Alichokiongea Zitto Kabwe Bungeni kuhusu matukio ya utekaji

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 кві 2017
  • Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe alisimama Bungeni kuchangia mapitio na mwelekeo wa kazi za Serikali na bajeti ya ofisi ya Waziri mkuu kwa mwaka 2017/2017

КОМЕНТАРІ • 91

  • @athonyfrancis8889
    @athonyfrancis8889 7 років тому +23

    uwwiiiiiiiiiiiii Zitto umenifumbua kichwa Mungu ndiwe usalama wa Maisha ya Mtanzania na siyo mwanadamu

  • @daudikassimu4574
    @daudikassimu4574 7 років тому +4

    Asanteh ZITTO nafikiri wamekuelewa.

  • @alfredycheyo8847
    @alfredycheyo8847 5 років тому +3

    Zitto ni Akili kubwa Bungeni.
    God bless you My Icon leader !!

  • @zephanialongo3522
    @zephanialongo3522 7 років тому +3

    zitto your so intelligent... GOD be with you

  • @vianeyminja575
    @vianeyminja575 7 років тому +10

    zitto ur a gentleman

  • @abdallahmbiliko8146
    @abdallahmbiliko8146 7 років тому +1

    Thanks brother zitto God give u long life.

  • @prophetmunuo9317
    @prophetmunuo9317 7 років тому +3

    Asante sana Ayo Tv

  • @biwakambagwa6127
    @biwakambagwa6127 6 років тому

    Nashukuru binafsi Mh. Zitto kwa namna presentation zako zinavyolenga wananchi wa kawaida.

  • @dommyzzeyzoojozeyzoo4021
    @dommyzzeyzoojozeyzoo4021 7 років тому +1

    Appreciation to you our powerful person

  • @kingzforeal7967
    @kingzforeal7967 7 років тому +3

    zito nakubari sana ww safi sana

  • @ashahaji4936
    @ashahaji4936 7 років тому +4

    kweli zito tuko vibaya mitaani wao wanapelekewa habar za uongo

  • @saleembepo9939
    @saleembepo9939 7 років тому +1

    Nahitaji wachangia mada kama wewe na tuhitaji Waziri mkuu kama Majaliwa ndipo tutaweza piga hatua za kimaendeleo Mungu awabariki sana

  • @duuudaud3816
    @duuudaud3816 7 років тому +1

    mungu akupe maisha marefu baba ili uikomboe nch yetu. na wabunge wote wasema kwel. mnaahindwa kusema kwel mnamuogopa mtu? ndo alie wachaguwa muwe wabunge?

  • @hassankayla4076
    @hassankayla4076 7 років тому +1

    You always speak the truth #ZITTO

  • @beatuchillu6813
    @beatuchillu6813 7 років тому +4

    kumbe majaliwa na ripoti yake alitudanganya eeeh😂😂😂😂

  • @johnmbinda2799
    @johnmbinda2799 7 років тому +1

    kwenye ukweli inawabidi muhongee bila kujali itikadi ya chama , big up viongozi chupavu kwa kuendelea kupambana

  • @nkindwashabani2339
    @nkindwashabani2339 7 років тому +3

    Exactly mheshimiwa Zitto

  • @titomwashuya6460
    @titomwashuya6460 4 роки тому

    Best mp of all time

  • @shuwehaharunaomariikwena233
    @shuwehaharunaomariikwena233 7 років тому +5

    wambie hao walopoka tu wao hawajui watu waumia vipi vitu vimepanda being sana

  • @thedoctor8301
    @thedoctor8301 7 років тому +4

    Mh! nakaaa kimya ... Asante Mh Zitto Kabwe

    • @hawaamri8390
      @hawaamri8390 7 років тому

      Zitto endelea kutetea /kuwasemea wanyonge maana hatuna jinsi nyie ndo wawakilishi wetu tunaumia lkn!!!!!!

  • @MOJAZAIDI.
    @MOJAZAIDI. 7 років тому +3

    "THEY DON'T CARE ABOUT US"

  • @thetreasure2230
    @thetreasure2230 7 років тому +1

    ni noma sana.

  • @stellamwasenga6205
    @stellamwasenga6205 3 роки тому

    Safiiiiiiii

  • @dicksonngika8677
    @dicksonngika8677 7 років тому +2

    good zito

  • @joyinatishaaathanasi1958
    @joyinatishaaathanasi1958 7 років тому +1

    you are very intelligent zitto

  • @gracekalinga5408
    @gracekalinga5408 7 років тому +1

    🙌🙌

  • @mpewashiyawi9942
    @mpewashiyawi9942 7 років тому +21

    ivi wtz hatuwaoni viongozi kama akina zito?

  • @lengoyamangoindakeni893
    @lengoyamangoindakeni893 7 років тому +1

    umetisha mkuu

  • @goodluckmushi18
    @goodluckmushi18 7 років тому +2

    @millard sijamsikia Bashe wapi unakata clip

  • @lovelyheaven2027
    @lovelyheaven2027 7 років тому +4

    mkuu wa usalama wa Taifa ni nani!

  • @rosesalukan4207
    @rosesalukan4207 6 років тому

    Zito ur our hero

  • @husseinmfangavo8502
    @husseinmfangavo8502 7 років тому +1

    kweli kbx zito sema

  • @salehlofy4251
    @salehlofy4251 7 років тому +2

    kapea sana kisiasa

  • @rahimmohammed9658
    @rahimmohammed9658 7 років тому +1

    zitto the best

  • @gka9147
    @gka9147 7 років тому +3

    Kichwa Huyo Kijana

  • @michaeltuingilegewaubaridi8570
    @michaeltuingilegewaubaridi8570 7 років тому

    aisee

  • @happinessmwaipopo7426
    @happinessmwaipopo7426 7 років тому +3

    Mbona mmekata mwongozo wa Bashe na simbachawene?😳😳😡

  • @fatumamasudi365
    @fatumamasudi365 7 років тому

    Huko vizuri

  • @duuudaud3816
    @duuudaud3816 7 років тому +1

    tukipata wabunge kumi kama ww aki ya nan tutanenepaaaaa maan itakuwa fulu aman,make sa hz tuaish bila raha na nchi ni yetu

  • @Felix72282
    @Felix72282 7 років тому +2

    Hakuna shortcut kwenye maendeleo

  • @remijakaduma6437
    @remijakaduma6437 7 років тому +5

    You are a good leader!!!!

  • @mubarakmgunga4223
    @mubarakmgunga4223 5 років тому

    Fact!

  • @marcomwaimu3979
    @marcomwaimu3979 7 років тому +3

    Hii video imekuwa filtered si halisi,Ayo hapa umezingua

  • @lameckmachumu4322
    @lameckmachumu4322 7 років тому +2

    well speech Zitto

  • @swaburyrwamlaza1479
    @swaburyrwamlaza1479 7 років тому +1

    uko vizur

  • @AmCool_
    @AmCool_ 7 років тому +1

    Millard Ayo umekosea kuandika hapo kwenye maelezo yako ni mwaka 2017/2018 na sio 2017/2017

  • @hassannzinga1798
    @hassannzinga1798 7 років тому

    Yondo sister

  • @saidmatambi1606
    @saidmatambi1606 7 років тому +1

    ngoja nkae kimya

  • @justinenjunwa4459
    @justinenjunwa4459 7 років тому +5

    wewe ndo rais wetu unayekuja

  • @kasmirilamiye6991
    @kasmirilamiye6991 7 років тому

    katka viongoz ambao wanafaa kuingoza kigoma na Tanzania kwa ujumula ni zitto 2

  • @modestusndunguru4479
    @modestusndunguru4479 6 років тому

    hapo umejichanganya..... maana beni saanane.. niulize mimi.. amepotwezwa na chadema... ili kuichafua Serikalii ushaidi ninao
    ...acha kudanganya watu

  • @joyinatishaaathanasi1958
    @joyinatishaaathanasi1958 7 років тому +2

    zitto unafaa kiwa presidaa, tunahitaji viongozi shupavu na sio wababe.

  • @duuudaud3816
    @duuudaud3816 7 років тому +1

    tuhurumien tulio waweka hapo nasivingnevyo

  • @michaeljohn690
    @michaeljohn690 7 років тому +1

    tupo gizani

  • @deusnyongole3549
    @deusnyongole3549 7 років тому +1

    Wacha wamenyane tumechoka kuonewa

  • @elishamwaya4074
    @elishamwaya4074 5 років тому

    Hali mbaya jamani kweli huku sio kuzuri

  • @mpewashiyawi9942
    @mpewashiyawi9942 7 років тому

    unamtusi Mani mtz rose Hillary?

  • @mussamakatani7366
    @mussamakatani7366 7 років тому +1

    uyuu jamaa ni shidah

  • @ibrahnationibrahim2817
    @ibrahnationibrahim2817 4 роки тому

    Ajira ajira umenigusa tunateseka huku mtaan

  • @teonaswistonteonas8975
    @teonaswistonteonas8975 7 років тому

    Jamani jamani nchi hii njaaa nilazima iwepo unga sembe 25kg tsh 50000

  • @hassanalmediatz8808
    @hassanalmediatz8808 7 років тому +1

    tumelogwa kabisa

  • @josephkahindi7455
    @josephkahindi7455 7 років тому +2

    jembe kweli kweli

  • @papafikiri
    @papafikiri 7 років тому

    hivi yuko nyuma hivi

  • @modestusndunguru4479
    @modestusndunguru4479 6 років тому

    wale huwa huwa hawjibu watu.. ni kazi tuu

  • @amrannunda6925
    @amrannunda6925 7 років тому +1

    nimekuelewa zito kabwe,ila nasikitika imekua kama Rais hana washauri!

  • @tanunewstz
    @tanunewstz 7 років тому +1

    zitto yuko vizur hongera hm

  • @mustaphyassin5320
    @mustaphyassin5320 7 років тому +1

    mbona hii wamekata baadhi ya hoja

    • @Baba-JJ
      @Baba-JJ 7 років тому +1

      wamekata wenyewe wenye chaneli ya bunge, si ndo maana hawakutaka bunge liende live ili kama kuna vitu hawataki vionekane, watoe, ndo kama hivyo.

  • @modestusndunguru4479
    @modestusndunguru4479 6 років тому

    huyu ni bwege tuu.. hamna kitu.... hapo.. mnafiki.. wa kigoma

  • @mandizotzjfour5875
    @mandizotzjfour5875 6 років тому

    hakuna mbunge kama wewe

  • @mussamussamussa8444
    @mussamussamussa8444 7 років тому

    Zito bendera Fata upepo hata ueleweki kwa muonekano wako upo hapo bungeni kwa maslahi yako blabla nyingi zisizo na tija

    • @sizaaloyce9071
      @sizaaloyce9071 5 років тому

      Mijitu yenye upeo kama wako inatakiwa iwe inafokonyolewa

    • @sizaaloyce9071
      @sizaaloyce9071 5 років тому

      Mtu anachangia vitu vya msingi unalopoka lopoka tu acha uchama pumbavu wew angalia kiongoz anaongea mambo yana masilahi katika maisha yawananchi

  • @charlzlyimo1982
    @charlzlyimo1982 7 років тому +2

    zitto na wew ni kigeugeu wakati wa kampeni si ulikuwa ulinamsifia mgombea wa sisiemu, sasa hv vp mbona unamponda!!!!!!?????

    • @jonathandickson708
      @jonathandickson708 7 років тому +5

      Charlz Lyimo wala hampondi Ila lazma apewe ukweli wake...kampeni ni njia tu yakutupa kiongozi bora Ila haimaanishi maisha bora... Kukosoana kunajenga, kumbusha na kumrudisha mtu kwenye mstari sahihi

    • @promramson80
      @promramson80 6 років тому

      Jonathan Dickson fact