Natamani pastor tukutane mbinguni maana Mungu anakutumia kutusaidia madhaifu yetu Kuna marafiki ambao wewe hutufahamu tunakupenda sana pastor unisaidie namna gani Nina weza nikadumu katika Roho Mtakatifu milele zote nisirudi nyuma tena
Barikiwa sana pastor kwa himizo nzuri ya kwamba hata kama tulishapokea ubatizo wa maji mengi ,bado twahitaji ubatizo wa pili wa roho mtakatifu,neema ya Mungu naomba itoshe kwa nafsi zetu za kiroho 🙏🙏
Amen ubarikiwe sana Muchungaji . yani umeubiri jibu la Swali yangu lakila siku. MUNGU nimwemakweli. i had a Question that says how can i be baptized by Holy Spirit everyday and how can i know?.
Amina pr barikiwa sana yaani hapo kwenye uhazini wa kanisa nilisemwa sana sana lakin nilifanya kazi hy kwa muda wa miaka 9 nilisimama nikawa mwaminifu kwa Bwana na pia nilikuwa sijaolewa vyote vikichanganywa wakati mwingine nilikuwa nalia na Bwana akaniinua wakabaki wanashangaa. Hayo yote yanatokea. Nimebarikiwa sana
Pastor,ahsante sana kwa somo hili,mm na mume wangu tulikuwa wema sana na tulijitahidi kutenda mema kwa familia,rafiki na hata jamii nzima lakini tumefika wakati wema wetu umegeuka huzuni kubwa maishani,tafadhali pastor nifundishe nifanye nn ili nirudishe furaha na mahusiano mema kwa jamii na marafiki ?
Pastor, asante kwa somo zuri, mimi binafsi nomeonekana nimepungua mbele ya neno la Mungu ,alakini nina swali, ni kipi kinaanza kati ya matunda ya Roho na kujazwa Roho mtakatifu??
Samahani naomba nijaribu kujibu,Kinachoanza ni kujazwa na Roho mtakatifu ukishajazwa matunda yake yatadhihirika ndani yako maana matunda ya Roho ni Kazi ya Roho wa Mungu mwenyewe,ndiyo maana tunasema hata utendapo matendo mema huna cha kujivuna maana hata hayo matendo mema si juhudi zako ila kazi ya Mungu ndani yako.
Na wenye mnadislike hii vedio na wenye mpo na madeni ama nikutoelewa? Ama ni wenye mpo ndani ya giza? l'm sorry,though I don't judge anybody God bless you much
Natamani pastor tukutane mbinguni maana Mungu anakutumia kutusaidia madhaifu yetu Kuna marafiki ambao wewe hutufahamu tunakupenda sana pastor unisaidie namna gani Nina weza nikadumu katika Roho Mtakatifu milele zote nisirudi nyuma tena
Mungu akupe maisha marefu dear pastor barikiwa sana Amen❤❤
Barikiwa sana pastor kwa himizo nzuri ya kwamba hata kama tulishapokea ubatizo wa maji mengi ,bado twahitaji ubatizo wa pili wa roho mtakatifu,neema ya Mungu naomba itoshe kwa nafsi zetu za kiroho 🙏🙏
Barikiwa Sana Pastor Hakika naenjoy Mahubir yako kwa Ujumbe wako Mzuri, Hakika unabadilisha Maisha Ya Watu kukua Ktk Bwana
Balikiwa pr Mbaga kwa ujumbe mzuri
Asante sana pastor nimekua nikitafuta ufafanuzi wa hili fungu la tunda la roho.. Namshuru sana MUNGU BABA kwa kunipa haja ya moyo wangu
Hallelujah neno hili lina bariki
Barikiwa sana mchungaji ❤❤
Asante kwa mwendelezo huu @pastor mmbaga Mungu akubariki maana unatubariki saaanaa🙏🏻🙏🏻
Mungu atusahidie sana natuweze kubatizwa kwa roho mtakatifu Amina
Nimelisubiria kwa hamu sana Ameni
Barikiwa sana pastor
Mungu azid kukupa maisha marefu uendelee kutilish chakula cha kiroh ubarikiwe san Mchungaji
asante Roho wa Mungu wetu kwakuwa were watupenda daima
Amen asante Yesu maana neno langu lanichonga kweli kweli utukuzwe milele BWANA asante mchungaji ubarikiwe sana
Pastor no nimebarikiwa Sana na somo hii kweli Mungu atusaidie,,
Mungu akutagulie pr d mbanga
Barikiwa sana mchungaji.kwa hakika umetusaidia sana kuzifungua akili zetu
Amen pastor kwa hubiri tamu
Somo hili limenitoa kutoka sehem moja kwenda nyingine limenibariki sana ,Barikiwa sana pastor
Nimebarikiwa na somo Pastor, Mungu akubariki
Asante PR.nmepata kitu kikubwa sana kwny hili somo.Mungu akubarki sana.
Aminaa mchungaji wangu
Amina nakupata pastor
Ameeen. Barikiwa sana mchungaji
Amina Pr
Asantee kwa somo zurii
Amen
Amina roho mtakatifu atuongoze
Kwa MUNGU hakuna color, kambila, taifa, siku mwesi au mwaka ni moyo mukujufu wa kunyenyekea na upendo. amen amen. kweli muchungaji ubarikiwa
Amina pr mbaga ubarikiwe san
Amen thank you pastor 🙏🙏🙏😍🥰💖
Ashukuriwe MUNGU wa mbinguni aliyekufanya kuwa mtumishi wake.
Mbarikiwe n'a Bwana
Amani mchungaji, kwa somo hilo Mungu akubariki
Amina
Amen ubarikiwe sana Muchungaji . yani umeubiri jibu la Swali yangu lakila siku. MUNGU nimwemakweli. i had a Question that says how can i be baptized by Holy Spirit everyday and how can i know?.
Wimbo unaoibwa soma likiansha inaujibe.Nawesha ipataaje
Amina pr barikiwa sana yaani hapo kwenye uhazini wa kanisa nilisemwa sana sana lakin nilifanya kazi hy kwa muda wa miaka 9 nilisimama nikawa mwaminifu kwa Bwana na pia nilikuwa sijaolewa vyote vikichanganywa wakati mwingine nilikuwa nalia na Bwana akaniinua wakabaki wanashangaa. Hayo yote yanatokea. Nimebarikiwa sana
Pastor,ahsante sana kwa somo hili,mm na mume wangu tulikuwa wema sana na tulijitahidi kutenda mema kwa familia,rafiki na hata jamii nzima lakini tumefika wakati wema wetu umegeuka huzuni kubwa maishani,tafadhali pastor nifundishe nifanye nn ili nirudishe furaha na mahusiano mema kwa jamii na marafiki ?
Alléluia
Mtumisha no yako naomba.
AMINA
Lol!! Uaminifu!!!
Kuzaliwa Mara ya pili
Pastor, asante kwa somo zuri, mimi binafsi nomeonekana nimepungua mbele ya neno la Mungu ,alakini nina swali, ni kipi kinaanza kati ya matunda ya Roho na kujazwa Roho mtakatifu??
Samahani naomba nijaribu kujibu,Kinachoanza ni kujazwa na Roho mtakatifu ukishajazwa matunda yake yatadhihirika ndani yako maana matunda ya Roho ni Kazi ya Roho wa Mungu mwenyewe,ndiyo maana tunasema hata utendapo matendo mema huna cha kujivuna maana hata hayo matendo mema si juhudi zako ila kazi ya Mungu ndani yako.
Na wenye mnadislike hii vedio na wenye mpo na madeni ama nikutoelewa?
Ama ni wenye mpo ndani ya giza? l'm sorry,though I don't judge anybody God bless you much
I always ask myself the same,y dislike
Je? Mchungaji kama mtu yuko hivo alaf ni wa jumapil hataenda mbinguni?
Swali ,je ukiwa na Roho mtakatifu huwezi kuanguka?
Amen
Amina
Amen
Amen