sorry to be so off topic but does any of you know a trick to log back into an Instagram account? I was dumb lost the login password. I would love any assistance you can give me
Nawaonea huruma sana waislamu,cjui hamna kazi za kufanya maana mnapenda kupayuka kama machizi,amri ya Kwanzaa ucsujudie Mungu mwingine sasa macca mnasujudia kaburi la hyo mtume wenu. Au mna Mungu mfu?
Haya yote sio tamaduni za mwafrika . tumeletewa tyu hakuna anaejua ubora au udhaifu Wa kitu ambacho hana historia ndefu nacho....cha msingi ni kuzitumia tamaduni hizi kama kujipatia kipato na kurahisisha huduma za kijamii kama shule,hospital,maji.Na pia kudumisha faraja na relief ,matumain ya maisha tunayo yapata kupitia dini...ushaur wangu kwa ndugu zangu waafrika tusikubali kutofautiana kwa sababu ya aitikadi za dini.....
Mazinge anatumiwa na ibilisi kuwapinga waislamu wenzie ili nuru ya Kristo isiwafikie na watafia gizani, Shetani ni mjanja sana anawadanganya kuwa Yesu ni nabii na hapohapo waislamu wanampinga Yesu kuwa sio mwana wa Mungu maana yake wanajitekenya na kucheka wenyewe sababu Yesu anajiita mwana wa Mungu.. Waislamu wamepotea na neema ya Mungu inawapita,wanaabudu sanamu iko kule macca ndio allah au al illah zamani wanaelekeza nyuso zao kule,
jaman Aya mambo tuyaache maana sio kila asemae alaaaah alaaaah atauona ufalme wa mungu na mungu ajasema mkosoe imani za watu enda ikawa wanakosea awakosei anajua yeye ole wenu mnajifanya kunijua sana mungu na kutumia mlichopewa vibaya ole wao wanao sema wasio yajua na kunifanya wanajua sana
Sa sa kama wakrito niwaongo waislam tatizo Lao Nini, atuache si si hatuna Shida nawaislam, kwetu si si yesu ndie mfalme, mti wenye matunda hupigwa mawe. Niwaulize Mariam bikra alimzaa na ni ? Hiko kitabu cha mungu nichakwenu nyinyi , hatausemeje hatuwezi kubarika yesu uhai
Am very proud to be Christian. Also, am NOT hating muslims, but I hate those who use to bring religious debate instead of having enough time to working. Hakuna tajiri hata m1 anayeacha kujiingizia kipato then akaenda kupiga kelele za dini. Na hakuna sehemu yoyote ile kwenye maandiko inayochukia matajiri.
Leonard Newa wametiwa Giza mioyoni mwao kama wasivyoijua njia waiendeayo vivyohivyo huongea kwa ujasiri sana mambo wasioyaelewa, na kitabu cha Mungu kukijua ni rahisi sana ,fuatilia kinacho tajwa na kusomwa Mara nyingi ndicho kitabu cha Mungu alie hai
Bikey charse bibilia ni kitabu cha nani maana torati daudi zaburi mussa injili nabii issa furkani nabii muhamadi swm je? Bibilia ni kitabu cha nani naomba jibu
Munajisumbuwa bure mungu atahangaria matendo yamtu madini nikitu cha kawaida heshimu Amri kumi tu vingine mumwachiye mungu ndie atajuwa chakufanya kwa kiramtu kwa matendo yake
11:55 Hahaha! Kweli wakristo hawana akili😂😂😂. Yaani usikute wana master hapo wengine😂😂😂. Qur-an inasema miongoni mwa watu ambao ni haramu kwetu kuwaoa ni ".....Walio katika ulinzi wenu, waliozaliwa na wake zenu mliowaingilia. Lakini kama nyinyi hamjawaingilia basi sio vibaya kwenu kuwaoa" Hichi kiswahili chepeesi kuwa tumeharamishiwa kuwaoa watoto wa wake zetu tuliowaingilia, lakini ikiwa hatujawaingilia wake zetu hao basi si vibaya kuwaoa watoto wao. Kwa mfano nimemuoa mwanamke mjane na yuko na mtoto wake na ikatokea usiku hule nimemuoa akafariki na sikuwahi kumuingilia basi sio dhambi kumuoa binti yake bali nikiwa nimemuingilia ni haramu kumuoa binti yake. Hivi kweli kuna cha kujitoa fahamu hapa? 😂😂😂
@@petrokomba3508 bishana kwa hoja sio kupanic. Hao ndio viongozi wenu mliowaleta waje wautetee ukristo lakini wanatia aibu kwa kweli. Yaani wanatoa vihoja ambavyo mimi nimepita chuoni kidoogo tu na navijibu vihoja vyao itakuwa mazinge😂😂😂
Mnaousema ukristo zingatieni kwanza kwamba ukristo siyo dini . Uislamu kuwa dini haihalalishi ukristo kuwa dini. Ukristo ni kumwamini Kristo, ni kumsikiliza yeye sawa na maagizo ya Mungu mwenyewe toka Mathayo 17:5. Hatujaamriwa wanadamu tumsikilize. Wanaomsikiliza mwingine kawaulize wenyewe.
@@gosbertwilla713 hivyo unasema wewe but wao wanaomuamini huyo unaemwita Kristo ndio wenyewe wanajiita wakristo, so mimi nafatiza wanavyojiita wenyewe tu. Btw kwa mujibu ya tafsiri ya Bibilia Kristo sio mtu flani maalumu, bali maana ya Kristo ni mpakwa mafuta wa Bwana. But tuyaache hayo, Me kilichofanya niwatoe akili ni hiyi hoja yao ya ucheza hapo.
@@annamapunda431 MAZINGE ALINIUA SIKU MOJA ALIKUWA KIGOMA, AKASOMA UFUNUO WA YOHANA AKADAI MUHAMMAD NI MFALME WA WAFALME, SASA KWA KICHWA KIBOVU HICHO UNATEGEMEA NINI, HALAFU WAISLAM ALMOST WOTE UKIWASIKILIZA, UTAGUNDUA ENEO LA KIROHO HAWAPO KABSA, WAPO KIITIKADI NA USHABIKI TU BAS,NAFIKIR WAKRISTO WAANGALIE WATU WA KUDEBATE NAO, NA KAMA UTADEBATE MUISLAM JUA UNADEBAT NA KICHAA WA KIROHO, BIBLIA INASEMA MJIBU MPUMBAVU SAWASAWA NA UPUMBAVU WAKE, WAISLAM UPANDE HUU NI WAPUMBAVU, HATA MASWAL YAO NI UPUMBAVU TU BASI, KISHA MIKELELE MINGI HATA KA WAKIONGEA UPUMBAVU
Kwani yey nani.aje na yey tumpe makavu.anafufua watu? Nyoooo xuuuu anatumia mizimu ya Nageria eti anafufua watu.amfufuw Babako ao mamako ili uwez kumuamini zaidi
@@ramadhanijohoiddi2899 tuko sawa,. imeandikwa ``ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni weny ukoma, toeni pepo mmepewa bure toeni bure.'mathayo 10:8. pia kuhusu kufufua yesu alimfufua binti yake yairo na razalo, imeandikwa katika malko 5:21-43, na ukitoa yesu , mifupa ya elisha ilimfufua mtu. 2wafalme 13:14-21. na mwisho imeandikwa usiwaguse wala kuwaongea vibaya watumishi wa mungu, zaburi 105:15
Jamani tusindanganyike Mwenyezi Mungu hawezi kuleta vitabu viwili tofauti duniani kati ya hivyo kimoja ni cha Mwenyezi Mungu na kingine ni chaule mwovu shetani na mizimu yake na majini yake
we mpumbavu sana ,sasa ulitaka tutembee uchi kama nyie,,quran iliandikwa na walevi wanne,,pia waislamu ndio watu pekee duniani wanaoongoza kuwa elimu ndogo ya darasani,,mnabishana tu hamna hoja nyie
Maepo hujitambui vazi haliwezi kukupeleka mbinguni hamjielewagi nyinyi mnafunika macho lakini ukahaba ndo umejaa wangapi tunakutana nao magesti na manguo yao eti wamejisitiri ni bora mvaa chupi au kahaba aliyevaa gubigubi?
Eti jamani hata kwa mtazamo wa kawaida tuu mbali na maandiko tuko wengi hivi katika dunia naviumbe wengine wooote lakini mungu awe na mtoto mmoja tu? Hivi niakali hizi, basi agalau hata mngesema baba yetu ADAMU maana yeye ndo hana baba wala mama
Binuru Sm kupata ufahamu wa mambo ya Mungu wa kweli alieumba vyote mpaka uwe miongoni mwa waaminio hapo utajua kuwa ,sio kwa lugha ya wengine Bali kwa KILA mtu na lugha yake Mungu anasikia
jaman nyinyi uwa mwashangaza c mukiongea muongee tu kuhusu uzuri wa dini yenu ili mwenye atakubal kubadilika abadilike, ata Siku moja cwez badil dini yangu Christian forever
@@omarkhalfan2985 sasa uislamu ni huo wa kutusiana ovyo ovyo kauikia mbali na uislamu wako puga mfirwa mkundu shetani mkubwa proud to be a christian ikikuuma b proud of of your religion too tutoshane shoga
Ujanja unatoka na wapi, wewe hujielewi na umebebwa tu kihisia alafu unaona eti uko sawa Lakini ukikaa chini na kutafakari vyema utajua hujui, ole wenu maana adhabu yenu kwa Mungu itayari
Unajiita prince wakati kilaza kama ww hakuna. Kwani hawa; Bakhresa, Mohammed Dewji, Rostam Aziz na Yussuf Mani ni dini gani hata useme waislamu maisha yetu magumu?? Kumbe ww ni boya mara 1,000,000 zaid.
katika 100 ni 20 tu waliofanikiwa na ambao wamefanikiwa c watu kama hawa amabao wameshindwa kujal din yao ukisikia uchochez wa kidini na kuleta vita vya kidini
Kuoana kuna shida gani?. Babu zetu hawakuwa na Dini walikuwa wakioana bila shida. Acheni uchonganishi. Hata mimi nina mpango wa kumuoa mtoto wa Kiislamu. Wasafiu sana na wanajua kuoga.
waisilamu wengi mnaona dini ynu hiko kosahihi sana mkienda kenye miskititi yenu mnaongea unafiki kulko kufata dini ndio mana ata utoaji wa sadaka mnakua wazito kuliko kupeleka ela kwa waganga
Elizabeth given nyny mnatoa sadaka kanisan za kuendesha maisha ya padri hhhhahaahh mapadri wnfnkw kmaish kW nguv zenu ..fumba macho yesu anapitaa hhhhahhhh aloo ma askof na mapadri matapeli mnhh biashara asa
Ee Mungu uliyeumba mbingu na nchi na ulimtoa mwanae Yesu kristo kwa ajili ya watu wotee ili rehema zako ziwafikie ,lakini tazama wanaleta mabishano baadala ya kuokoa nafsii za watu waliopotea na kuhubiri injili ya kweli kwa habari ya wokovu !! wasamehe Baba maana bado hawajaelewa ni nini kifanyike!!!
Yaani Nikiangalia Debate Hii Nacheka Mpaka Nagalagala. Yaani Unaona Kabisa Yakuwa Mazinge Anawatega Lakini Wakristo Hawakumuelewa Mazinge Kama Anawatega!!!!!!!!!!!!! Hawa Watu Wananisikitisha Saaaaaaana.
Shamimu Muhajiri biblia inasema mwapotea kwa kutojua maandiko na uweza wa Mungu, Mungu wa wa kristo ndiye muweza wa yote na ndiye kaumba vyote anajua lugha zote hakuna haja kujifunza lugha ya TAIFA tofauti na wewe ili umwabudu,Bali yeye kwa lugha yoyote anaelewa,kwa uwezo wake na kwa NENO lake unakua mtoto wake yeye si mtu ati mpaka afanye harusi yeye asema NENO linakuwa
Yaa Rabbi mungu nipe umri nimuone mazinge hta kwa muhadhara mmoja katika maisha Yangu nampenda kwa ajili ya ALLAH na namuombea umri
Khuzeima abdul anaishi wapi mazinge?
Sijajua ila natamani sana kujua nimfuate alipo
Alikuja haukuona?
Allah ni shetwani mkubwa
Wamekubali Yakuwa Qur'an Ni Maneno Ya Mungu. Takbiiiiiiiiir.
PEKO MISEGESE takibir
Allahuakbar
Allau akibar
Allahu Akabar
Mazinge Nimekubali Yakuwa Wewe Peke Yako Ndio Unaewaelewa Wakristo Maana Unawatega Wanaingia Alafu Unawachapa. Mazinge Nimekuongeza Nyota.
Mashallah jamani Allah akuongezee maisha marefu inshallah
I am Muslim and I will be Muslim forever inshallah
Hakuna anayelaumu hilo endelea kuwa muslim lakini usiwahukumu wenzio .sisi pia tunafurahia ukristu wetu forever
Al-shaib group
Al-shaib group mwenyezi mungu akupe nguvu
Najivunia kiwa mchristo
Hata mm najivunia kuzaliwa katika uislam niko jaman uislam raha asikwambie mtu yaarab nijaalie kuwa muislam milele
Maashallah tabaraqallah nakupenda sheikh maznge kwa ajil ya allah
professor Mazinge Habib you are a genius Muslim professor,u r very inteligent
Maashallah tabaraqallah wallah he is genius Maashallah maashallah
Maa Shaa Allah, Allah awape Umri Ma Sheikh Wetu, Muzidi Kuelimisha.
Uislam ni dini y'a Haki.Allahu Akbar.still watching in january 2020
Full vidoe nitapata wapi
Ipo Siku utamjuwa
sorry to be so off topic but does any of you know a trick to log back into an Instagram account?
I was dumb lost the login password. I would love any assistance you can give me
Takbiirrrr .... ALLAHU AKBAR.... Najivunia kuwa Muslim... Alhamdulillah
Masha Allah ila msomaji unambwembwe 😂😂
Nawaonea huruma sana waislamu,cjui hamna kazi za kufanya maana mnapenda kupayuka kama machizi,amri ya Kwanzaa ucsujudie Mungu mwingine sasa macca mnasujudia kaburi la hyo mtume wenu. Au mna Mungu mfu?
Unalana ww sis tunamuambudu mungu sasa nyie mnasema yesu mungu lol
I love Christianity. Proudly Christian.
Angalia hat mavazi. Yao
Omary Zubery Wewe youh just judging...unamsaidia Mungu kazi yake,..convert to Christianity coz Jesus is the way the truth and life...
Ngugi Wainaina all Christian are blinded
Just be Muslim.... Then enjoy your life....!!!
Allah atujaalie mwisho mwem ampe umri mrefu mazinge baiby wetu tunampenda sana
Haya yote sio tamaduni za mwafrika . tumeletewa tyu hakuna anaejua ubora au udhaifu Wa kitu ambacho hana historia ndefu nacho....cha msingi ni kuzitumia tamaduni hizi kama kujipatia kipato na kurahisisha huduma za kijamii kama shule,hospital,maji.Na pia kudumisha faraja na relief ,matumain ya maisha tunayo yapata kupitia dini...ushaur wangu kwa ndugu zangu waafrika tusikubali kutofautiana kwa sababu ya aitikadi za dini.....
mungu awape umri mlefu waazir wetu inshallah
Amiin
Shekhe mazinge mungu akupe afya tele juu ya kutangaza dini ya kiislam uwe na afya njema.
Mazinge anatumiwa na ibilisi kuwapinga waislamu wenzie ili nuru ya Kristo isiwafikie na watafia gizani,
Shetani ni mjanja sana anawadanganya kuwa Yesu ni nabii na hapohapo waislamu wanampinga Yesu kuwa sio mwana wa Mungu maana yake wanajitekenya na kucheka wenyewe sababu Yesu anajiita mwana wa Mungu..
Waislamu wamepotea na neema ya Mungu inawapita,wanaabudu sanamu iko kule macca ndio allah au al illah zamani wanaelekeza nyuso zao kule,
EE RR acha uongo wapi andiko mungu wenu kamuuingilia mama yake yesu akazaliwa yesu Adi mmwite mwanae...pia Kat ya cc na nyinyi Nani anaabudu sanamu
EE RR
Ww munguess hakusamehe ujuhi uongealo
@@bwegelanyakhaido3088 kweli mawazo yako ni sawa na jina lako yaan bwege!! jifunze kusikiliza point na huoni kama ameuliza swali pumba>>
Bwegelanya khaido Mie ni mwana wa Mungu...What's your point???... Secondly Mary conceived through the power of the Holy Spirit...
Uislamu ndio dini ya kweli. am proud to be a Muslim
Wakristo Yesu daima
jaman Aya mambo tuyaache maana sio kila asemae alaaaah alaaaah atauona ufalme wa mungu na mungu ajasema mkosoe imani za watu enda ikawa wanakosea awakosei anajua yeye ole wenu mnajifanya kunijua sana mungu na kutumia mlichopewa vibaya ole wao wanao sema wasio yajua na kunifanya wanajua sana
Mazinge! Mashaallah mashaallah love u kwa sababu ya Allah 😘😘😘😘
Waoooooooh
Nc😘🥰
Mazinge mungu akulipe kwa kuweka wazi dini ya kikristo
Kuliko umwabudu mwarabu bora umwabudu ata mnyama proud to be a Christian
Kwani Huyo mnaemwita Jesus ni muAfrika?????? Akili finyu kama huna cha kusema bora nyamaza kama mimi
Faustin akili huna hata kidogo
Subhunallah
Barikiwa mtumishi Mazinge ni jini na shetani nyooo chefuuuu
jaman maksfli nyieee oo et yexu ni mungu peleken ujinga nadkia kutspika oooo maxhehe Allah awajalie
Walahi mazinge kweli ni profesor
Mungu awasamehe hamjui mlitendalo poleni sana
Sa sa kama wakrito niwaongo waislam tatizo Lao Nini, atuache si si hatuna Shida nawaislam, kwetu si si yesu ndie mfalme, mti wenye matunda hupigwa mawe. Niwaulize Mariam bikra alimzaa na ni ? Hiko kitabu cha mungu nichakwenu nyinyi , hatausemeje hatuwezi kubarika yesu uhai
we mchungaji uko vizuri,hawa waislam ni upepo hamna kitu kichwani,hawaelewi na hawataelewa mpaka Yesu analudi.
Hahhahahahaahaaaaaa pole saan
Uwe una akili ww
Mungu akusamehe yesu kesho hstokujua maana hujafuta matendo yake
Yaani hawa ukibishana nao utakesha ila yesu ajapo atahukumu kwa haki
Etiiii mtt wa Mungu ss unaonaje ukamuabudu Mungu ukaacha uyooo mtt wk
Mazinge mungu akujalie mwisho mwema
Am very proud to be Christian.
Also, am NOT hating muslims, but I hate those who use to bring religious debate instead of having enough time to working.
Hakuna tajiri hata m1 anayeacha kujiingizia kipato then akaenda kupiga kelele za dini. Na hakuna sehemu yoyote ile kwenye maandiko inayochukia matajiri.
Sijaelewa point yako Mr. Alex
Alex Ngowo big up YESU YU HAI hayumo kaburini
Mpo vizuri kwa kutafuta kiki ndicho mungu alichowaambieni muwaambie wakristo hvyo
Leonard Newa wametiwa Giza mioyoni mwao kama wasivyoijua njia waiendeayo vivyohivyo huongea kwa ujasiri sana mambo wasioyaelewa, na kitabu cha Mungu kukijua ni rahisi sana ,fuatilia kinacho tajwa na kusomwa Mara nyingi ndicho kitabu cha Mungu alie hai
Masha allah mazinge Allah bless you
Mkono kwa mkono mpaka peponi insha Allah uislam uko juu
Nitampenda yesu milele nakumwamini yeye ni bwana wa amani kwa dunia nzima
M Waswa Bwana ni wa amani lkn hao Alshababu Fujo ubishi,Motoni wanaenda maana Biblia inasema na wote wametenda dhambi.
Bwana wko mtoto w mungu
M Waswa yesu tunamuamini sisi waislam ila nyinyi wakristo hamumuamin mnawaamini wachungaji wenu ndo shida hapo tu
Bikey charse bibilia ni kitabu cha nani maana torati daudi zaburi mussa injili nabii issa furkani nabii muhamadi swm je? Bibilia ni kitabu cha nani naomba jibu
M Waswa amen ameni nahatuta mwacha ubarkiwe
Munajisumbuwa bure mungu atahangaria matendo yamtu madini nikitu cha kawaida heshimu Amri kumi tu vingine mumwachiye mungu ndie atajuwa chakufanya kwa kiramtu kwa matendo yake
shekh mazinge allah akujaalie umri mrefu nikipata namba yako ntakutumia hata sadaka
Naomba namba ya mazinge
ua-cam.com/video/YqoLL77vOPY/v-deo.html
mashaallah Allah atakujalia mema
Acha uongo
@@motyga7355
Uongo gan
Salaam aliku...sifa na tumpe....mwezi Mungu....afadhali ningekua apo nkupe dawa
Bangi mbaya SNA polen sana maan hamjui mlitendalo##
Wewe kafil au ni mkisto au mpgan km ujaerew naomb kaa kimy ach ku coment vitu visivyo kuepo
Masha Allah uislamu hauna doa
Mungu ni wa wote wamwaminie na kutenda mambo mema
Gabriel Swai nikweli
ALLAHU AKBAR. MAZINGE KARIBU IRINGA
Iam a christian and iam alive because of Jesus
11:55 Hahaha! Kweli wakristo hawana akili😂😂😂. Yaani usikute wana master hapo wengine😂😂😂. Qur-an inasema miongoni mwa watu ambao ni haramu kwetu kuwaoa ni ".....Walio katika ulinzi wenu, waliozaliwa na wake zenu mliowaingilia. Lakini kama nyinyi hamjawaingilia basi sio vibaya kwenu kuwaoa" Hichi kiswahili chepeesi kuwa tumeharamishiwa kuwaoa watoto wa wake zetu tuliowaingilia, lakini ikiwa hatujawaingilia wake zetu hao basi si vibaya kuwaoa watoto wao. Kwa mfano nimemuoa mwanamke mjane na yuko na mtoto wake na ikatokea usiku hule nimemuoa akafariki na sikuwahi kumuingilia basi sio dhambi kumuoa binti yake bali nikiwa nimemuingilia ni haramu kumuoa binti yake. Hivi kweli kuna cha kujitoa fahamu hapa? 😂😂😂
we ndio huna akili,mpumbavu ww na Shekhe wako huyo
@@petrokomba3508 bishana kwa hoja sio kupanic. Hao ndio viongozi wenu mliowaleta waje wautetee ukristo lakini wanatia aibu kwa kweli. Yaani wanatoa vihoja ambavyo mimi nimepita chuoni kidoogo tu na navijibu vihoja vyao itakuwa mazinge😂😂😂
Mnaousema ukristo zingatieni kwanza kwamba ukristo siyo dini . Uislamu kuwa dini haihalalishi ukristo kuwa dini. Ukristo ni kumwamini Kristo, ni kumsikiliza yeye sawa na maagizo ya Mungu mwenyewe toka Mathayo 17:5. Hatujaamriwa wanadamu tumsikilize. Wanaomsikiliza mwingine kawaulize wenyewe.
@@gosbertwilla713 hivyo unasema wewe but wao wanaomuamini huyo unaemwita Kristo ndio wenyewe wanajiita wakristo, so mimi nafatiza wanavyojiita wenyewe tu. Btw kwa mujibu ya tafsiri ya Bibilia Kristo sio mtu flani maalumu, bali maana ya Kristo ni mpakwa mafuta wa Bwana.
But tuyaache hayo, Me kilichofanya niwatoe akili ni hiyi hoja yao ya ucheza hapo.
Muwaoe mama zenu
Swadakta,nakuombea mungu AKUZIDISHIE nguvu z kutuelimisha, nakuona kwa utube
Mazinge Ana Akili Nyingi Sana. Kawachimbia Shimo Wakristo Nao Wamedumbukia.
ua-cam.com/video/YqoLL77vOPY/v-deo.html
PEKO MISEGESE Alha akujalie pepo mazinge
Ndiyo maana mkeo nyuma kila siku kuchambua dini za wenzenu mnashindwa kujenga misikiti mmekalia ujinga
@@annamapunda431 MAZINGE ALINIUA SIKU MOJA ALIKUWA KIGOMA, AKASOMA UFUNUO WA YOHANA AKADAI MUHAMMAD NI MFALME WA WAFALME, SASA KWA KICHWA KIBOVU HICHO UNATEGEMEA NINI, HALAFU WAISLAM ALMOST WOTE UKIWASIKILIZA, UTAGUNDUA ENEO LA KIROHO HAWAPO KABSA, WAPO KIITIKADI NA USHABIKI TU BAS,NAFIKIR WAKRISTO WAANGALIE WATU WA KUDEBATE NAO, NA KAMA UTADEBATE MUISLAM JUA UNADEBAT NA KICHAA WA KIROHO, BIBLIA INASEMA MJIBU MPUMBAVU SAWASAWA NA UPUMBAVU WAKE, WAISLAM UPANDE HUU NI WAPUMBAVU, HATA MASWAL YAO NI UPUMBAVU TU BASI, KISHA MIKELELE MINGI HATA KA WAKIONGEA UPUMBAVU
PEKO MISEGESE 😂😂😂
namshukuru ALLAH kwakuniumba hali yakua nimuislam
We mazinge ni noma umewatega wapuuzi wkaingia kwenye mtego
ASSALAAM ALEYKUM mimi ni Muislamu
Uwezo wa pastor ni mdogo WALAWI 18 kuanzia mstari wa 6 umekataza kuoa watu fulani na mama pia akiwemo.
Alinhamdulillah namshukur kuwa muisilam maana ninge kuwa mkirsito ningepoteaaa
Yesu Kristo ndiye njia, kweli, na uzima, huwezi kuingia mbinguni bila yeye
Allha endelea kunisimamia mie nife nikiwa muislam
Mazinge kiumbe kikali ca Allah cakucambua kitabo Allah akupe kheiri nyingi sana watiye shuli kiboko camakafiri
Nashukul mungu kuzaliw mwslamu
ua-cam.com/video/YqoLL77vOPY/v-deo.html
Masanja
Mungu awape maisha marefu mashehe wetu waambie ukweli hao takbiriiiiiiiiiiiiiii
naomba no ya sheikh sulle jamani
Najivunia kuwa mukristo YESU NI MFALUME WA WAFALUME
Lskini sio mungu
Platini Irakoze Nduguyangu unapotoka Fanya upesi uwe muisilam
Na mungu je
Mungu akuongoe duh
Elia mugini nashukulu kumjua yehova . Allah subhana wataala ni mungu wa uongo
Yehova ndo nn
😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪
laila haila Allah Muhammad raasulu Allah 👆
Asalam alaykum VP kk mm abuu kwema uko
Mungu akuweke miaka mingi. Profesa Mazinge kwa kuwaelewesha wasio na uwelewa
Kawaeleza Nyie Wapuuzi Wenzie.
I will b a Christian forever
AminA daim
Utakufa na iman potefu
Amen...Jesus is the way the truth and life...
Tafuta ukweli ulipo
Abdulaziz Shaaban Ndio Yesu ndie njia , uzima na wokovu...
Abudu unachokiamini., Lakin sikwastaily hiyo. Dini Imani dinisiugomvi Wala kukashifiana, na tusigombane kwasabu ya dini.
Acheni mchezo, kwani kumchukua MTU yeyote na kujifanya Mchungaji, wakati ni Wa upande wao!!!!? Muchukueni GWAJIMA MUMULETE HAPO UONE
Gwajima anawaongopea wakristo wenzake kua anafufua watu na wanakubari mko sawa ninyi
Kwani yey nani.aje na yey tumpe makavu.anafufua watu? Nyoooo xuuuu anatumia mizimu ya Nageria eti anafufua watu.amfufuw Babako ao mamako ili uwez kumuamini zaidi
@@ramadhanijohoiddi2899 tuko sawa,. imeandikwa ``ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni weny ukoma, toeni pepo mmepewa bure toeni bure.'mathayo 10:8. pia kuhusu kufufua yesu alimfufua binti yake yairo na razalo, imeandikwa katika malko 5:21-43, na ukitoa yesu , mifupa ya elisha ilimfufua mtu. 2wafalme 13:14-21. na mwisho imeandikwa usiwaguse wala kuwaongea vibaya watumishi wa mungu, zaburi 105:15
@@pi4385 sasa mmeambiwa mfufue wafu mbona nyie mnawazika sasa, jamani!!
Jamani tusindanganyike Mwenyezi Mungu hawezi kuleta vitabu viwili tofauti duniani kati ya hivyo kimoja ni cha Mwenyezi Mungu na kingine ni chaule mwovu shetani na mizimu yake na majini yake
Lucien Sayumwe nae anaabudiwa kwa lugha moja tu, huyo si mungu ni mzimu wa kabila fulani
Mazinga mwalimu na nusu
Mazinge uishi miaka mingi hahaha
m/mungu anijaalie nife nikiwa muislamu 6k shida mm
Uisram ni shetani
Hahaaaa utatiza watu waliochanganyikiwa kiakili lakini sio watu timamu
Najivunia kua muislam
Hamjielewi fundisheni waislam uislamu si vinginevyo ukristo hamuujui
Anaongea ujinga mtupu
ua-cam.com/video/YqoLL77vOPY/v-deo.html
Lakini kuwa muislam kusimfanye asiye amini sawa na wew akose amani
You have to wake up guys
ibrahim isack makalio yako
Allah awalipe kheir masheikh wetu
Ilikua mwaka gani hii nawapi
niambie habari za Kwenda mbinguni... ucnilete habari za Uislam Ndio dini sahihi.. coz Uislam hautanifikisha mbinguni...
Amina mchungaji mungu akubariki unaenda kimaandiko barikiwa
kweli nime amin wakristo ni watu ambao elim yao ni ndogo ndo maana Wana va chup alfu Wana tembea nazo mpaka kanisan
Wakristo wanautumia ukristo kujitajirisha
Mnaongeya upumbavu mtupu
@@michaelhyungim8174 lakini ni ukweli....face it
we mpumbavu sana ,sasa ulitaka tutembee uchi kama nyie,,quran iliandikwa na walevi wanne,,pia waislamu ndio watu pekee duniani wanaoongoza kuwa elimu ndogo ya darasani,,mnabishana tu hamna hoja nyie
Maepo hujitambui vazi haliwezi kukupeleka mbinguni hamjielewagi nyinyi mnafunika macho lakini ukahaba ndo umejaa wangapi tunakutana nao magesti na manguo yao eti wamejisitiri ni bora mvaa chupi au kahaba aliyevaa gubigubi?
Jamani hivi kweli hata kwa kufikiri tu Mungu anaweza kua na mtoto?, tumuombe Mungu atupe ufahamu zaidi.
Eti jamani hata kwa mtazamo wa kawaida tuu mbali na maandiko tuko wengi hivi katika dunia naviumbe wengine wooote lakini mungu awe na mtoto mmoja tu? Hivi niakali hizi, basi agalau hata mngesema baba yetu ADAMU maana yeye ndo hana baba wala mama
Binuru Sm kupata ufahamu wa mambo ya Mungu wa kweli alieumba vyote mpaka uwe miongoni mwa waaminio hapo utajua kuwa ,sio kwa lugha ya wengine Bali kwa KILA mtu na lugha yake Mungu anasikia
jaman nyinyi uwa mwashangaza c mukiongea muongee tu kuhusu uzuri wa dini yenu ili mwenye atakubal kubadilika abadilike, ata Siku moja cwez badil dini yangu Christian forever
jane mbodze heri kukaa kwa YESU alie hai, kuliko kupenda aliekufa alafu unakaa mjini kwa nini usiende makaburini?
Daah Nafikiri angekuwepo father Likado Maria wa morogoro Mkurugenzi wa Alfagems wangeona motoo mqqna yupo dip hatarii
Proudly chrstian😚😚😚😚😚😚
Kwa lip kubwa la kujivunia mwehu mkubwa ww
@@omarkhalfan2985 sasa uislamu ni huo wa kutusiana ovyo ovyo kauikia mbali na uislamu wako puga mfirwa mkundu shetani mkubwa proud to be a christian ikikuuma b proud of of your religion too tutoshane shoga
@@jossykary6440 mungu akusamehe makosa yako maana hulijui ulitndelo
Salma Othman Amiin
Mambo niciyoyajua au usioyajua ww ndo Inbox mikufundishe dini
Wakiristo waongo sana wanajifanya wajanja ujanja wa chura kuruka hapa na hapa
Ujanja unatoka na wapi, wewe hujielewi na umebebwa tu kihisia alafu unaona eti uko sawa Lakini ukikaa chini na kutafakari vyema utajua hujui, ole wenu maana adhabu yenu kwa Mungu itayari
Mhadhiri mazinge na team yenu tunawapata vyema kutoka kenya
He didnt read An-Nisaa correctly,he ran over it to look for the word 'lakini'....hata mtoto mdogo hawezi kubaliana naye.
Alhamdulillah
Muislamu Peke Yake Ndio Anayejua Katoka Wapi, Yupo Wapi, Na Anakwenda Wapi. Anaebisha Anyooshe Kidole Au Ajifanye Anajikuna.
Mimi muislam leo mama ngu atakuwa mke wangu. Sio mimi ni korohani ndo...... wrong way isn't?
Kila roho isiyokiri ya kuwa YESU ni MWANA WA MUNGU haitokani na MUNGU
Elia Mugini hakika
Hakika yeye ni njia ya kweli na uzima.
Anatokana na ww au ? yesu ni mtume km mitume mengne tu ww ndio utajua la kujib kw kumshirikisha Allah
Je na wwni mtoto we nani?
Mungu hakuza wala kuzaliwa
Yesu sio mwana wamungu yesu nimwana Wa Maliamu mungu hajazaa bhana msituvuluge
Hahaha wololo kweli antichrist ndo nyinyi
waislam maboya tu mnashindwa kuleta maendeleo ndyo maana maisha yenu magum kuliko wakristo yan anapokaa msilam na mkristo ni tofaut
we kichaa saana
Prince hance Sam hongera uzikwe navyo
Unajiita prince wakati kilaza kama ww hakuna. Kwani hawa; Bakhresa, Mohammed Dewji, Rostam Aziz na Yussuf Mani ni dini gani hata useme waislamu maisha yetu magumu?? Kumbe ww ni boya mara 1,000,000 zaid.
katika 100 ni 20 tu waliofanikiwa na ambao wamefanikiwa c watu kama hawa amabao wameshindwa kujal din yao ukisikia uchochez wa kidini na kuleta vita vya kidini
We kavu sanr braza...ww una kipi na uzikwe navyo
Yani kufa katika ukristo ni bola kufata njia iliyo nyooka YESU ndie njia kweli na uzima
nyie waislam mnanyege nawakristo mnaacha kufanya yenu mnajaji ujinga inaonysha amjavalishwa nepi utotoni ndomaana amna akili
Kuoana kuna shida gani?. Babu zetu hawakuwa na Dini walikuwa wakioana bila shida. Acheni uchonganishi. Hata mimi nina mpango wa kumuoa mtoto wa Kiislamu. Wasafiu sana na wanajua kuoga.
Kweli mazinge ni kichwa panzi haahaaa sasa ndo swali gani
Bwana YESU asifiweeee
Bwana yesu hajaowa mm yake
Takbirii Allahu Akbar, allah awape umri zaidi wahadhiri wetu inshallah
waisilamu wengi mnaona dini ynu hiko kosahihi sana mkienda kenye miskititi yenu mnaongea unafiki kulko kufata dini ndio mana ata utoaji wa sadaka mnakua wazito kuliko kupeleka ela kwa waganga
kosa vyote upate hekima ya Mungu
Ss ww unafiki we2 unakuuma nn na ww si muislam
Anayetaja mganga anajihusisha naye
Anaelekea huyu alihangaika sana
Elizabeth given nyny mnatoa sadaka kanisan za kuendesha maisha ya padri hhhhahaahh mapadri wnfnkw kmaish kW nguv zenu ..fumba macho yesu anapitaa hhhhahhhh aloo ma askof na mapadri matapeli mnhh biashara asa
Ee Mungu uliyeumba mbingu na nchi na ulimtoa mwanae Yesu kristo kwa ajili ya watu wotee ili rehema zako ziwafikie ,lakini tazama wanaleta mabishano baadala ya kuokoa nafsii za watu waliopotea na kuhubiri injili ya kweli kwa habari ya wokovu !! wasamehe Baba maana bado hawajaelewa ni nini kifanyike!!!
I will be Christianity forever
MIMI MKRISTO DAIMA NA NAJIVUNIA
Utafaham Siku moja kujivunia kwako uwo ukiristo
Ukristo sio dini ya kweli
Umepotea
@@saadsalum3253 acha wew wew mawazo bayana mtafute Yesu
Najivunia kuwa mkristo. Hata mseme nini?
Allah akupe muongozo ndugu yangu
SUBIRI KAMA YESU ATARUDI KATIKA MAJITU MBUMBU WE WE HAKUNA SAID I WAISLAM
Wakristo mtaenda kuchonwa myinyiiii
Ahgsfwy Hahgsgag Hahahahaha hizi imani bana
Jiheshimu ndugu YANGU,,
Achomwe kwa dhambi gani?
Kama mwema anachomwa basi WAKRISTO watachomwa but kama kinyume mna kazi Islamic
Ahgsfwy Hahgsgag Acha kelele nyie magaidi!! Kwanza mbona hamjakamatwa mpaka leo magaidi wakubwa nyie....
Muislamu Kajaaliwa Akili Na Mungu MWENYEWE. Unapomuona Muislamu Sema Mwenye Akili Yuleeee.
PEKO MISEGESE 😂😂😂😂😂
Za kuvukia biashara
Uislamu ndio dini ya haki
Nan hamekwambi hizo dini tumegawana cc wenyewe dunian nahamin kwamungu hakuna din 10wala 1 wote nikitu kimoj
allah ni shetani siyo muumba wa mbingu na ardhi. Ata wakristo uarabuni hawamwiti Mungu allah
Ujue utajibu cku ya kifo chako icho ulichoxema Allah n shetan duuh rahana izo
Je Yesu ni Mungu?
Ww mjinga sana utachomwa snaa
Proud Christian 🙏🙏
Yaani Nikiangalia Debate Hii Nacheka Mpaka Nagalagala. Yaani Unaona Kabisa Yakuwa Mazinge Anawatega Lakini Wakristo Hawakumuelewa Mazinge Kama Anawatega!!!!!!!!!!!!! Hawa Watu Wananisikitisha Saaaaaaana.
wakristo acha ujinga uislamu ndo dini pekee ukristo ni siasa
Shamimu Muhajiri ok jitahidi lakini kuzimu na jehanam hupaepuki
Shamimu Muhajiri ndugu yangu mungu ajawatuma mukrash din za watu Bali ni kumtukuza na kumuomba yeye
Shamimu Muhajiri biblia inasema mwapotea kwa kutojua maandiko na uweza wa Mungu, Mungu wa wa kristo ndiye muweza wa yote na ndiye kaumba vyote anajua lugha zote hakuna haja kujifunza lugha ya TAIFA tofauti na wewe ili umwabudu,Bali yeye kwa lugha yoyote anaelewa,kwa uwezo wake na kwa NENO lake unakua mtoto wake yeye si mtu ati mpaka afanye harusi yeye asema NENO linakuwa
good uislamu mbele