Kama unaakili timamu na umekamilika Kila idara utaona tunakoelekea mm naonea huruma vijana na watoto ambao bado Wana umri mwingi wa kuishi kazi ipo ili kusafisha haya yote ni ngumu mizizi hii kuitoa inaitaji lawama na cdhani kama atakaeitoa hiyo mizizi atakaa wapi kwa usalama wake kazi ipo
Uko vizuri bro unaweza kutetea wanyonge safi sana
Safi sana vunja bei,.
Concepts nzuri sana
Embu mpeni ajira Vunja bei awasadie anaakili kubwa sana
Safi sana nchi ikiwa na vijana kama awa kitaeleweka
Vunjabei uko vzr sana mno Yani weweee kichwa honey
Nmesoma na vunjabei advance alipiga ONE,huyu jamaa ana akili sana
😂ww ulipata nn jmn
Yeye alipata zero
Vunja bei unaongea pointi sana .hongela kaka.wazili mkuu wafanyabiashala wako wanateseka sana.tla hapana
Yaani wewe fred ni mwamba yaani unafunguka vitu vya maana havina hata vairas ya kisiasa hongera fred😅😅😅😅😅😅😅😅😅
mamalamikoa kila siku na serikali haiskii..jmni kwa kweli sio haki kabisa
Nilikuwa naye pale chuo hyo jamaa,anafaa kuwa mwenyekiti wa wafanyabiashara safi vunja bei
binamu humeongea vizurisana 🎉❤
Safii,,na umachinga wa wawekezaji wa kigeni kuharibu mzunguko
Wewe sasa tunakupandisha cheo wewe ni rais wa wafanya biashara 😅😅😅😅😅😅😅😅
Huyu jamaa ni mwamba
Eti vunja bei kamwaga machozi, andika habari ya kweli watu wataangalia tu
Kama unaakili timamu na umekamilika Kila idara utaona tunakoelekea mm naonea huruma vijana na watoto ambao bado Wana umri mwingi wa kuishi kazi ipo ili kusafisha haya yote ni ngumu mizizi hii kuitoa inaitaji lawama na cdhani kama atakaeitoa hiyo mizizi atakaa wapi kwa usalama wake kazi ipo
Bado utasikia watu kidumu chama cha mapinduzi😂😂😂
Jamaa anaakili hadi anaakili tena
C .TRA tu idara zote zimeoza hakuna hata sehem yenyenafuu viongozi tembeleeni kwenye vitengo mjionee wenyewe
Sikujua kama Kuna wafanyabiara wenye akili hivi kumbe baadhi wanawashinda hata walioko madarakani.
Kweli elimu ya kulipa kodi ni muhimu kila upande ujitetee kisheria
VUNJA BEI KICHWA SANA
Saf sana
Wa Tanzania hongereni wakenya munatuona sasa mumetuelimisha sasa watakoma sasa wanaotunyanyasa
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Vunja beiukosawa nduguyetuu
Mwanzo wa ngoma ni --- - -
Alama ya Kengerre
Mwiguru aende burundi
Kichwa xana
Mh
Genius
Ccm nnchi imewashinda waondoke
Chalamila lipo tu linasikiliza naujinga wake
Hadi nimecheka tena lipo tu limetumbua mimacho hapo haelewi chochote!
Linashangaa shanhaa tu. Sup umemshuka kutokea maneno take.