Nadhani ni meditation ni SoMo Muhimu sana kwa mwanadamu..Pastor ikikupendeza tafuta Nafasi na taarifa za kutosha kuhusu jambo hili uweze tupa maarifa zaidi..
Sema ni muhimu sana mjitahidi kutuwekea updates nyingi hasa hapa youtube hasa kwa sisi tuliyopo mbali hili huduma ya neno la Mungu itufikie kwa wakati ni muhimu sana. imagine tunakaa wiki nzima hadi wiki mbili atupati neno la uzima dah fanyieni kazi hili na MUNGU atawabariki masomo yaje kwa wakati yan bandika bandua tuzidi kujifunza. MUNGU AWABARIKI.
Joshua 1:8..it tell us why we should meditate on word of god...Pia Pastor amezungumzia issue ya kujifunza kuisikia sauti ya MUNGU jambo ambalo wa kristo waliowengi Bado hawajui jinsi gani Tupo ktk upande Mmoja tu wa Sisi kusema na MUNGU ila upande wa MUNGU kusema na sisi tuna shida hapo
Nadhani ni meditation ni SoMo Muhimu sana kwa mwanadamu..Pastor ikikupendeza tafuta Nafasi na taarifa za kutosha kuhusu jambo hili uweze tupa maarifa zaidi..
Sema ni muhimu sana mjitahidi kutuwekea updates nyingi hasa hapa youtube hasa kwa sisi tuliyopo mbali hili huduma ya neno la Mungu itufikie kwa wakati ni muhimu sana. imagine tunakaa wiki nzima hadi wiki mbili atupati neno la uzima dah fanyieni kazi hili na MUNGU atawabariki masomo yaje kwa wakati yan bandika bandua tuzidi kujifunza. MUNGU AWABARIKI.
Am really blessed MUNGU akuzidishe pastor
Nabalikiwa na Neno la Mtumishi napenda sana mifano yake
AMINA MUNGU Katika Jina la YESU Kristo wa Nazareth alie hai NENO LA MUNGU Li hai tena lina Nguvu
Asante Bwana Yesu kwakutumia mtumishi wako kutulisha chakua hichi. Mungu nirehemu nimepata ufahamu sasa ntaanza upya una kusudi namm kunipa somo hili. ❤
My pastor my Teacher hakika wewe ni mwalimu mzuri kwangu na nakupenda umenisaidia mengi kwa mafundisho yako unayoyatoa.
Amen mungu nitie ngufu wakati niko jikone
Ameen, hili neno ni langu..
Wow...manifestation of the Power through the Word of God. GLORY...
Simple but powerful, may God give you more pastor.
Mungu wa Israeli.
What a powerful sermon
Powerful man of God thank you 🙏 my Lord Jesus 🙏
God bless man of God
Nimepokea kitu cha ziada Sana barikiwa Sana
Amen napokea ni langu
Asante sana Mungu akubariki
Nabarikiwa sana na neno lako
Ameeeeeen. Toka Congo drc
Nimebalikiwa amen
Amina hallelujah 🙌🙏
Neno la MUNGU ❤❤❤
Amen, hakika mtumishi Sanbella ni mwalimu wa neno la MUNGU. MUNGU akubariki baba
Amen
Powerful
Joshua 1:8..it tell us why we should meditate on word of god...Pia Pastor amezungumzia issue ya kujifunza kuisikia sauti ya MUNGU jambo ambalo wa kristo waliowengi Bado hawajui jinsi gani Tupo ktk upande Mmoja tu wa Sisi kusema na MUNGU ila upande wa MUNGU kusema na sisi tuna shida hapo
Umefundisha vizuri kuhusu meditation lakini hauja rejea kwenye biblia kuhusu iyo meditation.