Safi sana wajinga kama hao inatakiwa at a makofi tu wanapenda ujinga kila mda kura za wapiga kura wanaiba bado wanashindwa yakuongea wanakusema MCHUNGAJ vitu vya kijinga wamezoea hao umefanya vizur sana bola kumfece MTU syo kuzunguka MTU mwenyewe bata tu kateuliwa Anataka kushindana nauliye chaguliwa KWA mapenzi ya wananchi waliowachoka mabepari hao wakununua madiwan na wabunge
hili sasa hivi linakela sana kama halijawahi kuwa lichungaji huenda linavuta bangi linashindwa kumjibu hata kwa hoja mambo ya kijinga limekuwa na presha ya uchaguzi 2020 na 2020 hili hata likipigwa chini kwenye uchagizi siwezi kusikitika linaboa kinoma kwenye haliwajibiki ipasavyo lakini kwenye kutafuta kiki la no 1,
Yesu aliye mkuu Sana na mfano wakuigwa alikasirika nakupindua meza Za wabadili fedha walipo kiuka taratibu kwa dharau iweje msigwa asikasirike? msigwa Uko Pouwa Sana
WAKATI WETU LEO TV kweli chadema hamnazo unamfananisha Yesu na msigwa mmetoka wapi ninyi mbona mmeishiwa hivyo kwa akili hizi Tanzania hamtaiongoza MNA vurugu si kawaida mkiguswa tu mnalia oooo mnaoeleka polisi mmekuwa kuwa kama wanawake, poleni sana.
Ujinga mwingine huu!! hivi unajua kwann Yesu alikasilika? na utambue Yesu alivyokasilika hakumdhihaki mtu, hakumkashifu mtu wala kumdharau mtu! Acha kumfananisha Yesu na vitu vya kipumbavu.
Mchungaji msigwa njoo tuhubiri wenye dhambi ili tulete maendeleo ya kiroho kwa watanzania.. Hayo ya kimwili waachie wenye wito na style ya siasa..... Siasa ngumu kwa muhubiri jamaniiii... Maji na mafuta. Stahafu ili kujenga heshima.. Umeshafanya kwa sehemu yako sasa njoo madhabahuni... Please please please baba ... Waachie wakina Mdee.
Msigwa akili huna! Ww ni bwege mkubwa unaonyesha huna uchungaji wowote! Zungumza kihehe basi sasa unazungumza kingereza wazungu wenye lugha wapo wap? Yaan hili jamaa ni tumwa kabisa bado linadhani eti kinge ndy kusoma mweee, popopooo!
Eti huyo ni kiongozi wa chama kisha eti ni mchungaji, anabwata kama muuza gongo! Tujifunze nini kwa kiongozi kama huyu?? Tena anamuomba DC amuweke ndani. Hujanishawishi kujiunga na CHADEMA SACCOS
Napataga Tabu sana kuona Viongozi wetu,wanatupiana maneno Makali,Najiuliza sasa kama wao wanagombana sisi wanatuweka Upande Hupi!Tumtangulize Mungu mbele kwa kila Jambo Tutafanikiwa,Naviongozi wetu Mshirikiane na Mpendane,Mungu Atuongoze.
tatizo ni hawa wateule wa rais yaani asilimia 90%wanakesha kutafuta namna ya kumridhisha mwenzao aliewateua hawajui kabisa wajibu wao,ndio maana sasa wenye busara wanaona haipo tena haja ya kutumia busara ni kuwawakia tu live
shida pale unapo hc wewe ni bora kuliko wengine mfano msigwa kauli zake ni dhahiri kuwa yeye ni miongoni mwa watu wanao jiona ni sahihi kuliko wengine kwa kauli zake kwa mienendo yake na mengine
mweshimiwa msigwa mwambie kuku uyo anajua umeteuliwa
wahehe wabishiii😂😂😂
kweli msigwa nimekukubali usikubali kuburuzwa na makada hao was ccm
mwambie huyo mcgwa😂😁😀😂😁😀😂😁😀penda sana mchungaji wangu
Uongozi unahitaji subira.
Dc ni kiongozi.
Hajatumia utawala.
Nampongeza.
MICHAEL GERSHON msigwa huyo hapi umuezi mtoto wamjini huyo mguse uone pimbaavu
we ni fala hujui nn maana ya uwajibikaji Pumbavu
Subira ya nini, kwa hao ma DC na ma rc waonezi,kilichobaki ni kukungutana makonde
Wew na wew ndo wale wale
Msigwa i love uuuuuuu😂😂😂😂😂😂😂
msigwa kunywa soda popote nitakuja lipa
Chilomba Chilo safi
Msigwa hekima huna, Safi Sana DC ,Huyu Dc anahekima sanaa
Msigwaaaa chumaaa motoooo msigwaaa mashine sanaaa
Safi san mchungaji msingwa njoo kabisa nikukabidhi mke wangu
msigwa amepaniki kinoma 😂😂😂😂.
imebaki siku, majira na nyakati na wewe uwepo nje ya fensi. hao hao waliokuchagua ndio watakaokutoa.
you are dealing with smart people I'm not stupid !
Msigwa ni jembe kazi zake tunaziona, aendelee kuchapa kazi na kuisimamia serikali.
Louis Nyon tena sanaaaaaaaaaa
Louis Nyoni kazi gan alizofanya msigwa. Huo ni uchafu tu.
😂😂😂😂Kazi za kuropoka hata mimi naziona
Louis Nyoni ana kazi gan msigwa anazofanya au kulima mahindi ya kumwagilia?
Wachungaji wasiku zamwisho 😂😂😂
dadeekii!!! mgaya shidaa og
saf sana msigwa hao ma DC hawajuagi sana nguvu ya ubunge kuwa inatokana na wananchi hivyo mbunge ananguvu kuliko hao
Safi sana msigwa
Ahahahahahahahahahha msigwa bana mbn umemchelewesha kwan ccm wao wakina naniiii bg up rais msigwa wa ilinga
Mh Msigwa hawa RC na DC wana kinga lkn lazima uwaambie wajue hilo. Kuekwa ndani na kufunguliwa. kesi za uchochezi ni kawaida kwa upinzani.
Msigwa mwenyewe hayupo, na kasesera hayupo!
🤣🤣🤣🤣eti mm haunitoi kirahisi hapa! Hahaha kumbe zogo lote hilo unaogopa kukataliwa na wana wa nchi? Hahaha pole sana bob
Safi sana wajinga kama hao inatakiwa at a makofi tu wanapenda ujinga kila mda kura za wapiga kura wanaiba bado wanashindwa yakuongea wanakusema MCHUNGAJ vitu vya kijinga wamezoea hao umefanya vizur sana bola kumfece MTU syo kuzunguka MTU mwenyewe bata tu kateuliwa Anataka kushindana nauliye chaguliwa KWA mapenzi ya wananchi waliowachoka mabepari hao wakununua madiwan na wabunge
Umepanik mbunge
hili sasa hivi linakela sana kama halijawahi kuwa lichungaji huenda linavuta bangi linashindwa kumjibu hata kwa hoja mambo ya kijinga limekuwa na presha ya uchaguzi 2020 na 2020 hili hata likipigwa chini kwenye uchagizi siwezi kusikitika linaboa kinoma kwenye haliwajibiki ipasavyo lakini kwenye kutafuta kiki la no 1,
safi sana mbunge wangu wa iringa town kama ni swala la maafa si mpaka viongozi wate wauthulie maafa (ndio maana kukawekwa ngazi kwa ngazi)
Yesu aliye mkuu Sana na mfano wakuigwa alikasirika nakupindua meza Za wabadili fedha walipo kiuka taratibu kwa dharau iweje msigwa asikasirike? msigwa Uko Pouwa Sana
WAKATI WETU LEO TV kweli chadema hamnazo unamfananisha Yesu na msigwa mmetoka wapi ninyi mbona mmeishiwa hivyo kwa akili hizi Tanzania hamtaiongoza MNA vurugu si kawaida mkiguswa tu mnalia oooo mnaoeleka polisi mmekuwa kuwa kama wanawake, poleni sana.
Ujinga mwingine huu!! hivi unajua kwann Yesu alikasilika? na utambue Yesu alivyokasilika hakumdhihaki mtu, hakumkashifu mtu wala kumdharau mtu! Acha kumfananisha Yesu na vitu vya kipumbavu.
Eti mchungaji hekima iko wapi?
Renny Steve ulickia mchungaji ndio aonewe we vepe
Renny Steve mchungaji wanini muhuni tu huyo hapi pigakazi babu Chadema pigachini huyooo
Mungu karuhusu hasila ila usitende dhambi ndio maana unasikia hasila iliwaka kwa Daudi kumuangusha Goliath
we ni fala hujui nn maana ya uwajibikaji pumbavu
Uchungaj mana yake co uonewe, na czan km kafanya dhambi hapo, kwa kuw hasira iliwaka ndan yke lkn haikuw na matunda mabaya
WEWE MCHUNGAJI HASIRA BILA KIKOMO KWA HIO ULITAKA UMPIGE USINGEZUILIWA NA WAPAMBE WAKO?
Alipo Atunkolepo Mwakanyika ko
Huyu. I mcbungaji kwel au nimchunhaji madili? Mchungaji haiwi hivo.
Imma Mlowe
huja maliza hata dalasa la 7 unataka kumuelekeza mchungaji msigwa huo n umama
Uchungaji vitani???
eti mchungaji mchungaji gani mpumbavu huyo.chadema mazuzu yote kasoro mzee lowasa ana hekima na busara
Najiskia kuwachana...wachane baba
Hivi huyu msigwa alisoma tu Bible knowledge akawa mchungaji au ndo watu kuitana prof Jay
timoun dezòd
kamuulize baba ako, ndio atakupa jibu manake wakati anasoma bado hujazaliwa
Umemtolea uvivu Safi sana kaka nimekubali unafki wamadalaka umempa Kali hao ndio wanafiki Ila kajielewa
Oyooooooooo
Mchungaji msigwa njoo tuhubiri wenye dhambi ili tulete maendeleo ya kiroho kwa watanzania.. Hayo ya kimwili waachie wenye wito na style ya siasa..... Siasa ngumu kwa muhubiri jamaniiii... Maji na mafuta.
Stahafu ili kujenga heshima.. Umeshafanya kwa sehemu yako sasa njoo madhabahuni... Please please please baba ... Waachie wakina Mdee.
he he eeeh msigwa jimbo limekushinda hilo Acha kupanick jimbo linarudi ccm hilo
Kwa ubabe sawa
msingwa uyo mkuu ajielewi yeye kaletwa tu ndiyomana ajielewi
Mchaapeee huyo pastor 😆😆😆😆😆😆sina mbavuuuuuu penda pastor msomehe 1king 18:
Huyo msigwa si apigwe Kofi aache kuropoka alaaa,,,nyau tu,,,afu anajiita mchungaji,,,,,,et wewe ndiyo mchungaji
chezea kitambi hicho bb wanatumwa hao kuvuruga tunaona arumer na ars
Waambie ukweli tuu.. wakikufunga sawa ila wanao ukweli
Huo ndo uwanaume sasa hakuna kuoneana hapa safi sana
upole ukuzidi utatiwadole yanipale kamanimm shamchapa.teke LA.korodani
RAMADHANI KALUMBETE hahahaaaaa sasa sasa
Hahaha:
Msigwa akili huna! Ww ni bwege mkubwa unaonyesha huna uchungaji wowote! Zungumza kihehe basi sasa unazungumza kingereza wazungu wenye lugha wapo wap? Yaan hili jamaa ni tumwa kabisa bado linadhani eti kinge ndy kusoma mweee, popopooo!
Huyo anakusemea nini si aseme yakwake kama hanasela akaokote makopo
Eti huyo ni kiongozi wa chama kisha eti ni mchungaji, anabwata kama muuza gongo!
Tujifunze nini kwa kiongozi kama huyu?? Tena anamuomba DC amuweke ndani.
Hujanishawishi kujiunga na CHADEMA SACCOS
Nishasema we siyo mch, Bali mchungwaji sijui ulienda chuo gani na unasoma biblia gani we umebambikwa tu huo uchungaji,
Wewe kibaraka tu ovyooo et kasomea wapi inakuhusu we mwenyewe hata mlango wa darasa huujui
Nanyeye mnaye andika uchoko uchungaji siyo unyonge bana, kira mkiandika mchungaji mchungaji sasa ndoawe fara acheni uccm
Acha kuropoka we chupi!!
We fici soma Bible
baba ako anajua nn mpaka useme mbunge msigwa sio mchungaji acha tabia za kimama hizo
Nitafuatilia mpaka nione 'Mlokole huyu uchwara' anavyokwisha.
we msigwa ww achahasila ww nikioo chajamii hasila zann? ukiwa kiongoz lazima utumie wazfa wako fuata sheria
Hiyo safii sana uchungaji siyo ujiga
sukumaaaa ndaniiiii
alaa pumbavu
Mchungi au Mchungaji!
Kazi kweli kweli mtumishi wa mungu huyoooo mungu tusaidie
Kwaio alegee kisa utumishi wa dini muungu anataka upambane ndio akusaidie
Nani alimchagua mvuta bangi huyu,
Mkwawa Piga Hiyo Kitu.
😁😁😁😁 ngoja kwanza ninywe maji ya motoo then nitakuja badaye
niubabe tu...
Napataga Tabu sana kuona Viongozi wetu,wanatupiana maneno Makali,Najiuliza sasa kama wao wanagombana sisi wanatuweka Upande Hupi!Tumtangulize Mungu mbele kwa kila Jambo Tutafanikiwa,Naviongozi wetu Mshirikiane na Mpendane,Mungu Atuongoze.
pigen hela tu hakuna lolote wot ni walewale
onyo wazee wazima
Mimi siwapendi watanganyika lakini wewe msigwa salut wewe kamanda full manyota sawa?hawezi kukuonea mtu ikiwa right ni yako popote pale ulipo sawa?
Mbunge anajiamini dc hoi hana kitu
mmmmh Tanzania hii inakoelekea Kazi ipo
Safii,sanaaaa
Huyo sio mchungaji kasesele ungemtia ndani awe na adabu
tatizo ni hawa wateule wa rais yaani asilimia 90%wanakesha kutafuta namna ya kumridhisha mwenzao aliewateua hawajui kabisa wajibu wao,ndio maana sasa wenye busara wanaona haipo tena haja ya kutumia busara ni kuwawakia tu live
Mhhhhh, hiv ukiwa chadema lazma uwe kichaa kichaa hiv au!? Msigwa na ww una Kaz 2020 usipojirekebisha
Wamungu hawiii na hasira wengine wachungaji feki kwan huyuu mchungaji kweli au amevaaa ngozi ya kondoo kumbe ndan mbwa mwitu mkali eeeh
shida pale unapo hc wewe ni bora kuliko wengine mfano msigwa kauli zake ni dhahiri kuwa yeye ni miongoni mwa watu wanao jiona ni sahihi kuliko wengine kwa kauli zake kwa mienendo yake na mengine
Msigwa nguvu huna halafu unajionesha .
Unasema sana
Mtu mdebwedo utamjua tu. Huwa ashiwi maneno na kujifanya yy mbabe zaid. Na huvyo ndivyo mnazid kupoteza thamani kwa wananchi wenu. Twent twent ikifika razima mbwagwe nyy
Msigwa piga choko ilo la ccm
Eti huyo ndy mchungaji, eti huyo ndy mbunge, aisee huku kwetu tunaita mbunge masusu.
mbunge muwache mshamb huyo
muchungaji gani mshenzi.
Safi sana msigwa hao mbwa hatutaki mazoea nao bata wa ccm ndo dawa yao umenifurahsha sana
Nooma saana
Dc kaufyata kwa mchngaji. Yaani askari wakikaa pembeni hawa wapambe hawana lolote.
Shida Hawa viongozi Iringa hawakuja kutatua kero wamekuja kupambana Na wabunge wa wapinzan ,maana hakuna kikao bila kuzungumzia wapinzani
amakweri umedata Msigwa,,,, Dc pongezi kwako anajichinja mwenyewe
Wachungaji hawagombani
uchungaji wako siuelewi , hata kama ulikuwa na haki hekima ya kikristo kama mtumishi wa kuigwa iko wapi?
Andrew Chale hekim cio kwer ujielew ma dc wanatumiw na wanajfny wan wz san
Pesa zetu wanyonge zinawatia kibur mungu anawaona
Andrew Chale Yesu pia alikasirika sembuse Msigwa?
Ujinga kumfananisha Yesu na msigwa, yesu alivyokasilika hakumdhihaki mtu, hapa tunamuona msigwa wa dharau, kukashifu na kujiinua
Andrew Chale huyu jamaa ni mburula wala siyo mchungaji
Aibu Sana ukiwa nakiongozi mropokaji hivyo kama Msigwa duuuh uongozi nibusara na hekima well done DC
Unafurahia kuburuzwa e, aliyoyaongea msigwa kikawaida ni true ila ttz approach. Kwa iyo by conclusion Dc kazngua
ukitaka kuona ubovu Wa mtu utajua tu asa angalia aligombana na yule bado anataka agombane na huyu kijana mzuri mchapa kaz yaan mm ananikera san
Hii nchi imefikia kubaya sana. Tatizo awamu hii viongozi wanatafuta kick za kijinga tu kwakuwa anayewateua na yeye anapenda kick
Ndo msemaji mkuu wa serikali. Genge la wahuni😊😊
Huyo DC Anakurupuka sn mambo yake kwenye ukweli bora umpe ukweli tu
Hongera rais magufuli yote Hayayalikuwa hayapo utaona mengi Haya ni mambo yawanawake yamehamia kwa wanaume
Piga mkono huyo bata
Piga kubwa jinga
Mchungaj anasema yamejaa yamemfika apa,,acha amtolee uvivu duhhh,,
msigwa hao wamezoea ni vibaraka wa ccm wanatumiwa
nimekumbuka enzi zangu zile za kitambo, mstari unachorwa chini afu mwezio anakuambia vuka kama wewe ni mwanaume haaaahaahaaa
Dc kitu gani bhana? Msigwa anamaanisha anachosema, wanazoea vby
tunduma
mtolee uvivu baba
Daaaa mama yake msigwa angezaa tena kama huyu saf kbs hamna kuburuzana hap
kiki zingine za kimavitu ndio munaenda kutunga sheria za kimavitu