Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

Kumbe wasabato wanaamini hivi? Seh A

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 кві 2019

КОМЕНТАРІ • 74

  • @dianamalaba1776
    @dianamalaba1776 5 років тому +11

    Naamini Mungu anasikia hta Ukiwa mbali. Naombaaaaa umuombee Mwanangu apone. Anaitwa GERSHON.amelazwa ICU bugando. Barikiwa sana pastor.

  • @dennisontita4752
    @dennisontita4752 5 років тому +5

    Amen mguu wangu ulikuwa unauma na nimepata uponyaji mtandaoni mungu asifiwe

  • @emmanuelmathias2875
    @emmanuelmathias2875 5 років тому +6

    Nimeuona uwepo wa Mungu hata sasa, ubarikiwe Mchungaji

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 5 років тому +1

    Hongera Pastor waumini wamependeza sana,nimeyapenda hayo mazingira.Tubarikiwe wote,mijini na vijini.

  • @user-ur4ct1xx9l
    @user-ur4ct1xx9l 6 місяців тому

    Nabarikiwa sana

  • @abasazaria3789
    @abasazaria3789 4 роки тому

    Ubalikiwe mtumishi wamungu mungu azidi kukutumia kutumegea mkate ututakase katika Roho zetu kupitia wewe naimani nitapona Yale yote yanayo nisibu amen

  • @EmmanuelLucasCharles
    @EmmanuelLucasCharles 8 місяців тому

    Huyu Pasta ana Imani kubwa sana natamani sana na mimi nikijaliwa kuwa na karama ya uponyaji kama hii.

  • @dianamalaba1776
    @dianamalaba1776 5 років тому +4

    Mwanangu yuko ICU ana shda ya upumuaji, anapumulia mashine Leo siku ya 14. Natamani umguse Mwanangu aweze kupona kwa jina la Yesu. Nawaonea wivu mnaopata bahati Ya kufkiwa na pr Mmbaga.

  • @rodahadhiambo3637
    @rodahadhiambo3637 Рік тому

    Amina

  • @VicentPaul-k3f
    @VicentPaul-k3f 4 години тому

    MUNGU atubariki

  • @rebecamdamu2678
    @rebecamdamu2678 2 роки тому

    Amen

  • @gilbertchirstopher
    @gilbertchirstopher Рік тому

    Gilbert chirstopher from Zanzibar mungu
    Akupe Manisha maref sana na uzao wako wote tuko pamoja mchungaji

  • @clementgerald2988
    @clementgerald2988 5 років тому

    Nmebarikiwa kwa Mahubir haya Hakika Mungu ni Mwema, Ubarikiwe Mchungaji Mbaga

  • @galasianompinge9254
    @galasianompinge9254 5 років тому

    Pr. Tuombeane sana mtumishi wa Mungu, huwa unafanya nitafakari sana ukuu wa huyu Mungu. Uanifundisha kila siku nijue namna ya kumtegemea Mungu.

  • @wordskabadi6421
    @wordskabadi6421 4 роки тому

    Nilikuwa natokwa na damu puani nimepona jina la yesu lisifiwe mungu amenisaidia Sana amina

  • @lenahasantemchungajiauko8811
    @lenahasantemchungajiauko8811 5 років тому

    Thank u so much pastor kupitia kwako nimefunguliwa macho be blessed

  • @Balozi_Wa_Yesu_TV
    @Balozi_Wa_Yesu_TV 5 років тому +1

    Ubarikiwe Pr

  • @jeremiahoumaonditi8285
    @jeremiahoumaonditi8285 5 років тому

    Nabarikiwa sana,Mungu akuzidishie sana

  • @happykilangi473
    @happykilangi473 2 роки тому

    Ubarikiwe pastor,nabarikiwa sana

  • @angel-y
    @angel-y 5 років тому

    Amen. Nabarikiwa sana.

  • @musakiboya587
    @musakiboya587 5 років тому +2

    Mchungaji hapo bado sijaelewa hivi ni kwanini tarehe za Pasaka zinabadilika naomba unisaidie Mchungaji

  • @lutemahindiakaje5046
    @lutemahindiakaje5046 5 років тому

    Ameen

  • @yohananyabu4040
    @yohananyabu4040 4 роки тому

    Amina 🙏🙏

  • @eunicehezron3481
    @eunicehezron3481 4 роки тому

    Amen amen amen

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 5 років тому +5

    Amina barikiwa pastor, naamini Mungu atakwaja kamwe uo mkono pia mm naiitaji,how can I get you?Happy Sabbath

    • @lilianzephania962
      @lilianzephania962 5 років тому

      Naomba muombee mama yangu ana uvimbe kwenye titi

  • @georgeelnico4784
    @georgeelnico4784 5 років тому +1

    Mchungaji Tafadhali naomba uniombee namimi nifaulu mitihani yangu ya kidato cha sita mwezi ujao

  • @rahabupaschal1786
    @rahabupaschal1786 5 років тому

    Barikiwa sana pastor

  • @johnfaustinechannel746
    @johnfaustinechannel746 5 років тому +1

    Mchungaji
    naiomba siku moja utufundishe namna ya kutofautisha miujiza ya Mungu ya kweli na ya Shetani.

    • @thegospel17
      @thegospel17 5 років тому

      John Mihanda Asante sana

    • @elizabethjovin612
      @elizabethjovin612 5 років тому

      Miujiza ya biashara si ina bei kabisa ili uipate lazima ela.

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 5 років тому

    Mchungaji napenda kipaji hicho cha uponyaji.Naomba unisaidie kumwombea dada yangu Niyonkuru anaumwa na anasumbuliwa na nguvu za giza.

  • @albertinemacimu1247
    @albertinemacimu1247 5 років тому

    Amina nimebarikiwa sana mchana wa leo nilikuwa kazini mda wa mapumziko nikaona ni bora nifuate hili somo maana nimefarijika mno

  • @imangregory8392
    @imangregory8392 5 років тому

    Amina!

  • @konkmaster6354
    @konkmaster6354 5 років тому

    Ni kweli kabisa

  • @sdawalokole9489
    @sdawalokole9489 4 роки тому

    Barikiwa my pr

  • @nkwembacharles8676
    @nkwembacharles8676 4 роки тому

    Aminaaaaaaaa

  • @eddahnyongesa9819
    @eddahnyongesa9819 5 років тому

    Mungu akubariki Pst nimeamini shida zangu zitakoma majibu nitapata

  • @kandiboy6251
    @kandiboy6251 Рік тому

    Ubalikiwe mchungaji mbaga

  • @raymayugu8163
    @raymayugu8163 3 роки тому

    Naomba namba au jina la pastor nitete nae kwa kazi ya BWANA

  • @Michael-wu6vd
    @Michael-wu6vd Рік тому

    Kweli tunaijua tutapotea kwa ujinga wetu wenyewe (wa adv ?!!)

  • @deboraruvuza5390
    @deboraruvuza5390 5 років тому

    Barikiwa past

  • @nyachigobobulemo7153
    @nyachigobobulemo7153 5 років тому

    ubarikiwe.

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 5 років тому +1

    Eti pua iekwe utosini alafu kuandze kunyesha 😂😂😂😂😂utakua balasi ujazwe maji huu ufunuo Mungu ndio anajua tu

  • @sundaycast606
    @sundaycast606 5 років тому

    Ubarikiwe pr naomba prt B

  • @janetkahada5206
    @janetkahada5206 4 роки тому

    Kweli MUNGU ainuliwe. Lakini Mwalimu umesema wana Sabato wanatumia agano la Kale na agano jipya, mbona haya mandiko ya mpitiye kutoka 20 :9 - 11, Mathayo 22:37 - 40, Mathayo 5 :17 - 18, Warumi 13 :1-4, wakolosai 2 :16-17, kama muna upendo kwa jirani yule ufanya kazi kwa serekali siku Sita na ya saba kupumuzika Warumi 13 :1-4, kama munatumia upendo hamungi tafuta siku mahana kwenye Bible hakuna jumamosi ama January majina ya siku wala mwaka. Mbona hamuja wake "LOVE ".

    • @user-wg2gd2nl6c
      @user-wg2gd2nl6c Місяць тому

      Sku ya sabato nisabato. Ndyo tunayo ijua hayo majina hatuhangaiki nayo tunayo ijua siku ya 7

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 роки тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @godphreypriest9714
    @godphreypriest9714 4 роки тому

    Usipunguze ama usiongeze neno la BWANA

  • @sundaycast606
    @sundaycast606 5 років тому

    Naomba jinsi ya kupata kitabu chako cha maombi yanayojibiwa.

  • @fei3668
    @fei3668 5 років тому

    Pastor ndume

  • @bobog9732
    @bobog9732 5 років тому

    Mungu wutu anaponya

    • @zephaniamasonda6836
      @zephaniamasonda6836 5 років тому

      Huruma Ronaldo amina

    • @sheilaombongi8086
      @sheilaombongi8086 5 років тому

      Pastor asante kwamaubiri yako mimi nilipona mahari nilikua naumwa hata ingawa ufimbe haija toka amina

  • @jansidorkas2749
    @jansidorkas2749 5 років тому

    Naomba number ya ya pastar mbagala please

  • @amossamwel2266
    @amossamwel2266 5 років тому

    Amina