Kwa ulinganishi ulioufanya hapo wa bei ya mpunga kiukweli hio bei nadhani itakuwa rafiki jitihada ziwepo tu kwenye ruzuku za pembejeo na kwani hata mlaji hataathirika kwani kinachoumiza bei ya vyakula ni madalali na kufanya wananchi waone maisha magumu Ahsante sana Bashe Binafsi niko pamoja nawe kwenye hilo kama vile kwenye sukari ulivyoshusha bei
Mna viwanda vingapi vya kutengeneza nguo. Vertical integration hapo inahitajika. Msisafirishe raw materials ya pamba. Establish viwanda vya kutengeneza nguo
Serikali haiwezi kamwe kuwa na suluhisho la kudumu la maswala ya mazao kama hawataweka bei permanent za mazao. Zaidi tunajua ni migogoro isiyoisha. Mkulima anajitoa mhanga kulima, kangalia shamba, then serikali inampangia bei isiyo rafiki kwa ke, sasa hii sio maendeleo ni kurudisha nyuma wakulima.
Kwani hiyo mbolea unanunua kwa pesa ya CCM? Ni pesa ya serikali kwahiyo hata vyama vingine vinaweza kutumia hizo pesa kufanya vizuri zaidi kuliko ninyi mafisadi
Pia tuongeze nguvu kukuza soko la inje la mchere ili huo mpunga utakao nunuliwa kwa bei ya 900 usilundikane na kubaki kwenye maghara hili lita sababisha bei ya mchere mwakani kushuka sana bei pia sekita binafusi inayo nunua mpunga itambuliwe ijengewe uwezo hasa wamiliki wa mashine za kukoboa mpunga kwa sababu ndoo wahanga pale watakapo kosa mpunga wa kuendesha viwanda vyao serikari iangalie uwezekano wa kufanya nao kazi ili kubolesha siyo sekta binafusi wote wezi tuki endelea kuwaita wezi wataikimbia sekta badaye sekta ya kilimo ita kosa wadau
. Bashe acha kudanganya. Kesi ya sukari kuwapa tenda kampuni ziszokuwa na uwezo kuagiza sukari . Bashe aa ujanja wa udangayifu.Mpina asikiizwe,asipuuzwe
Wewe huna nia nzuri na wakulima hata kidogo. Umeisha pewa chako na wafanya biashara ili wajaze sukari kila kona ili mashamba ya miwa ife hapo ni sawa? Tatizo kubwa ni sukari mbona huongei?
Umwagiliaji unaumiza wakulima wadogo na hakuna mkakati wowote wa kuhakikisha kuna miundo mbinu ya umwagiliaji kwa wakulima wadogo. Wekezeni kwenye kuwainua wakulima wadogo na punguzeni siasa nyingi kwenye kilimo.
Mpina kama ni mtu wa haki kweli angelianza kuandaa ile hela nyingi ilioibwa na Magu ikulu trillioni 1 na nusu CAG ASAAD aliweka wazi hili mbona alibaki kimya au kwa sababu wakati ule Magu alimchagua waziri?Tuache unafiki na kujizima data.
ACHA UNAFIKI Magu aliidharau kabusa sekta ya kilimo mpaka ikafika mbaazi kuile kusini kuuzwa kilo sh 100 leo maazi kilo sh 2500 kwa kilo.Akawatia umasikini watu wa kusini wote mpaka wengine wakajinyonga kwa hasara walizozipata akazichukua korosho zao kwa nguvu ya jeshi na mpaka leo watu korosho zao hawakulipwa ushenzi ulioje.
Kijana ulikuwa mzuri sana mwanzoni , ulipo sasa hivi umejaa usanifu wa lugha ikiwa na KA-ENGLISH kidogo lakini mstari wa UKWELI umeuweka PEMBENI , kwa nini ?
Kwa ulinganishi ulioufanya hapo wa bei ya mpunga kiukweli hio bei nadhani itakuwa rafiki jitihada ziwepo tu kwenye ruzuku za pembejeo na kwani hata mlaji hataathirika kwani kinachoumiza bei ya vyakula ni madalali na kufanya wananchi waone maisha magumu Ahsante sana Bashe Binafsi niko pamoja nawe kwenye hilo kama vile kwenye sukari ulivyoshusha bei
upo vizuri kaka achana nao hao
Mna viwanda vingapi vya kutengeneza nguo. Vertical integration hapo inahitajika. Msisafirishe raw materials ya pamba. Establish viwanda vya kutengeneza nguo
Serikali haiwezi kamwe kuwa na suluhisho la kudumu la maswala ya mazao kama hawataweka bei permanent za mazao. Zaidi tunajua ni migogoro isiyoisha. Mkulima anajitoa mhanga kulima, kangalia shamba, then serikali inampangia bei isiyo rafiki kwa ke, sasa hii sio maendeleo ni kurudisha nyuma wakulima.
Tumekusubili dodoma uje utujibu ufisadi wako kwenye sukari.
Bashe wewe ni genge la mafisadi,acha kumdadanganya huyo mama
Kama mtafanya hivyo mtatusaidia sana
Hamna jipya ufisadi tuu umewajaa.hakuna chochote mnacho fanya kwa Watanzania.ila shukuruni Watanzania wengi mazwazwa hawana akili kichwani ndiyo mnachukulia advantage hiyo.
Kwani hiyo mbolea unanunua kwa pesa ya CCM? Ni pesa ya serikali kwahiyo hata vyama vingine vinaweza kutumia hizo pesa kufanya vizuri zaidi kuliko ninyi mafisadi
Kuruhusu kuingiza sukari holela si itafanya mashamba ya sukari kufa? Mashamba yakifa hao wakulima wa miwa na wao watakufa au watasimama
Ila jamaa jasho linamtoka mcheki kifuani shati linalowa
Pia tuongeze nguvu kukuza soko la inje la mchere ili huo mpunga utakao nunuliwa kwa bei ya 900 usilundikane na kubaki kwenye maghara hili lita sababisha bei ya mchere mwakani kushuka sana bei pia sekita binafusi inayo nunua mpunga itambuliwe ijengewe uwezo hasa wamiliki wa mashine za kukoboa mpunga kwa sababu ndoo wahanga pale watakapo kosa mpunga wa kuendesha viwanda vyao serikari iangalie uwezekano wa kufanya nao kazi ili kubolesha siyo sekta binafusi wote wezi tuki endelea kuwaita wezi wataikimbia sekta badaye sekta ya kilimo ita kosa wadau
Mbona huongelei kusuhu kuingiza sukari holela?
Mahakamani nenda
. Bashe acha kudanganya. Kesi ya sukari kuwapa tenda kampuni ziszokuwa na uwezo kuagiza sukari . Bashe aa ujanja wa udangayifu.Mpina asikiizwe,asipuuzwe
Wewe huna nia nzuri na wakulima hata kidogo. Umeisha pewa chako na wafanya biashara ili wajaze sukari kila kona ili mashamba ya miwa ife hapo ni sawa? Tatizo kubwa ni sukari mbona huongei?
Umwagiliaji unaumiza wakulima wadogo na hakuna mkakati wowote wa kuhakikisha kuna miundo mbinu ya umwagiliaji kwa wakulima wadogo. Wekezeni kwenye kuwainua wakulima wadogo na punguzeni siasa nyingi kwenye kilimo.
Bodi ya sukari ni ndio tatizo
BASHE wanaokutukana ni wivu na uhasidi tu!!achana nao chapa kazi!!
Mbona tanapa wanawafukuza wakulima wa mpunga.mbona hamsei hilo?
Hawawezi SEMA koz wao ndio waratibu
Vipi kuhusu mbaaz mbona unatulazimisha tuuze ghalani kunanini
Mbarali hamnunui
Usijisahaulishe mpina anaandaa kesi ufisadii kwenye sukari
Mpina kama ni mtu wa haki kweli angelianza kuandaa ile hela nyingi ilioibwa na Magu ikulu trillioni 1 na nusu CAG ASAAD aliweka wazi hili mbona alibaki kimya au kwa sababu wakati ule Magu alimchagua waziri?Tuache unafiki na kujizima data.
Uyo maneno tu akuna kitu boa
Bashe ana kesi ya kujibu.Hapo ana presha tele.Namuona akifedheheka mahakamani.
Mahindi 650 kwa 700 ni vichekesho na ufisadi na
Afadhali nyie 650 sisi 500
Mtihani mkubwa Bei ya mahindi
Gharama kubwa ukivuna Bei mbovu kweli 650-500?
Wanatupiana mpira mara huyu anasema Rais umeruhusu sekta binafsi zinunue mahindi wanawalazimisha ahhhhh
Huyu bashe🎉fukuza ni genge la mafisadi,
Ila huyu jamaa ni jembe sna hongera kuwasaidia wakulima wa nyumban wazir wetu mkubwa mnaenda enda sana huko hiyo wilaya itakuwa Kwa Kasi sana
Jembe kwako kwani ww ni mkulima
Kuna watu ni mabata @@MathewNathan-yb2bz
Bashe 20 tena
Waangalie na ushuru ni mkubwa sana nadio sababu ya mkulima kukandamizwa
Huyu jamaa nikiongozi kweli
Magufuri alianzisha program hizi kwa ngùu sana , leo mnasuasua
ACHA UNAFIKI Magu aliidharau kabusa sekta ya kilimo mpaka ikafika mbaazi kuile kusini kuuzwa kilo sh 100 leo maazi kilo sh 2500 kwa kilo.Akawatia umasikini watu wa kusini wote mpaka wengine wakajinyonga kwa hasara walizozipata akazichukua korosho zao kwa nguvu ya jeshi na mpaka leo watu korosho zao hawakulipwa ushenzi ulioje.
Hahahhahahahahahahahahahhahajajahahajajajajajhahahhahahajajaj naseka gete gete
Tsh 900/= kwa kilo utanunua ulio Lima wewe...
Hili waziri mzigo.. makerere mengi vitendo hamna kitu
Huyo muongeaji mzuri lkn c mtendaji magufuli alimchagua sbb ya kupiga kelele bungeni but nothing
@@BraxedaDomina-xn4zcItabid tukupeleke Wewe
.
rudi kwenu somaria wewe usitualibie nchi.
Wew ni kati ya wajinga walioko Tanzania
Futa hii comment yako mbona km ni kibaguzi kabla hujatuma ujumbe wko jaribu kufikilia hata kutumia Makalio yako km si kichwa chako ndo uweke Kwa Media
Kijana ulikuwa mzuri sana mwanzoni , ulipo sasa hivi umejaa usanifu wa lugha ikiwa na KA-ENGLISH kidogo lakini mstari wa UKWELI umeuweka PEMBENI , kwa nini ?
Wewe unakujua asili wa Babu yako kizaa Baba yoko ametokea wapi
Na wewe rudi kwenu Burundi kwenu nyoko wewe.
Waangalie na ushuru ni mkubwa sana nadio sababu ya mkulima kukandamizwa