Most of people wanafunga maisha yao kwa ujuaj Ikumbukwe biblia iyo iyo inasema hekima ya wanadamu n upuuzi.. Jamn kama umecomment baya you're wrong..!!! Uyo mtumishi n wa mungu kabsa. Alafu kwann wakristo usijifunze kusikia saut ya mungu jamn..wakristo Fanya uwezalo upate kusikia rohoo mtakatifu anapo ongea kutokujua rohoo anapo ongea kuna garama sana ona hadi kuna hadi walokole kacomment vibaya...mungu akusamehee nakuombea kwajina LA yesu ufunguke macho na masikio iliupate kutembea katika mapenzi ya mungu kikamilifu kama una Amin sema Amen... Siri ya kusikia rohoo akinena ni kuampakristo nafasi kubwa ndani yako katika maisha yako. Enjoy ktk kristo Shalom
Kwa sababu hilo ni halalisho la kwenda kwa waganga hivyo kama upo comfortable endelea. Lakini utafakari kama kweli wa mpenda Mungu na sio kupiga Ramli kwa wenye mapepo ya utambuzi basi fikiri mara mbili
Ndipo Bwana akaniambia, Hao manabii wanatabiri uongo kwa jina langu mimi; mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru, wala sikusema nao; wanawapeni unabii wa maono ya uongo, na uaguzi, na neno la ubatili, na hadaa ya mioyo yao. Yeremia 14:14
Acheni kuwahukumu makuhani wa Mungu bali Mungu atawahukumu mwenyewe msije mkafanyiwa kama alivyofanyiwa Miriam dada yake Musa kwa kupigwa na ukoma maana alikuwa amemsema vibaya mtumishi wa Mungu kwa kuwa Musa alioa mwanamke Mkushi wakati sheria ya yao ilikuwa ni Waebrania hawakuruhusiwa kuoa nje na kabila lao. Mriam na Haruni walihusika kumsema vibaya Musa lakin aliyepigwa ukoma ni Miriam tu why? Kwa sababu Haruni alikuwa na vazi la kikuhani. Watumishi wa Mungu pigeni kazi bila woga maana aliyeupande wenu ni mkuu sana na walioupande wenu ni wengi zaidi kuliko walioupande wao.
Uaguzi tu huu mnaufanya afu mnasingizia nguvu ya Mungu, acheni kutumia nguvu za giza za kufanya utambuzi wa kipepo afu mnatumia mgongo wa Yesu kutapeli watu.. Haya mnayoyafanya mtayatolea hisabu shauri yenu
Ninachoshangaa hawa wanasali hayo makanisa Miaka mingi wapo humo au amefika tu anakutana naunabii huu naomba Mungu wa mbinguni aliye hai aseme kitu namioyo hii Neno Lake walijue
For such are false apostles, deceitful workers, transforming themselves into the apostles of Christ. And no marvel; for Satan himself is transformed into an angel of light. Therefore it is no great thing if his ministers also be transformed as the ministers of righteousness; whose end shall be according to their works.
MAJOR ONE endelea kutabiri Baba... Watu ni wavivu wa kusoma Biblia hawajui kuwa Manabii wote walitabiri ,..WOTEEEEE.... Hata YESU PIA ALITABIRI kama kuna ayebisha aje hapa tufanye Dibate ..
Akili za watu wakati mwengine huwa, unaenda likizo, kwa hiki kizazi cha nyoka Kilicho laaniwa hata kaa atokee Nabi. Wanajifanya manabii wanafanya vitu ambavyo hata YESU hakufanya na watu wanapumbazwa na madawa mnakumbuka
Akili yako ndio iko likizo tena kwenye tumbo la uzazi wa nyoka . Umesahau yesu alisema watafanya haya na zaid ya haya . Futa mbumba yako kasome biblia upate maarifa ukomboe akili zako hili usiteketee. #somabibliaondoaujinga
unahitaji special prayers kwa sabab shetani amekufunga, never fight the man of God usije ukalaaniwa, Chief Apostle son of Major 1 chapa injili ya Kristo Yesu ulimwengu ukombolewe
wwnzetu watabiri wao n nabii waislamu akikuambia nyota yako wanaitwa waganga daah dunia hii et nabiiiii ila cku ile mbe ya muumba mbingu na nch sir zore ztafichukaaa
Muweni mnazipima hizi roho maana nyingine zinakuja kwa njia ya kujifanya zinatoka kwa Mungu lakini kumbe sivyo. Wengine wanayo mapepo ya utambuzi. Hii ni imani ya namna gani?
Jamani wewe muhaya tapeli,umeona kutoka kimaisha ni kufanya uganga madhabahuni,ole wakoo,tubu mapemaunawapofusha macho watu ,nanyi washirika,scheni uvivu,someni NENO
Pumbavu zakoo huna adabu wew km unaona mtalemwa anaongea uwongo umewashwa nin ku comennt shenz wew huna adabu utakufa wew kwa laana za watumish hujui unaloongea fara wew
Hahahah.. @Thomas salakana Kwenye jina lako kunapatikana jina hili tomaso Sasa tomaso tueleze yako ya kweli *kwamaana maandiko usema yohana3:21"basi yeye aitendaye kweli huja kwenye nuru ili matendo yake yaonekane wazi ya kuwa yametendwa katika mungu " sasa uyo mtumishi hapo katenda waz waz wote tumeona je wewe yako yakuwapi yako wazi wazi au laah!!! Yesu ndio kweli na uzima alitenda mambo wazi wazi mpatekujua yametendwa katika mungu lakn wanadamu hatukujua tukamsulubisha na kusema n uongoo kama uo ulio andika hapo Jirekebishe toka ulipo kuwa kwenye viuno ulipinga yesu akasulibiwa akafa paka sasa unaendelea namambo yako ya karne na karne zinduka embu soma kisa yohana18:37>> macho na akili za wanadamu yanavyo jugde wako radhi mbakaji,muuwaji hawe huru lakn mtu wasio jua hata kosa Lake vizur asulubiwe ukisha soma hicho kisa tafakar ulicho comment unajua uongo wa mtumishi huyo. #Tubuuuendembinguni
Tueleze kweli. Yako *kwamaana maandiko usema yohana3:21"basi yeye aitendaye kweli huja kwenye nuru ili matendo yake yaonekane wazi ya kuwa yametendwa katika mungu " sasa uyo mtumishi hapo katenda waz waz wote tumeona je wewe yako yakuwapi yako wazi wazi au laah!!! Yesu ndio kweli na uzima alitenda mambo wazi wazi mpatekujua yametendwa katika mungu lakn wanadamu hatukujua tukamsulubisha na kusema n uongoo kama uo ulio andika hapo Jirekebishe toka ulipo kuwa kwenye viuno ulipinga yesu akasulibiwa akafa paka sasa unaendelea namambo yako ya karne na karne zinduka embu soma kisa yohana18:37>> macho na akili za wanadamu yanavyo jugde wako radhi mbakaji,muuwaji hawe huru lakn mtu wasio jua hata kosa Lake vizur asulubiwe ukisha soma hicho kisa tafakar ulicho comment unajua uongo wa mtumishi huyo. #Tubuuuendembinguni
Namna hii Afrika haiwezi kuendelea. Sijui kwanini serikali zetu zinaruhusu upuuzi, ujinga na utapeli wa wazi kama huu. Hamna cha nabii wala nini bali utapeli. Wote unaowasikia kuanzia Rwakatare, Gwajima, Kakobe, Mwakasege, Lusekelo na matapeli wengine ni waganga njaa na waganga wa kienyeji wanaotumia Biblia. Hawana tofauti na waganga wa kienyeji wa kiislamu wanaojiita mashehe na madaktari wakati ni mavi matupu.
Mtumishi wa Mungu yeyote huwa haibishi watu mbele za watu. Ukiona mtu anajiita nabii au mchungaji halafu anasema siri za watu hadharani hoyo ni mshirikina tu?
I believe this pastor ni kwel mungu unatumikia ubarikiwe sana mtumishi
Most of people wanafunga maisha yao kwa ujuaj Ikumbukwe biblia iyo iyo inasema hekima ya wanadamu n upuuzi..
Jamn kama umecomment baya you're wrong..!!! Uyo mtumishi n wa mungu kabsa. Alafu kwann wakristo usijifunze kusikia saut ya mungu jamn..wakristo Fanya uwezalo upate kusikia rohoo mtakatifu anapo ongea kutokujua rohoo anapo ongea kuna garama sana ona hadi kuna hadi walokole kacomment vibaya...mungu akusamehee nakuombea kwajina LA yesu ufunguke macho na masikio iliupate kutembea katika mapenzi ya mungu kikamilifu kama una Amin sema Amen... Siri ya kusikia rohoo akinena ni kuampakristo nafasi kubwa ndani yako katika maisha yako.
Enjoy ktk kristo
Shalom
God bless you Dadiii Mungu aliyetuumba anakutumia 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢Jamn Mungu atuhurumie
Jamani twacheni tutapeliwe, Nalipenda hili church na watumishi wake Amen. #God_is_good Thank you #chief
lipo dar sehem gani
Kwa sababu hilo ni halalisho la kwenda kwa waganga hivyo kama upo comfortable endelea. Lakini utafakari kama kweli wa mpenda Mungu na sio kupiga Ramli kwa wenye mapepo ya utambuzi basi fikiri mara mbili
Official Platnumz
@@benueniinnov7855 Amina kubwa
Msukule hawezi kujua kama Alipo sio mahala salama! Endelea tu akili sio zako
Mungu azidi kukupa huduma njema.
I wish to be in that church but problem I'm in America but there's day I will be with that pastor one day
Mungu atawadhibu kwa Matendo yenu
Be bless our pastor unahekima sanaaaaaa 🙏🙏🙏
ee mwenyezi mungu tuonyeshe njia ya kweli
Mumesha onyesha njia ya yessu aliyopiga
so powerfull I like it God icrease your power to your selvant in jesus might name
Mtalemwa mungu akubariki sana kwa kazi kubwa unayoifanya
Mungu wangu! mpaka hapa serikali inapaswa kuingilia kati, kweli kabisa!
Mnao sema hiv niwachawi wakubwa nguvu zenu zinatolewa ndo maan mnablem na mtakoma mwaka huu
Kabisa elfu 50
Ndugu zangu naomba number za huyu mchungaji👍iam from America
God bless you son of major 1. You are a blessing. Tanzania is blessed
mi nacheka kama mazuriii Mutalemwa Mungu anakuona ujue
Unamjua nini??🤣🤣🤣
Muacheni mtumishi wa mungu atende mema
Ndipo Bwana akaniambia, Hao manabii wanatabiri uongo kwa jina langu mimi; mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru, wala sikusema nao; wanawapeni unabii wa maono ya uongo, na uaguzi, na neno la ubatili, na hadaa ya mioyo yao.
Yeremia 14:14
I love you son of major 1
Hii ni story walitengeneza uyu paster ako na story yote saa anatanganya hapa muongo uyu
Hosea 4:6. Ukisoma hii utamjua Mkristo waleo . Mitume wazamani walitabiri yajayo ,ila waleo wanatabiri yaliyo pita.Somen Neno hubirini Injili ambayo Kristo alituagiza
Acheni kumchezea Allah nyinyi. Mnajuwa kuwa mnapotosha umma wa wa Tanzania. Hakuna Nabii hapa.
Acha pumba zako wewe
I LOVE YOU CHIEF
Mungu wa mbinguni uliyemtuma Yesu Kristo aje atuokoe katika utumwa wa dhambi tunakuomba uwashugulikie hawa manabii wa uongo wanaolichafua Kanisa lako.
Acheni kuwahukumu makuhani wa Mungu bali Mungu atawahukumu mwenyewe msije mkafanyiwa kama alivyofanyiwa Miriam dada yake Musa kwa kupigwa na ukoma maana alikuwa amemsema vibaya mtumishi wa Mungu kwa kuwa Musa alioa mwanamke Mkushi wakati sheria ya yao ilikuwa ni Waebrania hawakuruhusiwa kuoa nje na kabila lao. Mriam na Haruni walihusika kumsema vibaya Musa lakin aliyepigwa ukoma ni Miriam tu why? Kwa sababu Haruni alikuwa na vazi la kikuhani.
Watumishi wa Mungu pigeni kazi bila woga maana aliyeupande wenu ni mkuu sana na walioupande wenu ni wengi zaidi kuliko walioupande wao.
Thats our Cheeeeeaf,Son of Major One
Hili Kanisa liko wapi Moanna?
Power
Who is a minor?
If u call a zimbabwean conman a major??
Uaguzi tu huu mnaufanya afu mnasingizia nguvu ya Mungu, acheni kutumia nguvu za giza za kufanya utambuzi wa kipepo afu mnatumia mgongo wa Yesu kutapeli watu.. Haya mnayoyafanya mtayatolea hisabu shauri yenu
Lait ungejuwa usinge ongea pumba zako hzo
Mungu akubariki papaa
Upumbavu Kabisa. Wachungaji makanisa wanayageuza kuwa nyumba zaramli. Jaman. Hawajiongezi ata kujiongeza ata kidogo waumini.
Ubarikiwe na Asante kwa kuliona hili.
Pastor naomba unikumbuke baba🙏🙏
Pia mungu haikumbuke familia yako.
mungu akutumie zaid
nabarikiwa sana mtumishi
ungeenda tu kwa waganga kupiga ramli kama ndio suluhisho ulipendalo.
Ninachoshangaa hawa wanasali hayo makanisa Miaka mingi wapo humo au amefika tu anakutana naunabii huu naomba Mungu wa mbinguni aliye hai aseme kitu namioyo hii Neno Lake walijue
jaman wat wa mungu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Kwa hakika Yuko mungu Kwa nabii atukumbuke watu wa arusha
ubarikiwe sana mchungaji
Mss kandi; abarikiwe kivipi? wewe nikipovu uoni uyu paster ni muongo nyie motoni
papaaa my God bless you.....Power|Chief apostle
Josephp nn n Kihi
ambariki kwa utapeli? fyuuuuuuuuu
For such are false apostles, deceitful workers, transforming themselves into the apostles of Christ. And no marvel; for Satan himself is transformed into an angel of light. Therefore it is no great thing if his ministers also be transformed as the ministers of righteousness; whose end shall be according to their works.
nzur sana BABA, mtoto wa NABII BUSHIRI (MAJOR 1
)
Manambii wa michogo🤣🤣
yaah mm huwa mnalichekesha sana maaana n zaid ya bongo movies
( madebe lidai)
Amen 🙏🏻
Iyee POWER
Amen
mnadhalilishwa kbs. sasa injili mnajifunza muda gani? mnavopigiwa ramli. jamani
sema nami nabii mtalemwa naomba maombi yako
Wapenzi msiziamini kila roho,bali zipimeni kama zinatoka kwa MUNGU, kwasababu manabii wengi wa uwongo wamekwisha kua duniani 1 yohane 4:1
wooooow!Very Powerful.God blessing U Man of God!
MAJOR ONE endelea kutabiri Baba...
Watu ni wavivu wa kusoma Biblia hawajui kuwa Manabii wote walitabiri ,..WOTEEEEE....
Hata YESU PIA ALITABIRI kama kuna ayebisha aje hapa tufanye Dibate ..
0620338433- WhatsApp tufanye debate, huu UTAPELI HAUFAI
Amen 🙏
I need God to save my life
sio uongo huyo Baba namjua anaitwa John kasase,aliyo mwambia ni sahihi
Akili za watu wakati mwengine huwa, unaenda likizo, kwa hiki kizazi cha nyoka Kilicho laaniwa hata kaa atokee Nabi. Wanajifanya manabii wanafanya vitu ambavyo hata YESU hakufanya na watu wanapumbazwa na madawa mnakumbuka
Akili yako ndio iko likizo tena kwenye tumbo la uzazi wa nyoka . Umesahau yesu alisema watafanya haya na zaid ya haya . Futa mbumba yako kasome biblia upate maarifa ukomboe akili zako hili usiteketee.
#somabibliaondoaujinga
Tena hujitambui bora unyamaze kama humjui Mungu nyamaza.
unahitaji special prayers kwa sabab shetani amekufunga, never fight the man of God usije ukalaaniwa, Chief Apostle son of Major 1 chapa injili ya Kristo Yesu ulimwengu ukombolewe
nabii kasema kweli kwa huyo Baba,amuombee aache uzinzi ni mchungaji
Watu wangu wanaangamizwa kwakukosa maarifa Hosea 4:6
Wameraniwa Wawa tegemeae wanadamu namoyoni mwake wamemuacha Bwana Yeremia 17:5
Mzee usiwe mjinga. Umeokoka halafu unamsikilize huyo mganga wa kienyeji! Umemwacha YESU! Acha upumbavu baba yangu. Kwa nini una mashaka na Mungu wako?
Simon Lulenga point
Amen!
hatofautiane sana na wale wanaopiga ramli
Mmmh makubwa Sasa ni kanisan au kilengen!!
😌😌uwiiiii!
mimi sijui kama uwongo au laa
mimi nawatazaji hatujui kua niukweli au uongo
EII NIMEMWONA YULE BIBI KAPITA PALE MLANGONI......YAANI MPAKA YESU AJE KURUDI MTAKUWA MMETIA SANA WATU HASARA
Amen😭
Kiongozi wa vipofu ww
Huon haya muongo mkubwa ww badala ya kuwapa watu suruhu unawafarakanisha!! Utatoa hesab mbele za Mungu
Mmmh jamani jamani huruma
Eeh mungu tuokoe
Aimeen
Huyu nabii tapeli kweli anapenda pesa manabii wa uongoo
Wal hatk pesa zako kwend
Jesus power
I appreciate u my Chief apostle
duuu hizo hela vipi jamani huyu nabii duu
huyu jamaa. ni Mganga wa kienyeji absolutely
Alimganga mama ako
wwnzetu watabiri wao n nabii
waislamu akikuambia nyota yako wanaitwa waganga daah
dunia hii
et nabiiiii
ila cku ile mbe ya muumba mbingu na nch sir zore ztafichukaaa
.if a man can cheat by using Gods name ..he fears nothing on this earth.
Joyce Meyer kiswahili
Mwenye 50😂😁😁😁
Nimeshangaaa
Manabii wapo wa aina nyingi sana wapo hata wa shetani pia wapo! Kwa huyu jamaa ni mganga aliyo boresha huduma
Jerome Sapi ni kweli kabisa wanabadili mifumo tu ila ni mganga anayepiga lamli
Utakuwa wewe unajua wa ganga nn.. Au kaz kujiadai ujuaji maana hii nikasumba inayo Tanzania
Don't speak shit like this once again
hahahahaa jamani mi na pita tuu
Muweni mnazipima hizi roho maana nyingine zinakuja kwa njia ya kujifanya zinatoka kwa Mungu lakini kumbe sivyo. Wengine wanayo mapepo ya utambuzi. Hii ni imani ya namna gani?
🤣🤣🤣 habari za hao wafuasi wako puurofesaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani wewe muhaya tapeli,umeona kutoka kimaisha ni kufanya uganga madhabahuni,ole wakoo,tubu mapemaunawapofusha macho watu ,nanyi washirika,scheni uvivu,someni NENO
Pumbavu zakoo huna adabu wew km unaona mtalemwa anaongea uwongo umewashwa nin ku comennt shenz wew huna adabu utakufa wew kwa laana za watumish hujui unaloongea fara wew
Dahh
Na alaniwe anaehubiri injili kama hii
Hii sio injili ya Yesu kristo
Huu ni usenge
Tapeli Mkubwa eti elfu 50 kwa Mungu there is nothing like that mmekubaliana kutoa ushuhuda wa uongo
MUNGU atuponye ,aiseee
UWONGO MTUPU
Hahahah..
@Thomas salakana
Kwenye jina lako kunapatikana jina hili tomaso
Sasa tomaso tueleze yako ya kweli *kwamaana maandiko usema yohana3:21"basi yeye aitendaye kweli huja kwenye nuru ili matendo yake yaonekane wazi ya kuwa yametendwa katika mungu " sasa uyo mtumishi hapo katenda waz waz wote tumeona je wewe yako yakuwapi yako wazi wazi au laah!!!
Yesu ndio kweli na uzima alitenda mambo wazi wazi mpatekujua yametendwa katika mungu lakn wanadamu hatukujua tukamsulubisha na kusema n uongoo kama uo ulio andika hapo
Jirekebishe toka ulipo kuwa kwenye viuno ulipinga yesu akasulibiwa akafa paka sasa unaendelea namambo yako ya karne na karne zinduka embu soma kisa yohana18:37>> macho na akili za wanadamu yanavyo jugde wako radhi mbakaji,muuwaji hawe huru lakn mtu wasio jua hata kosa Lake vizur asulubiwe ukisha soma hicho kisa tafakar ulicho comment unajua uongo wa mtumishi huyo.
#Tubuuuendembinguni
Amen nimebarikiwa nimefunguliwe na mimi pia God Bless you
Sara. Wanjala Alipo Yesu Yote Yanawezekana duu
Sikuhizi Kuna show za ajabu sana, msanii mmoja alafu Misukule kama yote
chifu namba no
uko wapi ww mtumishi niletee babangu ameteseka sana aky
Yupo makongo juu dada ang achana na hao wanaongea iv mara iv ivyo vitu nivyakwel mm nasali uko kikubwa imani
uje na kwetu Songea Mchungaji nasi pia tunahitaji maombi tuna matatizo
wewe Tausi wewe.... unamtembelea mwenzako hivo.... na wewe teddy Mbona haukumsaidia kwenye hizo shida zote hivo
Baba na mimi nitabilie
Church movie
Mungu akutumie mtumishi
Aisee wewe muongo umepanga ushuhuda wa uwongo michezo hiyo tumeisha izoea wadanganye hao
Yaan elfu 50 uyu noma
Hapana jamani, hebu aminini bila kushuhudia
Duh
Tena kwa kuwaonjesha kidogo tu ktk ilo somo la UTABIRI
1-Yesu alipomtabiria yule mama pale kisimani
2-
Ila hajawai kuanika mtu kwa watu
@@piusthomas5713 Hallelujah 😁😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣 wagaga wengi kanisani
Niombee na Mimi nipo nahitaji msaada wako
Wewe ninabii wa uogo umetumwa Na shetani sitamani hata kukusikiriza
we jamaa muongo
Tueleze kweli. Yako
*kwamaana maandiko usema yohana3:21"basi yeye aitendaye kweli huja kwenye nuru ili matendo yake yaonekane wazi ya kuwa yametendwa katika mungu " sasa uyo mtumishi hapo katenda waz waz wote tumeona je wewe yako yakuwapi yako wazi wazi au laah!!!
Yesu ndio kweli na uzima alitenda mambo wazi wazi mpatekujua yametendwa katika mungu lakn wanadamu hatukujua tukamsulubisha na kusema n uongoo kama uo ulio andika hapo
Jirekebishe toka ulipo kuwa kwenye viuno ulipinga yesu akasulibiwa akafa paka sasa unaendelea namambo yako ya karne na karne zinduka embu soma kisa yohana18:37>> macho na akili za wanadamu yanavyo jugde wako radhi mbakaji,muuwaji hawe huru lakn mtu wasio jua hata kosa Lake vizur asulubiwe ukisha soma hicho kisa tafakar ulicho comment unajua uongo wa mtumishi huyo.
#Tubuuuendembinguni
Shenz
Mungu akubariki sana
tapeli mkubwa
Mam ako
😅😅
hahahaa' tatizo hawa Jamaa upigaji wao unafanana...doh. ..
nimfrahi mno ahaa
Uyu jamaaa nimeuthuria feroship yake mwongo uyoooo ni hatari,
Namna hii Afrika haiwezi kuendelea. Sijui kwanini serikali zetu zinaruhusu upuuzi, ujinga na utapeli wa wazi kama huu. Hamna cha nabii wala nini bali utapeli. Wote unaowasikia kuanzia Rwakatare, Gwajima, Kakobe, Mwakasege, Lusekelo na matapeli wengine ni waganga njaa na waganga wa kienyeji wanaotumia Biblia. Hawana tofauti na waganga wa kienyeji wa kiislamu wanaojiita mashehe na madaktari wakati ni mavi matupu.
@@ngetadonn230 akuponye wewe unayepwakia upuuzi kama siyo kufaidika nao. Afrika tutaendelea kutegemea miujiza hadi lini?
Nkwazi Mhango
MB
Kanada
Mtumishi wa Mungu yeyote huwa haibishi watu mbele za watu. Ukiona mtu anajiita nabii au mchungaji halafu anasema siri za watu hadharani hoyo ni mshirikina tu?
Tena anawambia nime waenjoy nawao hawaelewi jamaa serikali ingilie haya mambo ya watapeli ndani ya makanisa hii ni laana wazi wazi