NJIA KUU TATU ZA KUMSIKIA ROHO MTAKATIFU
Вставка
- Опубліковано 7 лип 2023
- 2 Wakorintho 13:14
Neema ya Bwana Yesu Kristo, na upendo wa Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu ukae nanyi nyote. Amen.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Eee bwana mimi si mwem hata kidogo nimekuwa mkosefu katika jamii na watu wanao nizunguka bwana wangu niguse tena niwe wako mimi sina bwana mwingine🙏🙏🙏
amen baba 👏👏
Mungu naomba inisaidie niweze kumsikia loho mtakatifu
🙏
❤❤ Naomba roho mtakatifu kwenye maisha yangu
Kwel kuna faida ya kumsikiliza Roho Mtakatifu tena huwa anazungumza kwa sauti ya upole sana. Mungu ni mwema kila wakati 🙏🙏🙏
Amen kweli Rm anazungumza lakini tumeshindwa kutofautisha aina ya sauti
Mungu akubaliki sana na uzidi kutufikishia elimu hii juu ya roho mtakatifu
Ameni
Asante Sana mungu awabaliki sana🙏🙏
Thank u paster God bless
Amen🙏🙏 huo ushuhuda umenipa hope ju nimekua nikiomba sana Mungu anijalie fethaa za kununua vitu za kanisa nina imani Mungu atajibu🙏🙏🙏 Mungu akubariki sana
Mwaka 2016 alinisemesha kuhusu eneo la biashara na mtu atakaye nipa eneo
Mungu akubariki mtumishi
Iko faida kubwa sana
Amin Mungu nakuomba unipe roho mtakatifu aniongoze kwenye maishayangu
Roho mtakatifu anakaa ndani yetu.ukimpokeya tu Yesu kuwa Bwana na mokozi wako ,hapohapo roho mtakatifu anaingiya ndani yako.sasa inabidi umwambiye ajizihirishe kwako ila upate kumuelewa.na akusaidiye kukufunguwa masikiyo yako ya rohoni.
Roho mtakatifu akawe mwongozo wa maisha yangu❤❤
Ewe bwana naomba unibariki roho mtakatifu akaniongozi katika safari yangu ya masomo na kanisa
Amen Amen Amen 🙏🙏🙏🙏 tumepokea mafundisho mazuri kuusu kumusikia Roho mutakatifu. Merci
Roho mtakatifu akaniongz katika maisha yangu
Roho mtakatifu uniongoze siku zote za uhai wangu
Eeeeh.....Roho Mt.naomba unisaidie niweze kusikia sauti yako maishani mwangu
Mtumishi wa MUNGU napatikana congo sud kivu 'nahitajinamba yako 'mwalimuwangu
Naitaji Roo mtakatifu katika maisha yangu yote
Ameen Ameen naomba roho wa MUNGU aniongoze katika maisha yangu Amen
Mungu n'a taka niku sikiye usiku wa Léo baba mungu wangu roho mutakatifu 🙏🙏🙏
Amen Nashukuru sana kwahaya mafundisho Mungu akupe maisha marefu amen
Aloooo Kuna kitu nimepokea Ameen nmekua mpya
Nj kweli kabisa mtumishi wa Mungu kupitia Bwana wetu Yesu Kristo wa Nazareth! Hakika tunaongozwa na Roho mtakatifu ukimtiu na kumfuata!
Holy spirit I know I don't deserve to walk with you due to my uncommitment but please right know ive decided to be yours please be with me
Roho mtakatifu komboa watoto wangu
Ee Roho mtakatifu naomba kusikia sauti yako masikioni mwangu Amen
Amen mtumishi Mungu akuzidishie pawa, Ee mwenyezi Mungu naomba roho mtakatifu aniongoze katika maisha yangu yote amena.
Naomba ewe Mungu uingie ndani yangu unifunze niweze kumsikiliza roho mtakatifu
Ningeomba nipate marafki walio katika ushirika na Yesu
Nitumie namba zako
Ameen 🙏🙏🙏 balikiwa Sana mtumishi wa MUNGU
MUNGU naomba unisaidie nimsikie roho mtakatifu akisema na mim
Asante Mungu wetu
Amen naamini hivyo itakuwa roho wa MUNGU niongezee nashukuru nimeipata kitu
Amen 🙏 nitafanya aje ndio nikuwe na moyo wa kuomba juu nikitaka kuomba maneno yaniisha
Hata mm nilikuwa na hiyo shinda lakini mungu ni mwenye huruma akikuona unatia juhudi anakuwezesha.
Mm niliendelea hivyo kidogokidogo na nikawa naomba mara kwa mara na kusoma bibilia mungu atakuinua
Soma biblia utaomba mpaka utakuwa unaona muda hautoshi maana tukiomba tunamkumbusha Mungu ahadi zake alizozisema kupitia neno lake.
Hee mungu naomba utusamehe kwa kudhalahu neno lako🙏🙏
AMEN MTUMISHI. KWELI KABISA ROHO MTAKATIFU ANAZUNGUMZA NA ANAFANYA KAZI SANA, MIMI NINAYAISHI AYO KABISA. MUNGU AKUBARI NA AKUPE ZAIDI UJUZI NA UFUNUO.
Asante pasta nimekuelewa sana naamini kuanzia Sasa nitamruhusu roho mtakatifu afanye KAZI ndani yangu.
Ubarikiwe sanaa Mtumishi... AMINA🙏
Ubalikiwe mtumishi
Nampenda Yesu natamani kujazwa na roho mtakatifu. Mtumishi ubarikiwe ..Amen
Assnte Yesu kwa neno lako,asante kwa mtumishi wako.nipe neema ya kumsikiliza Roho Mtakatifu
Amen 🙏 🙏 ubarikiwe sana mtumishi kwa mafunzo takatifu🙏
Roho mtakatifu ananitia nguvu mpya kila siku amen 🙏🧎.
Namuitaji Sana roho mtakatifu maishani mwangu 🙏
AMEN naamini nitapokea roho mtakatifu
Mungu naomba namimi unikumbuke
Roho mtakatifu sema nami nikuelewe kile unachosema nami Amina
Mungu nomba nisaidie niwezekumsikiliza roho mtakatifu
Mungu mwenyezi naomba unisaidie kumsikiliza roho mtakatifu ndani ya maisha yangu
Mungu naomba roho mtakatifu anitembelee kila wakati
Amen...Naomba roho mtakatifu aniongoze katika maisha yangu
I love the spirit of God to walk with me,shuka Tena uniguze
Asant sana namkaribisha roho mtakatifu ndan yangu
asante kwa kunipa maarifa juu ya Roho mtakatifu hakika nimepata jambo jipya Mungu akubariki
Mungu naomba roho wa mtakatifu aningoze ktk maishani mwangu
Ameen nimebarikiwa sana kwa hya mafundiaho mm.ata huletewa nyimbo uaingizini nikaimba tu vizuri but nikiamka asubuhi nimesahau
Mungu naomba niwe na Roho mtakatifu maisha yangu awe kiongozi
Roho mtakatifu aniongoze
SHALOM, BARIKIWA SANA MTUMISHI WA MUNGU
Antônio Samuel kutoka Moçambique asate kwa jia ya kujua roho takatifu
Amen mtumish Mungu akubariki sana
Amina mtumishi Mungu akubarik sana❤
AMEN I TRUST IN YOU JESUS CHRIST
Ameen mungu nisaidie nikufahamu vzuri
Roho mtakatifu naomba uingie ndani yangu ee Mungu naomba nijalie kuisikia sauti ya roho mtakatifu🙏
Amen.Ni kweli pastor mm hulalamika Sana Kua Mungu hanijibu,Asante mtumishi Kwa Sasa napokea mwelekeo
Ee mungu mwenyezi naomba roho mtakatifu aniongoze katika maisha yangu❤❤
Ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu
Amen, Asante sana mtumishi wa mungu kwa kutupa ufahamu huu haki unatusaidia sana mungu akubariki sana 🙏
Amen amen ninashudia kwa kuongozwa na roho mtakatifu mnoo
Natamani sana nimujue saidi huyu mungu
I'm so glad to listen to them word of God,,have just watch now and nimebarikiwa na neno
Mtumishi nashukuru kwa ushauri mzuri.
Amina ubarikiwa
Mbona nilichelewa kujua km unamafundusho mazur hivi 💪💪💪❤️❤️❤️❤️
Naitaji kusikia sauti ya roho mtakatifu aniongoze katika maisha yangu roho mtakatifu 🙏🙏🙏🙏
Me nimekua nikiota sanaa nikiwa mazingira ya shule ya msingi nilosoma lakn siku mbili zilizopita nimeota nko shule hyo ya msingi nimeshafanya mtihani na nimejaza mtihani wangu vizuri lakn gafla mtihani wangu hauonekani na nilikua nimeshakusanya
Rafki hyo ni ishu ya kutafri ndoto naeza kukuelekeza kama hutoja mim npo mkoa wa songwe ww unapatkana api
Barikiwa sana pastor nakuelewa sana Mungu naomba unisaidie nikusikie zaidi
Ubarkiwe
Amen God bless you
Naomba unitumie sala ya kumwomba Roho Mtakatifu nijue lugha
Nipo ulaya najifunza lugha lakain inabid nimshirikishe Roho Mt.
Upalikiwe mtumishi kwa mafusho nimepalikiwa Sana
Amina Na mpaka hapa kukusikiliza ni roho mtakatfu ameniongoza Ubarikiwe sana🙏🙏🙏
AMINA mtumishi wa MUNGU BARIKIWA SANA
Ahsnte sana baba kwa mafundisho yako,naomba sana madhabahu yako imuombee mdogo wangu grory anayesumbuliwa na tatizo la kuishiwa damu mara kwa mara neema yako imuatamie 🙏
Amina
I speak healing over the life of Glory In Jesus might name
Asante kwakuni funulia aya Amen Amen Amen 🙏
Postor nizaidie mm niliokoka na nikarudi nyuma naomba uniombee nirudi katika safari ya wokovu naomba roho mtakatifu roho wa maombi juu Niko na shida mingi asanti
Kumbuka ni wapi ulipoanguka ukatubu, ukayafanye matendo yako ya Kwanza yani ukaende sawasawa na vile ulivokuwa ukienenda wkt umeokoka, kwaiyo omba toba kwa kumaanisha, soma neno la Mungu, kuwa mtu wa maombi, jitenge na mazingira yanayokufanya urudi nyuma ktk wokovu
Lakini pia usitembee kwenye wokovu bila roho mtakatifu, omba sana roho mtakatifu aje kwenye maisha yako akuongoze, wana wa Mungu wanaongozwa na roho mtakatifu, yeye ni mwalimu, anatufundisha, anatutenga mbali na uovu, anaachilia kiu ya kupenda mambo ya Mungu, Yani yeye ndo dereva wa maisha yetu ya wokovu
Almighty God 🙏🙏
Naomba Mungu aniongoze Ili niweze kumtambuwa
Roho mtakatifu atende kazi kwetu.
Amen asanti Mungu kwa roho mtakatifu
Ameen 🙏🙏 barikiwa sana
Amina ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Kuna faida kubwa kumsikiliza roho mtafuta Ubarikiwe sana
Unamusikiaje dada please nifafanulie nijuwe
Somo zuri mno barikiwa mtumishi wa MUNGU
Amen
Mungu naomba unipe roho mtakatifu na nguvu zake
Mimi nilipo achana na mume wangu,nilikua naomba Mungu anipe mume mwingine,niliambiwa hakuna siku utazaa na mume zaidi ya mmoja,amini miaka kumi na miwili ndio alitokea akaniambia msameh mumeo,na ukumbuke ndani ya hii miaka ya usingle sikuwahi kuzini kila mume ninaekutana nae tukipanga tukutane kunatokea kisanga kikubwa,hivi ninavyo ongea mume wangu alirudi,baada ya 12yrs na hajawai zaa na mke mwingine,ni mim tu nilizaa nae 3kids,na ajabu ameishi na wake zaidi ya wanane na hakuna alo zaa nae,wee haya ni majabu haki.R00H0 Wa Mungu anatenda Kabisa.
Amina saana Mtumishe wa Mungu ❤❤
Praise the Lord 🙏❤️
Amina Mtumishi wa Mungu
Amina ubarikiwr sana!
Amen 🙏🏻🙏🏻 ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU
Uishi maisha malef m2mishi wa mungu kwa ku2panua vichwa vye2 wengi we2 2likua a2welew kwa Sasa 2meona njia yakuongea namungu fes2fes ubalikiw sana