Nashukuru sana madeleka kwa ufafanuzi mzuri mimi waliposkia natoka kigoma afisa mmoja akasema nilete vyeti 12 vya ndugu zangu hahahaaaha mpaka leo hajaniona. Hongera kwa kutupa maarifa.
Safi sana kutuelimisha Hawa uhamiaji ukitaka passport wanakwambia upeleke Chet Cha kuzaliwa Cha babu hata kama huyo babu kazaliwa 1890 still wanakwambia ukalete afdavit kiapo Sasa tunajiuliza kiapo kinahusia a nini na mtu ambaye alizaliwa hata kabla ya utaratibu wa cheti haujaanza ktk nchi hii yaani no isumbufu ili mradi utoe rushwa tu
Wanawanyanyasa sana watanzania wenye PASSPORT za nchi nyengine bila kujua wangewatengenezea sheria wangesaidia sana ajira nchini kwa uwekezaji. Sekta binafsi ndio inatoa ajira kwa wingi
CLisichukuliwe kijumla! Ladwa mnamjua nyie mnaoshabikia au ndo mnadanda tu? Kwa nini anaishi kwa vibali, chunguzeni na ndiyo mchangie kinyume chake ni kutulia na kuangalia tu!!
Ahsante sana Wakili. Sisi huku tunaambiwa mpaka kuleta matangazo ya kuzaliwa ya babu na bibi zetu ambao wakati mwingine hata hatukuwaona. Wanawaomba wengine hàdi wakaomeshe makaburi ya mambabu na mabibi zao ambao wengine hata hawajui zilipo kwà sababu tofauti. tofauti. Yaani kwà kifupi kupata Passport kwenye nchi yetu kunavunja moyo kweli. Sijui wanaogopa nini watanzania wakienda nchi zingine. Yaani ukiingia uhamiaji unadharirishwa mpaka unafukuliwa makaburi. Kwà kweli hii uloyofanya Wakili uongeze kabisa kwà sababu hiyo Idara ina changamoto nyingi sana.
Kamishina wa Uhamiaji uliyezungumzia habariza uraia wa Ladwa na familia yake, bado sisi watanganyika tunataka ukweli wa Ladwa na uraia wake. Acheni uwongo mbele za Wananchi.
Wanavyojua kutunga owongo watajaza fomu hiyo na kuja kutudanganya hivi nyinyi tulio waamini tukawapa madaraka kwanini hamtaki kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na katiba kuna nini du hii hii dunia tunakoelekea ni kubaya sana
Familia ya Ladwa kama waliukana uraia wa Tanzania basi waonyeshe barua ya uthibitisho ya kuukana uraia wa Tanzania. Pili uhamiaji kama waonyeshe vibali vyote walivyotoa kwa familia ya Ladwa hadi siku ya leo.
Huwezi kupata pasipoti ya nchi nyingine kama wew si raia wa nchi hiyo kwa uraia kwa kuimba au kuzaliwa. Passport zimegawanyika katika aina mbalimbali: paspoti za kisiasa, kidiplomasia au za kizarura ... Mwanasheria huyu ni amedanganya. Mtu yeyote anayeomba uraia wa nchi nyingine hasa za ulaya, paramoja unapewa passport na kitambulisho. Kwa nchi zilizoendelea pasport na kitambulisho cha uraia ni documents za lazima na muhimu za raia...
Yeye amejibu kwà mujibu wa sheria za nchi yetu. Sàsa wewe ambaye umeona Wakili amedanganya umma eleza ni kwà sheria ipi. Kama mtu ameomba uraia wa nchi nyingine na akapewa anapaswa pia huku anapotoka akamilishe taratibu za kukana uraia wa Tanzania ili rasmi asiwe raia wa nchi hii. Sàsa wewe unakurupuka tu. Hii yote ni kwà sababu wewe haijakutokea ama kimtokea mwanao. Kuwa makini basi kwà kuwa tatizo alilonalo mwingine hata kama hauna kwà sàsa linaweza kuja kumpata mwanao. Hivi siku mtoto wako akiambiwa apeleke uhamiaji vyeti vya kuzaliwa vya wazazi wa babu na bibi yako atavipata na hiyo passport au kibali atakipata kweli kwà njia halali na za kawaida? Kuna wakati serikali inaweza kuonea watu, sàsa wewe kama mkono wa uonevu haujakukuta nyamaza ili wenye sauti wawasemee wasiokuwa na sauti. Ahsante
Hapo tatizo ni waandishi wasio na ufahamu wa tasnia yenyewe haya yote anayouliza wakili yalitakiwa kuwa sehemu ya maswali ya wanahabari Kwenye ile press, tunataka kuona kama wanahabari wataweza kurudi Kwa kamishna kupata taarifa hizo
Hata huyo kamishna alitakiwa awe kamili na document zote kuhusiana na hoja aliyojiandaa kuitolea ufafanuzi, ili hata zingeulizwa azionyeshe. Ndo mana anaambiwa alikuwa anapiga porojo.
MADELEKA UNAJISUMBUA MDOGO WQNGU HII MATATIZO HAYO YANASABABISHWA NA CCM CCM NI CHAMA KIBAYA SANA HAPA TANZANIA NA BILA CCM KUTOKA MADALAKANI NCHI HII ITABAKI KUWA MASIKINI HATA KWA MIAKA ELFU KUMI. IJAYO
Ahsante kwa maelezo na ufafanuzi kwa kweli umeeleweka vizuri somo tosha juu ya uraia wetu,ubarikiwe wakili
Asante sana wakili msomi. Hao uhamiaji wawe wanaisoma katiba km wewe kabla hawajapewa ajira. Vinginevyo tuna vihiyo uhamiaji
Nashukuru sana madeleka kwa ufafanuzi mzuri mimi waliposkia natoka kigoma afisa mmoja akasema nilete vyeti 12 vya ndugu zangu hahahaaaha mpaka leo hajaniona. Hongera kwa kutupa maarifa.
WAKILI MSOMI....SAFI SANA BROTHER...HATUTAKI UPUMBAVU...WE NEED SOBER MIND..NAPENDA SANA WATU WANAOJIAMINI..MAJASIRI NA SIO WAOGA.❤
Madeleka the great 👍 👌 🙌 🇹🇿
Safi sana kutuelimisha Hawa uhamiaji ukitaka passport wanakwambia upeleke Chet Cha kuzaliwa Cha babu hata kama huyo babu kazaliwa 1890 still wanakwambia ukalete afdavit kiapo Sasa tunajiuliza kiapo kinahusia a nini na mtu ambaye alizaliwa hata kabla ya utaratibu wa cheti haujaanza ktk nchi hii yaani no isumbufu ili mradi utoe rushwa tu
Wakili anaongopa hajui Sheria ya Uraia Sura 357 Rejeo la 2002.
Wanawanyanyasa sana watanzania wenye PASSPORT za nchi nyengine bila kujua wangewatengenezea sheria wangesaidia sana ajira nchini kwa uwekezaji. Sekta binafsi ndio inatoa ajira kwa wingi
CLisichukuliwe kijumla! Ladwa mnamjua nyie mnaoshabikia au ndo mnadanda tu? Kwa nini anaishi kwa vibali, chunguzeni na ndiyo mchangie kinyume chake ni kutulia na kuangalia tu!!
Hongera sana Adv Madeleka. Tusaidie kutuelimisha waTZ ili tuondokane na aibu hizi
Ahsante sana Wakili. Sisi huku tunaambiwa mpaka kuleta matangazo ya kuzaliwa ya babu na bibi zetu ambao wakati mwingine hata hatukuwaona.
Wanawaomba wengine hàdi wakaomeshe makaburi ya mambabu na mabibi zao ambao wengine hata hawajui zilipo kwà sababu tofauti.
tofauti.
Yaani kwà kifupi kupata Passport kwenye nchi yetu kunavunja moyo kweli. Sijui wanaogopa nini watanzania wakienda nchi zingine.
Yaani ukiingia uhamiaji unadharirishwa mpaka unafukuliwa makaburi. Kwà kweli hii uloyofanya Wakili uongeze kabisa kwà sababu hiyo Idara ina changamoto nyingi sana.
Uhamiaji wananyanyasa sana watu, Yaani kupata passport ni Mtihani sana.
Kamishina wa Uhamiaji uliyezungumzia habariza uraia wa Ladwa na familia yake, bado sisi watanganyika tunataka ukweli wa Ladwa na uraia wake. Acheni uwongo mbele za Wananchi.
Hii safi kabisa Wakili mambo ya makanjanja hawa walioshika nafasi bila vigezo na masharti
Rose!?
Safi Kabisa
Ahsante wakili kwa ufafanuzi!
KATIBA MPYA....
NDIO JIBU...
MTATUZUNGUSHA...
Mzee, hii nikweli kabisa na uwambie ukweli
Safi sana wakili msomi
Sheria nyingine zimepinda na zinashusha hadhi ya Tanzania 🇹🇿
Wanavyojua kutunga owongo watajaza fomu hiyo na kuja kutudanganya hivi nyinyi tulio waamini tukawapa madaraka kwanini hamtaki kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na katiba kuna nini du hii hii dunia tunakoelekea ni kubaya sana
Asante madereka.
Umetupa elimu nzuri....na huo ni uzalendo
Sana, sana...
Madeleka the great...
endelea kutupatia elimu kama hizi kiongozi kwa faida ya watanzania wenzako
Sana!
Kweli kunashida uhamiaji
❤
Familia ya Ladwa kama waliukana uraia wa Tanzania basi waonyeshe barua ya uthibitisho ya kuukana uraia wa Tanzania. Pili uhamiaji kama waonyeshe vibali vyote walivyotoa kwa familia ya Ladwa hadi siku ya leo.
Huwezi kupata pasipoti ya nchi nyingine kama wew si raia wa nchi hiyo kwa uraia kwa kuimba au kuzaliwa. Passport zimegawanyika katika aina mbalimbali: paspoti za kisiasa, kidiplomasia au za kizarura ...
Mwanasheria huyu ni amedanganya. Mtu yeyote anayeomba uraia wa nchi nyingine hasa za ulaya, paramoja unapewa passport na kitambulisho. Kwa nchi zilizoendelea pasport na kitambulisho cha uraia ni documents za lazima na muhimu za raia...
Nakibaliana na wewe
Tulia wewe.
Kama hujui sheria bora kukaa kimya.
Passport inatoka hata kama wewe sio Raia wa nchi husika.
Lete sheria za nchi acha project za zuchu
Yeye amejibu kwà mujibu wa sheria za nchi yetu. Sàsa wewe ambaye umeona Wakili amedanganya umma eleza ni kwà sheria ipi.
Kama mtu ameomba uraia wa nchi nyingine na akapewa anapaswa pia huku anapotoka akamilishe taratibu za kukana uraia wa Tanzania ili rasmi asiwe raia wa nchi hii. Sàsa wewe unakurupuka tu. Hii yote ni kwà sababu wewe haijakutokea ama kimtokea mwanao. Kuwa makini basi kwà kuwa tatizo alilonalo mwingine hata kama hauna kwà sàsa linaweza kuja kumpata mwanao.
Hivi siku mtoto wako akiambiwa apeleke uhamiaji vyeti vya kuzaliwa vya wazazi wa babu na bibi yako atavipata na hiyo passport au kibali atakipata kweli kwà njia halali na za kawaida?
Kuna wakati serikali inaweza kuonea watu, sàsa wewe kama mkono wa uonevu haujakukuta nyamaza ili wenye sauti wawasemee wasiokuwa na sauti.
Ahsante
Hapo tatizo ni waandishi wasio na ufahamu wa tasnia yenyewe haya yote anayouliza wakili yalitakiwa kuwa sehemu ya maswali ya wanahabari Kwenye ile press, tunataka kuona kama wanahabari wataweza kurudi Kwa kamishna kupata taarifa hizo
Hata huyo kamishna alitakiwa awe kamili na document zote kuhusiana na hoja aliyojiandaa kuitolea ufafanuzi, ili hata zingeulizwa azionyeshe. Ndo mana anaambiwa alikuwa anapiga porojo.
Hon. Madeleka wewe ni miongoni mwa mawakili wanaozitendea haki tasluma zao.
Hodari nyie kwa kusema uongo viongozi wa CCM
Tanzania badilikeni kwani uraia pacha una shida Gani????Hapa Africa mmebaki nyinyi tu
Nikweli mkuu ichi inaongozwa na wajanja wa janja na umbumbumbu
MADELEKA UNAJISUMBUA MDOGO WQNGU HII MATATIZO HAYO YANASABABISHWA NA CCM CCM NI CHAMA KIBAYA SANA HAPA TANZANIA NA BILA CCM KUTOKA MADALAKANI NCHI HII ITABAKI KUWA MASIKINI HATA KWA MIAKA ELFU KUMI. IJAYO
Kwa maelezo haya wakili msomi kama kweli hakuna hizo nyaraka, kwa serikali hii dhalimu na yenye hila sasa wanaenda kuzitengeneza za uongo.
Hahaaa nakweli hi serekali ni zalimu kwl