Team Makonda Ukombozi, Hii timu ilisaidia sana wafanyakazi ktk ofisi za ardhi kuamka, walipata haki zao,wengi tuliokua tumekata tamaa, tumedhulumiwa ardhi zetu tuliamka na kuanza kujua haki zetu😢 Makonda ni zaidi ya mtumishi wa umma!!
Mama samia , tunakuomba , utusaidie kwa hili , sisi ni wananchi wako , tunaomba ufanye juu chini utusaidie makonda wetu , arudi kazini katika mkoa wetu wa arusha.
Hii ndio Tanzania , na tanzania inaendeshwa na kagenge kadogo tu na hako ndo kamewalazimisha watanzania milioni sitini na zaidi kuonekana kichwani hatuna kitu ... tuonekana kama watoto wadogo .
Nadhani ni busara kutoa tamko kumuhusu kuliko kukaa kimya au kutoa taarifa zinazozua gumzo na taharuki. Ni vizuri wananchi kupata taarifa kuhusu viongozi wao. #MunguIbarikiTanzania
Baba yetu. Maguful alifichua madudu wenye vyeti feki atimayake nini ayupo dunia atumuonitena sasa kaletwa makonda inajiludia shida nini. Tz badilikeni tuishi kwa upendo
Ushauri wangu kwa wananchi wa Mkoa wa Arusha ni kwamba kama Mheshimiwa Paul Makonda yuko likizo alipo siyo ahera wa nje ya nchi ningeomba wenye pesa zao wamuulize Rasi yuko wapi kusudi baadhi ya watu waende kuhakikisha kama kweli yupo mapumziko hayo ndiyo maneno
Tanzania yetu ukiwa Kiongozi Bora Yaan wanakutoa Roho kweupe. Jua linawaka mana wao washazoa zurma sie wanyonge tushazoea maisha yetu ya kusukumwa sukumwa inauma sana lakini atuna wakututetea Eeeh Mungu simama kwa hili 🙏🙏😭😭😭
Makonda anajua kua ukiabudu Mzungu (Yesu) watakufanya chochote. Alianza kujitapa kwamba walijatibu kila ayina wakashindwa. Kumbe walikua wanamsoma wajanja Ili wamjanjue kama vile kwa Magufuli. Ndani ya dini ndo masikini wengi hupatikana, waginjwa wengi ndani ya makanisa,.... Watu turudi kwenye asili zetu tuangalie kama wataweza
SAFI SANA KK KUWEKA PICHA YA MAKONDA KWENYE GARI YAKO MAKONDA ANATUPA FARAJA KWA UTENDANI WAKE WA KAZI UNAONA NINAMNAGANI JPM AMEMPIKA AKAIVA.TUNAKUPENDA SANAAA MAKONDA
R.I.P Makonda , me sitak kusubir mambo yawashinde waanze kutusumbua saa 6 usiku kutupa taarifa za majonz kama walivyomfanyia legend UNCLE MAGU kunamtu ataona sina akili haya shaur yetu Watanzania
Makonda jasili sana kama Magufuli ushauri wangu tumpe kura ya urais kwanza agombee urais tuko bega kwa bega Paul Makonda tuongoze sana ww unafaa ili tumalize na madeni yamezidi sijui kwa nini ambapo yaliisha tunakuomba fanya hivyo ma
Serikali ya ccm iseme Yuko wapi makonda maana 202i ilituacha mdomo wazi kusema raisi anatusalimia kumbe hayupo sasa watanzania wamesha ogopa sana Kwa mtindo huo
aseee acheni ufala makonda ndo nn asee waarusha mnanifelisha mnakuwa kama wa bongonyoo asee yan mtu amekuja kuwafuka mota hapa alafu mnamnyenyekea aseee cc ndo wachaga huwa hatufungwagi mota kiivyo et
Team Makonda Ukombozi,
Hii timu ilisaidia sana wafanyakazi ktk ofisi za ardhi kuamka, walipata haki zao,wengi tuliokua tumekata tamaa, tumedhulumiwa ardhi zetu tuliamka na kuanza kujua haki zetu😢
Makonda ni zaidi ya mtumishi wa umma!!
I love you MAKONDA❤❤❤ tokea KAGERA KYERWA.
Tunamoenda sana makonda MUNGU tunaomba amlinde makonda
sio kweli likizo asingeacha hata kupost vitu muhimu kwenye pg zake huu ni uongo kunakitu wamemfanyia 😢😢😢😢
Mungu amponye TUNAMPENDA MNOO MAKONDA
Ni kweli tuambieni yuko wapi??😢
Siyo arusha tu hata mwanza watu wanazulimiwa haki zao yaani mungu ashushe moto kabisa waangamie hao walioyomufanyia makonda
We unafikiri ni kina nani kama sio haohao CCM
Hautakufa baba bali utaishi baba tunakuombea ulipo waaibike naurudi nyumbani baba😢😢😢😢
Amina
Mama samia , tunakuomba , utusaidie kwa hili , sisi ni wananchi wako , tunaomba ufanye juu chini utusaidie makonda wetu , arudi kazini katika mkoa wetu wa arusha.
CCM ni waongo Sana wanafiki yasiwe yale ya Magufuli
Ykiwa kama ya magu aki ya mungu sipi tena kura
Tz. Ni nchi kubwa sana kwanini msitenge ikawa nchimbili tofauti. Mana matatizo yanazidi kutojua viongozi wanaelekea wapi
Ilo NI la maana Sana hii nchi igawanywe Tu iwe nchi mbili nakuunga mkono
Hii ndio Tanzania , na tanzania inaendeshwa na kagenge kadogo tu na hako ndo kamewalazimisha watanzania milioni sitini na zaidi kuonekana kichwani hatuna kitu ... tuonekana kama watoto wadogo .
nitafute asee braza una akili Sana ndugu yangu
Hii mtu kupewa sumu na asiyejulikana
Au kutekwa na asiye julikana
Ccm tutai eka chini nchi iende ata bila chama
Makonda kabadilika sana ,inavyoonekana katubu na kuomba toba kwa mwenyenzi Mungu.
Tumuulize Mwamposa mala ya mwisho siwalikua wote kwenye hayo mashindano..
Heee kumbe mwamposa hebu sema
Allsh ni mjuzi waw juzi hujua tusiyo yajua oooh allsh tupe amwni yarab
Tunaka majibu kwa serikali mimi niko mwanza mtuambie ameenda likizo ya wapi ambako hakuna watanzania
Kibondo kigoma nakupata hata sisi tunauliza kipenzi Cha TAIFA
Hii ndio Africa. Anaewatumikia wananchi ipasavyo ndie asietakiwa.
Kweli 😕
@@IddiKhamis-u6c Inauma mno mno mno .
Mungu yupo
Makonda wetu tumemiss Arushaa jamn YESU KRISTO mtetee uy shujaa wetu
mungu musaidie muja wako tunakuombea makonda 3:49 3:51
Mimi nashangaa kwani kama anaumwa si waseme tumuombeee!!!!kwanini wanamsemea na kwanini asiongee na wananchi?
na hata kumchangia tupo tayari mm nakaa kahama
Tunamupenda sana makonda ateuliwe zanzibar kama hamtataki sisi tunamtaka uku zanzibar awe japo wazir
Wao wamfiche lakini sisi watanzania tunachohitaji ni uzima wa makonda shujaa wetu
E mungu mlinde makonda wetu
Kazi.mnayo.kwakweli.polen kwa yote mapumziko ya kawaida na cm atumii
God heal this man we love him indeed
Kaka Ayo naamini unamawasiliano nae. Ukimpigia sim anapatikana??
Tunaomba makonda apigiwe simu tumalize mzizi wa fitina tunamuomba mkuu wa mkoa arudi
Ni.kweli afanye ivyo
Je pazia
Liko 0:00 vibaya sana mtu ambaye anatetea mali ya watanzania anakufa haraka kwnn
Mtihani sana kwa mtu mkubwa km.uyo kukumbatia watu sana sio wote wema
Kweli binadamu anaweza muona binadamu mwenzie mungu ndiyo ujinga wenyewe huu pimbi mtu kumsifia mwenzio mwenyewe no sasa siujinga
Mkuu makonda ludi jamani huko ulipo tupate kutulia ce watu wako, binafs napenda uwajibikaji wako wa kazi nakukubali haswaaaaaaa
Nadhani ni busara kutoa tamko kumuhusu kuliko kukaa kimya au kutoa taarifa zinazozua gumzo na taharuki.
Ni vizuri wananchi kupata taarifa kuhusu viongozi wao.
#MunguIbarikiTanzania
Milard Ayo hebu mpigie simu bwana tunaimani unanamba zake
Tunaumia sana bas tu hatuna jinsi WATANZANIA
Kwanini mulize je mmefika nyumbani kwake
Makonda asipo onekana kwenye 30 mnaotwambia sisi kama watanzania tutaandamana mpaka serikali iseme mahal alipo
@@joowlyngiga5386utaweza ndugu
Mwenyewe roho yaniuma juu ya huyu makonda jaman anatetea watu
Watu wazuri wana pikwa navita Khali, kamavile yesu.
Makonda yupo mzima kabisa tena wa afya njema kabisa.
Hii nchi bora tuendelee kupanda juu ya meza tu mambo ya siasa tuwaachie wanyew
kiongozi nae anashida na trending😊,kajificha kusudi tu,,hii mbaya sana....magufuli walimficha wakamtoa maiti...ivo ivo
Huna akili, huyu ni muajiliwa sio Diamond
Kwakweri. hii ni shida WA tz tumezoea zuluma ndio maana awamtaki mtetezi WA wanyonge.
@@muksinimbaruku1233 sasa waliokuajiri kina nani??
Baba yetu. Maguful alifichua madudu wenye vyeti feki atimayake nini ayupo dunia atumuonitena sasa kaletwa makonda inajiludia shida nini. Tz badilikeni tuishi kwa upendo
Ushauri wangu kwa wananchi wa Mkoa wa Arusha ni kwamba kama Mheshimiwa Paul Makonda yuko likizo alipo siyo ahera wa nje ya nchi ningeomba wenye pesa zao wamuulize Rasi yuko wapi kusudi baadhi ya watu waende kuhakikisha kama kweli yupo mapumziko hayo ndiyo maneno
Iwe ni kweli ni likizo kama sivyo kitamramba alosema Yuko likizo
Wakuu wa mikoa wote wanafanya kazi nzuri
kila mtu ana aina yake ya uongoz
kuna ambae haongei na anafanya vizuri
kuna ambae anaongea na anafanya vizuri
Usimfananishe makonda na vitu vya ajabu
Jaman wanadam ni wabaya kama kwel walimpa sumu makonda kwan huyo yy ataenda wap?
Waseme TU kweli maanahatuelewi
Nakumbuka mwisho alikua na mwambosaaaaa kwan yy anasemaje
Am from Kenya but if u loose makonda u loose everything in tanzania
Familia yake ndiyo inajibu kamili na mkuu wake wa kazi. Ila akiwa nje ya kazi ni mkimya sana. Week ya mwisho ya likizo ya umma.
Sukumaaa ndani
Kila mtu mzuri akiibuka, basi yaani
Tanzania yetu ukiwa Kiongozi Bora Yaan wanakutoa Roho kweupe. Jua linawaka mana wao washazoa zurma sie wanyonge tushazoea maisha yetu ya kusukumwa sukumwa inauma sana lakini atuna wakututetea Eeeh Mungu simama kwa hili 🙏🙏😭😭😭
Kama ndio ivo mimi siwqpi kula tena
@@hamidamussa-sy4fm Usipo wapa Kula yako wao wanaiba tu hao wezi wa kila idara 🤣🤣🤣😭
Mungu mwenye rehema naomba murehemu makonda mlinde baba pia wewe ndiye uliye muumba mzingile na damu Yako iliyomwagika msalabani
Mh!!! 😮😮
mrudishen makond wet
Daaaaaaaaah
Kama makonda yupo likizo kwanini asiongee chochote wananchi wakasikia ili kupata faraja ni likizo gani hiyo jamanyyy. Ila hii nchi hapana
Tunaomba serikali isipuuze hili jambo 😮
Semeni ukweli bana alipo Makonda acheni mambo mengi
Tunamtaka Makonda wetu
Walimrudisha kwenye uongozi ili wammalize vizuri,,,😢 mbna wapo kimya sasa😮
Ifike hatua wabongo tuache uoga mana tunaonewa tu na tunakaa kimya hii ni zalau
Makonda anajua kua ukiabudu Mzungu (Yesu) watakufanya chochote. Alianza kujitapa kwamba walijatibu kila ayina wakashindwa. Kumbe walikua wanamsoma wajanja Ili wamjanjue kama vile kwa Magufuli. Ndani ya dini ndo masikini wengi hupatikana, waginjwa wengi ndani ya makanisa,.... Watu turudi kwenye asili zetu tuangalie kama wataweza
Yesu sio mzungu ndugu Israel ni Asia asili ya waebrania ndugu ya waarabu watoto wa baba mkubwa na mdogo Yani Ismael na isaka
Kwani Milard nyie hamuwez kwenda nyumbani kwake 😅😢
Mmmh ni mgeni kuona mkuu wa mkoa fulani anakaimu nafasi ya mkuu wa mkoa mwingine.. Eti yupo likizo, kweliiiiiii
Arusha na Dar es salaam
Mtu anaejua makonda alipo ni
Mama ake na mke wake na serikali
Wengine ni kuwachosha kuuliza
Ishu ni moja
Mama
Mke
Rais full stop wanajua aliko
SAFI SANA KK KUWEKA PICHA YA MAKONDA KWENYE GARI YAKO MAKONDA ANATUPA FARAJA KWA UTENDANI WAKE WA KAZI UNAONA NINAMNAGANI JPM AMEMPIKA AKAIVA.TUNAKUPENDA SANAAA MAKONDA
Toka 85 mpk leo bd unarnsha taxi
Mbona sijaelewa hii habari
Hapa tuhesabu siku 28 walizosema.
Watasema tu
Binadamu hawana wema ata ufanye nini hawaridhiki.
Sasa nyinyi wanaarusha mbona amuandamani na mukaenda kundai kiongozi wenu? Nyinyi ni waoga sana
Wananchi endeleeni kupiga kelele tuujue ukweli
Tatizo watu wengi Mirad unaowahoji.wahoga wa kuongea njoo kwangu nitaongea Kwa msisitizo zaid.mpka wamludishe.
Si waandamane ili alipo wamuachilie kama wanampenda sio kujiuliza tu
Hawana ubavu huo watapigwa vibaya mno Tanzania yangu siyo ya kutenda haki mda mwingine
Au katekwa?
Sasa mara anaumwa mara anatibiwa tushike lip?
Naomba kuuliza, hivi rais anaendaga likizo? Au baadhi ya vyeo?
Hajamaliza mwaka inakuaje awe na likizo
R.I.P Makonda , me sitak kusubir mambo yawashinde waanze kutusumbua saa 6 usiku kutupa taarifa za majonz kama walivyomfanyia legend UNCLE MAGU kunamtu ataona sina akili haya shaur yetu Watanzania
Duh
Makonda jasili sana kama Magufuli ushauri wangu tumpe kura ya urais kwanza agombee urais tuko bega kwa bega Paul Makonda tuongoze sana ww unafaa ili tumalize na madeni yamezidi sijui kwa nini ambapo yaliisha tunakuomba fanya hivyo ma
daah no one like makonda
Ss tunamtaka Makonda wetu kula sumu mbona limekuwa jambo rahisi sana watanzania tuchunguze kuanzia kwa Magufuli na huyu uongozi kuna nini hapo
Si ajitokeze tu kwan lazima wamsemee et mapumzk si unaandik twitter au unaingia live jaman
Hakuna mapumziko hapo tunapigwa na chuma kizito
Kuna siri nyuma ya pazia
Au hao wananchi wanaoandamana hawawezi kwenda nyumbani kwa mkuu wa mkoa wao mbona ni waoga hivyo jamn tz bhana acheni unafik bhana
Kwa mujibu wa Dr slaa hata kifo cha magufuli tulidanganywa tarehe hizo ndo hekima za bongo kuficha visivyofichika
Kwani mkisema yupo jamani watu wanamtafta
Malaika huwapenda zaidi tuwapendao Sana: They say.
Na kama malaika wamempenda zaidi atakuwa amekilisha mission yake !!!
Tutajua tu rikizo ya mtumishi wa serikali si ni mwezi mmoja tutajua tu mtatwambia baada ya mwezi ameongezewa rikizo au laaaah!!!!
Serikali Kwan hamjui mtu huyu Yuko wap
😢😢😢
Mbona mwamposa anaweza kututafuti kwa nn asitusaidie
Kama mwamposa alikuwa naye amletee Makonda wetu ss bado tunamuhitaji sana
Tunamtaka makonda wetu jamani
Kwani wakisema ukweli kuna shida.?
Ndo maana ya kuwa mkuu bora mbona wamikoa mingine hawatafutwi
Serikali ya ccm iseme Yuko wapi makonda maana 202i ilituacha mdomo wazi kusema raisi anatusalimia kumbe hayupo sasa watanzania wamesha ogopa sana Kwa mtindo huo
aseee acheni ufala makonda ndo nn asee waarusha mnanifelisha mnakuwa kama wa bongonyoo asee yan mtu amekuja kuwafuka mota hapa alafu mnamnyenyekea aseee cc ndo wachaga huwa hatufungwagi mota kiivyo et