Mwanzo Mwisho Wakili Madeleka Afanya Uchambuzi wa Mkataba wa Bandari na DP World

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.

КОМЕНТАРІ • 216

  • @robertmisako
    @robertmisako Рік тому +9

    Eeee mwenyezi mungu wasaidie hawa wana sheria wazalendo wa inchi yangu kwa kazi nzuri ya kutetea rasilimali za inchi,Ameeen

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Рік тому +24

    Maneno mazito haya. Rais wangu mama yangu Samia yatilie maanani haya maneno, hawa watu wanatumiwa kama ni vyombo Tu, lakini huu ni ujumbe kutoka kwa Mungu.

    • @davidfanuel1241
      @davidfanuel1241 Рік тому +2

      P

    • @marijanimohamed8875
      @marijanimohamed8875 Рік тому +1

      nondo ziko vizuri maongo na manyang'au mpaka yarudi nyuma

    • @marijanimohamed8875
      @marijanimohamed8875 Рік тому +1

      kitu haramu ni haramu tu hawa ni mafisadi ya humuhumu 😅😅 ndio maana ni makosa mengi

    • @ahmadikauru6592
      @ahmadikauru6592 Рік тому

      Nikwelimkuu alafu awa wamezowea awanisawa nawezimkuu nandomana wamewapeleka wabunge wakatembee dubai nawabunge ao awaijuwi vizulibandali walewote wezituu apanikuwachambatu

  • @yamungungendu4839
    @yamungungendu4839 Рік тому +8

    Umeeleza Vizuri sana Petter Madereka.Mungu akulinde na Wenzako wote pia.

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 Рік тому +17

    Mawakili wana akili kubwa ya sheria hawa ccm wamekalia kuti kavu

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 Рік тому +10

    NAKUPONGEZENI SANA, SANA KWA UJASIRI HUU...
    -PONGEZI SANA NA TUPO PAMOJA NANYI

  • @rahalee5479
    @rahalee5479 Рік тому +6

    Duh Allah akupe maisha marefu, umeongea vitu vinaeleweka endelea kutuamsha ni hatari nchi inapoelekea.

  • @sylivestermchafu2891
    @sylivestermchafu2891 Рік тому +3

    Nakukubali Sana huna unafki, umeongea point tangu mwanzo mpaka mwisho! Unajua sana

  • @mussabalola3692
    @mussabalola3692 Рік тому +5

    Apo wamekanyaga mavi ya Kenge...😂😂😂😂 Spika wa bunge ajiuzulu na aondoka Nchi!! Rais Samia Suluhu aondoke tu kimya kimya.. aibu kubwa. Mnauza Nchi na mnajikausha? Polisi watauwa mpaka mtanzania wa mwisho..

  • @majii5591
    @majii5591 Рік тому +11

    Kwann tuendelee na serikali iliyo tayari kudanganya wananchi?

    • @florangido202
      @florangido202 Рік тому +3

      Hapo sasa Inabidi tuingie barabaran, KAMA Kenya tu
      Watuue ndiyo wajue Tumechoka.
      Kukimbia kimbia kila mara kukopa hela!! wakati magu alishatuambia mmeliwa vya kutosha Nchi hii ni TAJIRI WEWE MAMA KAA PEMBENI NCHI HUWEZI KUIONGOZA.....!!!

  • @franciskulwa2322
    @franciskulwa2322 Рік тому +5

    Kwani Hawa wanasheria waserikali wao wamesoma wapi si shule zile zile walizosoma mawakili duh cjapata jibu

    • @mlandasymon1980
      @mlandasymon1980 Рік тому

      Pumbavu kbs, unakua msomi alaf unakua mjinga tena

  • @yamungungendu4839
    @yamungungendu4839 Рік тому +6

    Daah aise Umechambua Vizuri sana sana Madereka.Kumbe bado tuna nafasi ya kuukataa Mkataba huu.Yani umefanya reference za Kutosha sana.Serikali isishupaze Shingo ...yani Umeua kabsa.

  • @uzimameditv8148
    @uzimameditv8148 Рік тому +9

    Asante Yesu kumbe bado tuna uzalendo hapa TANZANIA.

  • @saidiyusufumuhode3159
    @saidiyusufumuhode3159 Рік тому +4

    Huyu jamaa kaongea vizuri sana sio wale wengine kazi yao kukashifu wengine hongera wakili

  • @mzarendo.com9624
    @mzarendo.com9624 Рік тому +8

    Safi sana muheshimiwa. Mungu wa mbinguni awalinde na awapiganie katika suala zima la kutetea na kupigania mali na haki ya kulinda mali za Watanganyika.

  • @mariamnimbo8394
    @mariamnimbo8394 Рік тому +3

    Mungu akubariki kwa busara zako mtetezi wa Taifa.

  • @ernesttomas85
    @ernesttomas85 Рік тому +5

    Ongera

  • @JacksonMahende-ho2wb
    @JacksonMahende-ho2wb Рік тому +5

    Labda ndo yaliyosababisha kifo cha makufuli ili wauze nchi sasa aibu imewakuta hao majambazi ya ccm

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 Рік тому +2

    Mamaaaaaaaaaaaa kiiiiiruuuuuuuuu Samia na Serikali yako jiuzulu haraka

  • @aloycemahanga2290
    @aloycemahanga2290 Рік тому +4

    Fact fact fact ever!!!

  • @justinwangi4912
    @justinwangi4912 Рік тому +8

    Hii serikali yote imeoza niyakuondoa yote ikafie mbali uko

  • @ZenaBakari-fz4jp
    @ZenaBakari-fz4jp Рік тому

    Asante tumekuelewa sana Sasa tumejua hatuna wabunge Wala spika.

  • @evansmtalo8924
    @evansmtalo8924 Рік тому +6

    Hivi serikali hawezi kukubali TU kwamba imekosea?Ili iangalie namna nyingine ya kuweka jambo hili sawa? Ina maana wasomi HAWA wa Tz hawajui wanachokisema?minashangaa sana!!

    • @florangido202
      @florangido202 Рік тому +4

      Wanajua sana
      Hilo ni Dili, Ingekuwa sio Dili kwanini asihingize na Bandari ya Zanzibar

    • @AmbakweteMwakalugirao
      @AmbakweteMwakalugirao Рік тому +3

      SERIKALI HII WANA DHARAU SAAANA! SI WANAJUA HAMNA CHA KUWAFANYA!! AFU UKIANGALIA MWENENDO WA HILI JAMBO NA WATU WANAVYOCOMMENT KWENYE MITANDAO, UTAKUTA KUNA CHEMBE ZA KIDINI SAANA, WALA SIYO BIASHARA NA MANUFAA YA KITAIFA. Hii ni Hatari sana, tujifunze chaguzi zijazo.

  • @uzimameditv8148
    @uzimameditv8148 Рік тому +5

    na mbaya zaidi hakuna mtawala anayejibu hoja hizi kwa ufasaha.

  • @godfreyerasto4298
    @godfreyerasto4298 Рік тому +3

    so geneous lawyer

  • @emmanuelkayavugwa8049
    @emmanuelkayavugwa8049 Рік тому +5

    Aibu yao wanao beza msimamo huu

  • @Ashangaipaulo-yn1hq
    @Ashangaipaulo-yn1hq Рік тому +2

    Tuna shukuru mungu sana Siri hii mbaya afichuka wa ccm wame jaribu sanakuweka nji pabaya

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 2 місяці тому

    Nzanzibar ni mazuzu mungu atawasaidia muchanga uchambuliwe

  • @frankrobert9706
    @frankrobert9706 Рік тому +2

    Yaani umeitendea haki taaluma yako.Mungu akulinde wasije wakakuuwa hao wezi wa Taifa hili

  • @masakakasiri-xq6ce
    @masakakasiri-xq6ce Рік тому

    Mkuu umeelewèķa vizuri sana kutuelimisha. Ubarikiwe

  • @herbertlevery1077
    @herbertlevery1077 Рік тому +1

    Tunamshukulu Mungu kwa kuwa kunawasomi waojielewa

  • @mwajumashaibuomary7363
    @mwajumashaibuomary7363 Рік тому +3

    Ni vituko vya Karne ,mungu aliyeumba serikali duniani ,atatusimamia ,

    • @omaryhabibu2746
      @omaryhabibu2746 Рік тому +2

      Tuko tayari kunavingozi wanatakuwa kufa kabra huu upumbavu hajapita

    • @daudifrank5886
      @daudifrank5886 Рік тому +1

      Nchi hii anaiua kikwete

    • @daudifrank5886
      @daudifrank5886 Рік тому +1

      Ila dhamana ya kuiongoza nchi hii atujampa SS watz kampa mungu as tulimpa magufuli, labbda ndo maana anaamua kuuza nchi, tunamuomba mungu aliempa dhamana aingilie kati kuiokoa hii nchi...

    • @daudifrank5886
      @daudifrank5886 Рік тому +1

      Wazanzbar wanatuuzia hii Tanganyika yetu jaman

  • @LemaliMeyasi-r4c
    @LemaliMeyasi-r4c 9 днів тому

    Hadi nimeishiwa nguvu na hii maelezo mikataba mibovu mungu amulinde huyu mwanasheria

  • @walterkisaro-9168
    @walterkisaro-9168 Рік тому +3

    Mi nashauri nchi nzima tuungane kumuomba mungu siku tatu kwa mazehebu yote then aliyehusika kutuingiza chaka apite ivi

    • @mkude
      @mkude Рік тому

      Hakuna shida na sisi tunaounga mkono huu uwekezaji tunaswali na kuomba mungu

  • @mathewpaul629
    @mathewpaul629 Рік тому +2

    Daaaaaaaaaaaaaaa.... nakosa cha kusema zaidi ya kuwaombea heri kwa elimu kubwa sana uliyoitoa. Hakika tunahitaji ukombozi wa fikra

  • @gerraldchristian2001
    @gerraldchristian2001 Рік тому +3

    CCM haijawahi kupenda watanzania tuwe na maisha mazuri wanafurahi kuona watu tunaishi maisha haya mabovu tuliyo nayo

  • @mogelasaileni4685
    @mogelasaileni4685 Рік тому +3

    Mungu anaukumu maovunimengi wamemsahaumungu wamefanyamengi mungu kaamua sasabas wanafanyavitu kamahawasoma

  • @rightvision3092
    @rightvision3092 Рік тому +3

    Sitisheni huo mkataba mpaka tufike muafaka wa Kitaifa juu ya mambo ambayo hatukubaliani

  • @AmbakweteMwakalugirao
    @AmbakweteMwakalugirao Рік тому +4

    HII SASA NDO ELIMU KWA UMMA. TUNASHUKURU SAANA!!! TUMEBAKIZA VITENDO TU. Hawa jamaa wana dharau sana, WAKISHACHAGULIWA wanadhani wana AKILI kuliko watu wote. Hivi kweli hata hii TUSEME NI SIASA???

  • @ernesttomas85
    @ernesttomas85 Рік тому +3

    Safi

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 Рік тому +2

    Utakuta limutu limetumwa na gubunduki guzito hadi gubega gumeshuka at limetumwa na gumutu kwenda kuuwa au kuumiza watu kama hawa na yalaaniwe yote mawili uzao wao uwe na ukoma mkali

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Рік тому +3

    WAKILI PETER MADELEKA HUWA TUNAKUKUBALI SANA WATANZANIA. UNAJUA KUFAFANUA NA KUSAIDIA WANANCHI

  • @frankmushi8892
    @frankmushi8892 Рік тому +2

    Serikali gani hi aisikilizi wananchii wakes inajifanyia mambo kwajili yaoo 2 na c kwajili ya watazania MUNGU wangamize awaaa araka sana atuwataki kwenye nchii yetu

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 2 місяці тому

    Hatuna Imani tena na bunge na wizara ya sheliya tujiunge tukomboe nchi

  • @user-co8cc7uq6h
    @user-co8cc7uq6h Рік тому +4

    Wambien hao wazee wa ndio mzee waamke hizo zama kale zimeshapitwa na wakati watu washakuwa waelewa hawawezi kukubali kila kitu.

  • @wilbertmanjonda5835
    @wilbertmanjonda5835 Рік тому +8

    Ila CCM, ni janga kamili!!!

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Рік тому +3

    TUMESHA WAAMBIA SHETANI WA NCHI HII NA MAENDELEO YAKE NI CCM

  • @azizabdallah585
    @azizabdallah585 Рік тому +3

    MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AWABARIKI WAZALENDO WETU WA TANZANIA....ENYI MAMILIONI YA WANA CCM MSIOKUBALIANA NA MH. RAIS NA VIONGOZI WAKE JIUNGENI NA NGUVU YA UMMA KUWANG'OA MADARAKANI.

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 Рік тому +1

    Hawa ndio watetezizi wawa tanganyika mungu awabaliki

  • @mwajumashaibuomary7363
    @mwajumashaibuomary7363 Рік тому +8

    Hii nchi inaumiza sana

  • @dannywillson5874
    @dannywillson5874 Рік тому +3

    Kama mawakal wote Tanzania watapasa saut Kama hiz bas Tanzania na serikali watajua now watu wameamka upigajji utapungua

  • @ernesttomas85
    @ernesttomas85 Рік тому +6

    Katika jambo Baya Kwa serikali ni kushindana na mawakili

  • @azizabdallah585
    @azizabdallah585 Рік тому +2

    MH. RAIS SAMIA....UKO 'UCHI'....WATANZANIA WANAKUONA UKO 'UCHI'....MAMA 'CHUCHUMAA'!

  • @ernesttomas85
    @ernesttomas85 Рік тому +6

    Aibu jamani

  • @fredmabundagilo6954
    @fredmabundagilo6954 Рік тому +2

    Ee mwenyezi Mungu uwatie nguvu Hawa Wana Sheria wapate ushindi zidi ya mafisadi wa inchi yetu...

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Рік тому

    Mungu ambariki sana Wakili Madeleka.

  • @JacksonHenjewele-dl6rc
    @JacksonHenjewele-dl6rc Рік тому +2

    Hapo ndo selikali ijue Kua watu wakicgukia nizaid yachui au Simba imewachezea watanzani Sasa imefika mwisho angalieni hisia zatu wako tayari kufa hao niwanashelia sio chadema Sasa mkubali yaishe CCM moto unakuja

  • @lovechadali3923
    @lovechadali3923 Рік тому +2

    Wakili yuko vizuri

  • @jamessoke4454
    @jamessoke4454 Рік тому +1

    Hivi kumbe Tanzania Ina watu wasomi wazuri kiasi hiki hongereni sana

  • @assahalex356
    @assahalex356 Рік тому +2

    Mchawi alieiloga Tanzania ameshakufa

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Рік тому +1

    wafungulieni kesi dubai kwa kosa la utapeli

  • @victorishengoma4599
    @victorishengoma4599 Рік тому +1

    Huu Moto wasipostuka ccm , ndio unaamsha katiba na haupoi mpaka NEC 2025 ambapo mama atapumzishwa...

  • @johnpeterson9333
    @johnpeterson9333 Рік тому +1

    Duh ata Dubai wanashangaaa wameingia mkataba na vichaaaaaa🤭🤭🤭

  • @LemaliMeyasi-r4c
    @LemaliMeyasi-r4c 9 днів тому

    Mungu awe pamoja nanyi watetezi wa ichi yetu jamani

  • @PascalBujimu-lw5io
    @PascalBujimu-lw5io Рік тому +3

    Hakika mnaacha alama katika nchi yetu.

    • @mkude
      @mkude Рік тому

      Wanaacha alama za nini au alama za kupotosha,mkataba hauna shida yoyote

  • @HassanKangwa-sz4gn
    @HassanKangwa-sz4gn Рік тому

    Fact

  • @Poltechie
    @Poltechie Рік тому

    Mungu ambariki sana wakili madeleka, haongei lugha za matusi ila kaongea ukwel

  • @PascalBujimu-lw5io
    @PascalBujimu-lw5io Рік тому +2

    Mungu akubariki.

  • @mwajumashaibuomary7363
    @mwajumashaibuomary7363 Рік тому +2

    Nawapongeza sana tusaidie

  • @frankmushi8892
    @frankmushi8892 Рік тому +1

    Ni yanasikitisha sanaa hap ndo ninapo kuja kuona mazaifu ya mwanamke maana ana mamuzi kabisaa yani inaumaaa ila MUNGU atawanyosha tu kwakuwa mnatenda aya kwa makusudii bila kujali wanyonge

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 Рік тому +3

    Kama kweli mambo yako hivyo #samia na mwanasheria mkuu pia #mbalawa. Wajihuzuru waachie ngazi hawa ni wezi hawafai kabisa.

  • @user-zy7lj1du8t
    @user-zy7lj1du8t Рік тому

    Tunashukulu sana zaidi sana kwa hekima uliyotumia ALHAA awape nguvu zaidi.

    • @mkude
      @mkude Рік тому

      ALHAA NDO NANI.nyinyi mmepotoshwa sanaa Kwa chuki tu,mkataba hauna shida

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Рік тому

    🙏🙏🙏🙏Ameen tuna muani Allah tu hatuamini matapeli waongo na walagai

  • @emanuelshula6030
    @emanuelshula6030 Рік тому

    Umefikisha ujumbe kwa namna ya kipekee Sana hongera sana

  • @fahmiabdulla7690
    @fahmiabdulla7690 Рік тому

    KUMBE KWELI,SIASA ZA TZ ,ZINAFURAHISHA,NA HAWA ATA ,MWENYEENZI MUNGU SUBHANNA WATTAALLA AMREHEMU MAALIM SEIF ,AMEEN

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 Рік тому

      Leo wanaitaja kanganyika nao wanasema TANGANYIKA nchi et

  • @saidimadunda4576
    @saidimadunda4576 Рік тому +1

    Inna linlhah raajun. Kwa haya, naamini Samia amesikia na kukuellea. Vinginevyo itakuwa sikio la kifa?

  • @wakatinisasa
    @wakatinisasa Рік тому +1

    Amakweli wanaupigamwingi ngrawa woyee hii ndo tanganyika walisi hawana uchungu na nchi hii

  • @winnerjudith2007
    @winnerjudith2007 Рік тому +1

    kinacho niumiza ni kuona hamna ata mwana ccm anae upinga huu mkataba uko juu

  • @yusufunguruko8080
    @yusufunguruko8080 Рік тому +3

    Hivi watanzania tumerogwa na nani kusaini upuuzi kama huu ?

    • @BobNgagi2023
      @BobNgagi2023 Рік тому +1

      Mbona Wakristo tu hapo, kwani Waislam hawana uchungu na bandari ?

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 Рік тому +1

      @@BobNgagi2023 😂😂😂😂😂😂😂😂🤣😂😂😂😂😂😂😂udini unatoka wapi hapa.. waislam si mmeamua kusapoti utumbo wa kuuza nchi yenu kwa sababu ya udini sasa sisi tunawasaidieje

  • @mwakilulelefrancis280
    @mwakilulelefrancis280 Рік тому +3

    BIG UP NDUNGU ZETU WASOMI

  • @paitomsuva3817
    @paitomsuva3817 Рік тому +1

    Kiukweli watu kama hawa ni hazina ya Taifa letu. Maana wanatuelimisha tusiojua. Inatakiwa waingwe mkono kbs. Kwanini serikali isiwatumie hawa pindi wanapotaka kuingia mikataba ya kibiashara kama hii ya DP world?

  • @rebeccamsami4580
    @rebeccamsami4580 Рік тому +1

    Sasa kichwa kizuri km hiki,kijana mbichi kwa nini msimtumie vizuri na kwa manufaa kwa Tanganyika?kwa nin msituuwe sisi tuliokwisha kula chumvi nyingi na mishavu imetulegea km yote na kichwa mmh dementia tupu.Tuwalinde vijana wetu.

  • @dahirgaraar360
    @dahirgaraar360 Рік тому

    Mayowe ya mwiz hodarii humficha na kumuhifadhi mwizi. Mwenye kusikia hilo yowe, huipaza zaidi sauti ya mwizi kumbe ndiyo kuzidi kumuhifadhi. Hapa mpiga mayowe, na wafuasi wake wamekazana kweli, kelele zao hazina tija hata kidogo..

  • @Bizzyyoyo-nw8dp
    @Bizzyyoyo-nw8dp Рік тому

    Munakaa kupotosha watu kwa maslahi yenu,
    Mm nilidhan mutatuambia faida tuliyoipata tangu bandari imekua chini yetu na hasara tutayoipata endapo tutawapa wawekezaji,
    Munakalia unafki tu, mbona mumeshindwa kutetea wafanyakazi wa bandari ambao kesi zao zipo mahakamani na mpaka leo hawajalipwa,
    Wanasheria nyinyi ni wanafki sana siku zote munasimamia maslahi yenu tu,
    madudu mangapi yanafanyika bandari mbona hamjawahi kukenua mijino yenu ya njano, alafu leo swala la uwekezaji ndo munaanza kutunukisha harufu ya midomo yenu,
    Munaroho mbaya sana, ukiwasikiliza ni kama watu lkn ni washenzi hakuna mfano,
    Magufuri alipambana na mafisadi, samia anapambana na vyanzo vya ufisadi,
    Na kawaambieni wanaowatuma safari hii watanyooka tu,
    Mama samia MITANO TENA.

  • @Gwa-Kayaga
    @Gwa-Kayaga Рік тому +2

    Linalotiliwa shaka, hilo ni shaka; viongozi serikalini tafadhari rudisheni mioyo yenu nyuma!

    • @mussandoipo6551
      @mussandoipo6551 Рік тому

      Jamani mkataba hii upitiwe upia na utolewe elimu Ili watanzania warizike na kile kinacho endeshwa na serikali

  • @kiatu
    @kiatu Рік тому +3

    Serkali ikubali tu. Ijiuzulu tufanye uchaguzi mapema kabisa

  • @fredymahinda4024
    @fredymahinda4024 Рік тому

    Wow! Tunahitaj watu wa namna hii. Nchi yetu karibu 70% watanzania tulio weng hatujui sheria na ufahamu wakujua vilivyondani ya sheria zilizotungwa na ndani ya nchi yetu. Ndio maana tunapigwa. Hivyo mkiwa km wanasheria piganieni nchi yetu ilikuiokoa coz tumeshatawaliwa na viongozi wa walio na uchu wa pesa na sio viongoz bora.

  • @user-wh6yu8xi8f
    @user-wh6yu8xi8f Рік тому

    Excellence ❤❤❤❤

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Рік тому

    Good

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 Рік тому +1

    Wewe chifu hangaya hakunavitu vitamu kana kuishi naamani namaishamalefu wewe unaweza kuonakamaukosawa kwakuwa unadola elewa maimbi ya watanzania yatakuja yakuasili usifikilie unaakili kuluko wsnanchi wote kwanza hatujakuchagua

  • @ezamnzava8555
    @ezamnzava8555 Рік тому

    Safi sana...

  • @leonardZacharia-jg8no
    @leonardZacharia-jg8no Рік тому

    Mungu liangalie sasa taifa hili

  • @MusyangiMatoti
    @MusyangiMatoti 3 місяці тому

    Mh. Soma katiba ya Zanzibar, inaseme ni nchi.

  • @munuoisaack418
    @munuoisaack418 Рік тому +1

    Kwa mujibu wa ufafanuzi hapo kwenye kuweka sahihi napata mashaka huenda huyo dubai itakuwa kampuni hewa ndy maana jamaa akaambiwa aweke sahihi zote mbili

    • @amlikendelwa8974
      @amlikendelwa8974 Рік тому

      Nimefikiri hivyo pia,wenda ikawa hii kitu ni hewa.

  • @DeusMbalamwezi
    @DeusMbalamwezi 2 дні тому

    Mimi nahisi dp word ni watanza nia wenzetu humuhumu wa meshirikiana tuu na ndio maana rais wetu amesaini mkataba waajabu

  • @danielchacha1305
    @danielchacha1305 Рік тому +1

    Ahsante Mungu kwa kuwa sasa tumeamka!

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 2 місяці тому

    Peter acha bunge liko mochwari siyo SS wanaichi COVID 19 hawajaitafisili hiyo ndio itaweza spika wa kimataifa amen mungu wee tuonyeshe nguvu yako juu ya wa polaji wa nchi yetu

  • @user-dr2lk7im7r
    @user-dr2lk7im7r 14 днів тому

    Hata spika, dr tulia mwanasheria hakupata muda wa kusama huo mkataba kabla ya kumpa samia asaini jamani aibu gani kwa nchi.

  • @ibrahimrobart38
    @ibrahimrobart38 Рік тому

    Serikali ya awam 6 ni ya hovyoo sanaa

  • @user-eg2wk4xx3h
    @user-eg2wk4xx3h Рік тому

    Chezeyaa wasomi ongereni sana kwa kutufundisha

  • @Ambwene
    @Ambwene Рік тому

    DAAAH 😔