SIRI ZA KUPATA UTAJIRI KANISANI
Вставка
- Опубліковано 12 сер 2021
- THE SECRETS OF WEALTH IN THE CHURCH. In this topic Apostle Mtalemwa reveals that the saved people are the Light of the world and the scriptures say the Light shines in the house (church). The Bible also says that God will make the light of his face shine on you and give you grace. But most of all Apostle Mtalemwa has emphasized that the church cannot bring light to the world without wealth. Follow the full topic.
(swahili)
SIRI ZA KUTAJIRIKA KANISANI.
Katika somo hili Apostle Mtalemwa anatoa ufunuo kuwa watu waliookoka ni Nuru ya ulimwengu na maandiko yanasema Nuru umulika walioko nyumbani(kanisani).
Pia Biblia inasema Mungu akuangazie nuru za uso wake na kukupa fadhili(favor).
Lakini zaidi Apostle Mtalemwa amesisitiza kuwa kanisa haliwezi kuleta nuru ulimwenguni bila kuwa na utajiri.
Fuatilia somo kamili.
Amen mtumishi wa mungu mtoto wa MAJOR1 Kwa kutulisha neno zuri na linalotufundisha hakika mungu azidi kuinuwa huduma ya KINABII zaidi ya hapo.
MIMI TAJIRI NA TENA MWANAFUNZI WA YESU.IYEEEEEEEEEE POWER 🙏🙌💖👏
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU Kwa JINA LA YESU AMEN hallelujah
Condtion yetu itakuwa ni moja tu! OKOKA TUKUPE KAZI 👏🤸♀🔥🔥
Mungu azidi kukuinua mtumishi napenda mafundisho yako yaani yako hai
Jamani baba asantee nikifika daa lazma nitie Tim kanisani kwako maana kila SKU unanifundisha makubwa zaidi wewe umeletwa kwaajiri yangu
Mungu akubalik sana mtumishi wa Jehovah, tumekuelewa sana hakika napokea.
Ameen, Mungu akubariki sana mtumishi, maana somo hili limekutana na maombi ninayoomba ya kuukataa umasikini na kuomba baraka na utajiri wa BWANA.
Haleluya!! Nimeidaka hii!! Mtu anaruhusiwa kuja kwa Yesu akiwa masikini lakini marufuku kuendelea kuwa masikini akiwa ndani ya kanisa (Kumbukumbu la Torati 15:4-7). Asante Chief Apostle kwa huu ufunuo mkubwa. MUNGU akutunze sana, akubariki sana, ukaenee pande zote.
Am blessed by this teachings. Am rich boss lady. Vyakwangu ni vyakwangu na vyakwao ni vyakwangu
Hallelujah ninabarikiwa sana Kila siku kupitia maubiribyako mtandaoni I wish ungefungua brunch yako Kenya Tukue karibu na weee 🙏🙏
Fedha ni mali yangu,na dhahabu ni mali yangu,asema Bwana wa majeshi Hagai 2:8(suv)
Amen
That's true
Amen
Hongela mtumishi wa mungu nimekuelewa Sanaa
Ameeen ameeen GOOD bless you MUNGU azidi kukutunza dady barikiwa sana🙏🙏🙏🙏🙏
Amina mali zote ni za Bwana na sisi kama Warithi wa Mungu pam9ja na Bwana Yesu ni lazima tuwe matajiri. Tuanze kwa kuwa waaminifu na kutii na kuzifata amri zake kuhusu fungu la kumi zaka na kuacha dhambi. Mungu wetu hatatupungukia kwa lolote wala chochote! Asante Mtume Mutalemwa Mungu abariki neno lake likazae matunda yenye mbegu zinazozaa maishani mwetu. Huu ni wakati wa kuwavamia wa Babylon na kurudisha vyote walivyoteka. Kwa jina la Yesu.
Mimi tajiri na pia mwanafunzi wa YESU,, napokea neno hili kwa jina la YESU KRISTO🙏, Amen🇰🇪🇰🇪
Mim tajiri na pia mwanafunzi wa Yesu. Amina
Nafuatilia somo hili japo nimechelewa ...nipo Zanzibar
Mimi tajiri na pia mwanafunzi wa YESU AMEEN AMEN. I RECEIVE IT.
Mungu akubariki Sana kwa ukweli huu!! Hakika nimejifunza Sana!! Nashukuru kwa mafunzo
Barikiwa apostle...I'm blessed 🙌
Mungu wa Major1 azidi kukutunza, mtumishi wake. Nimebarikiwa sana
AMINA AMINA barikiwa sana mtumshi
Mimi pia Tajiri namwanafunzi wa Yesu amenaaaaaa
Amina, ubarikiwe sana Mtumishi kwa ujumbe huu
Huo.niukweli.sijawahi.kusikia.mahubiri.kamahayo.wwe.mtumishi.wamaajabu.mungu.akubariki.nahisi.nafunguliwa
Mtumishi wa Mungu niombee nipate ajira,
Mimi nitajiri na mwanafunzi wa YESU AMEN 🙏
napokea vitu vote nilivodhuhumiwa virudi kwa jina la Yesu
Vya kwetu Vyetu vya kwao vya Kwetuu!!! Chief Apostle!!! I receive!
Mungu ananiinua kwa mafundisho haya
Ameen barikiwa mtumishi wa MUNGU
Mimi tajiri na pia mwanafunzi wa Yesu Kristo. Hallelujah!
Oh my God i wish I could know this before! Yani mimi sheria ya dini fulani ilinifanya nifanye kiapo cha kuishi umaskini. Nilikuwa nina pata mahitaji yangu yote, lakini nikiongea na wazazi wangu nyumbani unakuta hata hawajala na nilikuwa sina uwezo wa kuwasaidia kwani nilifungwa na sheria. Sometimes nilikuwa hata natumia uwongo kwamba wazazi wangu ni wagonjwa angalau wanipatie chochote niwatumie watu wangu nyumbani. Namshukuru Mungu aliyeniondosha kwenye utumishi wa utumwa.
Asante sana Chief. Ubarikiwe sana
Mm tajiri na pia mwanafunzi wa yesu
Mm Andrew Theo nitajir na mwanafuz wa Yesu!
I arise and shine in the name of Jesus as my light has come in Jesus name. Hallelujah
Asante mtumishi wa mungu
Asante yesu nabarikiwa kupitia neno hili god bless aposle
Asante Sana chief apostle,umebadisha my mind kabisa,vyetu ni vyetu na vyao ninvyetu,I'm rich woman aka the richest boss lady 🙏🙏🏻❤️💪
Kwa hili somo tu kuanzia leo mm sio masikini🎉
Amen Amen amen !
Eh Bwana Yesu nimesikia ujumbe wako
amen mtumishi
Mimi Tajiri na mwanafunzi wa Yesu
AMEEN
Asante sana. MUNGU AKUBARIKI
Amina kubwa
Nikiwa NAIROBI KENYA NAFWATILIA
Mimi ni tajiri, na tena mwanafunzi wa mungu I received apostle.
Mimi tajiri na pia mwanafunzi wa yesu!!!!!
Mimi tajiri na pia mwanafunzi wa YESU
Amina uko Sawa
Asante.. sana mtumishi
Ameni na Asante kwa neno safi.
Mimi Tajiri na pia mwanafunzi wa Yesu
Leo kwa mara yangu ya kwanza nimekusikiliza nimekuelewa Nimepokea kwa kiwango kikubwa sana ubarikiwe
Somo zuri nimewatumia na sadaka🙏
From Fort worth, TX
Mimi tajiri na pia mwanafunzi wa YESU 🙏
Hallelujah!!!,,,frm today hence forth this will be my song,"vya kwetu ni vyetu na vya kwao ni vyetu"period.
Mrs time time serrry gitingad business toñow nont good
Wow I am the first to watch this amazing summon. God bless u my Apostle
Ubalikiwe Sana Mwajina Wa Baba Yangu Mutalemwa God bless
Dah kweli aisee Mtume
Mm Tajiri na pia ni Mwanafunzi wa Yesu
Mimi pia ni tajiri na mtumishi wa yesu kristo mwana wa Mungu aliye hai
Mimi tajili pia mtumishi wa Yes
Mimi tajiri tena mwanafunzi wa .Yesu.
Mungu atusaidie
Mimi TAJIRI na pia MWANAFUNZI WA YESU.
Huyu mtumishi wa mungu ni mzuri mno kwa sura.Ameumbika vema mno. Nadhani mkewe anamwona hivyo. Glory to God.
Ooooh yesu prophet amen
Hakika NAPOKEA kunawiri katika jina la YESU
Amina
Mimi kwakweli toka nimekajaga kanisa la ECG nimebarikiwa sana , na kila siku namuombea sana alienipeleka pale kanisani Kaka Honesty Mungu akubariki sanaaaaaaaa, lakin Kubwa zaidi nilivobarikiwa ibadani namuomba Mungu sana ampe maisha marefu prophet Mutalemwa na familia yake ili hadi wajukuuu na vitukuuu na vilembweeee wamkute , namwombea sana pastor wangu wa homecell ya mwananyamara yani yupo vizuri sanaaa na ibada ya jana jamani ilikuwa nzuri sanaaaaaaa, Mungu awabariki kwakweli, naomba ECG Mungu akaweke upendo kwa washirika wote tupendane kwenye upendo kuna baraka nyingiiiiiiii sana,
Mimi ni Tajiri na mwanafunzi wa Yesu.!
Mimi tajiri pia mwanafunzi wa yesu
I receive in Jesus Name
Mimi tajiri na pia Mwanafunzi wa Yesu
I receive prosperity in Jesus name. Hallelujah
Amen ,thank for msg
Asante baba uinuliwe juu sana mafundisho yako sio ya kaida,mungu amekuinua sana yana nguvu kubwa na mamlaka zidi kutuponya tunakufatili sana kwenye UA-cam naomba zidi kuturushia unatuponya sana apostle mtalemwa
Amen.by faith am rich first seek thy kingdom first. Hebrews 13:5 Psalms 12:6
I like the teachings
Kweli kabisa tunapambana sana ila hakuna Nuru,MUNGU atusaidie Nuru ije juu yetu ili hata waliyo nje ya kanisa waione Nuru hii wavutwe nayo,na waje kanisani wakae watulie ndani ya Nuru.
@@esthercharles2210 Amen.Psalms 119:105
Mimi tajiri na pia mwanafunzi wayesu
Well said Apostle, God will raise me to be a kingdom financier and a ruler over nations,
so help me Lord
I receive in the name of Jesus christ
Mimi Tajiri na Mwanafunzi wa Yesu.
Yes Sir Apostly 👏👏👏
Mimi tajiri na pia ni mwanafunzi wa YESU
Mimi nitajiri barikiwa Sana mtumishi
Amen, hallelujah
Umennena mtumishi watwajie katika jina la yesu tuwe huru kutumikia mungu
Amen Apostle. God bless you
Mm ni tajiri pia mwanafunz wa Yesu
Mimi ni tajiri na pia mwamafunzi wa Yesu
Asante sana Apostle. Nimekuelewa sanaaa.
Mimi tajiriii na mwanafunzi wa yesu
Ameni
Hallelujah, thank you so much Apostle, nainuliwa dakika ya jioni , nabadilika, napokea utajiri katika jina la yesu , naomba Amina.
Mimi ni tajiri na pia ni mwanafunzi wa Yesu💪🔥 barkiwa baba🙏
mm tajir afu mwanafunzi wa yesu
Mimi tajiri na pia mwanafunzi wa YESU!!
Sehemu nyingine za ujumbe huu nimechekaaaa, na sehemu nyingine nimeliaaaaaa....asante Yesu nimepokea.
nakufuatilia sana mchungaji kupitia njia ya mtandao mungu akusimamie sana ili uendelee kuwachunga kondoo🙏🙏
Amina, Amina
Wow hallelujah!!!! Mimi ni tajiri na pia ni mwanafinzi wa Yesu I'm blessed
Hallelujah 🙏 Mimi ni tajiri Nani mwanafunzi WA yesu
Apostle Amen Amen nimepokea ubarikiwe tna zaidi mungu akujaze mwanga kubwa 🌏🌎🌍💯🙏
watikiswe....maisha safi iwe kwetu walio mkubali YESU...Nuru