#LIVE
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- Ujumbe: Mtafuteni Bwana
Andiko: Yohana 9:4
Pastor: Innocent Leonard Mashauri
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Mungu tusaidie tusikie neno tutende neno tushike neno tuishi katika utii na utakatifu kwa reo somo nirangu mungu nisaidie
Amen pastor hili neno ni langu na ninaamini litanibadilisha nitaacha kumkopa MUNGU , MUNGU nisaidie mwizi mimi😢 sitaiba Tena ninaahidi mbele ya hii madhabahu ROHO MTAKATIFU tafadhali nikumbushage kuitimiza hii ahadi amen
Mungu Sina mwingine wa kunisaidia ni wewe tu nisaidie ,usiniache peke yangu,nisaidie bwana.
Sahihi kabisa, MUNGU atusaidie 🙏
Amina 👏👏wimbo jumla na neno lako vimenibariki sn Mtumishi wa Mungu...
Asante Muñgu Baba wa mbingu ninaomba Rehema kwaajili yangu na familia yangu nawengineo wote kwa kuwa Muñgu najua utatuwazia mema mubariki mtimishi wako Asante Yesu❤❤❤❤🎉🎉
Asante ntumishi kwa kutufundisha neno la kweli ambalo linatusaidia kutoka sehemu moja kwenda nyingine, Mungu akuoandishe viwango vya juu zaidi
AMINA
Mungu kubariki Sana kujazenguvu ekimanamarifa zadinazaidi kuwezeche
my pastor mungu wako ni mungu ambaye anaona mambo yote yangu pia anadjuwa makosa yangu nania yangu
Nashukuru kwa mafundisho yako yame nitia moyo kwa sababu nilikuwa nimekata tamaa kazini
Natamani kabisa kuishi nawe bwana mungu wangu
Ninapo sikiliza haya mahubiri huwa yananitia nguvu hata mara nyingine😢😢naona kama nafika mwisho lakini najuwa cku moja mungu ataniinua kulingana vile nakufatilia😢😢najuwa mungu atanifuta majozi cku moja
Amen ! Ubarikiwe pastor
You're right the man of God 👏🙏mimi nikiwa ujauzito huwa siombi 😢nipe neema ya maombi baba yangu 🙏ulimwengu mna dhiki nipe nguvu ya kushinda😭🙏
Mungu wangu Asante sana kwa mafudicho Aya, the man of GOD GOD bless you 🙏
Ameni
Mungu naomba
Unifungue Kila lililofungwa kwenye maisha yangu
Nakupenda sana mtumishi wa MUNGU kwani hunijui sikujui ila kupitia neno la MUNGU nimehama kituo kiimani
Ubarikiwe mtumishi
Ee MUNGU naomba unirehemu mimi na watoto wangu na mumewangu,,,,nirehemu Bwana
Eeh Mungu nisaidie mwanao nibadilike,naacha njia zangu mbaya nakufuata Yesu naomba uniongoze 🙏 Asante naomba pia umbariki mtumishi wako Asante Yesu 🥰
Amen napokea neema yangu mwezi huu katika jina la Yesu Kristo
Nyimbo ilioanza anaeijua aniambie nitumie kusifu 🙏
🙇🙇Tunashukuru sna kwa ajili ya neno la Mungu,Hakika linaniuwisha tena na kunifanya nipate nguvu ya kumtafuta Mungu zaidi🙏✍
Mungu wa mbunguni Leo uliingia kwenye chumba changu ukaona kila kitu Leo kwa sababu mchungaji ameongea neno kubwa kabisa tena sana mungu wewe ni mungu wa kweli
Mungu nisaidie ninaangamia kwa kukosa marifa...asante kwa kunikutanisha na madhabahu haya,kilicho chako bwana wacha nikitoe kwa ukamilifu
Bwana mungu naomba toba kutoka kwako pia siwezi tena kupinga na sauti yako wala kupuzia maelekezo yako yoyote bwana nisamehe
Ata na mimi na omba Mungu ani sameh juu ya zaka. Na anipe nguvu ya kutowa saka sasa na mapato yangu.
Ameni naomba MUNGU ANISAIDIE
Amen sana
Mungu naomba unirehemu Mimi na wanangu tuondolee nguvu za giza zinazotufuatilia kwenye kazi na biashara mungu nisaidie
Saw
Mungu anitie guvu
Barikiwa Mtumishi
Napenda ivi vipindi vya mafundisho nifanyaje ili kila kipindi niwe nakipata Kwa wakati Kila unapo ingia
Uongee ukweli mtumishi Kwa sababu IPO siku tutasimama mbele za Mungu na kutuonyesha ukweli unaotufundisha🙏🙏🙏
Asante mtumichi wamungu nachukulu kwamafundicho mazuli yamenigusa moyoni nachukulu sana
Mmmm sina nilillolifanya ili nikumbukwe na Mungu yaani nahitaji neema ya kuanza naye sasa
God bless my messenger
Hiyo,ni,kweli,kabisa,mtumish
Neno la Leo limenigusa aposto naamini ata uyo mganga anamtegemea mungu,shalom watu wa mungu tumludie mungu,🙏🙏🙏amen,
Asante mungu naomba ukutane na mimi katika maisha yangu🙏🙏
😂😂😂😂 usisubiri kukabwa usiku. Wapendwa tumrudie Mungu maisha ya duniani ni mengi ila tusikubali kushusha mahusiano yetu na Mungu. Mtumishi ubarikiwe sana endelea kutupa Neno 🙏🙏🙏🙏🙏
Asante Mungu 🙏🏿
Bwana asante kwa yote
Aliyeimba huu wimbo ni nani,watumishi wa Mungu nisaidieni..
Sikujua Santi mwenyezi mungu nmejua mengi n bariki🙏🙏🙏
Amen and Amen
Nashindwa hata kuomba neema inanities na kunitoa hatpa
Amen mungu Wangi nisamehe nilikosa mbele zako nitienguvu tena maana bila wewe pekeangu sitaweza
Hakika pastor maubili yako yamenilenga huyo ni mm 😭😭😭 eee mungu nisaidie na mm; postor nisaidie niombee natamani sana kuokoka na mm yatosha kutumikishwa na ibilisi shetani eee mungu nikumbuke
Naomba neema yako ya uzao
Amen
Mtumishi Muñgu akubariki Nimekuelewa sana niombee na Müñgu anisamehe Kuna vingi Sana umenifuraisha hujaongea Sana umetufundisha Sana Muñgu awe nawe ❤❤❤❤ ubarikiwe mno wewe na familia yako umeponya nafusi za wengi kupitia Neno hili
Amen❤
Mungu anisaidie nitoke hapa
Mungu akubariki kw Neno nzuri Mtumishi unanitia moyo kila ukihubiri neno la uzima🙏
Ndiyo baba sio huongo kabisa
Aksante Mungu kwa rehema na neema yako kwa uzima wetu🙌🙌🙌 Zab103:3🙏
ubalikiwe sana mtumishi wamungu
MUNGU BABA nisameh mimi mtenda dhambi🙏🙏🙏
Asante sana mungu akubariki Kwa kazi yako
Hakika tunatakiwa kutubu na kusimama Tena amen
Nikumbuke Mungu wangu naomba usiniache 😭😭😭
Hakika umenirudisha kwenye mstari ubarikiwe sana mtumishi
Asante ntumishi kwa kutuelekeza namna ya kuenda kwa Mungu, namna ya kuomba rehema kwa Mungu,namna ya kumtolea sadaka na zaka, namna ya kuwa mwaminifu kwa Mungu, namna ya kutengeneza na Mungu, Mungu akubariki sana
Mungu nirehemu sawa sawa na fadhili zako amen
Asante sana baba unanisaidiya sana mutumishi wu mungu
Nashukuru mtumishi Kwa maubiri,you make me move closer to God
Nashukuru sana Mchungaji, Mungu akubariki tena sana
Naomba roho mtakatfu aingie ndani yamoyo wangu
Ahsantee yesu 🙏🙏🙏
Leo MUNGU mkali kupitia mtumishi wake,,,,naomba unisamehe MUNGU wangu,,,naacha wizi
Mungu akuariki mtumishi neno zuri ❤❤
Ubarikiwe Sana mtumishi.
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Asante mtumishi wa mungu unanifundisha ukweli uliopo nakuelewaa sanaa na kila uombapo unanigusa mimi
Ameeeeeeen
Jamani jamani jamani MUNGU kanionya leo
Mungu nipe neema yako
Ubarikiwe sana Pastor👏
Amen MUNGU atukumbuke
Amen mtumishi wa MUNGU.
Ubarikiwe saana Mtumishi wa Mungu
Amen amen 🙏
Kwa neno hiri kama hujabadiirika mmmm
Amen. Barikiwa
Amen 🙏
Ubarikiwe
Amen 🙏🙏🙏😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
MUNGU nikumbuke mana natumika kanisan kwa nguvu zangu na sadaka
Bwana nikumbuke
Amien sama
Kijana wa kiume akiota ndoto ana pambana na mwanamke huashiria nn
Ameer
Amen Mtumishi Asante sana Mtumishi 🙏
Ahsante Bwana Yesu
Amen
Mungu naomba unirehemu Mimi na wanangu tuondolee nguvu za giza zinazotufuatilia kwenye kazi na biashara mungu nisaidie
Eeee Bwana Yesu naomba unirehemu unisamehe maovu yangu, unipiganie kutokana na roho za kipepo,nshike mkono uniongoze safarini peke yangu siwezi
Ubarikiwe Sana mtumishi 🙏🙏
Amen amen
Amen amen 🙏🙏🙏🙏