE: MAKONDA AREJEA AIBUKA NA MAPYA AIRPORTMillard Ayo
Переглядів 4 тис.
JOGOO AWAGEUKIA BAADHI YA WANAWAKE WANAOWASALITI MARAFIKI ZAO.Dina Marios tv
Переглядів 8 тис.
MIMI SIO MCHAMBAJI ILA NAONGEA KWA TEMPO, WATU WANAFKI SIWAKAWIZI NAWAPA HAPO HAPO- DR KUMBUKADina Marios tv
Переглядів 40 тис.
ПЕТРО ЧЕРНИК ПОВЕРНУВСЯ! Про Курськ, реакцію Путіна та стратегічний переламСпецпроєкти Сергія Мамаєва
Переглядів 170 тис.
👊ЧЕРНИК: Все! Під Курськом НОВИЙ ПРОРИВ. Підходимо до АЕС? Путіна ПРИТИСЛИ. Готують ТРАНЗИТ ВЛАДИ?Сейчас
Переглядів 445 тис.
РЕЙНДЖЕРС - ДИНАМО. Ліга чемпіонів. ПРЯМА ТРАНСЛЯЦІЯFootball Hub
Переглядів 455 тис.
ЕЛІАС #8. НАСТЯ ТКАЧЕНКО х ВЛАД СТЕБЛІВСЬКИЙ х КУРАН х ВЕНЯ | Ветерани космічних військВетерани космічних військ
Переглядів 529 тис.
WANAUME MUACHE KUWAINGIZA WATOTO KWENYE UGOMVI WENU WAZAZI DR KUMBUKADina Marios tv
Переглядів 19 тис.
KUMBUKA KAFUNGUKA "MIMI SIO MCHAMBAJI, NIMEJISOMESHA QT, NINA VYETI VYA UANDISHI, NIMEPITIA MAGUMU"Millard Ayo
Переглядів 32 тис.
MSIKATISHE TAMAA WENZENU KWENYE KUTAFUTA MAISHA, KILA MTU AFANYA KAZI YAKE - DR KUMBUKADina Marios tv
Переглядів 3,7 тис.
LEO JOGOO ANAONGEA NA VIDUNYU WOTE WENYE MANENO MANENODina Marios tv
Переглядів 8 тис.
DR KUMBUKA , AKICHAMBANA NA MARIAM MIGOMBA SEASON 1Ndallo Media
Переглядів 6 тис.
DR KUMBUKA ASEMA NA WASIOTAKA KUOLEWADina Marios tv
Переглядів 31 тис.
WENYE ROHO ZA AINA HII MAOFISINI MUACHE MARA MOJA FITINA SIO NZURI - DR KUMBUKADina Marios tv
Переглядів 2,6 тис.
WANANDOA TUNZENI SIRI ZENU MSIANIKE MITANDAONIEFM TANZANIA
Переглядів 328
UJUMBE WA DR KUMBUKA KWA WANAOJIMILIKISHA NYUMBA ZA KUPANGADina Marios tv
Переглядів 37 тис.
KLAVDIA PETRIVNA, МАША КОНДРАТЕНКО - ЇДЕ ДАХ (OFFICIAL VIDEO)Klavdia Petrivna
Переглядів 774 тис.
«Ми так війну не закінчимо ніколи»: 22-річний морпіх про те, чому їм потрібні молоді #війна #зсуСлідство.Інфо | Розслідування, репортажі, викриття
Переглядів 610 тис.
Я тоже так могуDouble Bubble
Переглядів 2,2 млн
Разоблачение лайфхака с гориллой антистрессЛоган
Переглядів 1,1 млн
ЕЛІАС #8. НАСТЯ ТКАЧЕНКО х ВЛАД СТЕБЛІВСЬКИЙ х КУРАН х ВЕНЯ | Ветерани космічних військВетерани космічних військ
Переглядів 529 тис.
SCHOOLBOY RUNAWAY В РЕАЛЬНОЙ ЖИЗНИ 📚🔔 #schoolboy #runaway #schoolboyrunaway #shorts YOUNGYOUNG
Переглядів 2,2 млн
Replacing a valve on a full water tank! 🫣💦 - 🎥 the_ladyplumberUNILAD
Переглядів 121 млн
Mie wa 7 naombeni like hata 10 tu nitambe
Kumbuka kweli kuna mdada kakaa kwa mume miaka nane ajazaa alivoachwa kakaa miezi nne kapata ujauzito sasaiv anamtt
Ni kweli kutozaa imekua kama laana unapewa na kila mtu. Mtoto ni rizki mtoaji ni Mungu. Asante dr. Kumbuka waache waikumbuke hii
kumbuka. punguza maneno. unaongeya. sana unaniumiza mbavu 🤣🤣
Tim bus majipu
😭😭😭😭😭😭
Dr kumbuka umenigusaaaa 😭😭😭😭😭😭 Ila nahamini mungu Ndo mtoa rizki
Kweli iweeee yamenikuta hayo kumbuka yani tunanyanyaswa kweli
Mashallah Mashallah M.mungu awabariki sana ktk Uhondo nakipenda sana hiki kipindi
Dr Kumbuka unatufurahisha sana Jazakah Lwah Kher Akhui
Miguu mirefu kama gagulo la kisomari dr ninoma😂😂😂
Hahahahaha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbuka usisahau na wakewenza pia wanatabu kama daln anavyomuelelez mke mkubwa wa isiaka dada wa watu hana raha ni vijembe tu uko ist anamnyima mwenzie raha kama yeye ndo wakwanz kubeba mimba dunian sema jogoo na hili
Hujielew wewe hebu fatilia anaemuanza mwenzie ni Nani halafu urudi uandik hayo unayoyasema
Ukewenza ni kujitakia we mwanmke...
@@masalakulwa7601 tena kujitakia kweli
Eti nini mwenye uso urefu kama mtaa ulokosa mdjube 😂😂😂
Hilo nalo neno first fan from # 🇨🇵 faransa
Sema baba yalinikuta hay sin ham
Umesema kweli Dr ,tena inasikitisha sana kumuona mwanamke mwenzie do anaemtukana hivo yaani inaumiza sana kwakweli .
Is true Dr.kubuka nacikiza nikiwa Qatar from Kenya, i like your speak.
😂😂😂wallah wapeeeeee vidongeee vyaooooo nakkubal mnooooo 👍
we waambie wasikieeeeeeee👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽
Chamba hao yani ww kk nakukubari sana kwa michambo mashaa Allah umejaaliwa
Safi sana Dr Kumbuka, waambie hao 👌👌👌
Yani hii kama nikampe dadangu aweke status yake lkn ngoja nitulie tu
Acha uchoyo nenda kale na Dada yako hii crip hahahhahah
Kweli kabisa
Pme my usiiach
Tusikate tamaa na rehma za Allah...
Hlo gagulo LA kisomari VP
Dr mungu anakuona ila hujawai kusea
Ahsante kumbuka umemaliza kila kitu
Asante kumbuka masage sent
Unanikosha Kumbuka wangu😁😁😁😁
Lkn dr kumbuka anasema kweli hy
Daaaaah inauma Sana bas Tu
Din nampend yuko pis san sophia analoho ya kwann na shung lake
WAAMBIE KIJANA. SEMA SEMA KAKA WEEEE. UKWERIII MTUPU. DAAA MUNGU AKUJARIE MANENO YAKO NI YA UKWERIIIII DAAAA JAMANI
Dr Kumbuka kama Dr kumbuka
Dr kumbuka kweli hiyo,tumepitia kisa sijaaliwa na mtoto.
Pole my km uzaz unagaiw ningekup mtt mungu atakup my
Na wengine sio mama anakua yeye ni adui wa wanae😤😤😤
Kweli Dr kumbuka 👏👏👏
Sema kaka yamenikuta hayooo .mulemule
Mume mwenye mamae hunaamlaka nae kanga hiyo Dokta kumbuka.
Kbc dkt sema baba semaaaa
Jamani mm jimezimia 😂😂😂😂
Ila kweli👏😔
Kweli kabisa
Umegusa wengi bro asante sana
Umenikonga moyo nnamaumivu makal
Nakupenda buree 😅 😅 ukweli mtupu
Dr kumbuka una visa kweli yaani mtu akisikia lazima ajikague
Sema baba semaaaaaa💃💃💃💃💃
Dah point kubwa
Kweli kabisa doctor
Hahahahahahaha jaman ningeweza nikupe mkono we kaka MUNGU akutunze hakika
kweli kabisa wt wanapitia hayo ten sn kila kitu na wakati wk lkn so wote watajuwa hayo ila kumbuk punguz vituko wanichekesha mm😆😆
🙏
kuna wanawake nao wana tabia hizo mke unamuowa kwako ni mume wa nne kote alipopita huko ajajaaliwa kuzaa anakuja kwako anakutangaza mm nazaa 8la mume wangu jongoo hapandi mtungi kumbe muongo hataki kusema kweli na hataki mwende kwenye vipimo na anakudanganya mm naitwa mama fulani nimeacha mtoto kwetu kumbe mtoto wa ndugu yake kwa kuwa yy hajazaa anaamuwa kumpa cheo cha kulitumia jina la mtoto wake kwa hiyo kuna masimango kwa wakwe na kuna baazi ya wanawake wengine si wakweli.
😂😂😂
Tupeeeeee wifi 🏴🤣🤣🤣
Uwiii dr kumbuka kilemba kama nn cha siafu walalh Alalh atufanyie kher ...🙄
Yamenikuta ayo mimi huna raha kwenye ndoa kwabughudha yamtoto,mpk leo sina atahamu yandoa....nipo kwetu naenda namaishayangu....
Pole mwaa
Ya menikuta hayo
Ya menikuta hayo
Pole sana wanawake wenzangu Allah atawafanyua wepesi mmpate furaha ya mioyo yenu
Pole sana
Umegusa ndipo dokta
Heheheee kumbuka
Unacheka ovyo kama chizi ameona ndugu zake wamekuja kumtembelea wodini😂😂😂
Swadak taàaaaaa
Pesa ya jumuiya
Kweri nimeguswa
Sure
sahihi.
Maneno kuntu
Kwelii
🤣🤣🤣Dr kumbuka mbavu zangu 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤝
Apo chacha 🏴😀😀😀😀
🤩🤩🤩🤩
Waah huyu mtu yuwaongea si mchezo
Asnte kumbuka waskili ma wifi na mam mkwe wenye tabia iyi mungu ndio anaetoa
Mm pia yananikuta hayo kwa mkwe mwenzangu ukiolewa mara ya kwanza nikapata watoto watatu mume akafariki nikalewa tena huku kwa sasa sijabahatuka kupata mtoto basi mkwe mwenzangu ananiita tasa kisa sijazaa na mume wake wakati Nina watoto upande mwengine tena wakubwa kuliko wake 😀😀😀
We nawe unajitakia tu kuitwa hivyo, kinachokusababisha usitulie ulee wanao mwenyewe kitu gani? Watoto watatu bado unaenda kutafuta bwana wa nini? Acha wakutukane tu, sbb kwanza ungekuwa na hela usingetukanwa, huwa wanatukanwa maskini tu, NENDA KALEE WANAO ACHA KUJALI MBOOOOO KULIKO MAPENZI KWA WATOTO WAKO
Yaani haya majina ya Fatuma jmn khaaaaa! Acha tu lile jiwe liitwe jiwe fatuma
@@belak999 nadhani jina langu na jina lako tu linaonesha kuwa mm na ww ni dini tofauti mm dini yangu inaniruhusu kufanya hivyo.kwa kuzuia kufanya uchafu wa zinaa lkn ww kwa upande wako sijui ila nataka ujue watoto wangu hawana shida na wanafurahi sana kwakua na baba wa kambo kwani hajawahi kuwabagua na anawatunza kama watoto wake wa kuwazaa sasa ww unataka nipoteze furaha yangu na watoto kwa maneno ya mke mwenza we vp achana na maisha yangu ninacho kujali ni furaha yangu mume hajawahi kunibugudhi kwakua sina tena unataka nifike niende nikahangaike na maisha kwa kosa la kusemwa sizai kwa ushauri uo bado labda nimshauri mwengine si mm na tutabanana hapo hapo
@@fatmas7338 ungetaja tuachane na maisha yako usingetuhadithia upupu wako mtandaoni, na huyo mke mwenzio atakusimanga mpk ukome, unafikir anafurahia kuingilia nyumba yake? Hapo hauwezi jua cha dini yangu kupitia jina, ILA JUA TU HAKUNA MWANAMKE YEYOTE ANAFURAHIA KUINGILIWA MJI WAKE, uzinzi km haufanyi huo jua una dhambi nyingine HIVYO NGOMA DROO
@@fatmas7338 dhambi mnaonaga ni uzinzi tu , ushamba bwana, hata km huyo mwanaume hatunzi hao watoto unawatunza kupitia hela ya mboga anayoacha unafikiri utasema? Ili uonekane hauna ndoa yenye amani
MUDA UTAKUAMBIA TU UTAKUJA KUSEMA NINGALIJUA NISINGEPOTEZA MUDA, SBB UTAACHWA TU NA VILE WASHAANZA KUONA UMEJAZA WATOTO KWAKE NA HAUZAI 😅😅
@@belak999 duh nimecheka Kwa nguvu sio Kwa maneno haya but yakweli kabisaaaa watoto watatu unaolewa tena utafute nn?si nakaa tu nawanangu tena wakubwa hivyo napumzisha roho
ua-cam.com/video/vUHJ5D9TJus/v-deo.html
👆👆👆👆👆👆👆
Lifahamu Kabila la DANI Kabila katili 😭ambalo ukifiwa unakatwa vidole 😳kisha vinazikwa na mwili wa marehemu 😭
😁😁😁😁😁
Kuzaa ni maajaliwa ya Allah na atakae binadam
Hahhh
Kuolewa ni lazima kuzaa maajaliwa
😀😀😀😀hatarii
😆😆😆
Kweli kabisa
Hahahaha