Hallelujah BABA nisamehe nakataa roho yakujihukumu na lawama kwa watu wengine nifungue eee BABA kimawaza na katika kila hali niwezeshe naachilia yote na wote ambao walinikosea kwa JINA LA YESU KRISTO NAAMINI BWANA UNATENDA AMEN 🙏 barikiwa sana pastor
Mungu ninakili mbele ya madhabahu yako kujisamehe na kukua kiroho kwa nafasi ya upendeleo wa Neema yako kwangu, Nakupenda pia napenda uwepo wako kwangu, Amen❤🙏.
Ninakushukuru kwa yote MUNGU wangu ,na ninakuomba unipe nguvu na unihuishe upya ninapoenda kukutana na kikosi BETHREHEMU uniinue niendelee kuliendeleza na kulisimamia NENO lako kwa usahihi.Vikwazo vyote sasa basi.
Hallelujah BABA nisamehe nakataa roho yakujihukumu na lawama kwa watu wengine nifungue eee BABA kimawaza na katika kila hali niwezeshe naachilia yote na wote ambao walinikosea kwa JINA LA YESU KRISTO NAAMINI BWANA UNATENDA AMEN 🙏 barikiwa sana pastor
Amina nabarikiw san na mistar ya biblia 🙏
Roho Mtakatifu niongoze ili nijisamehe katika jina la Yesu amen
Kweli mtumishi wa Mungu,uniombee niweze kujisamehe mwenyewe
Ubarikiwe inosent, Mungu nisaidie kujisamehe
Mungu ninakili mbele ya madhabahu yako kujisamehe na kukua kiroho kwa nafasi ya upendeleo wa Neema yako kwangu, Nakupenda pia napenda uwepo wako kwangu, Amen❤🙏.
Asante yesu kwakutumiya mutumishi wako azidi kutuonesha mahali tunapo koseya asante sana tunajifunza mengi sana
Ukabali yaliyotokea alafu mruhusu Mungu akusaidie
Ninakupenda Yesu wangu mwokoz wa maisha yangu
Amen amen amen
Amen
Yesu nakushukulu maana mambo nisiyoyajua kwa Sasa unanifungulia napata kujua na kujua kiroho thanks you God
Naomba roho mtakatifu aniongoze kwa jina la yesu ❤❤
Amen 🙏
Nakuomba Yesu unifundishe kuji samehe
Ninakushukuru kwa yote MUNGU wangu ,na ninakuomba unipe nguvu na unihuishe upya ninapoenda kukutana na kikosi BETHREHEMU uniinue niendelee kuliendeleza na kulisimamia NENO lako kwa usahihi.Vikwazo vyote sasa basi.
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
🙌🙌🙌🙌🙌
Amen 🙏🙏🙏
Amina
Ni Mimi huyu yananihusu
Amen 🙏 thank you
Kabisa kabisa
Umewaona walionikataa,naomba uniinulie wapya kwa ajili ya kuendelea kuliongoza kundidi BERTHRHEHEMU KWA UFANISI.
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Ni kanisa Gani hili nihamie huko
Amen
Amen
Amen