Mwanzo Mwisho Wakili Madeleka Afanya Uchambuzi wa Mkataba wa Bandari na DP World
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.
Eeee mwenyezi mungu wasaidie hawa wana sheria wazalendo wa inchi yangu kwa kazi nzuri ya kutetea rasilimali za inchi,Ameeen
Maneno mazito haya. Rais wangu mama yangu Samia yatilie maanani haya maneno, hawa watu wanatumiwa kama ni vyombo Tu, lakini huu ni ujumbe kutoka kwa Mungu.
P
nondo ziko vizuri maongo na manyang'au mpaka yarudi nyuma
kitu haramu ni haramu tu hawa ni mafisadi ya humuhumu 😅😅 ndio maana ni makosa mengi
Nikwelimkuu alafu awa wamezowea awanisawa nawezimkuu nandomana wamewapeleka wabunge wakatembee dubai nawabunge ao awaijuwi vizulibandali walewote wezituu apanikuwachambatu
Umeeleza Vizuri sana Petter Madereka.Mungu akulinde na Wenzako wote pia.
🙏
Mawakili wana akili kubwa ya sheria hawa ccm wamekalia kuti kavu
NAKUPONGEZENI SANA, SANA KWA UJASIRI HUU...
-PONGEZI SANA NA TUPO PAMOJA NANYI
Duh Allah akupe maisha marefu, umeongea vitu vinaeleweka endelea kutuamsha ni hatari nchi inapoelekea.
Nakukubali Sana huna unafki, umeongea point tangu mwanzo mpaka mwisho! Unajua sana
Apo wamekanyaga mavi ya Kenge...😂😂😂😂 Spika wa bunge ajiuzulu na aondoka Nchi!! Rais Samia Suluhu aondoke tu kimya kimya.. aibu kubwa. Mnauza Nchi na mnajikausha? Polisi watauwa mpaka mtanzania wa mwisho..
Kwann tuendelee na serikali iliyo tayari kudanganya wananchi?
Hapo sasa Inabidi tuingie barabaran, KAMA Kenya tu
Watuue ndiyo wajue Tumechoka.
Kukimbia kimbia kila mara kukopa hela!! wakati magu alishatuambia mmeliwa vya kutosha Nchi hii ni TAJIRI WEWE MAMA KAA PEMBENI NCHI HUWEZI KUIONGOZA.....!!!
Kwani Hawa wanasheria waserikali wao wamesoma wapi si shule zile zile walizosoma mawakili duh cjapata jibu
Pumbavu kbs, unakua msomi alaf unakua mjinga tena
Daah aise Umechambua Vizuri sana sana Madereka.Kumbe bado tuna nafasi ya kuukataa Mkataba huu.Yani umefanya reference za Kutosha sana.Serikali isishupaze Shingo ...yani Umeua kabsa.
Asante Yesu kumbe bado tuna uzalendo hapa TANZANIA.
Huyu jamaa kaongea vizuri sana sio wale wengine kazi yao kukashifu wengine hongera wakili
Safi sana muheshimiwa. Mungu wa mbinguni awalinde na awapiganie katika suala zima la kutetea na kupigania mali na haki ya kulinda mali za Watanganyika.
Mungu akubariki kwa busara zako mtetezi wa Taifa.
Ongera
Labda ndo yaliyosababisha kifo cha makufuli ili wauze nchi sasa aibu imewakuta hao majambazi ya ccm
Mamaaaaaaaaaaaa kiiiiiruuuuuuuuu Samia na Serikali yako jiuzulu haraka
Fact fact fact ever!!!
Hii serikali yote imeoza niyakuondoa yote ikafie mbali uko
Asante tumekuelewa sana Sasa tumejua hatuna wabunge Wala spika.
Hivi serikali hawezi kukubali TU kwamba imekosea?Ili iangalie namna nyingine ya kuweka jambo hili sawa? Ina maana wasomi HAWA wa Tz hawajui wanachokisema?minashangaa sana!!
Wanajua sana
Hilo ni Dili, Ingekuwa sio Dili kwanini asihingize na Bandari ya Zanzibar
SERIKALI HII WANA DHARAU SAAANA! SI WANAJUA HAMNA CHA KUWAFANYA!! AFU UKIANGALIA MWENENDO WA HILI JAMBO NA WATU WANAVYOCOMMENT KWENYE MITANDAO, UTAKUTA KUNA CHEMBE ZA KIDINI SAANA, WALA SIYO BIASHARA NA MANUFAA YA KITAIFA. Hii ni Hatari sana, tujifunze chaguzi zijazo.
na mbaya zaidi hakuna mtawala anayejibu hoja hizi kwa ufasaha.
na awajibu kwa kwa vifungu
so geneous lawyer
Aibu yao wanao beza msimamo huu
Tuna shukuru mungu sana Siri hii mbaya afichuka wa ccm wame jaribu sanakuweka nji pabaya
Nzanzibar ni mazuzu mungu atawasaidia muchanga uchambuliwe
Yaani umeitendea haki taaluma yako.Mungu akulinde wasije wakakuuwa hao wezi wa Taifa hili
Mkuu umeelewèķa vizuri sana kutuelimisha. Ubarikiwe
Tunamshukulu Mungu kwa kuwa kunawasomi waojielewa
Ni vituko vya Karne ,mungu aliyeumba serikali duniani ,atatusimamia ,
Tuko tayari kunavingozi wanatakuwa kufa kabra huu upumbavu hajapita
Nchi hii anaiua kikwete
Ila dhamana ya kuiongoza nchi hii atujampa SS watz kampa mungu as tulimpa magufuli, labbda ndo maana anaamua kuuza nchi, tunamuomba mungu aliempa dhamana aingilie kati kuiokoa hii nchi...
Wazanzbar wanatuuzia hii Tanganyika yetu jaman
Hadi nimeishiwa nguvu na hii maelezo mikataba mibovu mungu amulinde huyu mwanasheria
Mi nashauri nchi nzima tuungane kumuomba mungu siku tatu kwa mazehebu yote then aliyehusika kutuingiza chaka apite ivi
Hakuna shida na sisi tunaounga mkono huu uwekezaji tunaswali na kuomba mungu
Daaaaaaaaaaaaaaa.... nakosa cha kusema zaidi ya kuwaombea heri kwa elimu kubwa sana uliyoitoa. Hakika tunahitaji ukombozi wa fikra
CCM haijawahi kupenda watanzania tuwe na maisha mazuri wanafurahi kuona watu tunaishi maisha haya mabovu tuliyo nayo
Mungu anaukumu maovunimengi wamemsahaumungu wamefanyamengi mungu kaamua sasabas wanafanyavitu kamahawasoma
Hakika.
Sitisheni huo mkataba mpaka tufike muafaka wa Kitaifa juu ya mambo ambayo hatukubaliani
HII SASA NDO ELIMU KWA UMMA. TUNASHUKURU SAANA!!! TUMEBAKIZA VITENDO TU. Hawa jamaa wana dharau sana, WAKISHACHAGULIWA wanadhani wana AKILI kuliko watu wote. Hivi kweli hata hii TUSEME NI SIASA???
Safi
Utakuta limutu limetumwa na gubunduki guzito hadi gubega gumeshuka at limetumwa na gumutu kwenda kuuwa au kuumiza watu kama hawa na yalaaniwe yote mawili uzao wao uwe na ukoma mkali
WAKILI PETER MADELEKA HUWA TUNAKUKUBALI SANA WATANZANIA. UNAJUA KUFAFANUA NA KUSAIDIA WANANCHI
Serikali gani hi aisikilizi wananchii wakes inajifanyia mambo kwajili yaoo 2 na c kwajili ya watazania MUNGU wangamize awaaa araka sana atuwataki kwenye nchii yetu
Hatuna Imani tena na bunge na wizara ya sheliya tujiunge tukomboe nchi
Wambien hao wazee wa ndio mzee waamke hizo zama kale zimeshapitwa na wakati watu washakuwa waelewa hawawezi kukubali kila kitu.
Ila CCM, ni janga kamili!!!
TUMESHA WAAMBIA SHETANI WA NCHI HII NA MAENDELEO YAKE NI CCM
MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AWABARIKI WAZALENDO WETU WA TANZANIA....ENYI MAMILIONI YA WANA CCM MSIOKUBALIANA NA MH. RAIS NA VIONGOZI WAKE JIUNGENI NA NGUVU YA UMMA KUWANG'OA MADARAKANI.
Hawa ndio watetezizi wawa tanganyika mungu awabaliki
Hii nchi inaumiza sana
Kama mawakal wote Tanzania watapasa saut Kama hiz bas Tanzania na serikali watajua now watu wameamka upigajji utapungua
Katika jambo Baya Kwa serikali ni kushindana na mawakili
MH. RAIS SAMIA....UKO 'UCHI'....WATANZANIA WANAKUONA UKO 'UCHI'....MAMA 'CHUCHUMAA'!
😅😅😅😅😅😅 mwambie uyo
Aibu jamani
Ee mwenyezi Mungu uwatie nguvu Hawa Wana Sheria wapate ushindi zidi ya mafisadi wa inchi yetu...
Mungu ambariki sana Wakili Madeleka.
Hapo ndo selikali ijue Kua watu wakicgukia nizaid yachui au Simba imewachezea watanzani Sasa imefika mwisho angalieni hisia zatu wako tayari kufa hao niwanashelia sio chadema Sasa mkubali yaishe CCM moto unakuja
Wakili yuko vizuri
Hivi kumbe Tanzania Ina watu wasomi wazuri kiasi hiki hongereni sana
Mchawi alieiloga Tanzania ameshakufa
wafungulieni kesi dubai kwa kosa la utapeli
Huu Moto wasipostuka ccm , ndio unaamsha katiba na haupoi mpaka NEC 2025 ambapo mama atapumzishwa...
Duh ata Dubai wanashangaaa wameingia mkataba na vichaaaaaa🤭🤭🤭
Mungu awe pamoja nanyi watetezi wa ichi yetu jamani
Hakika mnaacha alama katika nchi yetu.
Wanaacha alama za nini au alama za kupotosha,mkataba hauna shida yoyote
Fact
Mungu ambariki sana wakili madeleka, haongei lugha za matusi ila kaongea ukwel
Mungu akubariki.
Nawapongeza sana tusaidie
Ni yanasikitisha sanaa hap ndo ninapo kuja kuona mazaifu ya mwanamke maana ana mamuzi kabisaa yani inaumaaa ila MUNGU atawanyosha tu kwakuwa mnatenda aya kwa makusudii bila kujali wanyonge
Kama kweli mambo yako hivyo #samia na mwanasheria mkuu pia #mbalawa. Wajihuzuru waachie ngazi hawa ni wezi hawafai kabisa.
Tunashukulu sana zaidi sana kwa hekima uliyotumia ALHAA awape nguvu zaidi.
ALHAA NDO NANI.nyinyi mmepotoshwa sanaa Kwa chuki tu,mkataba hauna shida
🙏🙏🙏🙏Ameen tuna muani Allah tu hatuamini matapeli waongo na walagai
Umefikisha ujumbe kwa namna ya kipekee Sana hongera sana
KUMBE KWELI,SIASA ZA TZ ,ZINAFURAHISHA,NA HAWA ATA ,MWENYEENZI MUNGU SUBHANNA WATTAALLA AMREHEMU MAALIM SEIF ,AMEEN
Leo wanaitaja kanganyika nao wanasema TANGANYIKA nchi et
Inna linlhah raajun. Kwa haya, naamini Samia amesikia na kukuellea. Vinginevyo itakuwa sikio la kifa?
Amakweli wanaupigamwingi ngrawa woyee hii ndo tanganyika walisi hawana uchungu na nchi hii
kinacho niumiza ni kuona hamna ata mwana ccm anae upinga huu mkataba uko juu
Hivi watanzania tumerogwa na nani kusaini upuuzi kama huu ?
Mbona Wakristo tu hapo, kwani Waislam hawana uchungu na bandari ?
@@BobNgagi2023 😂😂😂😂😂😂😂😂🤣😂😂😂😂😂😂😂udini unatoka wapi hapa.. waislam si mmeamua kusapoti utumbo wa kuuza nchi yenu kwa sababu ya udini sasa sisi tunawasaidieje
BIG UP NDUNGU ZETU WASOMI
Kiukweli watu kama hawa ni hazina ya Taifa letu. Maana wanatuelimisha tusiojua. Inatakiwa waingwe mkono kbs. Kwanini serikali isiwatumie hawa pindi wanapotaka kuingia mikataba ya kibiashara kama hii ya DP world?
Sasa kichwa kizuri km hiki,kijana mbichi kwa nini msimtumie vizuri na kwa manufaa kwa Tanganyika?kwa nin msituuwe sisi tuliokwisha kula chumvi nyingi na mishavu imetulegea km yote na kichwa mmh dementia tupu.Tuwalinde vijana wetu.
Mayowe ya mwiz hodarii humficha na kumuhifadhi mwizi. Mwenye kusikia hilo yowe, huipaza zaidi sauti ya mwizi kumbe ndiyo kuzidi kumuhifadhi. Hapa mpiga mayowe, na wafuasi wake wamekazana kweli, kelele zao hazina tija hata kidogo..
Munakaa kupotosha watu kwa maslahi yenu,
Mm nilidhan mutatuambia faida tuliyoipata tangu bandari imekua chini yetu na hasara tutayoipata endapo tutawapa wawekezaji,
Munakalia unafki tu, mbona mumeshindwa kutetea wafanyakazi wa bandari ambao kesi zao zipo mahakamani na mpaka leo hawajalipwa,
Wanasheria nyinyi ni wanafki sana siku zote munasimamia maslahi yenu tu,
madudu mangapi yanafanyika bandari mbona hamjawahi kukenua mijino yenu ya njano, alafu leo swala la uwekezaji ndo munaanza kutunukisha harufu ya midomo yenu,
Munaroho mbaya sana, ukiwasikiliza ni kama watu lkn ni washenzi hakuna mfano,
Magufuri alipambana na mafisadi, samia anapambana na vyanzo vya ufisadi,
Na kawaambieni wanaowatuma safari hii watanyooka tu,
Mama samia MITANO TENA.
Linalotiliwa shaka, hilo ni shaka; viongozi serikalini tafadhari rudisheni mioyo yenu nyuma!
Jamani mkataba hii upitiwe upia na utolewe elimu Ili watanzania warizike na kile kinacho endeshwa na serikali
Serkali ikubali tu. Ijiuzulu tufanye uchaguzi mapema kabisa
Wow! Tunahitaj watu wa namna hii. Nchi yetu karibu 70% watanzania tulio weng hatujui sheria na ufahamu wakujua vilivyondani ya sheria zilizotungwa na ndani ya nchi yetu. Ndio maana tunapigwa. Hivyo mkiwa km wanasheria piganieni nchi yetu ilikuiokoa coz tumeshatawaliwa na viongozi wa walio na uchu wa pesa na sio viongoz bora.
Excellence ❤❤❤❤
Good
Wewe chifu hangaya hakunavitu vitamu kana kuishi naamani namaishamalefu wewe unaweza kuonakamaukosawa kwakuwa unadola elewa maimbi ya watanzania yatakuja yakuasili usifikilie unaakili kuluko wsnanchi wote kwanza hatujakuchagua
Safi sana...
Mungu liangalie sasa taifa hili
Mh. Soma katiba ya Zanzibar, inaseme ni nchi.
Kwa mujibu wa ufafanuzi hapo kwenye kuweka sahihi napata mashaka huenda huyo dubai itakuwa kampuni hewa ndy maana jamaa akaambiwa aweke sahihi zote mbili
Nimefikiri hivyo pia,wenda ikawa hii kitu ni hewa.
Mimi nahisi dp word ni watanza nia wenzetu humuhumu wa meshirikiana tuu na ndio maana rais wetu amesaini mkataba waajabu
Ahsante Mungu kwa kuwa sasa tumeamka!
Peter acha bunge liko mochwari siyo SS wanaichi COVID 19 hawajaitafisili hiyo ndio itaweza spika wa kimataifa amen mungu wee tuonyeshe nguvu yako juu ya wa polaji wa nchi yetu
Hata spika, dr tulia mwanasheria hakupata muda wa kusama huo mkataba kabla ya kumpa samia asaini jamani aibu gani kwa nchi.
Serikali ya awam 6 ni ya hovyoo sanaa
Chezeyaa wasomi ongereni sana kwa kutufundisha
DAAAH 😔