MJUE ADUI YAKO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 тра 2020

КОМЕНТАРІ • 136

  • @DannySJ
    @DannySJ 4 роки тому +12

    Kwa Mahubiri haya jmn naomba niwe member hapo kanisani 💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @evelynjohn2706
    @evelynjohn2706 3 роки тому +8

    Hakika Tanzania is favored 👏🏽👏🏽👏🏽

  • @marymbathamusyokimusyoki4082
    @marymbathamusyokimusyoki4082 3 роки тому

    Mungu akubariki sana,hii injiri imenibariki sana ,sitakemea mtu tena mbali shetani aliye dani ya mtu,tanzania mumebarikiwa ,kumbe ndio maombi yangu inakawia kujipiwa,kwa kukemea mtu bandala ya pepo,mungu akuinue zaidi mchungaji

  • @Vailethndossy
    @Vailethndossy 4 роки тому +2

    Nimechukua kitu hapo kitanisaidia sana barikiwa mtumishi

  • @wanjiruwathuo3643
    @wanjiruwathuo3643 3 роки тому +1

    Tanzania nawapenda Bure Ur greatly gifted na Manabii wa Mungu...Live Long Tanzania....Wakenya Twawaenzi.

  • @yvonnemashuda3004
    @yvonnemashuda3004 4 роки тому +5

    Tunamshukuru Mungu wa miungu ametenda..hakika vita vyetu si vya damu na nyama bali ni katika rohoo,there is power in targeting the right enemy..tunazidi kukomaa kiroho na kimwili..ECG ni FIREE

  • @pasteurmardocheemwale2023
    @pasteurmardocheemwale2023 Рік тому

    Oh oh oh oh baba na kupenda Niko Congo RDC🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @ruthkiptoo9886
    @ruthkiptoo9886 2 роки тому

    Thanks pastor for a good work God bless you

  • @neemahamisi4302
    @neemahamisi4302 4 роки тому +1

    Shalom chief apostle kwanza namshukuru Mungu kwa ajili yako somo la kwanza nilichojifunza ninapoona tofauti kati yangu na ndugu yangu sio yeye ni shetani anamtumia kufarakanisha kwa hiyo namuona shetani ndani yake kwa hiyo sitagombana na ndugu yangu tena! Somo la pili Mimi niliumwa dalili zote za corona ila ndani yangu nikakataa kwa jina la Yesu sasa hivi ni mzima kabisa pia nilitumia tangawizi na limao namshukuru Mungu corona imeisha Tanzania Jina la bwana lihimidiwe

  • @nshimirimajeanine9680
    @nshimirimajeanine9680 3 роки тому +1

    Mahubili yako yananijenga kweli amen

  • @monicabh1668
    @monicabh1668 3 роки тому

    Mimi lazima siku Moja nitafika ECG Darsalam nihudhurie ibada 🙏🙏 am soo blessed 🔥🔥

  • @asifiweabellumato4262
    @asifiweabellumato4262 4 роки тому +4

    Mi huwa nakuelewagaa sanaa

  • @happysiwakamil1970
    @happysiwakamil1970 Рік тому

    LEO NIMEPATA UPONYAJI. AMEN PROPHET.

  • @flavianamarcel3835
    @flavianamarcel3835 Рік тому

    Shalom mtumishi
    Hakika umesema kweli! Kama hiyo science anacheza nayo sana! Shetani shindwa in the mighty name of Jesus 🙏

  • @jamesmangu337
    @jamesmangu337 4 роки тому +1

    Uko vizuri nakutakia utumishi mwema na ulio tukuka Duniani na Mbinguni.

  • @neymarmidu1935
    @neymarmidu1935 3 роки тому +1

    Unanibariki sana nabii Mtalemwa

  • @pvkanyorota264
    @pvkanyorota264 3 роки тому

    Umetisha mwanangu Mtalemwa salute Mungu anakutumia vilivyo tuko nyuma yako tunakuelewa sn mbona

  • @gracekwila5674
    @gracekwila5674 4 роки тому +3

    Ufunuo mkubwa sanaa MTUMISHI
    Asante sana mtumishi kwa ufunuo huu nimepata kitu kipya

  • @maulidingalita7417
    @maulidingalita7417 3 роки тому

    Mungu ni mwema na anakusudi niyajue haya

  • @selenachieng7798
    @selenachieng7798 3 роки тому

    MUNGU.NAOMBA.UNITUMIE.KWA.NGUVU.ZAKO.ZOTE.HASA.KWA.ROHO.YANGU.NAOMBA.KUJUA.SIRI.YA.BINGUNI.NIWRZESHE.JEHOVA.NAOMBA.AMEN.

  • @user-cz9vm8tq3m
    @user-cz9vm8tq3m 5 місяців тому

    ❤Namshukuru Bwana kunifunulia haya.Bwana Akusimamishe

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 Рік тому

    😆😆😆,hii ilikuwa kiboko, asante Yesu 🙏.
    Sasa kuna Ebola wanaturusha roho,mimi siwaelewi eti tukae tayari,
    Mara kuna wahisiwa yaani hapa ni kuanzia rohoni kumbabadua kitaeleweka.

  • @mercylineinjoke9682
    @mercylineinjoke9682 3 роки тому +3

    Kwa hakaki watazania mmebarikiwa natafute bwana mtazania be blessed man of God

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 2 роки тому

      Mbona huwa tunasikia wakenya mwenye pesa ndio baba?halafu wan awake Wa Kenya mnajua kupigana sana

  • @dorismasakhwe688
    @dorismasakhwe688 3 роки тому +1

    Thank you so much Apostle, may the Almighty continue to increase you 🙏

  • @anithajwilliam1064
    @anithajwilliam1064 2 роки тому

    Barikiwa Mtumishi wa Mungu

  • @anngeorge9581
    @anngeorge9581 3 роки тому +2

    Thank you man of God,my faith is uplifted,God bless you.praying for more anointing.

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 4 роки тому +1

    Apo kwa mbirizi kiboko ya magonjwa, yaani Mungu anatupenda. Wameishatengeneza wanasema madhara yatatokea Mwezi wa saba. Tuendelee na maombi na Kashwagara

  • @suzanakamala3615
    @suzanakamala3615 4 роки тому +1

    Mtumishi was Mungu aliyehai, UNANIBARIKI sanaaa, Mungu azidi kukutumia.

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 роки тому

    Nabarikiwa sana

  • @renatusdeogratias5519
    @renatusdeogratias5519 3 роки тому

    Ubarikiwe mtumishi.

  • @magievuriva4775
    @magievuriva4775 3 роки тому +2

    Is only today niliweka status ya kumkomesha alietumiwa na shetani kuniumiza.......nimelia kuomba then i open my youtube nakusikia hili somo khaaa nmedelete na nampigia mazee siwezi korofishana na mtu kisa shetani😆😆 not menagain.

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper5235 3 роки тому

    Mtumishi uje ufundishe somo la uvaaji naona wanadada wengi wemevaa suruali wamepaka brich wameshevu madenge wakemee

  • @yohanaasajene3520
    @yohanaasajene3520 2 роки тому

    Unaeleweka sana mtumishi

  • @munyanachanty9167
    @munyanachanty9167 3 роки тому

    nimekukubali pasta. mimi nimuchristu arakini nimekutana namapasta wajaja sikukua nawakubali arakini nimekubali kweli unaneno ramungu ndio kitu napenda kusikiliza sana ubalikie namungu akujyaze nguvu

  • @alvinemajani6395
    @alvinemajani6395 4 роки тому +3

    You make me happy apostle mtalemwa 🤣😂👃

  • @upendomsuya4754
    @upendomsuya4754 4 роки тому +2

    Amina Chief Apostle powerful teachings. Ubarikiwe sana mtumishi, Mungu wa Major 1 akutunze na kukuongezea revelations.

  • @clairemuchai623
    @clairemuchai623 3 роки тому

    Moto xana

  • @grolyqueen5833
    @grolyqueen5833 3 роки тому

    Aliiiii aliiii Hakika kabisaaa

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper5235 3 роки тому

    Vimini kwa kweli mafundisho ni mazur sana ila unaowafundisha wengi safar yao si salama

  • @eunicefalex4403
    @eunicefalex4403 3 роки тому

    Ni kweli kabisa tatizo tunaangamia kwa kukosa maarifa

  • @lyingamwazyunga7823
    @lyingamwazyunga7823 4 роки тому

    Glory to God for bestowing his wisdom upon Chief Apostle. Best teachings and prophecy ever

  • @janiffermueni3213
    @janiffermueni3213 3 роки тому

    Wooow what a powerful message 💃💃💃💃💃u really bless me

  • @lovenessmushi9048
    @lovenessmushi9048 4 роки тому +1

    Baba Mtalemwa nimekuelewa vyema.asante sana umegonga kichwa cha msumari👌

  • @dorcasseruhere6875
    @dorcasseruhere6875 3 роки тому

    Amen. Mungu akubariki kwa somozuri

  • @getrudekimaro
    @getrudekimaro 4 роки тому +4

    Iyeee kashagwara😅😊Powerful teachings, chief wa watu🙏am so Blessed

  • @dinajoseph9960
    @dinajoseph9960 3 роки тому

    Namshukuru Mungu kwa ajili yako mtumishi hakika nimepona.

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Рік тому

    MUNGU akupe Mia la mingi,

  • @nuruduma4954
    @nuruduma4954 4 роки тому +1

    Hakika nimebarikiwa Sana! ubarikiwe Mtumishi wa Mungu!!

  • @kabelengegodfrey4009
    @kabelengegodfrey4009 4 роки тому

    Nimebarikiwa kaka mtumishi wa mungu injili sasa imekomaa zaidi Tupevitu vya mbinguni

  • @rimepeter789
    @rimepeter789 3 роки тому +1

    AMEN, am so blessed, God bless you sir 🙏

  • @joshuasaid2180
    @joshuasaid2180 3 роки тому

    Duh nimebarikiwa sana na hili somo jaman

  • @Neypaul01
    @Neypaul01 3 роки тому

    Woow.....am so blessed nimefrahi sana na nimebarikiwa mno....be blessed man of God

  • @lylianmguhi6132
    @lylianmguhi6132 4 роки тому +1

    Thank you Chief..
    Nimejifunza kitu kinacho nisaidia katika maisha yangu...God bless you Chief!!

  • @margaretkahunguka8198
    @margaretkahunguka8198 3 роки тому

    Powerful revelation,more grace man of God, I am blessed, from kenya

  • @filothiasirizabongo5767
    @filothiasirizabongo5767 4 роки тому

    Shetani shindwa kwa jina la yesu mwana wa mungu aliye hai

  • @jacquelinenyange5549
    @jacquelinenyange5549 4 роки тому +1

    Thank you Apostle
    Nimebarikiwa sana 🙏

  • @rihannabellion5636
    @rihannabellion5636 3 роки тому +1

    nimebarikiwa Ameeen

  • @frereirie2282
    @frereirie2282 3 роки тому

    Extrait de Kacou 141:Mungu anapenda China na Asia
    49 Dunia ni paradiso ya wanadini na wanasiasa na ndani yake ni vita na magonjwa na magonjwa ya milipuko. Na munapofikia hatua ya silaha za nyuklia, Mungu anawatumia magonjwa ya nyuklia kama nilivyotabiri mnamo 2002. Hospitali zitafungwa na mashule na mafamilia na vijiji vitafutwa. Watu watakimbia watu kama mtu anavyokimbia wanyama wakali wa porini. Paradiso yangu haiwezi kuwa ulimwengu huu chafu, unaokaa juu ya mabomu, ulimwengu huu unaogonjwa ambao umejaa uhalifu. [Kc.3v25]
    50 Mlinikataa lakini mutatoweka duniani pamoja na kumbukumbu yenu na siku moja, wajukuu wenu watashangaa kuona jinsi mulitenda. Katika miaka 100 au 200, kumbukumbu ya viongozi wenu wa kidini itafutwa kwa sababu kazi zao hazitokani na Mungu na nyote mtakwenda pamoja nao kuzimu ya milele ya Naraka. Munaonekana waaminifu na wakweli lakini nyinyi ni waongo kwa sababu ukweli unaotoka kwa Mungu ni hofu kwamba unaweza kuwa katika makosa. Wana wa Shetani hawaogopi lakini woga ya [kwenda] kuzimu hukaa ndani ya kila mwana wa Mungu. [Kc.130v21]

  • @elizabethmambai2072
    @elizabethmambai2072 3 роки тому

    Ameen

  • @jamesdioniz3243
    @jamesdioniz3243 4 роки тому +2

    Powerful teaching,am so blessed Chief Apostle

  • @LadyveenOfficial
    @LadyveenOfficial 4 роки тому +1

    Be blessed mtumishi wa Mungu,

  • @hon.johnmukoya2033
    @hon.johnmukoya2033 2 роки тому

    Great

  • @esthermngodo7055
    @esthermngodo7055 4 роки тому

    Powerful teachings!!

  • @luhekelondelwa9714
    @luhekelondelwa9714 3 роки тому

    Amina mtumish

  • @neyhmrs7704
    @neyhmrs7704 2 роки тому

    AMEEN

  • @johnnziu9362
    @johnnziu9362 Рік тому

    Good service

  • @oliviarevocatus9540
    @oliviarevocatus9540 4 роки тому

    Powerful man of God

  • @verymangapi2754
    @verymangapi2754 4 роки тому

    Nakuelewaga sana pastor

  • @mariahgaudence543
    @mariahgaudence543 4 роки тому +1

    What a wonderful revelations

  • @luckylukas8789
    @luckylukas8789 4 роки тому +1

    Amen chief

  • @sallymaritim9595
    @sallymaritim9595 3 роки тому

    Amen

  • @damariskasiga8258
    @damariskasiga8258 3 роки тому +1

    Am blessed 🙏🏾

  • @banzamukalay5396
    @banzamukalay5396 4 роки тому

    Amen mtumishi wa Mungu.

  • @nadiaserugo2595
    @nadiaserugo2595 4 роки тому

    Kweli iyo asante mungu mukubwa

  • @SupernaturalRevelations
    @SupernaturalRevelations 4 роки тому

    Powerful truth papa

  • @servantjosiahtv3129
    @servantjosiahtv3129 4 роки тому

    Oh yes..Chief apostle

  • @brightonsalvatory7941
    @brightonsalvatory7941 4 роки тому +1

    Dah wewe baba ni hatar sana mungu akubariki sana nimepona

  • @jemimahjamilay.m6239
    @jemimahjamilay.m6239 4 роки тому

    Nimekuelewa Chief Power

  • @florencengbebou2647
    @florencengbebou2647 3 роки тому

    5 Japo Mungu anapo kuwa kazini, kila tukio lashiriki pamoja. Kwa nini mgogoro huu nchini Ivory-Coast? Kwa nini harakati hii kuelekea Abidjan? Mvutio huu ni wa nini? Angalia Luka 2: 1-7, Kaisari Augusta alitoa amri ili iandikwe orodha ya majina kila mtu katika mji wake. Sababu gani? Yeye mwenyewe hakujua, lakini ilikuwa hivyo ili Bwana Yesu Kristo apate kuzaliwa Bethlehemu na unabii na zisichanganyike. Tulisikia, tulikuja kutazama na tumeona kupitia Maandiko ya kwamba mhubiri huyu ndiye aliyeahidiwa katika Matayo 25: 6 ni yeye tunapaswa kufuata. [Ndr: Kusanyiko linasema: « Amina! »].
    4 Japo kulingana na Matayo 25: 6, usiku wa manane kutasikika Kelele, mahubiri fupi ambayo yatachochea na kuamsha mabikira wa makesha saba. Na uamsho huu utampeleka Bibi Arusi hadi kunyakuliwa. Yesu Kristo atatembelea Afrika. Baada ya jua na umeme wa Matayo 24:27, mwezi na nyota zita ngaa. Isaya 30 itatimia. Na manabii wengi wanakubaliana ya kwamba uamsho fulani utatokea Ivory-Coast. Japo kwa wanyenyekevu wa moyo na roho, kwa wale wanao tarajia kunyakuliwa ya watakatifu, hii sio tena unabii bali jambo halisi. [Kc.133v13]
    #Nabiikacouphilippe

  • @latifarashidi3094
    @latifarashidi3094 4 роки тому +2

    Nimetakasika

  • @noelyaokoffi7869
    @noelyaokoffi7869 3 роки тому

    11 Mkatoliki anaweza kuchukua Meza takatifu ya Bwana katika Kanisa lolote la Katoliki duniani. Mubatisti anaweza kuchukua meza takatifu ya bwana katika Kanisa lolote la waBaptisti hapa duniani. Methodisti anaweza kuchukua Meza takatifu ya Bwana katika kanisa lolote la Methodisti hapa duniani. Lakini Mkatoliki haiwezi kuchukua Meza takatifu ya Bwana kuwabaptisti. Mubatisti hawezi kuchukua Meza takatifu ya Bwana kuwa Methodisti, kwenye kusanyiko la miungu... Na Bibilia inasema kwamba machafuko haya yote yanatoka kuzimu na yaenda kwenyi Hadezi. Ni nini? Ukristo ni ufalme wa Shetani. Na kila Jumapili, Shetani anaabudiwa katika makanisa yote ya ulimwengu kwa jina la Yesu. [ Ndr: Kusanyiko linasema, "Amina! "].
    Www. Philippekacou. Org

  • @marypaul1948
    @marypaul1948 4 роки тому +1

    amen may that be real in the name of jesus

  • @evaristmgimwa5770
    @evaristmgimwa5770 4 роки тому

    Powerful

  • @estherwambuies1782
    @estherwambuies1782 4 роки тому

    Amen Amen

  • @veem3912
    @veem3912 3 роки тому

    wow, just wow!

  • @topotachilemba9196
    @topotachilemba9196 3 роки тому

    I LIKE THIS PROPHETY

  • @philomenamushi3619
    @philomenamushi3619 4 роки тому

    Asante sana Chief kwa kutufunilia hili,hakika nimepona

  • @gershonerasto7824
    @gershonerasto7824 4 роки тому

    Amina baba

  • @anwarihamza4981
    @anwarihamza4981 4 роки тому

    Nikweli kabisa Mtu wa Mungu

  • @godianmande4920
    @godianmande4920 4 роки тому

    We thank God of Major1 for what he has done for Tz. Corona come not again!!

  • @dr.dishon2960
    @dr.dishon2960 4 роки тому

    Oooh yes!!

  • @marympemba8843
    @marympemba8843 4 роки тому

    Amina 🙏🙏

  • @patricktv8606
    @patricktv8606 Рік тому

    Thanks 👍

  • @faidaimmaculee28
    @faidaimmaculee28 4 роки тому

    AMEN mutumishiwamungu

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 4 роки тому

    Tunataka wachungaji kama Hawa wanawapa kitu Cha ziada

  • @danielchakutema824
    @danielchakutema824 4 роки тому

    Asante Apostle

  • @cwonlinetv7389
    @cwonlinetv7389 2 роки тому

    Asante

  • @millicentochieng8554
    @millicentochieng8554 4 роки тому

    Amen.

  • @thielyve
    @thielyve Рік тому

    😀😀😀😀😀

  • @cammyokinda1735
    @cammyokinda1735 3 роки тому

    Amen🙏🙏🙏