LIVE:MASANJA ANAHUBIRI KANISANI KWAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 лют 2021
  • LIVE:MASANJA ANAHUBIRI KANISANI KWAKE

КОМЕНТАРІ • 270

  • @hellenmachibya2681
    @hellenmachibya2681 Рік тому

    Mungu akubariki mtumishi wa mungu,,ndugu wanaume mjifunze neno hapa

  • @Hillaryedith7
    @Hillaryedith7 3 роки тому +4

    Semina ya wanaume .madhabahu yake imetengenezwa kiume zaidi so acheni kulaumu na kuhukumu sana sana sikiliza mafundisho utajifunza kitu .

  • @felisterkioko
    @felisterkioko Рік тому

    Mungu akubari sana naakuinue.kiwango kikubwa . amen

  • @emmamusa8367
    @emmamusa8367 Рік тому

    Hallelujah 🙏🙏 2nakuwelewa San m2mmish

  • @kulwacharles5795
    @kulwacharles5795 3 роки тому +3

    Nakubal sana, Masanja unajua Mungu azidi kukupa kibali zaidi 🙏🙏🙏🙏

  • @barakalusindedomtz8599
    @barakalusindedomtz8599 3 роки тому +3

    Sijui niseme nini ila kama ni kwel wito wa Mungu basi Mungu acha aitwe Mungu maana ana njia nyingi za kupeleka ujumbe kwa watu wake Tumuombe sana Mungu na kusoma maandiko maana bila neno kila kitu kwako au kwetu ni giza tupu.

  • @mosesmalone2235
    @mosesmalone2235 3 роки тому +1

    Ndugu wa pendwa ktk kristo yesu hii ni mizaha ktk makanisa namaigizo. Mbona watunisha misuli kanisan

    • @sarahamos8524
      @sarahamos8524 3 роки тому

      Alie wa rohon ataelewa tu

    • @user-tv9gm7yz7w
      @user-tv9gm7yz7w 2 місяці тому

      Balikwa Sana hii ndyo lnjili tunayo taka Amina

    • @user-tv9gm7yz7w
      @user-tv9gm7yz7w 2 місяці тому

      1:00:40 Yesu kirisito alikuwa jasili Kama Asikofu Masanja pia Goliati . Nk.

  • @arafaswalehe4660
    @arafaswalehe4660 3 роки тому +4

    Nafikili anae tukana hamjui MUNGU ni nani,,anafikili MUNGU ni kama mwanadamu,pole! MUNGU wetu niroho,nahaoni kama mwanadamu aonavyo kwani mwanadamu huangalia nje!

  • @vedastovaleliani8153
    @vedastovaleliani8153 3 роки тому +4

    Umeongea ukweli sula ya mwanaume inazungumza. Lakini hata matendo ya muhubili yanazungumza kuliko maneno yake. Kama muonekano wako na mahubili yako Ni vitu viwili tofauti.

  • @Hopestone_counselling_point.
    @Hopestone_counselling_point. 3 роки тому +5

    Mungu hawi radhi na wapumbavu, endeleeni kufanya upumbavu kwa kuleta mizaha mbele zake. Mungu wetu ni mkuu mnoo na ni moto ulao

    • @paulmzule4885
      @paulmzule4885 3 роки тому

      Sasa kafanya mizaha gani apa, wewe umekariri kwa sababu masanja ni komedi.

    • @godmremi3558
      @godmremi3558 3 роки тому

      Unamsema Vibaya Mchungaji Masanja Hujitambui Maana Hakuna Kibaya Anachokihubiri..

    • @Hopestone_counselling_point.
      @Hopestone_counselling_point. 3 роки тому

      @@godmremi3558 ibada kwa Mungu mtakatifu lazima iwe ya kicho otherwise unaabudu kitu kingine

    • @edinanchimbi702
      @edinanchimbi702 3 роки тому

      @@Hopestone_counselling_point. umekariri fani yake kariri basi na matendo yake anayosema ndio anavyotenda.

    • @tatunyasulu8627
      @tatunyasulu8627 3 роки тому

      @@Hopestone_counselling_point. msabato pole

  • @badieakida8351
    @badieakida8351 2 роки тому

    Pastor masanja ahsante Sana nimefurahi kusikiliza ibada yako ni mimi BADI AKIDA nawaombea kwa mungu sana

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 2 роки тому +1

    ndo mana watu wanatembea uchi kwa kudhani eti mungu anaangalia roho...ndk Yesu akasemaa kuna watu watasaga meno siku ga mwisho

  • @lonyorilaizer8159
    @lonyorilaizer8159 Рік тому

    Hongera sana Pastor Masanja,somo zuri sana

  • @hamisilumona7163
    @hamisilumona7163 3 роки тому +2

    Kweli ndugu Masanja umeongea mazuri sana kuhusu maisha. Watu wengi hawataki kujituma kwa kutafuta maisha, wengi wanatamani ku appear kama jinsi wanavyokuona ila hawajui history yako. Mungu akubariki na anibariki na mimi. Pia anipe nguvu mpya na mafuta mabichi tena juu yangu. Amen.

    • @nelsonmgaya4320
      @nelsonmgaya4320 3 роки тому +1

      Usipimie bonge la ibada paster wataelewa songa mbeleeee!

  • @user-pq9fd5bt5x
    @user-pq9fd5bt5x 5 місяців тому

    Barikiwa sana mtumishi wa mungu tuko pamoja

  • @Oneofhiskind123
    @Oneofhiskind123 3 роки тому

    Pastor wewe noma piga injiri ya christo kweli Mungu akikuinua walio kutemea mate jana watakutamani quote "are u still thinking about what u told me" amen

  • @shittostar1182
    @shittostar1182 3 роки тому +4

    Mtumishi Emmanuel Mgaya, namtukuza sana kwa ajili yako, maana nikikuona wewe namuona Mungu ndani yako, naisikia sauti ya Kristo ndani yako.
    Chapa kazi ya God iende mbele mm niko nyuma yako nikikuombea.
    Barikiwa sana.

  • @imanmsangawale4078
    @imanmsangawale4078 2 роки тому +1

    Nabalikiwa nà mahubil

  • @makavelimkuchi2967
    @makavelimkuchi2967 3 роки тому +2

    Ubarikiwe sana kwani mnaosema mavazi yamefanyeje sikilizeni neno

  • @reubenismail3672
    @reubenismail3672 3 роки тому +3

    Mahubiri mazuri Sana!usikate tamaa zaidi piga moyo konde!

  • @davidgwagula2029
    @davidgwagula2029 3 роки тому +1

    Ukichagua kuuza utumbo usiogope inzi piga kazi masanja

  • @agnesschirstian9226
    @agnesschirstian9226 3 роки тому +1

    Mimi ninakupongeza kijana, namna hii wako watakaokuja kukushangaa ma watajikuta wamenasa. Barikiwa saana.

  • @danfordmwangesile9043
    @danfordmwangesile9043 3 роки тому

    Ahsante sana kwa neno lako hakika tupo wengi tumetoka huko ulikotoka ko mie nakuelewa sana mtumishi wa Mungu

  • @justineonline6556
    @justineonline6556 3 роки тому +5

    Mavazi hayo mtumishi , Mungu akusaidie maana unapokuwa madhabahuni Hasa mchungaji lazima uwe na nidhamu ya mavazi unapokuwa kwenye madhabahuni , nihayo tuu mtumishi,,,

    • @renatusmlokozi3633
      @renatusmlokozi3633 3 роки тому +1

      Mungu anatazama moyo na si mavaz amka ww

    • @justineonline6556
      @justineonline6556 3 роки тому

      @@renatusmlokozi3633 renatus utapotea ukisema hivyo , masanja Ni mtu mwenye uwezo wake , ashindwi kununua nguo nzur Kama suti au suruali nzuri ya kitambaa pamoja na shati zuri la kitambaa akavaa nakupendeza madhabahuni , lakini Cha ajabu anavaa ovalori Sasa hi sio sawa napia Kama mtumishi wa Mungu lazima uyaheshimu madhabahu na ubadilike kabisa , ila siku za mwisho hizi , Kama wanaona wako sahihi tuwaache na ibada zao ..

    • @japhethgeriad4519
      @japhethgeriad4519 3 роки тому +1

      @@renatusmlokozi3633 unaweza kwenda kanisani uchi?

    • @renatusmlokozi3633
      @renatusmlokozi3633 3 роки тому

      @@japhethgeriad4519 Kwan masanja hapo yupo uchi,ukienda uchi huo Ni uchiz wako,kuvaa nguo za kubana sanaaaa,na kuvaa nguo oversize kama watoto was Arusha Ni sign ya kuvuta bang

    • @renatusmlokozi3633
      @renatusmlokozi3633 3 роки тому

      Mtumishi yupo saw,tunapenda mbinguni kwa moyo saf na si kwa kuwa mm Ni mkristo au muislam Wala shekh Wala Padre,utajisikiaje mtu unajua huyu n Malaya was kutupwa alaf soon unamkuta mbingun

  • @shijamakenzi3051
    @shijamakenzi3051 3 роки тому +1

    Masanja bwana hebu punguza maneno ya kihuni unapohubiri unaposema mwanangu si msela wew nguo hizo ulizovaa unatisha mtumishi

    • @godmremi3558
      @godmremi3558 3 роки тому

      Mtumishi Anasimama Kama Baba Kwa Hiyo Kusema Wanangu Sio Kosa Na Pia Ameonyesha Yeye Ni Mchapa Kazi Na Katika Mavazi Yake Hayana Dhambi.

  • @sarahmichael7538
    @sarahmichael7538 3 роки тому +5

    Safi sana Mch.. Emmanuel

  • @liberatuselisha5040
    @liberatuselisha5040 3 роки тому +2

    Nimekukubali mtumishi wa MUNGU

  • @pst.latsonmusa1512
    @pst.latsonmusa1512 3 роки тому +2

    Safi sana pastor injili lazima ihubiriwe

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 3 роки тому +1

    Nimeipenda sana hii. Barikiwa mtumishi wa Mungu.

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 3 роки тому +1

    Kazi kweli kweli yaani mtu kakusanya whuni wafanye maigizo kisha wawahi mtandaoni kuja kutengeneza praise comments.
    Aise waislam hawatakagi huu upuuzi.

    • @emmaponera225
      @emmaponera225 3 роки тому +1

      Hujaelewa na hutaelewa yasiyokuhusu acha,mafundisho haya ni msingi inawezekana na ww upo kwenye kundi la kiume

    • @lukamwambalaswa4463
      @lukamwambalaswa4463 3 роки тому +1

      Akili yako bado

  • @kalubisubira7182
    @kalubisubira7182 3 роки тому

    Asante xn pastor kwa mahubiri yako ya kujenga,,.....

  • @manyaraspringwater8807
    @manyaraspringwater8807 3 роки тому +2

    Sharti injili ihubiriwe

  • @pastoreliedhahaule4562
    @pastoreliedhahaule4562 2 роки тому +1

    Vizuli pastor mungu mwema

  • @mosesmalone2235
    @mosesmalone2235 3 роки тому +2

    Mbona mavitambaa mbaka hukunyuma ni ya mini. Heshim madhabahu

  • @yohanaandrew336
    @yohanaandrew336 3 роки тому +2

    Mahubili ya leo yanahitaji vitendo Safi mchungaji kwa neno zuri

  • @Oneofhiskind123
    @Oneofhiskind123 3 роки тому

    Msiwe na roho ya hofu ameen pastor 👏👏👏

  • @frankraphael3765
    @frankraphael3765 3 роки тому +2

    Working real hard is what successful people do!

  • @thomasmuyya7221
    @thomasmuyya7221 3 роки тому +1

    This is fantastic vijana wanahitaji ujumbe huu.

  • @suzanajilala2871
    @suzanajilala2871 3 роки тому +1

    AMEN MCHUGAJI WETU,

  • @tithomtitu32
    @tithomtitu32 3 роки тому +2

    Wengi wameshindwa kumuekewa muchungaji masanja kwasabubu ya mavaz but me nimeelewa kuwa somo unalolifundusha limeendana na mavaz ili kuweka mkazo kuwa vijana ni lazima ufanye kaz so asingeweza kufundisha somo huku ye kavaa suti

    • @godmremi3558
      @godmremi3558 3 роки тому +1

      Goood Kuna Watu Wasio Waelewa Bwana Maana Wanamuhukumu Kwa Mavazi Bila Kutazama Ujumbe.

  • @godfreyally7787
    @godfreyally7787 3 роки тому

    Mbonge la ibada ubarikiwe Sana mtumishi👏🏾👏🏾

  • @peterivandaud496
    @peterivandaud496 3 роки тому +7

    Unapo jaji kitu n lazima usikilize lengo nadhumuni lahuyo unaemdisi ili uwe nahoja zenye nguvu usijaji usichokielewa. Pastor Mungu Akubariki Sana.

    • @shijamakenzi3051
      @shijamakenzi3051 3 роки тому +1

      Hata kuvaa kwa sitaaha bibilia iko wazi unaninginiza kitambaa kirefu mfuko wa nyuma na swaga za kihuni nn maana yake kweli nyie walokole sijuwi wokovu gan huo

    • @Hopestone_counselling_point.
      @Hopestone_counselling_point. 3 роки тому

      @@shijamakenzi3051 vijana wanafikiri Mungu wetu ni wa lelemama, shetani mwenyewe ana uwezo wa kuhubiri na kuongea makubwa kumhusu Mungu ila matendo na nia yake vinamuangusha

    • @edinanchimbi702
      @edinanchimbi702 3 роки тому

      @@shijamakenzi3051 mungu ni roho na wamwabudio wanamwabudu kwa roho si nguo

    • @shijamakenzi3051
      @shijamakenzi3051 3 роки тому

      @@edinanchimbi702 yesu anasema manabi wa uongo wengi watakuja kwa jina langu wakifanya miujiza mikubwa hakika yametimia tunaona kwa macho na mwenye macho haambiwi tazama leo tunashuhudia utitili wa makanisa mengi yakiwa na wachungaji feki wakitapeli watu kwa kutumia bibilia kupata pesa miujiza ya kitapeli imetamalaki mara mafuta ya upako utauziwa maji yanauzwa leo hii na mambo mengi tu ya kihuni tutawatambua kwa matendo yao kama huyo masanja ovyoo kabisa

    • @edinanchimbi702
      @edinanchimbi702 3 роки тому

      @@shijamakenzi3051 kijana funguka usiangalie vazi lake angalia utu wake wa ndani. Yesu angeangalia hayo asikubali kupanguswa miguu na nywele za yule kahaba. Na wala Masanja hajasisitiza uagalie vazi lake, amesisitiza kufanya jazi si neno lake. Kama hutaki ipo siku utaelewa tu wala si mafuta tofautisha

  • @florakiondo8557
    @florakiondo8557 3 роки тому +1

    Barikiwa Sana mtu wa Mungu.

  • @iweningogoofficial3733
    @iweningogoofficial3733 3 роки тому +6

    Ameeni baba

  • @BarakaMwalukasa-jz9ut
    @BarakaMwalukasa-jz9ut Місяць тому

    Barikiwa sana

  • @renatusmlokozi3633
    @renatusmlokozi3633 3 роки тому +2

    Bilian Sunday nzur hyo pga mpunga mpaka malaika mbinguni warukeruke

  • @josephmahundi2252
    @josephmahundi2252 3 роки тому

    Nime kua muumini wako nanina furahiahwa sana nawewe Mungu akusaidie sana katika Safari yako

  • @salmahassan3521
    @salmahassan3521 3 роки тому

    Masanja hacha kuchanganya watu, huwezi kumpendeza Mungu na wanadamu

    • @daudimahenge4384
      @daudimahenge4384 3 роки тому

      Sisi tunafuata nyayo za Yesu maana yeye alimpendeza Mungu na wanadam

  • @emanueldaud2360
    @emanueldaud2360 3 роки тому +1

    Umeongeaa vzr wajina ubarikiwe

  • @Hillaryedith7
    @Hillaryedith7 3 роки тому +2

    Mungu awabariki mtumishi Massanja na mke wako . I appreciate your work.

  • @ModestusKasanga
    @ModestusKasanga 2 місяці тому

    Mm
    Nikukibari
    Nitakukaribisha
    Kanisan

  • @judithcha-mushala8852
    @judithcha-mushala8852 3 роки тому

    Nguo ya mchungaji!!! Yaani hapo unaonekana kama unaenda kuendesha katapila, vaa nguo nzuri madhabahuni zanazoonyesha utukufu.

    • @emmaponera225
      @emmaponera225 3 роки тому

      Utukufu ni vazi au roho yako jitafakari ww unayejionyesha kwa nje

  • @emmanuellwilson8705
    @emmanuellwilson8705 3 роки тому

    Barikiw pastor kwa somo zuri

  • @Hillaryedith7
    @Hillaryedith7 3 роки тому +5

    Nadhani hii ilikuwa semina ya wanaume na vijana. Angalia hata jinsi walivyotengeneza stage imekaa shuguli za wanaume

  • @peterkihongosi1966
    @peterkihongosi1966 3 роки тому +1

    Safi sana mchungaji masanja.

  • @anthonyjoseph4979
    @anthonyjoseph4979 2 роки тому

    Ameen

  • @geraldramadhani8487
    @geraldramadhani8487 3 роки тому +2

    Vazi lako kiutumishi mimi mwenyewe sijaelewa unatufundisha nn ila neno nimekuelewa punguza swaga uendane Na utumish

    • @goegymchugaji2629
      @goegymchugaji2629 3 роки тому

      Rohon simuon kabisa huyu mtumish

    • @georgegeofley9595
      @georgegeofley9595 3 роки тому +1

      Hilo vaz ni la kazi na amevaa kudemostrate kufanya kaz hasa wanaume mana ilikuwa ni siku ya wanaume

    • @childrengospelmissiontanza1474
      @childrengospelmissiontanza1474 3 роки тому

      Kuna watu wana vichwa vigumuuuu,hawajui neno linaendana na demonstration ilikuwa siku maalum

  • @renatusmlokozi3633
    @renatusmlokozi3633 3 роки тому +5

    Kanisan au tanroad mbona Alana kibao

  • @nassibuduma7162
    @nassibuduma7162 3 роки тому +2

    Kazi kazi piga mzigo kaka

  • @saumudaniel9051
    @saumudaniel9051 Рік тому

    Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️

  • @furahajoy3168
    @furahajoy3168 3 роки тому +2

    Amen amen

  • @msalikemediaonline
    @msalikemediaonline 3 роки тому +1

    Bodgad yupo makin💪🕴️

  • @furahahappe1641
    @furahahappe1641 3 роки тому +1

    Hhahaha , kila la kheri Masanja. Hilo tunda hapo sasa

  • @EngJosh
    @EngJosh 3 роки тому +4

    Kanisa la wahuni

  • @danielmwasi5450
    @danielmwasi5450 3 роки тому +2

    Hao walinzi wanini? Wachungaji Waldo bhana

  • @lameckmathias1188
    @lameckmathias1188 3 роки тому +1

    Ujumbe umefika mwenye masikio na asikie

  • @aminially5123
    @aminially5123 3 роки тому +5

    Zecomedy church.

  • @lazarogatahwa1106
    @lazarogatahwa1106 3 роки тому +2

    Ibaaba gan hizo wanatuvalia kofia kihun Kia's hicho mungu awarehem

    • @benedictorchoma7101
      @benedictorchoma7101 3 роки тому +1

      @@apostlej.rministiryprophet2219 Zingatia fungu la 7,1 Wakorintho 11:1,3-4,7
      [1]Mnifuate mimi kama mimi ninavyomfuata Kristo.
      [3]Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.
      [4]Kila mwanamume, asalipo, au anapohutubu, naye amefunikwa kichwa, yuaaibisha kichwa chake.
      [7]Kwa maana kweli haimpasi mwanamume kufunikwa kichwa, kwa sababu yeye ni mfano na utukufu wa Mungu. Lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume.

    • @benedictorchoma7101
      @benedictorchoma7101 3 роки тому +1

      Naomba unipe hilo andiko lako wewe la kunifungua akili,,, halafu usabato unahusikaje na fungu nililotuma? Au nipe andiko linaloruhusu kuvaa kofia wakati unahubiri,,au linalopinga hilo fungu nililolitoa

    • @benedictorchoma7101
      @benedictorchoma7101 3 роки тому +1

      Hakuna andiko linalokataza kuvaa suruali ILA lipo linazuia kuvaa kofia au kujifunika kichwa na sababu zikatolewa mpendwa,,

    • @benedictorchoma7101
      @benedictorchoma7101 3 роки тому +1

      Halafu Mimi Naamini kuwa Masanja pia kuna vitu kahubiri ni vizuri ILA UWASILISHAJI wa vitu baadhi si Sawa,, mfano anakuwa na mabodyguard,kuvaa kofia vyote hivyo ni UDHAIFU tu,ambao anapaswa afanyie marekebisho

    • @emmaponera225
      @emmaponera225 3 роки тому +1

      Sioni tatizo hiyo ni semina toka na ujumbe sio mavazi

  • @susankasyoka853
    @susankasyoka853 2 роки тому

    Amina Amina kweli kabisa

  • @tamaraseff.9707
    @tamaraseff.9707 3 роки тому +2

    Amen

  • @revsulemanigerardjonas4098
    @revsulemanigerardjonas4098 3 роки тому +3

    Fantastic

  • @wivinemwamini9110
    @wivinemwamini9110 3 роки тому +1

    Amen mutumishi

  • @naimanwilliam1049
    @naimanwilliam1049 3 роки тому +1

    Hapo hapo mchungaji umetisha

  • @godfreyishengoma6732
    @godfreyishengoma6732 3 роки тому

    Asanteee sana mchungaji kwa ujumbe mzuri

  • @EngJosh
    @EngJosh 3 роки тому +8

    Mwenye akili timamu za kiroho kuingia hilo kanisa HAIWEZEKANI.

    • @Hopestone_counselling_point.
      @Hopestone_counselling_point. 3 роки тому +2

      Exactly

    • @godmremi3558
      @godmremi3558 3 роки тому +2

      Wewe Usiingie Maana Wewe Unajiona Mtakatifu Sana Masanja Mungu Amembariki Na Anafundisha Ukweli Maana Anahubiri Maisha Yalivyo....

    • @Hopestone_counselling_point.
      @Hopestone_counselling_point. 3 роки тому +2

      @@godmremi3558 tatizo la wasiopenda kufikiri ni kwamba ukiwaambia ukweli maana yake ni unajifanya mtakatifu

    • @renatusmlokozi3633
      @renatusmlokozi3633 3 роки тому +1

      @@Hopestone_counselling_point. Imekuwa Mungu Sasa unahukumu,kwa taarifa yako naisubir bilian Sunday,napga masong ya kumsifu mungu kwa moyo then nakandamiza kipunga mwanawane mpaka Raha,mungu kambark Ni mtumishi alaf anapesa Tena mkulima,jmn Mungu w w ujawah kutuangusha,unavyotubark yaan naomba niendelee kuwa mtoto wako mwema nisiame mbinguni

    • @renatusmlokozi3633
      @renatusmlokozi3633 3 роки тому

      @@godmremi3558 mzee bilian Sunday lini boss

  • @josephsanga7667
    @josephsanga7667 3 роки тому

    Barikiwa sana paster

  • @wolfugangtesha5724
    @wolfugangtesha5724 3 роки тому +1

    Nzuri sana hii

  • @agustinocharles2650
    @agustinocharles2650 3 роки тому +1

    God is good

  • @razalolazaoo6362
    @razalolazaoo6362 3 роки тому +1

    Ama kweli wanao izalau dini nawale wanao ijuwa dini hizo nguo hazistahili hata uzishike lakini ww unavaaa tena Kanisani istoshe mazabahuni uwiiiiiiiiii mnamuabudu mungu yupi huyoooo

    • @godmremi3558
      @godmremi3558 3 роки тому +1

      Mungu Anaehubiriwa Ni Yule Aliesema Asiefanya Kazi Na Asile...

    • @emmaponera225
      @emmaponera225 3 роки тому +1

      We ni mjinga kwani kavaa uchi jielewe

  • @saumudaniel9051
    @saumudaniel9051 Рік тому

    Hallelujah 🙏🙏🙏🙏🙏❤️

  • @gilbertclavery3895
    @gilbertclavery3895 3 роки тому +1

    Mmm mavazi hayo mnaalibu taswira ya utumishi mabodigadi sasa duu

  • @josephmwaluko9205
    @josephmwaluko9205 3 роки тому +1

    Uyo sio mungu uyo ni masanja sikiliza mafundisho alivo vaa inakuusu nn ukimjadili mtumishi aytokusaidia kitu utakosa kitu kizur

  • @godmremi3558
    @godmremi3558 3 роки тому +3

    MCHUNGAJI EMANUEL MGAYA HAKIKA MUNGU AMEKUINUA USIJALI KEBEHI ZAO MAANA HATA DAUDI ALIPOTANGAZA VITA NA GOLIATH WALIMBEZA LAKINI ALIMSHINDA GOLIATH BILA KUANGALIA KEBEHI ZAO.

  • @kitumbondindindi4344
    @kitumbondindindi4344 3 роки тому

    yani mimi nikionaga mabodigadi 😎😎huwa natilia mashaka

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji8982 3 роки тому +2

    Nguo sasa, kama gereji ila poa ujumbe uko vizuri

  • @charlesnurumwasha7834
    @charlesnurumwasha7834 3 роки тому +1

    Mungu naomba nisamehe kama nitakuwa nakosea. '' Hivi huyo Baunsa anafanya nini hapo???

  • @ashelimichael7913
    @ashelimichael7913 3 роки тому +2

    Do hyo suliali umetisha kwel na kaleso kwenye mfuko wa nyuma hahaha

  • @baruanhasan8193
    @baruanhasan8193 Місяць тому

    Mahubili Yako yametulia lakini hizo nguo sio usilete uhuni madhabahuni yaani Hadi watu wamevaa kofia kanisani sijakuelewa kabisa

  • @liberatussylvanus5477
    @liberatussylvanus5477 3 роки тому +1

    Mimi naona mchungaji ukosawa mbonakwenye mamkanisayenu Hadi mnakatika viuno Sasa mnashangaa walinzi kwalipi? Ametoa maneno yamaana abarikiwesana maana mlisha zora pokeeeeeeeeeeeeeeeaaaaaaaaaaa!

  • @kingdonald3312
    @kingdonald3312 3 роки тому

    uwaga nakukubali sasa kaka ubarikiwe sana

  • @angelachisongela9925
    @angelachisongela9925 3 роки тому

    Ni kweli kabisa Mchungaji

  • @jacksonsimon4453
    @jacksonsimon4453 3 роки тому +1

    Amina

  • @amrubinannasannas9185
    @amrubinannasannas9185 3 роки тому +3

    Heeeee hii dini kweli jamani
    Mpaka huyu jamani mchungaji

    • @emmaponera225
      @emmaponera225 3 роки тому +1

      Ulitaka ww uwe mchungaji ?hata Yesu aliambiwa huyu si mwana wa selemala

  • @bensonbenezeth
    @bensonbenezeth 3 роки тому

    Vazi ni utambulisho masanja, umehubiri vyema lakini unayemuhubiri akili yake itakuwa imewaza Mara mbili mbili

  • @liberatussylvanus5477
    @liberatussylvanus5477 3 роки тому

    Ukosawa mtumishi

  • @stephanomwizalubi9619
    @stephanomwizalubi9619 3 роки тому +2

    Duuu walinzi hadi kanisani

  • @hoseakavubu2844
    @hoseakavubu2844 3 роки тому +1

    Kwa hio nae amefungua kanisa lake
    Feel Free Church. Walokole wanaroho ya usaliti

    • @DrNick-hg6il
      @DrNick-hg6il 3 роки тому +1

      ROHO YA USALITI WAKATI WANAHUBIRI INJILI, TATIZO SIYO MTU KUANZISHA KANISA , KAMA ANAHUBIRI YALIYO HAKI KWANI KUNATATIZO GANI?

  • @jamessteven5293
    @jamessteven5293 3 роки тому

    Sijui kweli hili kanisa l

  • @salmahassan3521
    @salmahassan3521 3 роки тому

    Monica mtoto wa kisukuma una kazi ya kufanya hapo, Ulaya kumemuharibu mume wako

  • @lameckonunga4599
    @lameckonunga4599 2 роки тому

    Hayo Ni mavazi gani kwa madhabahu?