Mungu akubariki sana,hii injiri imenibariki sana ,sitakemea mtu tena mbali shetani aliye dani ya mtu,tanzania mumebarikiwa ,kumbe ndio maombi yangu inakawia kujipiwa,kwa kukemea mtu bandala ya pepo,mungu akuinue zaidi mchungaji
Tunamshukuru Mungu wa miungu ametenda..hakika vita vyetu si vya damu na nyama bali ni katika rohoo,there is power in targeting the right enemy..tunazidi kukomaa kiroho na kimwili..ECG ni FIREE
Shalom chief apostle kwanza namshukuru Mungu kwa ajili yako somo la kwanza nilichojifunza ninapoona tofauti kati yangu na ndugu yangu sio yeye ni shetani anamtumia kufarakanisha kwa hiyo namuona shetani ndani yake kwa hiyo sitagombana na ndugu yangu tena! Somo la pili Mimi niliumwa dalili zote za corona ila ndani yangu nikakataa kwa jina la Yesu sasa hivi ni mzima kabisa pia nilitumia tangawizi na limao namshukuru Mungu corona imeisha Tanzania Jina la bwana lihimidiwe
😆😆😆,hii ilikuwa kiboko, asante Yesu 🙏. Sasa kuna Ebola wanaturusha roho,mimi siwaelewi eti tukae tayari, Mara kuna wahisiwa yaani hapa ni kuanzia rohoni kumbabadua kitaeleweka.
Apo kwa mbirizi kiboko ya magonjwa, yaani Mungu anatupenda. Wameishatengeneza wanasema madhara yatatokea Mwezi wa saba. Tuendelee na maombi na Kashwagara
Is only today niliweka status ya kumkomesha alietumiwa na shetani kuniumiza.......nimelia kuomba then i open my youtube nakusikia hili somo khaaa nmedelete na nampigia mazee siwezi korofishana na mtu kisa shetani😆😆 not menagain.
Extrait de Kacou 141:Mungu anapenda China na Asia 49 Dunia ni paradiso ya wanadini na wanasiasa na ndani yake ni vita na magonjwa na magonjwa ya milipuko. Na munapofikia hatua ya silaha za nyuklia, Mungu anawatumia magonjwa ya nyuklia kama nilivyotabiri mnamo 2002. Hospitali zitafungwa na mashule na mafamilia na vijiji vitafutwa. Watu watakimbia watu kama mtu anavyokimbia wanyama wakali wa porini. Paradiso yangu haiwezi kuwa ulimwengu huu chafu, unaokaa juu ya mabomu, ulimwengu huu unaogonjwa ambao umejaa uhalifu. [Kc.3v25] 50 Mlinikataa lakini mutatoweka duniani pamoja na kumbukumbu yenu na siku moja, wajukuu wenu watashangaa kuona jinsi mulitenda. Katika miaka 100 au 200, kumbukumbu ya viongozi wenu wa kidini itafutwa kwa sababu kazi zao hazitokani na Mungu na nyote mtakwenda pamoja nao kuzimu ya milele ya Naraka. Munaonekana waaminifu na wakweli lakini nyinyi ni waongo kwa sababu ukweli unaotoka kwa Mungu ni hofu kwamba unaweza kuwa katika makosa. Wana wa Shetani hawaogopi lakini woga ya [kwenda] kuzimu hukaa ndani ya kila mwana wa Mungu. [Kc.130v21]
5 Japo Mungu anapo kuwa kazini, kila tukio lashiriki pamoja. Kwa nini mgogoro huu nchini Ivory-Coast? Kwa nini harakati hii kuelekea Abidjan? Mvutio huu ni wa nini? Angalia Luka 2: 1-7, Kaisari Augusta alitoa amri ili iandikwe orodha ya majina kila mtu katika mji wake. Sababu gani? Yeye mwenyewe hakujua, lakini ilikuwa hivyo ili Bwana Yesu Kristo apate kuzaliwa Bethlehemu na unabii na zisichanganyike. Tulisikia, tulikuja kutazama na tumeona kupitia Maandiko ya kwamba mhubiri huyu ndiye aliyeahidiwa katika Matayo 25: 6 ni yeye tunapaswa kufuata. [Ndr: Kusanyiko linasema: « Amina! »]. 4 Japo kulingana na Matayo 25: 6, usiku wa manane kutasikika Kelele, mahubiri fupi ambayo yatachochea na kuamsha mabikira wa makesha saba. Na uamsho huu utampeleka Bibi Arusi hadi kunyakuliwa. Yesu Kristo atatembelea Afrika. Baada ya jua na umeme wa Matayo 24:27, mwezi na nyota zita ngaa. Isaya 30 itatimia. Na manabii wengi wanakubaliana ya kwamba uamsho fulani utatokea Ivory-Coast. Japo kwa wanyenyekevu wa moyo na roho, kwa wale wanao tarajia kunyakuliwa ya watakatifu, hii sio tena unabii bali jambo halisi. [Kc.133v13] #Nabiikacouphilippe
11 Mkatoliki anaweza kuchukua Meza takatifu ya Bwana katika Kanisa lolote la Katoliki duniani. Mubatisti anaweza kuchukua meza takatifu ya bwana katika Kanisa lolote la waBaptisti hapa duniani. Methodisti anaweza kuchukua Meza takatifu ya Bwana katika kanisa lolote la Methodisti hapa duniani. Lakini Mkatoliki haiwezi kuchukua Meza takatifu ya Bwana kuwabaptisti. Mubatisti hawezi kuchukua Meza takatifu ya Bwana kuwa Methodisti, kwenye kusanyiko la miungu... Na Bibilia inasema kwamba machafuko haya yote yanatoka kuzimu na yaenda kwenyi Hadezi. Ni nini? Ukristo ni ufalme wa Shetani. Na kila Jumapili, Shetani anaabudiwa katika makanisa yote ya ulimwengu kwa jina la Yesu. [ Ndr: Kusanyiko linasema, "Amina! "]. Www. Philippekacou. Org
Kwa Mahubiri haya jmn naomba niwe member hapo kanisani 💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hakika Tanzania is favored 👏🏽👏🏽👏🏽
Mungu akubariki sana,hii injiri imenibariki sana ,sitakemea mtu tena mbali shetani aliye dani ya mtu,tanzania mumebarikiwa ,kumbe ndio maombi yangu inakawia kujipiwa,kwa kukemea mtu bandala ya pepo,mungu akuinue zaidi mchungaji
Nimechukua kitu hapo kitanisaidia sana barikiwa mtumishi
Tanzania nawapenda Bure Ur greatly gifted na Manabii wa Mungu...Live Long Tanzania....Wakenya Twawaenzi.
Tunamshukuru Mungu wa miungu ametenda..hakika vita vyetu si vya damu na nyama bali ni katika rohoo,there is power in targeting the right enemy..tunazidi kukomaa kiroho na kimwili..ECG ni FIREE
Oh oh oh oh baba na kupenda Niko Congo RDC🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Thanks pastor for a good work God bless you
Shalom chief apostle kwanza namshukuru Mungu kwa ajili yako somo la kwanza nilichojifunza ninapoona tofauti kati yangu na ndugu yangu sio yeye ni shetani anamtumia kufarakanisha kwa hiyo namuona shetani ndani yake kwa hiyo sitagombana na ndugu yangu tena! Somo la pili Mimi niliumwa dalili zote za corona ila ndani yangu nikakataa kwa jina la Yesu sasa hivi ni mzima kabisa pia nilitumia tangawizi na limao namshukuru Mungu corona imeisha Tanzania Jina la bwana lihimidiwe
Mahubili yako yananijenga kweli amen
Mimi lazima siku Moja nitafika ECG Darsalam nihudhurie ibada 🙏🙏 am soo blessed 🔥🔥
Mi huwa nakuelewagaa sanaa
LEO NIMEPATA UPONYAJI. AMEN PROPHET.
Shalom mtumishi
Hakika umesema kweli! Kama hiyo science anacheza nayo sana! Shetani shindwa in the mighty name of Jesus 🙏
Uko vizuri nakutakia utumishi mwema na ulio tukuka Duniani na Mbinguni.
Unanibariki sana nabii Mtalemwa
Umetisha mwanangu Mtalemwa salute Mungu anakutumia vilivyo tuko nyuma yako tunakuelewa sn mbona
Ufunuo mkubwa sanaa MTUMISHI
Asante sana mtumishi kwa ufunuo huu nimepata kitu kipya
Mungu ni mwema na anakusudi niyajue haya
MUNGU.NAOMBA.UNITUMIE.KWA.NGUVU.ZAKO.ZOTE.HASA.KWA.ROHO.YANGU.NAOMBA.KUJUA.SIRI.YA.BINGUNI.NIWRZESHE.JEHOVA.NAOMBA.AMEN.
❤Namshukuru Bwana kunifunulia haya.Bwana Akusimamishe
😆😆😆,hii ilikuwa kiboko, asante Yesu 🙏.
Sasa kuna Ebola wanaturusha roho,mimi siwaelewi eti tukae tayari,
Mara kuna wahisiwa yaani hapa ni kuanzia rohoni kumbabadua kitaeleweka.
Kwa hakaki watazania mmebarikiwa natafute bwana mtazania be blessed man of God
Mbona huwa tunasikia wakenya mwenye pesa ndio baba?halafu wan awake Wa Kenya mnajua kupigana sana
Thank you so much Apostle, may the Almighty continue to increase you 🙏
Barikiwa Mtumishi wa Mungu
Thank you man of God,my faith is uplifted,God bless you.praying for more anointing.
Apo kwa mbirizi kiboko ya magonjwa, yaani Mungu anatupenda. Wameishatengeneza wanasema madhara yatatokea Mwezi wa saba. Tuendelee na maombi na Kashwagara
Mtumishi was Mungu aliyehai, UNANIBARIKI sanaaa, Mungu azidi kukutumia.
Nabarikiwa sana
Ubarikiwe mtumishi.
Is only today niliweka status ya kumkomesha alietumiwa na shetani kuniumiza.......nimelia kuomba then i open my youtube nakusikia hili somo khaaa nmedelete na nampigia mazee siwezi korofishana na mtu kisa shetani😆😆 not menagain.
Mtumishi uje ufundishe somo la uvaaji naona wanadada wengi wemevaa suruali wamepaka brich wameshevu madenge wakemee
Unaeleweka sana mtumishi
nimekukubali pasta. mimi nimuchristu arakini nimekutana namapasta wajaja sikukua nawakubali arakini nimekubali kweli unaneno ramungu ndio kitu napenda kusikiliza sana ubalikie namungu akujyaze nguvu
You make me happy apostle mtalemwa 🤣😂👃
Amina Chief Apostle powerful teachings. Ubarikiwe sana mtumishi, Mungu wa Major 1 akutunze na kukuongezea revelations.
Mungu akubariki sana mcha Mungu amen Apostle Kabwika
Moto xana
Aliiiii aliiii Hakika kabisaaa
Vimini kwa kweli mafundisho ni mazur sana ila unaowafundisha wengi safar yao si salama
Ni kweli kabisa tatizo tunaangamia kwa kukosa maarifa
Glory to God for bestowing his wisdom upon Chief Apostle. Best teachings and prophecy ever
Wooow what a powerful message 💃💃💃💃💃u really bless me
Baba Mtalemwa nimekuelewa vyema.asante sana umegonga kichwa cha msumari👌
Amen. Mungu akubariki kwa somozuri
Iyeee kashagwara😅😊Powerful teachings, chief wa watu🙏am so Blessed
Namshukuru Mungu kwa ajili yako mtumishi hakika nimepona.
MUNGU akupe Mia la mingi,
Hakika nimebarikiwa Sana! ubarikiwe Mtumishi wa Mungu!!
Nimebarikiwa kaka mtumishi wa mungu injili sasa imekomaa zaidi Tupevitu vya mbinguni
AMEN, am so blessed, God bless you sir 🙏
Duh nimebarikiwa sana na hili somo jaman
Woow.....am so blessed nimefrahi sana na nimebarikiwa mno....be blessed man of God
Thank you Chief..
Nimejifunza kitu kinacho nisaidia katika maisha yangu...God bless you Chief!!
Barikiwa mtumishi
Powerful revelation,more grace man of God, I am blessed, from kenya
Shetani shindwa kwa jina la yesu mwana wa mungu aliye hai
Thank you Apostle
Nimebarikiwa sana 🙏
nimebarikiwa Ameeen
Extrait de Kacou 141:Mungu anapenda China na Asia
49 Dunia ni paradiso ya wanadini na wanasiasa na ndani yake ni vita na magonjwa na magonjwa ya milipuko. Na munapofikia hatua ya silaha za nyuklia, Mungu anawatumia magonjwa ya nyuklia kama nilivyotabiri mnamo 2002. Hospitali zitafungwa na mashule na mafamilia na vijiji vitafutwa. Watu watakimbia watu kama mtu anavyokimbia wanyama wakali wa porini. Paradiso yangu haiwezi kuwa ulimwengu huu chafu, unaokaa juu ya mabomu, ulimwengu huu unaogonjwa ambao umejaa uhalifu. [Kc.3v25]
50 Mlinikataa lakini mutatoweka duniani pamoja na kumbukumbu yenu na siku moja, wajukuu wenu watashangaa kuona jinsi mulitenda. Katika miaka 100 au 200, kumbukumbu ya viongozi wenu wa kidini itafutwa kwa sababu kazi zao hazitokani na Mungu na nyote mtakwenda pamoja nao kuzimu ya milele ya Naraka. Munaonekana waaminifu na wakweli lakini nyinyi ni waongo kwa sababu ukweli unaotoka kwa Mungu ni hofu kwamba unaweza kuwa katika makosa. Wana wa Shetani hawaogopi lakini woga ya [kwenda] kuzimu hukaa ndani ya kila mwana wa Mungu. [Kc.130v21]
Ameen
Powerful teaching,am so blessed Chief Apostle
Neno lako ni njia kwangu,barikiwa sana mtumishi
Be blessed mtumishi wa Mungu,
Great
Powerful teachings!!
Amina mtumish
AMEEN
Good service
Powerful man of God
Nakuelewaga sana pastor
What a wonderful revelations
Amen chief
Amen
Am blessed 🙏🏾
Amen mtumishi wa Mungu.
Kweli iyo asante mungu mukubwa
Powerful truth papa
Oh yes..Chief apostle
Dah wewe baba ni hatar sana mungu akubariki sana nimepona
Nimebarikiwa mtumishi
Amina pastor hi imenigusa
Nimekuelewa Chief Power
5 Japo Mungu anapo kuwa kazini, kila tukio lashiriki pamoja. Kwa nini mgogoro huu nchini Ivory-Coast? Kwa nini harakati hii kuelekea Abidjan? Mvutio huu ni wa nini? Angalia Luka 2: 1-7, Kaisari Augusta alitoa amri ili iandikwe orodha ya majina kila mtu katika mji wake. Sababu gani? Yeye mwenyewe hakujua, lakini ilikuwa hivyo ili Bwana Yesu Kristo apate kuzaliwa Bethlehemu na unabii na zisichanganyike. Tulisikia, tulikuja kutazama na tumeona kupitia Maandiko ya kwamba mhubiri huyu ndiye aliyeahidiwa katika Matayo 25: 6 ni yeye tunapaswa kufuata. [Ndr: Kusanyiko linasema: « Amina! »].
4 Japo kulingana na Matayo 25: 6, usiku wa manane kutasikika Kelele, mahubiri fupi ambayo yatachochea na kuamsha mabikira wa makesha saba. Na uamsho huu utampeleka Bibi Arusi hadi kunyakuliwa. Yesu Kristo atatembelea Afrika. Baada ya jua na umeme wa Matayo 24:27, mwezi na nyota zita ngaa. Isaya 30 itatimia. Na manabii wengi wanakubaliana ya kwamba uamsho fulani utatokea Ivory-Coast. Japo kwa wanyenyekevu wa moyo na roho, kwa wale wanao tarajia kunyakuliwa ya watakatifu, hii sio tena unabii bali jambo halisi. [Kc.133v13]
#Nabiikacouphilippe
Nimetakasika
11 Mkatoliki anaweza kuchukua Meza takatifu ya Bwana katika Kanisa lolote la Katoliki duniani. Mubatisti anaweza kuchukua meza takatifu ya bwana katika Kanisa lolote la waBaptisti hapa duniani. Methodisti anaweza kuchukua Meza takatifu ya Bwana katika kanisa lolote la Methodisti hapa duniani. Lakini Mkatoliki haiwezi kuchukua Meza takatifu ya Bwana kuwabaptisti. Mubatisti hawezi kuchukua Meza takatifu ya Bwana kuwa Methodisti, kwenye kusanyiko la miungu... Na Bibilia inasema kwamba machafuko haya yote yanatoka kuzimu na yaenda kwenyi Hadezi. Ni nini? Ukristo ni ufalme wa Shetani. Na kila Jumapili, Shetani anaabudiwa katika makanisa yote ya ulimwengu kwa jina la Yesu. [ Ndr: Kusanyiko linasema, "Amina! "].
Www. Philippekacou. Org
amen may that be real in the name of jesus
Powerful
Amen Amen
wow, just wow!
I LIKE THIS PROPHETY
Asante sana Chief kwa kutufunilia hili,hakika nimepona
Ubarikiwe sana chief umenifundisha kitu
Amina baba
Nikweli kabisa Mtu wa Mungu
We thank God of Major1 for what he has done for Tz. Corona come not again!!
Oooh yes!!
Amina 🙏🙏
Thanks 👍
AMEN mutumishiwamungu
Tunataka wachungaji kama Hawa wanawapa kitu Cha ziada
Asante Apostle
Asante
Amen.
😀😀😀😀😀
Amen🙏🙏🙏