#EXCLUSIVE
Вставка
- Опубліковано 25 чер 2024
- #EXCLUSIVE: MASWALI MAGUMU kwa WAKILI MADELEKA kwa WATEJA WAKE MADADAPOA WANAODAI BILIONI 36 kwa DC wa UBUNGO...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mtemtez WA madada poa😂😂 kweli mbinguni tutafika tumechokaa 😢😢😢😢😢😢
Muandishi msomi vs wakili msomi
Wakili msomi chaliii miguu juu
Nchi hii sheria hazi fuatwi
mwenyez Mungu akufelishe na now yako kuhamasisha kwa kapotea kwa maadili ya nchi we madeleka yaani kabla hujafanikisha lengo lako na waliokutuma in sha allah ufeli kwa hili nawe ufungwe in sha allah rabda kwakua rais mwenyewe ndio wale wale lakin kama ahusiki na tuhuma za usagaji ye huyo rais basi angekemea kwa nguvu zote uchafu hu unao tetewa na mawakili njaa kama madeleka
Kaka mkubwa mungu akubariki sana na akuongezee umri inshaallah.
Safi sana wakili ,sheria ichukuwe mkondo wake
Hat ushoga Sheria haijanyoosha
Madereka yuko mkini sana,mwandishi siku nyingine jipange
kimeumana😂
😂😂 Watu wanachelewa kumuelewa wakili wakili anaongelea sheria wa tz wengi mnafasili maneno ya kawaida na dini sio sheria ya selikali apo mmechemka
Huyu jamaa anampiga sana maswali magumu kwa madeleka kudadeki mkuu ulitumwaaaa😅😅😅
Wakili nimekuelewa kiundani sana sheria oyeeeeeeeee
Maswali ya korumba hayajibiki , pita ni mfanyabiashara
Kakwepa kujibu swala la kubakwa
Kudai 36btsh... rahisi kutamka ila hicho kiasi ni tani ngapi... wenye kujua uzito wa noti za 10,000tsh,
Gram 1.1 kama sija sahau
Tusichanganye sheria na utamaduni ndio mana ukiua unafungwa kwa kua sheria ilishaweka azabu ya mtu akiua sasa mnaomuona wakili anakosea nyie ndio hamjui sheria cha kuhimiza ni bunge litunge sheria na hukumu ya hao madada poa hata ushoga hauna sheria kwamba shoga hukumu yake ni nini.... Nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria sio utashi wa mtu.
Hapo hakuna kesi kabisa kisheria ila pia mkuu wa wilaya kosa alilofanya ni kupablic habari kwa vyombo vya habarii kwa sisi ambao tulikuwa hajui Kama river side kuna dada poa tumejua tyuuu
Mm namuuliza wakili kesi ya Babati imefikia wapi?
Mtangazaji hukujiandaa kuuliza maswali😂😂😂. Maswali unatunga hapohapo😂😂😂
Imani inapatikana MSIKITINI na KANISANI 😂😂😂😂😂hili jibu liko GOOD SANA... Mwana habari hapo umechemka na haujujipanga pole sana 😂😂😂😂
Columbus leo u much know umekwisha. Hiyo siyo kesi ya sabaya dago😂😂😂😂
Sheria Haija sema hayo mambo ndomana anaweza tetea hao wadada
Muandisi Unachemsha kwa maswari huyo n pita Madereleka
HIVI KATI YA MALAYA NA MLA RUSHWA NI NANI HATARI KATIKA JAMII?
Tupate katiba mpya tu ili ayo mambo yawe kama kosa kisheria, vinginevyo ao wadada hawana kosa kisheria😅😅
Maadili na utamaduni wa nchi hii umeelezwa wapi kuwa unatakiwa uweje kwenye vitabu vya sheria?
Guys nimecheka jinsi mtangazaji anaulizwa😂😂😂😂
Mswahili
Hamna mic ya kufanya tukasikia vizuri mnasikika kama mnaongelea stoo
😂😂😂🤣🤣🤣
Jamani yani hata yie mliotuma izo sms kumlaumu wakili mnafanya malaya sio lazima kuuza mwili ndo kujuwa ni malaya hata kumsaliti mwenzio ni umalaya huo . Au kwakuwa hao wameamuwa kujiweka wazi ndo mnaanza kumlaumu huyo wakili ? Achenu kujifanya nyinyi hamjawai kumsaliti mwenzako. Na kama umemsaliti basi umefanya umalaya
Mwandishi chawa
Sheria haitaki hisia wala mihemuko ya imani bali ni uhalisia jambo,hoja mezani..
Jamaa ni mpuuzi mnooo,na ana elimu, daaah asante mwandishi, umejua kumbana
Sheria haifatishi dini
Hakuna Sheria yahii kitu.mnajitekenya tu
Wanasheria ni mazezeta kweli hao ,kama hawajui kuna mungu vile
Sheria za Tanzania hazija tungwa kwa kufatisha dini usi changanye dini na sheria za nchi
😂😂😂eti iman ni msikitin na makanusani
Kuna watu wamesoma ila bado ni wapuuzi
Kama kuna ubakaji mahhabusu mbona hatari
Pita ubongo ziro kabisa
Hili jamaa pumbavu Sana kutete umalaya na ushoga haya ndio mijitu INAYO tumiwa na shetani na Lina tafuta Kiki za kisiasa
Hapa inazungumziwa sheria mzee hata kusingekuwepo na sheria ya mtu akiua hukumu yake ni nini basi ingekua mtu akiua huwezi kumfunga lakini kwa kua sheria ishawekwa juu ya makosa ya mauaji ndio mana ukiua unafungwa sasa usiropoke ni kuhimiza bunge litumge sheria juu ya madada poa lakini kama sheria haijatungwa ukiwakamata ni kosa acha kuchanganya sheria na utamaduni mzee
😅wakili shkamoo
Wakili hajibu swali mpuuzi tu
Nilichogundua wa watanzania wanachanganya kati ya Sheria alizotunga binadamu na Sheria za Mungu kwanza uyo muandishi hajui kuuliza maswali muhimu Sheria haiukumu mtu kwa macho unatakiwa ushahidi wakuthibitisha kosa
😂😂 Uko sahihi wa tz wengi upande wa sheria jawamo nikelele tu za vijiweni
Mtangazaji wa mchongo
T
Karumba umemkaba koo kweli kweli
Akikuona tu atakukimbia ,na hawezi kukubali intavew tena na wewe
Wakili janja janja tuuu pumbavu kabisa
Common prostitute ni kosa kisheria kwa mujibu wa kifungu cha 176 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura namba 16 ya mwaka 2022.
wangepelekwa mahakan brother
Korumba hana jipya huyo
nibmfanya biashara huyo
Hata wakishikwa mashoga atawatetea
Bila uthibitisho wa kosa hana mamlaka ya ku kamata watu ovyo na kuwa weka polisi
Mchuano mkali kabisa
Anakimbia maswali huyo
Kwanza kusema kuna biashara
ya ukahaba na umalaya Tanzania ni uwongo mkubwa.
Kwani maduka ya biashara hiyo?
Wewe pia watetea upumbafu biasha mpaka duka
Pale kajaba anapojalibu kualalisha ukahaba
Biashara maana yake uwe na leseni,bidhaa na wateja@@jamaliddiin9357
@@msafirimaulidi5054Kahaba ni mwanaume anayeoa wake wengi au mwanamke anapewa
talaka na kubadilisha wanaume 😂
🤣🤣🤣
Wakili feki eti sheria haikatazi