“Mtakuja kunikumbuka, Zitto Kabwe ni mpinzani mzalendo” -Lusinde

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde amelieleza Bunge kuwa miongoni mwa Wabunge wa Upinzani wenye uzalendo mkubw ani pamoja na Mbunge wa Kigoma mjini kupitia chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe

КОМЕНТАРІ • 345

  • @TheOne-fi6cs
    @TheOne-fi6cs 6 років тому +26

    Jamaa yuko vizuri, to a boliti kwenye hicho lako kabla hujaangalia la mwenzako!
    like apa chini km umemuelewa!
    💯📩❗❗👏👏👏

    • @mbonireamina6497
      @mbonireamina6497 5 років тому

      Katika mbunge chizi na mjinga ni huyu Lusinde. Unapokuwa kiongozi sio lazima usimame mara kwa mara kudhalilisha wenzako hata kama mtu amekosea. Sijasikia hata siku moja mbunge wa CCM akikosoa chama chake na kina mapungufu makubwa sana. Manunuzi ya ndege na matumizi mpaka leo hatujui ni shillingi ngapi. CHADEMA wako safi sana ila kwa kuwa kimekuwa ni chama mbadala CCM lazima wawabane sana. Hakuna chama chenye kugawa Watanzania kama CCM. Serekali nzima ya Magufuli imejaa WASU - KUMA. Kuma nyie.

    • @lucyamosi6549
      @lucyamosi6549 5 років тому

      Jins madn yalivyoshkwa kenya

    • @lucyamosi6549
      @lucyamosi6549 5 років тому

      Jns madn yavy
      Shkwa kenya

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 6 років тому +15

    lusinde braza we nomaaaaa!! dawa chungu hiyo kwa nyumbu

  • @onesmokitwange9783
    @onesmokitwange9783 6 років тому +6

    Asanteee... L. Lusinde.

  • @baruanindume8695
    @baruanindume8695 6 років тому +1

    Huo ndio utofauti kati ya msomi na mpiga kelele, Msomi anatumia maandishi kama mifano na mpiga kelele anatumia maneno ya dharau, kejeli, matusi na mifano ya kutunga, Hongera mzee wangu.

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 4 роки тому +2

    Gud saana Mkuu lisinde... Gud jpm

  • @lexisavage1770
    @lexisavage1770 4 роки тому +1

    asante sana baba umewaeeleza ukweli Chadema hongera sana sana

  • @moshialois5499
    @moshialois5499 4 роки тому +3

    Anaitwa ROMÃ, nani wakumnyamazishaaaaahh, akifa kaacha urithi tuimbe tulikomboe Taifa..! Lusinde kaa chini huna jipya

  • @festondile2039
    @festondile2039 6 років тому +11

    Kwa kua ni CAG kasema naomba CHADEMA wajitathimini na kutafakari sana,Maneno ya Lusinde sio ya kuyadharau kwani kuna wakati hata saa mbovu huwa inaongea ukweli,Hili la Democrasia ndani ya chama pia ni la muhimu...Mulika nyoka mguuni pako kwanza.

    • @charleskazimoto6968
      @charleskazimoto6968 5 років тому

      Wakisemwa CHADEMA mnashangilia, wakisemwa CCM mnanuna. Mafisadi walioko CCM na mali walizoiba hazihesabiki. Kibajaji mbwa tu. Watu wa mtera hawajasoma na ndio maana kila kukicha Mbunge ni Lusinde. Mipasho kama mwanamke.

  • @abdallahkitwana8471
    @abdallahkitwana8471 6 років тому +36

    ahsante comrade Lusinde

  • @franciscomohamedjumanne1136
    @franciscomohamedjumanne1136 6 років тому +11

    Mwenyekiti wa kudumu

  • @abunajash1985
    @abunajash1985 6 років тому +8

    Ni kweli

  • @ancomagu8531
    @ancomagu8531 6 років тому +1

    Ndiomaana nakupenda sana mweshimiwa lusinde

  • @anordntungwely4810
    @anordntungwely4810 6 років тому +4

    Chadema toeni ufafanuzi kuhusu taarifa zenu za CAG, maana inaleta sintofaham kwa wananchi.

  • @johnthobius6543
    @johnthobius6543 6 років тому +3

    Huyu Lusinde ni nomaa, huyu jamaa ana fact hatare

  • @lameckbalekele2901
    @lameckbalekele2901 6 років тому +13

    Kibajaji wapeleke haomajizi hao tuliwaambia ikulu wataiona kwenye Tv

  • @thomasmtereko442
    @thomasmtereko442 6 років тому +4

    msukuma and lusinde big up

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 4 роки тому +2

    Muulize mbowe. Hela zote kala yeye.

  • @martinemifuko71
    @martinemifuko71 6 років тому +4

    Safi waambie hao waelewe, Ukweli hata mimi zitto ni big up

  • @mbwanaomary7537
    @mbwanaomary7537 6 років тому +1

    Hahahahahaaaaa mwenyeki wa kudumu nimeipenda hiyo. Kweli hawa chaga boy hawaachi hata cent

  • @susanekuyi2988
    @susanekuyi2988 6 років тому +5

    Safi sanaaa wape wape hao.

  • @oswardmwambete4752
    @oswardmwambete4752 4 роки тому

    Huyu Lusinde Aisee ni Noma sana nimtu hatariiiii sana

  • @leonardclaudi3599
    @leonardclaudi3599 5 років тому +1

    hongera Lusinde

  • @fredyjohnwaifakaratz2473
    @fredyjohnwaifakaratz2473 6 років тому +41

    SAFII UMEONGEA POINT SANA MAANA WANAKAZANIA MAANDAMANO TU PUMBAVU

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 6 років тому +19

    NAKUPENDA KWA KUWA WEWE NI MZEE WA MIJIWE WAPE WAPE HAO
    NYALU WEWE NOMA

    • @abdalahfarida2074
      @abdalahfarida2074 5 років тому +1

      Jimbo lake msomi ni yeye tu na ndio maana kila uchaguzi mshindi ni yeye. Mtera hakuna wasomi ndio maana wanatuma mtu wa mipasho.

    • @omariwazirikibao1932
      @omariwazirikibao1932 4 роки тому

      Serekali mkae makini na hawa wapinzani kwakweli wataipeleka nch pabaya

  • @naimaseleman6868
    @naimaseleman6868 4 роки тому +1

    Point POINT POINT POINT

  • @rajaburajabu1763
    @rajaburajabu1763 6 років тому +1

    Hongera lusinde

  • @shabihasaid5111
    @shabihasaid5111 6 років тому +4

    Uko. vizuri. Mheshimiwa.

  • @elibaricksangaulimile
    @elibaricksangaulimile 6 років тому +5

    big chama CCM waache waandamane waisome namba

  • @kingally7816
    @kingally7816 4 роки тому

    Kweli watanzania hawapendi ukweli
    Zitto ni 🔥
    By King Ally from mahembe kigoma.

  • @holdenngeze2652
    @holdenngeze2652 6 років тому +7

    Lusinde wewe ni kiboko ya CHADEMA!

  • @edwardedward2520
    @edwardedward2520 6 років тому +27

    Umeongea ukweli Mh. Lusinde wape wape baba! Taifa limepata hasara kusomesha watu kama akina zirto kabwe hawana faida kwa vijana wala akina mama! Zitto saidia vijana wenzako outoka kimaisha sio kila siku lawama kwa serikali!

    • @juliussanga9333
      @juliussanga9333 6 років тому

      Edward Edward we ni zaidi ya mbwa..

    • @empirialmdudj3864
      @empirialmdudj3864 6 років тому

      kichwan mwako 0

    • @gilbrtmaganga5471
      @gilbrtmaganga5471 6 років тому

      Edward Edward ukweli Gani majizi yako ccm yeye anatetea tumbo lake

    • @kariakooagrei857
      @kariakooagrei857 6 років тому

      Edward Edward ila atakapokuwa ssm atakuwa na faida

    • @juliusdeus3306
      @juliusdeus3306 6 років тому

      Acha ujnga unataka akusomeshe au aujui mana ya maendeleo ww mandaz kwel

  • @adamamos7508
    @adamamos7508 6 років тому +1

    Safi sana kaka

  • @ugullumsaidi1536
    @ugullumsaidi1536 6 років тому +15

    Asante mh lusinde waambie tu

  • @ambokileosward8850
    @ambokileosward8850 6 років тому +17

    Kheri James M/kiti Uvccm taifa hoyeeee

  • @belathomgaya4803
    @belathomgaya4803 6 років тому +4

    Point 100%

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 6 років тому +84

    Kama haumkubali huyu jamaa kama mimi ambavyo simkubali like hapa

  • @paulmsilanga3917
    @paulmsilanga3917 6 років тому +3

    safi Lusinde uko vzr

  • @goodluckmrosso486
    @goodluckmrosso486 6 років тому +4

    Upo vzr

  • @kaminyogemwachelwa9884
    @kaminyogemwachelwa9884 6 років тому +10

    Kama cag kasema kwakweli chadema wajitathimin na kujibu kama kweli ama hujuma. ..maana ccm always hawawatakii mema ndugu zao hawa

  • @ancomagu8531
    @ancomagu8531 6 років тому +1

    WAJIGA NDIO WALIWAO
    WACHANE BROTHER MAANA WAO KUHANDAMANA

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 4 роки тому

    Point Sanaa,km haya ya kweli basi hawana hski ya kuhoji hao

  • @mr.sangaellies5110
    @mr.sangaellies5110 4 роки тому +1

    Daaaah hivi kumbe chadema hapo haya

  • @yohanakidugala1332
    @yohanakidugala1332 6 років тому +2

    mmh Leo umeongea vizuri

    • @voicatiliotv2309
      @voicatiliotv2309 6 років тому +1

      Mzeeeee wa mawe , ameamua kuyaachia bungeni

  • @kidelenyafundi5167
    @kidelenyafundi5167 6 років тому +7

    Chagadema Chagadema Chagadema..... Mbowe & Mtei Saccos Ltd

  • @mathiasbuyobe3512
    @mathiasbuyobe3512 6 років тому +2

    Lusinde uko sawa

  • @255mkwakshi_tv5
    @255mkwakshi_tv5 6 років тому +18

    Safi

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 6 років тому +2

    ukweli mchungu

  • @yakomoifakala5504
    @yakomoifakala5504 6 років тому +3

    safi kibajajii

  • @julianamasunga4147
    @julianamasunga4147 6 років тому +1

    safi

    • @wilsonniwagila9632
      @wilsonniwagila9632 5 років тому

      Ndugu Lusinde nilipenda ulivyonukuu kuhusu Kobani na kijiti kwenye jicho kiukweli jicho halina starehe likiingiliwa na kijiti au kibanzi vyote ni adui wa jicho. Tumesikia kibanzi cha Chadema lakini kijiti cha CCM hakikutajwa VIPI???

  • @yamunguathumani234
    @yamunguathumani234 6 років тому +12

    Chagadema Haooo Pumbavu zao

  • @yohabumlelwa2316
    @yohabumlelwa2316 6 років тому +1

    Kweli kazi ipo chezea mchaga weye

  • @wahazaben7964
    @wahazaben7964 6 років тому +1

    Kweli itaishi milele

  • @godfreydaniel6167
    @godfreydaniel6167 6 років тому +13

    Nilikua cjui kumbe chadema imeoza hivi ...daah

  • @getajo1153
    @getajo1153 6 років тому +7

    😂😂"WAJINGA NDO WALIOWAWO"..... MMENG'ANG'ANIA MAANDAMANO MAANDAMANO, MMEWAACHA WENZENU WANAPIGA HELA.....😂😂😂😂😂 .... Lusinde bana, inabidi nikupende tu kwa kweli...

    • @moshialois5499
      @moshialois5499 4 роки тому

      Kwa akili yako kikinuka Lusinde c atajificha, ukoo wake jé atauficha nani? Tatizo anajiwaza yeye badala ya wanaomzunguka. Kwa mfano Kiongozi akisumbua una-deal na family yake tu yeye c anajiona analindwa

  • @allymohamedmkiwa284
    @allymohamedmkiwa284 6 років тому +30

    Upinzani ni majizi makubwa, Wape mapande yao.

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 4 роки тому +1

    Nilikuwa najiuliza kibajaji lusinde yuko wapi wape nondo vimtu kazi ni matusi kukashifu vitawaza sangapi mambo mazuri,at ukifanya mazuri vinakutusi,kasilika sasa huu upinzani wahuni kama Roma mpiga mziki

  • @ramadhanmasenga8730
    @ramadhanmasenga8730 6 років тому +2

    Lusinde kichwa sana

  • @frankjoseph6213
    @frankjoseph6213 6 років тому +1

    sawa sawa sawa Mkubwa

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528 6 років тому +4

    hahahahaha,,Lusinde we nikiboko yao mzee,,daah

  • @bahatimasawe9091
    @bahatimasawe9091 5 років тому

    Huyu ni mbunge wa mkoa gan inaelekea wananchi wake wanapata shida kweli

  • @yassiniferuzi2867
    @yassiniferuzi2867 4 роки тому

    Majizi hayo ndio yashike dola yatakaa sana 2020 Sacoss yao ya Chagga Devlopment Mannfesto CHADEMA kiko(ICU) kinapumulia mashine kurudi mjengoni sawa na ZZK auTAL kuingia Ikulu

  • @zullaicamatola3431
    @zullaicamatola3431 5 років тому

    Hajui kazi ya upinzani,pia hajui wajibu wake kama Mbunge

  • @boazimbwaga8771
    @boazimbwaga8771 6 років тому +6

    Nakukubal rusinde

  • @emanuelgaddafi7651
    @emanuelgaddafi7651 6 років тому +5

    WAPI? NZANIIIIIIIIIIIIIII! SIJI KWENUUUUUUUUUUUUUUU
    MNA
    NIFANYA
    NISHINDWE
    KUWAAMINI
    KWAKILA
    POINT MUISEMAYO
    HATAKAMA INAMASHIKO
    KWETU MWIZI AKIONGEA UKWELTUNASEMAGA NIMUUONGO
    TU.

  • @stellaanthony4092
    @stellaanthony4092 6 років тому +1

    safi sana

  • @nurukwawote4716
    @nurukwawote4716 6 років тому +1

    Museveni aliwai sema jogoo mkubwa ndie alimfundsha mdogo kunya kwenye kichanja chedema ni mdogo sanaaaa kwa zinazo pigwa upande wa pili ni sawa na dimbwi na Baali.

  • @zuberikupaza1450
    @zuberikupaza1450 4 роки тому

    Mmh! Utabiri haukuwa sahihi mheshimiwa lusinde!

  • @ahmedmtani9428
    @ahmedmtani9428 6 років тому +9

    leo umejitaid

  • @ivomalenge1452
    @ivomalenge1452 6 років тому +1

    Ukweli ni huo tu mh, uko saws kbs ubalikiwe

  • @amanhassan7460
    @amanhassan7460 4 роки тому +1

    Acheni kuzingua mafisiem

  • @neemafanuel4583
    @neemafanuel4583 5 років тому +1

    VP Ccm wamezidi chadema bil 2 Ila ccm til1.5 ni ndogo kwa bil 2?

  • @abuyizedon
    @abuyizedon 6 років тому +1

    😂😂😂nimecheka kweli kweli mpaka naiogopa Siasa

  • @dannimasai9212
    @dannimasai9212 4 роки тому +1

    Mwambien asome na ripot ya cag upande wa serikali kma yy mkweli?

  • @ibrahimally7735
    @ibrahimally7735 4 роки тому

    Zitoo ana uzalendo wq kwenye mitqndao cyo kwa taifa lakin

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 5 років тому +1

    UKO VIZURI SANA. WAMEKAZANA KUKOSOA TU HARAFU WAMESAHAU KUWA NAO NI WABOVU TENA MARA MIA ZAIDI.

  • @alphamaninga8237
    @alphamaninga8237 5 років тому

    afu kama limelewa vile ivi anae waibia wana nchi ni chama tawala au chama pinzani

  • @alexanderdustan8872
    @alexanderdustan8872 6 років тому +24

    Sitaki kuongeza kitu Lusinde na Msukuna ni hatari

  • @jiatv_tz
    @jiatv_tz 6 років тому +1

    Kama pesa hizo hazikukaguliwa na CAG inakuwaje CAG atoe taarifa hizo kazipata wapi?

  • @teddykanondo5753
    @teddykanondo5753 4 роки тому

    WATU WA MTERA MNAMPENDEA NINI HUYU MBUNGE WA MIPASHO. CHADEMA CHUKUENI JIMBO.

  • @xhaibsalim8797
    @xhaibsalim8797 6 років тому

    sawa umengea vizur sana lakin je hzo ztajenga barabara au madaraja kweli wao kama wamepga watatoa ufafanuz kama hawajoa wizi ila tilion 1.5 za kod tinataka

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 6 років тому +3

    Wambie tatizo lao hawaelewi .

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 6 років тому +22

    Wejamaa nikiboko coz unafata nyayo zamusiba

    • @richard.rkilonzo7538
      @richard.rkilonzo7538 6 років тому

      Hatujawatuma Bungeni kupeana mipasho tunataka mumsaidie Rais kutupatia maendeleo. Tunataka makusanyo yasimamiwe vizuru kupunguza ukosefu wa ajira. Hivi nani mkaguzi wa Mahesabu ya Serekali Lusunde au CAG.

  • @samuelmwambashi4168
    @samuelmwambashi4168 6 років тому +3

    Wape Wape kaka.

  • @hkmayala414
    @hkmayala414 6 років тому +6

    Mambo niiii? motooo🔥🔥🔥🔥🔥kila kituu? balaaa!!!!!! 😷😷😷😷😷

    • @paulomroki8562
      @paulomroki8562 6 років тому +1

      waambie ukweli hao nyumbu!

    • @zaituniseif9458
      @zaituniseif9458 5 років тому +1

      Lusinde hata mm umenigusa hasa keenye kutoa boliti upo sawaaaa

  • @vickybwire4049
    @vickybwire4049 6 років тому +4

    😂😂😂 hatari sana

  • @babalily4516
    @babalily4516 6 років тому

    CHADEMA IMEZAA SAU NA ACT, HUJUI KAMA HIVYO VYAMA VYOTE VIMEZALISHWA NA CCM, @#ZeroBrain

  • @wilsonchallange4420
    @wilsonchallange4420 6 років тому +3

    Kibajaji Anatisha

  • @mkalimwanza7726
    @mkalimwanza7726 6 років тому +3

    wabie tu ukweli

  • @godwinmgunda1002
    @godwinmgunda1002 6 років тому

    Unajipya ww na hilo jimbo utalikosa 2020

  • @tumahamza8972
    @tumahamza8972 6 років тому +16

    Wape haoooooooo

  • @seniornyungu9718
    @seniornyungu9718 6 років тому

    Nasubir wapinzani wajibu Hoja hizo, vinginevyo hatuwezi kuwaelewa, Siamin Kama kinaweza kuibiwa chochote machoni mwa TUNDULISU, never never never!

  • @mohamedismailmajambo8481
    @mohamedismailmajambo8481 6 років тому

    Ukitaka kumulika nyoka anzia miguuni mwako.

  • @aloycemwakatala2634
    @aloycemwakatala2634 4 роки тому

    LUKA 6-41 umesahau kuisoma na waliyogawana kwenye kikao watu zaidi ya 200×10,000,000/= milion kila mmoja sijui ni chama gani kile hivi?

  • @yekutielgoldstein9712
    @yekutielgoldstein9712 4 роки тому

    Hongera

  • @amaniromeoswadiq9155
    @amaniromeoswadiq9155 6 років тому +3

    Eeee ni kidume

  • @mecksonsamwel2666
    @mecksonsamwel2666 4 роки тому +2

    Ikulu wataiona kweny tv

  • @issasaid1226
    @issasaid1226 6 років тому +17

    nakukubali hadi raha

  • @pasterhanshassan441
    @pasterhanshassan441 6 років тому

    shetani hawezi kumsifu Mungu, ata ukimsikiliza unaweza kudhani kweli Mungu hafai! ili usiumie kwa uongo wake, kumbuka kuwa ni shetani.

  • @jisamjose2184
    @jisamjose2184 6 років тому +3

    Kundi la mateperi hao... Kama vpi hajitokeze wapinge

  • @dizodi_vituko
    @dizodi_vituko 6 років тому

    Ufisadi wa chama una msaada gani kwa wananchi tunazungumzia ufisadi wa wananchi