“Mtakuja kunikumbuka, Zitto Kabwe ni mpinzani mzalendo” -Lusinde
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde amelieleza Bunge kuwa miongoni mwa Wabunge wa Upinzani wenye uzalendo mkubw ani pamoja na Mbunge wa Kigoma mjini kupitia chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe
Jamaa yuko vizuri, to a boliti kwenye hicho lako kabla hujaangalia la mwenzako!
like apa chini km umemuelewa!
💯📩❗❗👏👏👏
Katika mbunge chizi na mjinga ni huyu Lusinde. Unapokuwa kiongozi sio lazima usimame mara kwa mara kudhalilisha wenzako hata kama mtu amekosea. Sijasikia hata siku moja mbunge wa CCM akikosoa chama chake na kina mapungufu makubwa sana. Manunuzi ya ndege na matumizi mpaka leo hatujui ni shillingi ngapi. CHADEMA wako safi sana ila kwa kuwa kimekuwa ni chama mbadala CCM lazima wawabane sana. Hakuna chama chenye kugawa Watanzania kama CCM. Serekali nzima ya Magufuli imejaa WASU - KUMA. Kuma nyie.
Jins madn yalivyoshkwa kenya
Jns madn yavy
Shkwa kenya
lusinde braza we nomaaaaa!! dawa chungu hiyo kwa nyumbu
Hii ndio tanzania yetu
Asanteee... L. Lusinde.
Huo ndio utofauti kati ya msomi na mpiga kelele, Msomi anatumia maandishi kama mifano na mpiga kelele anatumia maneno ya dharau, kejeli, matusi na mifano ya kutunga, Hongera mzee wangu.
Gud saana Mkuu lisinde... Gud jpm
Sio Gud, ni good
asante sana baba umewaeeleza ukweli Chadema hongera sana sana
Anaitwa ROMÃ, nani wakumnyamazishaaaaahh, akifa kaacha urithi tuimbe tulikomboe Taifa..! Lusinde kaa chini huna jipya
Kwa kua ni CAG kasema naomba CHADEMA wajitathimini na kutafakari sana,Maneno ya Lusinde sio ya kuyadharau kwani kuna wakati hata saa mbovu huwa inaongea ukweli,Hili la Democrasia ndani ya chama pia ni la muhimu...Mulika nyoka mguuni pako kwanza.
Wakisemwa CHADEMA mnashangilia, wakisemwa CCM mnanuna. Mafisadi walioko CCM na mali walizoiba hazihesabiki. Kibajaji mbwa tu. Watu wa mtera hawajasoma na ndio maana kila kukicha Mbunge ni Lusinde. Mipasho kama mwanamke.
ahsante comrade Lusinde
Mwenyekiti wa kudumu
Ni kweli
Ndiomaana nakupenda sana mweshimiwa lusinde
Chadema toeni ufafanuzi kuhusu taarifa zenu za CAG, maana inaleta sintofaham kwa wananchi.
Huyu Lusinde ni nomaa, huyu jamaa ana fact hatare
Kibajaji wapeleke haomajizi hao tuliwaambia ikulu wataiona kwenye Tv
msukuma and lusinde big up
Muulize mbowe. Hela zote kala yeye.
Safi waambie hao waelewe, Ukweli hata mimi zitto ni big up
Hahahahahaaaaa mwenyeki wa kudumu nimeipenda hiyo. Kweli hawa chaga boy hawaachi hata cent
Safi sanaaa wape wape hao.
Huyu Lusinde Aisee ni Noma sana nimtu hatariiiii sana
hongera Lusinde
SAFII UMEONGEA POINT SANA MAANA WANAKAZANIA MAANDAMANO TU PUMBAVU
😲😲😲😲😲😲😲😲
Fredy John Waifakara Tz wew nikuma
NAKUPENDA KWA KUWA WEWE NI MZEE WA MIJIWE WAPE WAPE HAO
NYALU WEWE NOMA
Jimbo lake msomi ni yeye tu na ndio maana kila uchaguzi mshindi ni yeye. Mtera hakuna wasomi ndio maana wanatuma mtu wa mipasho.
Serekali mkae makini na hawa wapinzani kwakweli wataipeleka nch pabaya
Point POINT POINT POINT
Hongera lusinde
Uko. vizuri. Mheshimiwa.
big chama CCM waache waandamane waisome namba
Kweli watanzania hawapendi ukweli
Zitto ni 🔥
By King Ally from mahembe kigoma.
Lusinde wewe ni kiboko ya CHADEMA!
Umeongea ukweli Mh. Lusinde wape wape baba! Taifa limepata hasara kusomesha watu kama akina zirto kabwe hawana faida kwa vijana wala akina mama! Zitto saidia vijana wenzako outoka kimaisha sio kila siku lawama kwa serikali!
Edward Edward we ni zaidi ya mbwa..
kichwan mwako 0
Edward Edward ukweli Gani majizi yako ccm yeye anatetea tumbo lake
Edward Edward ila atakapokuwa ssm atakuwa na faida
Acha ujnga unataka akusomeshe au aujui mana ya maendeleo ww mandaz kwel
Safi sana kaka
Yanaitwa mawe hayo huyakwepi
Asante mh lusinde waambie tu
Kheri James M/kiti Uvccm taifa hoyeeee
Point 100%
Kama haumkubali huyu jamaa kama mimi ambavyo simkubali like hapa
💪💪💪
anaongeaga pumba tupu
Hata Yesu mayahudi hawamkubali, sasa wamezuia nini?
Jinga hyu
Hassan Makweto yaan pumbavu kabsa
safi Lusinde uko vzr
Upo vzr
Kama cag kasema kwakweli chadema wajitathimin na kujibu kama kweli ama hujuma. ..maana ccm always hawawatakii mema ndugu zao hawa
WAJIGA NDIO WALIWAO
WACHANE BROTHER MAANA WAO KUHANDAMANA
Point Sanaa,km haya ya kweli basi hawana hski ya kuhoji hao
Daaaah hivi kumbe chadema hapo haya
mmh Leo umeongea vizuri
Mzeeeee wa mawe , ameamua kuyaachia bungeni
Chagadema Chagadema Chagadema..... Mbowe & Mtei Saccos Ltd
Lusinde uko sawa
Safi
ukweli mchungu
safi kibajajii
safi
Ndugu Lusinde nilipenda ulivyonukuu kuhusu Kobani na kijiti kwenye jicho kiukweli jicho halina starehe likiingiliwa na kijiti au kibanzi vyote ni adui wa jicho. Tumesikia kibanzi cha Chadema lakini kijiti cha CCM hakikutajwa VIPI???
Chagadema Haooo Pumbavu zao
Nwewe hujitambui unaweza ukawa mjinga
Kweli kazi ipo chezea mchaga weye
Kweli itaishi milele
Nilikua cjui kumbe chadema imeoza hivi ...daah
😂😂"WAJINGA NDO WALIOWAWO"..... MMENG'ANG'ANIA MAANDAMANO MAANDAMANO, MMEWAACHA WENZENU WANAPIGA HELA.....😂😂😂😂😂 .... Lusinde bana, inabidi nikupende tu kwa kweli...
Kwa akili yako kikinuka Lusinde c atajificha, ukoo wake jé atauficha nani? Tatizo anajiwaza yeye badala ya wanaomzunguka. Kwa mfano Kiongozi akisumbua una-deal na family yake tu yeye c anajiona analindwa
Upinzani ni majizi makubwa, Wape mapande yao.
Nilikuwa najiuliza kibajaji lusinde yuko wapi wape nondo vimtu kazi ni matusi kukashifu vitawaza sangapi mambo mazuri,at ukifanya mazuri vinakutusi,kasilika sasa huu upinzani wahuni kama Roma mpiga mziki
Lusinde kichwa sana
sawa sawa sawa Mkubwa
hahahahaha,,Lusinde we nikiboko yao mzee,,daah
Huyu ni mbunge wa mkoa gan inaelekea wananchi wake wanapata shida kweli
Majizi hayo ndio yashike dola yatakaa sana 2020 Sacoss yao ya Chagga Devlopment Mannfesto CHADEMA kiko(ICU) kinapumulia mashine kurudi mjengoni sawa na ZZK auTAL kuingia Ikulu
Hajui kazi ya upinzani,pia hajui wajibu wake kama Mbunge
Nakukubal rusinde
WAPI? NZANIIIIIIIIIIIIIII! SIJI KWENUUUUUUUUUUUUUUU
MNA
NIFANYA
NISHINDWE
KUWAAMINI
KWAKILA
POINT MUISEMAYO
HATAKAMA INAMASHIKO
KWETU MWIZI AKIONGEA UKWELTUNASEMAGA NIMUUONGO
TU.
safi sana
Museveni aliwai sema jogoo mkubwa ndie alimfundsha mdogo kunya kwenye kichanja chedema ni mdogo sanaaaa kwa zinazo pigwa upande wa pili ni sawa na dimbwi na Baali.
Kwahiyo unakiri kuwa chadema ni wapigaji????
Mmh! Utabiri haukuwa sahihi mheshimiwa lusinde!
leo umejitaid
Ukweli ni huo tu mh, uko saws kbs ubalikiwe
Acheni kuzingua mafisiem
VP Ccm wamezidi chadema bil 2 Ila ccm til1.5 ni ndogo kwa bil 2?
😂😂😂nimecheka kweli kweli mpaka naiogopa Siasa
Mwambien asome na ripot ya cag upande wa serikali kma yy mkweli?
Zitoo ana uzalendo wq kwenye mitqndao cyo kwa taifa lakin
UKO VIZURI SANA. WAMEKAZANA KUKOSOA TU HARAFU WAMESAHAU KUWA NAO NI WABOVU TENA MARA MIA ZAIDI.
afu kama limelewa vile ivi anae waibia wana nchi ni chama tawala au chama pinzani
Sitaki kuongeza kitu Lusinde na Msukuna ni hatari
mh!!! kweli hujaongea kitu,
Lusinde Na Msukuma ni Sheedah.!
Kama pesa hizo hazikukaguliwa na CAG inakuwaje CAG atoe taarifa hizo kazipata wapi?
WATU WA MTERA MNAMPENDEA NINI HUYU MBUNGE WA MIPASHO. CHADEMA CHUKUENI JIMBO.
sawa umengea vizur sana lakin je hzo ztajenga barabara au madaraja kweli wao kama wamepga watatoa ufafanuz kama hawajoa wizi ila tilion 1.5 za kod tinataka
Wambie tatizo lao hawaelewi .
Wejamaa nikiboko coz unafata nyayo zamusiba
Hatujawatuma Bungeni kupeana mipasho tunataka mumsaidie Rais kutupatia maendeleo. Tunataka makusanyo yasimamiwe vizuru kupunguza ukosefu wa ajira. Hivi nani mkaguzi wa Mahesabu ya Serekali Lusunde au CAG.
Wape Wape kaka.
Mambo niiii? motooo🔥🔥🔥🔥🔥kila kituu? balaaa!!!!!! 😷😷😷😷😷
waambie ukweli hao nyumbu!
Lusinde hata mm umenigusa hasa keenye kutoa boliti upo sawaaaa
😂😂😂 hatari sana
CHADEMA IMEZAA SAU NA ACT, HUJUI KAMA HIVYO VYAMA VYOTE VIMEZALISHWA NA CCM, @#ZeroBrain
Kibajaji Anatisha
wabie tu ukweli
Unajipya ww na hilo jimbo utalikosa 2020
Wape haoooooooo
Nasubir wapinzani wajibu Hoja hizo, vinginevyo hatuwezi kuwaelewa, Siamin Kama kinaweza kuibiwa chochote machoni mwa TUNDULISU, never never never!
Ukitaka kumulika nyoka anzia miguuni mwako.
LUKA 6-41 umesahau kuisoma na waliyogawana kwenye kikao watu zaidi ya 200×10,000,000/= milion kila mmoja sijui ni chama gani kile hivi?
Hongera
Eeee ni kidume
Ikulu wataiona kweny tv
nakukubali hadi raha
Wachaga chadema ni Weng ni wapigaj
shetani hawezi kumsifu Mungu, ata ukimsikiliza unaweza kudhani kweli Mungu hafai! ili usiumie kwa uongo wake, kumbuka kuwa ni shetani.
Kundi la mateperi hao... Kama vpi hajitokeze wapinge
Ufisadi wa chama una msaada gani kwa wananchi tunazungumzia ufisadi wa wananchi