HABIB MAZINGE UISLAM KATIKA VITABU VYA KALE 4

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 170

  • @adamsalim8639
    @adamsalim8639 5 років тому +9

    Yaa Allah atuajalie tuwe na mwisho mwema inshaallah mwenyez akuajalie maisha marefu uzidi kuitukuza dini yake

  • @masoudrashid8381
    @masoudrashid8381 5 років тому +8

    Maa sha Allah shekh mazinge Allah akuongoze ktk kheri pamoja na cc pia

  • @hemedisaid5949
    @hemedisaid5949 6 років тому +20

    Allhamdulillahi,natamani siku moja niwe mwanafunzi wa Habib Mazinge ili nifanye kazi kwa ajiri ya Allah!!

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf1805 5 років тому +4

    Allahu Akbar. She Mazinge Allah wakupe Afya njema na maisha mazuri.Ili uwape makafiri UKWELI.

  • @khalfanhamisi4218
    @khalfanhamisi4218 5 років тому +15

    Aslmalkm ndngu waislam ??? Haki sheikh Mazinge InshaAllah Allah hakueke uzidi kutuelimisha

  • @allykango9440
    @allykango9440 5 років тому +2

    Masha Allah Shekhe Mazinge Allah akuweke miaka mingi hakika waitendea haki dini yetu Allah atujaalie elimu na Nia kusudi la kutangaza Dini

  • @omarhakizimanakishikbongo2186
    @omarhakizimanakishikbongo2186 6 років тому +14

    Nakupenda sana mazinge

  • @mnyamwezionlinetv3998
    @mnyamwezionlinetv3998 7 років тому +15

    You are notable person in Islam, Jazaakallahu khayran
    Allah akufanyie wepesi sheikh wangu

    • @khalfanhamisi4218
      @khalfanhamisi4218 6 років тому

      aslmalkm ndugu waislam??? Jazzakahallahu khayram,

  • @jhayparism1152
    @jhayparism1152 5 років тому +2

    Ustadh Mazinge Mwenyezi Mungu akulinde na azidi kukujaalia Uhai ili uendelee kuitetea Dini ya haki Dini ya Mwenyezi Mungu Islam...

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 5 років тому +5

    Masha Allah mungu akuzdishie umri mlefu sheikh mazinge

  • @adanharon1297
    @adanharon1297 7 років тому +10

    mashallah Shiek mazinge mungu akuzidishie in shall Allah

  • @ayunramadhan3104
    @ayunramadhan3104 5 років тому +5

    Penda sana shekhe maxinge from dubai

  • @bakarihassan6718
    @bakarihassan6718 6 років тому +6

    Mashallah mungu akupe maishaalef shekh mazinge

    • @steventitus2174
      @steventitus2174 5 років тому

      Mungu ampe maisha uyu mpumbavu kafiri mkubwa uyu

    • @eliudidamasi514
      @eliudidamasi514 5 років тому

      Steven Titus ee mungu ampe maixha marefu inxhaallah

  • @zulfaalnabhanzulfaalnabhan8653
    @zulfaalnabhanzulfaalnabhan8653 9 років тому +11

    mashaa ALLAH kila kitu kiko wazi makafiri wanabisha tu

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares4650 6 років тому +7

    Mashallah mungu awabaliki san inshallah

  • @rbagha5280
    @rbagha5280 2 роки тому

    Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 роки тому

    Nakupenda shekhe Othman Mazinge, Allah akulipe kher inshallah na akulipe Jannah inshallah 🙏

  • @kadilisaidi9807
    @kadilisaidi9807 5 років тому +8

    Professor Professional

  • @zainabzanzibar1518
    @zainabzanzibar1518 7 років тому +7

    Mashaa Allah Shekhe Mazinge tunakuelewa kwa ufafanuzi wako

    • @noahwamalwa4385
      @noahwamalwa4385 3 роки тому

      kwa Wakristo Mungu ni mmoja lakini hujidhihirisha kama Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Mfano karibu na huu ni kama vile mvuke(vapour), barafu(ice) na hata unyevunyevu(liquid) yote ni maji hata yaweza kuwa kitu kimoja Ile wanasayansi wanaita "TRIPLE point of water". Msalabani Yesu (Mwana) alimuomba Mungu Baba. Kwani kunashida ipi?. Wewe nijibu kuhusu Mohammed kubusu jiwe jeusi na kumnajisi Binti wa miaka 9 tu

  • @alimohamedalisaid7040
    @alimohamedalisaid7040 6 років тому +4

    Mungu akupe afia ameen thuma ameen

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 4 роки тому +3

    MaashaaAllah Allah akujalie

  • @albertpike6208
    @albertpike6208 5 років тому +3

    Sichoki kutazama clip za Mazinge he's one of my inspiration in da 'wa

  • @rahmatumam357
    @rahmatumam357 6 років тому +5

    Anaitwa ustadh mazinge mzee wa shortcut

  • @welsonlameckdodere4277
    @welsonlameckdodere4277 4 роки тому +1

    Isa hakufa msalabani, lakini Yesu ambaye ndiye ufufuo na uzima yeye mwenyewe alithibitisha mbele ya Thomasi kuwa alikufa msalabani!!(Luk.24:25-27;44--46)

    • @MoherZO
      @MoherZO 4 роки тому

      Luk hakuelewa kilichotokea

    • @ibrahimomary7434
      @ibrahimomary7434 4 роки тому

      Maixh bila yes ni xawa na Dela bila mtandio

  • @yesusimungu404
    @yesusimungu404 8 років тому +16

    Napenda saaana Sheikh Mazinge

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 3 роки тому +1

    Hapa kama Oman

  • @zainabomar5512
    @zainabomar5512 5 років тому +5

    Nakuombea mqzinge mng akupe umri mref

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 3 роки тому

    Maashaallah professional mazinge

  • @fundiwamoldzapevingblock6378
    @fundiwamoldzapevingblock6378 2 роки тому

    Yani ww mazinge mungu akuweke adi uzeeni inshara

  • @hajimakame620
    @hajimakame620 6 років тому +5

    Mshaalllah

  • @mstafahassan3989
    @mstafahassan3989 6 років тому +5

    Allahu akbar

  • @petromachanga29
    @petromachanga29 5 років тому +1

    Wewe ni wakala wa shetan yaan Allah subhana wataala

  • @yusufsong9158
    @yusufsong9158 4 роки тому +2

    Sasa nashangaa makafiri wanasema anawadanganya uyo padre wako anachemka akikutana na Mazinge yote anaongea kweli aya siku ya uzinifu pasaka vyote kaongea kweli

  • @asinakassim1548
    @asinakassim1548 8 років тому +8

    MashaAllah

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb 6 років тому +4

    MashaAllah,

  • @minaminaa1669
    @minaminaa1669 6 років тому +4

    mashaAllah

  • @yusufsong9158
    @yusufsong9158 4 роки тому +1

    Tatizo wakristo wanadanganywa mpaka wanakufa na motoni wanaingia

  • @khamisrashid4646
    @khamisrashid4646 5 років тому +3

    mashallah

  • @mayahashim5688
    @mayahashim5688 6 років тому +8

    Wakristo POV la nn sasa leten ukweli kam anadangany

  • @ishmailsaiyore7873
    @ishmailsaiyore7873 3 роки тому

    Mashehe pongezi inshallah

  • @amalzahor5865
    @amalzahor5865 8 років тому +5

    ماشاءالله

  • @user-to6up4hg2w
    @user-to6up4hg2w 2 роки тому

    Mashalla

  • @jhayparism1152
    @jhayparism1152 5 років тому

    Kwa yeyote mwenye namba ya Ustadh Mazinge naomba anitumie tafadhari...

  • @asinatjuma8088
    @asinatjuma8088 5 років тому

    MashaAllah jadha ka Allah kheir

  • @khalfanhamisi4218
    @khalfanhamisi4218 6 років тому +1

    aslmalkm ndugu waislam?? Allah Akbar' Allah Akbar' Allah' Akbar!!!......

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 2 роки тому

    Jibu swali Acha janja janja mazinge huu ni msiba

  • @omarmukhutar6847
    @omarmukhutar6847 4 роки тому +1

    Uongo za mazinge !!!!dahh!!!

  • @johnjunior5339
    @johnjunior5339 5 років тому

    If you see Muslims attacking Paul it's because when you try to bring Muhammad after Jesus it doesn't add up.when you try to say that Jesus promised that he would send a helper, Paul comes before Mohamed but they want Mohamed to be after immediately after Jesus.(even though the helper is holy spirit)

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 3 роки тому

    oman

  • @omaryandrew2584
    @omaryandrew2584 4 роки тому

    Mazinge kiboko

  • @johnpangalas9687
    @johnpangalas9687 4 роки тому +1

    Jamaa anawadanganya wenzake nila woga na mchana kweupe

  • @ibrahimomary7434
    @ibrahimomary7434 4 роки тому

    Ee YESU. Waokoe hawa waislaam kwakua awajui walitendalo

  • @yusufsong9158
    @yusufsong9158 4 роки тому

    Biblia sio kitabu cha Mungu mfano Injili zaburi taurati na Quran unajua kapewa nabii fulani aya Biblia kapewa nani utopata jibu mpaka unaenda jikoni

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 2 роки тому

    Waislam njooni Kwa yesu kama mazinge ndo anawadanganyaga hivi akili zake ndogo

  • @mbidadaud1256
    @mbidadaud1256 5 років тому

    Wafuasi wa marehemu Muhammad na waona mnavyojitekenya na kucheka wenyewe

    • @rehemahamisi9971
      @rehemahamisi9971 5 років тому

      Ata uyo yesu pia marehem nyie amuchekagi kanisani bc wafuasi wa yesu wt mabubu

    • @كلثوميوسف-ث2ل
      @كلثوميوسف-ث2ل 5 років тому +1

      @@rehemahamisi9971 😁😁😁😁😁😁😁😁😁 Haoo ngoja siku ya kiama wakigeuzwa kuwa Chups za jahannama

    • @najmamakame9881
      @najmamakame9881 5 років тому

      Ningekuwa nakuona police ingeniusu

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 2 роки тому

    Ila ili jamaaa liongo 😂😂😂😂😂😂 Bible ingekua inatafasiliwa hivi, huu tunaita msiba

  • @leonardabrahamh6906
    @leonardabrahamh6906 5 років тому +1

    Wana wauongo shetani.

    • @rahmaahmed5759
      @rahmaahmed5759 5 років тому

      Nyinyi bakieni tu kudanganya watu makanisani kuwaapa pesa sababu mwatafuta biashara poleni Sana.

  • @saumubenson5015
    @saumubenson5015 4 роки тому

    Mazinge ukovizuri

  • @kulthumali5050
    @kulthumali5050 9 років тому +3

    mashaallah

    • @abu_AZOZ
      @abu_AZOZ 8 років тому

      Akaasha tuekee CD ya mafundisho ya wanawake tafadhali kwa hidhini llah

    • @mumkmamy5186
      @mumkmamy5186 7 років тому

      Masha Allah sheikh jazaaka Allahv kheiran

  • @mamaaaishamamaaaisha7505
    @mamaaaishamamaaaisha7505 8 років тому +1

    Mashallah

  • @abdishakurahmed2088
    @abdishakurahmed2088 6 років тому +1

    Hapa ni wapi ?

  • @baddynapenya5962
    @baddynapenya5962 6 років тому

    Ni dextuli za kiloma

  • @Julia-gm1wh
    @Julia-gm1wh 6 років тому

    Hawa watu wote wanadanganywa na wanasikiza tu pumbavu kweli

    • @brightonwashira5420
      @brightonwashira5420 6 років тому +1

      We mjinga Kweli we ni mkristo hamna lolote

    • @Julia-gm1wh
      @Julia-gm1wh 6 років тому

      @@brightonwashira5420 na ww ni muislamu wa kupulizwa matako na shetani msikitini

    • @mandianuhumuinatv9654
      @mandianuhumuinatv9654 5 років тому +1

      Wewe dini huna unaongea pumba tafuta kwaza dini
      Sawa kafir mkuu

    • @allyyussuf7419
      @allyyussuf7419 5 років тому +2

      Dini yenu nyinyi wakristo( makafiri) ni ya kutengeneza na kuunga unga, hakuna kitabu chochote ulimwenguni kinachothibitisha kuwa ukristo ni dini lakini ndani ya Qur'an inathibitisha kuwa " hakika dini ya haki mbele ya Allah n Uislam

    • @saadsalum3253
      @saadsalum3253 5 років тому

      Nenda huko wewe unayefuata upagani

  • @leonardabrahamh6906
    @leonardabrahamh6906 5 років тому +1

    Kawafanya waarabu wooote wenye Dini kua bwege ajabu sana.

  • @deoally8417
    @deoally8417 6 років тому

    😀😀

  • @Julia-gm1wh
    @Julia-gm1wh 6 років тому +1

    Hii mtu amerongwa shetani anamtumia na mijini

    • @licacpeter3748
      @licacpeter3748 6 років тому

      Eleza ukweli wako bac

    • @Julia-gm1wh
      @Julia-gm1wh 6 років тому

      @@licacpeter3748 ukweli ni kuwa waslamu wanatumikia majini na shetani so ni ndugu wa shetani kiimani

    • @omaralbattashi1187
      @omaralbattashi1187 6 років тому

      @@Julia-gm1wh acha ubweg ww ww ndo ndug yak na sheitwan

    • @allyyussuf7419
      @allyyussuf7419 5 років тому

      Katka dini yetu ya haki uislamu , muislam yeyote anayewatumikia majini na sheitani huyo ni mshirikina na Allah anasema katika kitabu kitukufu kuwa hakika washirika wataingia katika moto. Tatzo wewe hutaki kusoma ndo maana unaongozwa na hisia wala sio maandiko.

    • @كلثوميوسف-ث2ل
      @كلثوميوسف-ث2ل 5 років тому

      @@omaralbattashi1187 Joseph kalume huyu Akili zake hazipo sawa kabisa

  • @johnjunior5339
    @johnjunior5339 5 років тому +1

    Hi ni ujinga sana.sasa kati ya Paulo na Mohamed nani alikuja kwanza?

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 5 років тому +2

      Matendo Ya Mitume 26:9-11 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
      9 Mimi mwenyewe nilikuwa nimeamini kabisa kwamba sina budi kufanya kila niwezalo kupinga jina la Yesu wa Nazareti. 10 Nami ndivyo nilivyofanya kule Yerusalemu. Nilipewa mamlaka na makuhani wakuu, nikawatia kifungoni watakatifu wengi na walipokuwa wakihu kumiwa kuuawa mimi nilipiga kura kuunga mkono hukumu hiyo. 11 Pia niliwaadhibu mara nyingi katika masinagogi nikajaribu kuwalazimisha wakane imani yao. Nilikuwa nimejawa na ghadhabu juu yao nikawafuatilia na kuwatesa hata katika miji ya mbali. Huyo ndio Paulo

    • @rahmaahmed5759
      @rahmaahmed5759 5 років тому

      Wewe ndo mjinga wakwanza sababu unajua tu kua Paulo alikuja Kwanza but hujui historia yake.

  • @goldmansun5859
    @goldmansun5859 6 років тому +1

    hakuna muitaliano mweusi,Paul alikuwa mweus ka Yesu alivyokuwa,Musa alivyokuwa,haroun,na waisrael wote ndivyo walivyokuwa,hata ka kulikuwa na weupe,ni ka ss ,unakuwa wekundu ila DNA ni blacks coz Jacob n Abraham ,isack ,Ishmael were blacks too ,alikkuwa myahid wa kabila ya benjamini na siyo muitaliano,pili Yesu hajawah kuitwa issa ,uislam unanuka kwa udanganyifu ,anaitwa Yahshua kiebrania lugha ya wayahud,yasuhe kiarab,yesu kiswahl,hii ni mothertongue problems,maana yak Mungu uokovu wetu,uislam hauna evidance yeyote kihistoria leo hii unatoa stor za wayahud wakat wa Yesu!no labda hicho kibwengo chenu issa,acha uongo wew mzee,ukiendelea utakufa bila ulimi,na hii text yangu ikumbukwe

    • @allyyussuf7419
      @allyyussuf7419 5 років тому

      Usiseme kitu ambacho huna ujuzi nacho, neno YESUHE haliwezi kuingia ktk maandish ya kiarabu, acha kibri na chuki, tafuta ukweli utaupata na wisho wa siku utajuwa kuwa hakika uislam ndio dini ya haki.

    • @aminaally3116
      @aminaally3116 5 років тому

      Yaani wakiristo wote hawana akili yaani ivi mungu anazaliwa ? yaani ukweli hawasemi wanadanganyana makanisani

  • @leonardabrahamh6906
    @leonardabrahamh6906 5 років тому +1

    Wewe mazinge vipi Biblia kisiwe kitabu cha Mungu baadae muhammadi akapatikana ndani yake???huo sii uongo mtupu.oooh uisilamu ndani ya Biblia mmerogwa na kununuliwa kimbia kifo uamini YESU KRISTO akupe uzima.

    • @mwakakhamis5762
      @mwakakhamis5762 5 років тому

      Tatizo bibilia mumekoti baadhi ya maneno ya injili mchenganya na maneno yenu

    • @rahmaahmed5759
      @rahmaahmed5759 5 років тому

      Wewe Yesu Ni mtume wa Allah sio mungu.

    • @popod177
      @popod177 5 років тому

      @@rahmaahmed5759 wanamacho lkn hawaoni, wanamasikio lkn hawasikii.. Ujumbe umeingia mahala pake, ndo ukaona povu LA makafiri linawatoka na mitusi.. Mazinge anatoa maandiko kwenye tabu lenu na bado mnapinga, kwa nn?? Kwasababu hayo yote anayoyasema yote yanatoka ndani ya bible, tatizo nyinyi hamuisomi litabu lenu, mkienda kanisani mnangojea mchungaji awaambie fungueni page fulani, anawasomea na ndio basi, hadi jumapili ijayo tena.. Kila kitu anachosema sheikh mnapinga kwasababu hamjawahi kusomewa wala kusoma, na ukiuliza swali unaambiwa unampinga mchungaji...
      Hamjiulizi kwa nn headquarters ya ukiristo upo Vatican na wala haupo yesu alipozaliwa..
      Zindukeni makafiri, ukiristo ni shida, biashara tu na ndo maana yesu akasema watu wake wamepotea kwa kukosa maarifa.. Na wachungaji wao ni mbwa, ndo wanawapoteza..

    • @ibrahimomary7434
      @ibrahimomary7434 4 роки тому

      @@popod177 YESU akuponye week dada

  • @leonardabrahamh6906
    @leonardabrahamh6906 5 років тому

    Huyu kachanganyikiwa.sijui kahongwa? kala maharagwe mengi na chapati???vipi wewe kwa uongo huo YESU MFALME akusamehe.

    • @johnjunior5339
      @johnjunior5339 5 років тому

      Hawa watu hawana kitu Cha kusema.kwami hii imani inahitaji kutetewa jamani?

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 5 років тому

      Matendo Ya Mitume 26:9-11 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
      9 Mimi mwenyewe nilikuwa nimeamini kabisa kwamba sina budi kufanya kila niwezalo kupinga jina la Yesu wa Nazareti. 10 Nami ndivyo nilivyofanya kule Yerusalemu. Nilipewa mamlaka na makuhani wakuu, nikawatia kifungoni watakatifu wengi na walipokuwa wakihu kumiwa kuuawa mimi nilipiga kura kuunga mkono hukumu hiyo.11 Pia niliwaadhibu mara nyingi katika masinagogi nikajaribu kuwalazimisha wakane imani yao. Nilikuwa nimejawa na ghadhabu juu yao nikawafuatilia na kuwatesa hata katika miji ya mbali.

  • @elizawallace2971
    @elizawallace2971 4 роки тому +2

    Hakuna isa kwenye mathayo muongo wewe,unafundisha vipofu wenzako

  • @Julia-gm1wh
    @Julia-gm1wh 6 років тому

    Huyu mtu anapoteza watu yaani uongo wazi kabisa wa wazi

    • @adamnassiri8512
      @adamnassiri8512 6 років тому +1

      Allah akuzidishie

    • @ayunramadhan3104
      @ayunramadhan3104 5 років тому

      Weee unasema ukweli we baki na ukafiri wako

    • @rahmaahmed5759
      @rahmaahmed5759 5 років тому +1

      Wewe lete aya zako uliohifadhi nikiuuliza kwanini nyinyi mnasoma kwa kitabu mbona hamuhifadhi Kama waislamu kazi yenu Ni wivu tuuu poleni sana

    • @najmamakame9881
      @najmamakame9881 5 років тому +1

      Unatesekaaaaaa

    • @mohammedrajabumwamba1322
      @mohammedrajabumwamba1322 4 роки тому

      @@najmamakame9881 utaangaikasana namotoni utakwenda usiposilim we kafiri mkubwa weeee Kaz unayo

  • @steventitus2174
    @steventitus2174 5 років тому

    Hujui kutafsir biblia wewe kaziyako kiarabu 2 na mwajua waarabu walivyo watesa wazee wenu leoii mmeshaa saau alafu awoawo wawaletee dini Kuna Nini apo makafir wakubwa nyinyi wamjua kafiri wewe wakati nyinyi ndomakafir

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 5 років тому +1

      Matendo Ya Mitume 26:9-11 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
      9 Mimi mwenyewe nilikuwa nimeamini kabisa kwamba sina budi kufanya kila niwezalo kupinga jina la Yesu wa Nazareti. 10 Nami ndivyo nilivyofanya kule Yerusalemu. Nilipewa mamlaka na makuhani wakuu, nikawatia kifungoni watakatifu wengi na walipokuwa wakihu kumiwa kuuawa mimi nilipiga kura kuunga mkono hukumu hiyo.11 Pia niliwaadhibu mara nyingi katika masinagogi nikajaribu kuwalazimisha wakane imani yao. Nilikuwa nimejawa na ghadhabu juu yao nikawafuatilia na kuwatesa hata katika miji ya mbali.

    • @hatibuahmadi7237
      @hatibuahmadi7237 5 років тому +1

      @@jumajaffary9698 hongera sana allah akuzidishie maarifa maana ulivo mjibu huyu kafiri umemjibu kiufundi sana yaani kakosa hata lakujibu nakama akuslim basi kapigwa muhuri wamotoni

    • @rahmaahmed5759
      @rahmaahmed5759 5 років тому

      Si waona ndo nyinyi musiependa waraabu kwa ujinga wenu

  • @steventitus2174
    @steventitus2174 5 років тому

    Wewe kafir mkubwa wewe hakuna jehad yaivyo maulamaa wengi mnanjaa kubwa Sana kafir niwewe msinda wewe

  • @mamaaaishamamaaaisha7505
    @mamaaaishamamaaaisha7505 8 років тому +6

    Mashallah

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 6 років тому +2

    MashaAllah

  • @gansoanmomusic1454
    @gansoanmomusic1454 5 років тому

    Mashaallah