Mpango wa Mungu wa doa..mke mmoja ama wake wengi? Bibilia itumike

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • Mpango wa Mungu wa doa..mke mmoja ama wake wengi? Bibilia itumike

КОМЕНТАРІ • 40

  • @jakee2041
    @jakee2041 Рік тому +1

    Ameeen. Ameeen. Powerful Sermon. Tupende tusipende ni hivyo vile Teacher Ndacha amevundisha. Hakuna kuachana.

  • @godfleychiwanga
    @godfleychiwanga 4 місяці тому

    Ndacha kwahiyo mada umechemka wewe nenda kwa waisilam ndiko huduma yako inafanya vizuri kwahiyo mada unachanganya maandiko acha somo hilo limekushinda

  • @ephraimkanyambo4829
    @ephraimkanyambo4829 2 місяці тому

    Musa alioa baada ya Sipora kufariki

  • @wellemawancogere6932
    @wellemawancogere6932 Рік тому

    Hukumu yahao wenye wakezaidiya mmoja mungu anajua na wameonekana mungu hakuwabagua alifanyanaokazi.

  • @sefaniaslyvestertv1498
    @sefaniaslyvestertv1498 3 роки тому

    Biblia hairuhusu kuachana kwa waliokwisha kuoana inaruhusu kuachana kwa waasherati na siyo uzinzi kuna tofauti ya uzinzi na uasherati uzinzi ni kwa waliokwisha kwisha oana na uasherati ni kwa wale ambao bado kuoana so Yesu aliruhusu kuvunja uchumba siyo ndowa Asante

  • @kingtouch8423
    @kingtouch8423 3 роки тому

    Barikiwa sana kaka ndacha Mungu azidi kukubariki

  • @bhatimhobingi9971
    @bhatimhobingi9971 Рік тому

    Nimependa sana hii

  • @margaretmargaret5744
    @margaretmargaret5744 2 роки тому

    Iam looking more of this episode Ndacha I can't get enough of this message please update more details about marriage # Mmmmmmmmmmmh Don't worry about what people say behind your back because they are the people who are finding faults in your life youngmen instead of fixing their own..Next time stop laughing too much on the platform and in such-and-such podium

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul Рік тому +1

    Kiongoz wa makhafiri... Kasome (2mambo ya nyakat)13:21

    • @elifasinimpagaritse7902
      @elifasinimpagaritse7902 5 місяців тому

      Kwatamaa ya zinaa hutasikia mambo ambayo ana fundisha

    • @elifasinimpagaritse7902
      @elifasinimpagaritse7902 5 місяців тому

      Mambo ya Walawi 20:10 SRUV
      Na mtu aziniye na mke wa mtu mwingine, yeye aziniye na mke wa jirani yake, mwanamume aziniye, na mwanamke aziniye, hakika watauawa.
      Hii sheria bado Ina tumika ?

  • @jachuts5953
    @jachuts5953 Рік тому

    Pastor ndacha I d rather you do more of this than mhadhara..This is soo educative than mhadhara , juu katika mhadhara kuna ushujaa mingi... please come up with various topics especially ya MATOLEO KWA MUNGU which is so confusing to many.. in This teaching I have learnt a lot.. consider please

    • @PeterNduati-f4r
      @PeterNduati-f4r Рік тому

      Blessed man of God ndacha kapewa ama akatabua vipawa vyake

  • @yohanaazaeli3862
    @yohanaazaeli3862 2 роки тому

    Hivi kama mwanamke anajuana na wazee wengi sana tu na hukujua nawe ulitunza sana ujana wako ukaja kukuta umeunganishwa na yeye HAPO ukijua baadae na uko na yeye tayari nini kinapaswa kitendeke kwa sheria ya MUNGU msinipotoe mnifundishe nahitaji nijue

  • @MteleShadia-lc6gi
    @MteleShadia-lc6gi Рік тому

    Achaa kudanganya waumn,,mwalm ndachaa muogope,,mnguu,,,somen nyakt 2 13_21,, uone mngu anavyosema kuhs ndoa ya wake wengii,,mwambuen huyoo ndachaa atoe Aya inayosema mngu kasema mwanaume akiowa wake weng anapta dhambi,,somen achenii kuwadangnya waaumn haoo ambao wnaftria wasilojuwaa,,Inabd waumn,,wawe,,wanauza maswal ili wajuweee,,

  • @RobinsonShikuku
    @RobinsonShikuku 11 місяців тому

    Mwalimu,na ikiwa mke ameokoka na mume hajaokoka anampinga hata asiende kanisani hiyo familia itasaidika

  • @samuelkarisa912
    @samuelkarisa912 3 роки тому

    Sauti haitoki vizuri ina shaa! nyingi

    • @rosemutinda3076
      @rosemutinda3076 3 роки тому

      Hiyo ni mvua 😁😁

    • @saidsuleiman9018
      @saidsuleiman9018 Рік тому

      Acheni Kuwachafuwa manabii wa mungu sasa leteni aya inaosema ibrahim mungu anamwambia ibrahim kakosema

    • @saidsuleiman9018
      @saidsuleiman9018 Рік тому

      Leteni aya mungu amawambia mitume wake wamekosea sio mnawapa njambi

  • @margaretmargaret5744
    @margaretmargaret5744 2 роки тому

    Ndacha say hey 👋to Mr shivachi

  • @wizzahgfalme3874
    @wizzahgfalme3874 3 роки тому

    Waaa, hii mada ni kali, yani Nimecheka huyu ndugu aliyetoa detronomy 24, yani ni hatari🤣🤣🤣🤣

  • @samuelkarisa912
    @samuelkarisa912 3 роки тому

    Sauti jameni tengenezeni!!

  • @sandewillymusic5615
    @sandewillymusic5615 3 роки тому

    Sawa,,,

  • @barakaharony4396
    @barakaharony4396 Рік тому

    😂😂😂😂

  • @parapandamamboleo949
    @parapandamamboleo949 Рік тому

    Nakuliza wewe unasema muke mumoja sawa nipe idadi ya wana wake duniyani na wa name mufano.wanawake wako amusini 50 na wanaume tuko 30 sawa je awa wanawake ishirini watakwenda wapi? Ina mana wataku mashogah sababu nawe nyewe wana hitaji misuguwano ndani ya mwili wake

    • @elifasinimpagaritse7902
      @elifasinimpagaritse7902 5 місяців тому

      Kama wanawake wengekuwa wachache unge kubari mke wako aolewe na mwanaume mwengine ili mwanaume mwenzako apone

  • @abdulazizalawy7901
    @abdulazizalawy7901 3 роки тому

    Kwende wewe basta kwongo

    • @benjaminiheadmani7538
      @benjaminiheadmani7538 3 роки тому +1

      Wewe muhamad kakuongope utaingia jahanam ya moto

    • @rosemutinda3076
      @rosemutinda3076 3 роки тому +1

      🤣🤣🤣😭Wewe hata kuandika ni shinda, utafahamuje yenye (basta) anasema 😆😆😆

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 3 роки тому

    36:54 nimesoma kitu mpya kuhusu Yesu na mwanamke msamalia 😇😇barikiweni sana kwa hilo somo hata sikujua Musa alikuwa na wake wawili.

  • @jimpaserics9359
    @jimpaserics9359 Рік тому +1

    Can someone kindly help me with ndachas number