WAKILI MADELEKA NA JEBRA KAMBOLE WAINGILIA KATI WANAOTUHUMIWA UKAHABA
Вставка
- Опубліковано 19 чер 2024
- 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Hamna lolote njaa tu zote hizo. Ninyi mlijuaje kuwa wanaumwa? Ila nchi hii duuu
Wakiri HUKO UNAPOTEZA kwema ukahaba ACHA upumbavu
Kweli mafisadi wametulia masikini shida
Wakili unajambo lako. Umaarufu unatufanya kuonekana kwa viongozi. Usikie aibu wewe au nawe una hisa hapo kwa hao madada poa? Kumbe nawe una lako.
ukahaba hahahahha wanawake wa tz wanapenda hela za wanaume sana so kujiuza ndo solution ya ugumu wa maisha?any way wacha nikae kimya,
Napita jamani 😅 wanakamatwa kwa kujiuza je wanumuzi wamekamatwa? Make kama akuna wanumuzi wauzaji awawezi kupeleka byashara apo vipi?