NILIPATA MTOTO NIKIWA NA MIAKA 15 / DR KUMBUKA NI BABA MTOTO WANGU, SIPENDI MWANAUME ANAONGEA SANA
Вставка
- Опубліковано 14 лип 2021
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
Anpendeza akiwa hivi cool big up sis
yani katika interview zote hii masha amekuwa mtulivu sana
Kumbe masha love she's so cool n polite
ni mafua bro.. otherwise huh?
Jamani masha ongeyeni naye kiswahil mwanzo mwisho
@Fatma Karama link ya nini sister hii?
Mshukuru Mungu Masha, mimi mtoto wangu, nalipa ada mwenyewe, namvalisha mwenyewe, kila kitu mwenyewe na mimi ni single mother, na ukimuona mtoto wangu utafikiri Ana huduma pande mbili lakini haijawahi kutokea hicho kitu, na juzi Ada haijaisha bado miezi sita iishe mtoto kasema shule hawasomi malengo yake hayata timia nisije mlaumu baadae, ada haikurudishwa ya miezi sita, nimemtafutia shule nyingine nimelipa ada upya ya Mwaka mzima, sasaivi yupo uko anasoma, tuulize sisi wenzio, tujenge na mishahara hiyohiyo, tupendezeshe mtoto na mimi mwenyewe kiukweli najipenda na pesa hiyohiyo, Mshukuru Allah Masha ndugu yangu 👏
Hongera kipenzi daaaah kuna mda hofu huwa inanishika ila naamini Mungu atanitendea
@@bettymwasa1079 Usijali mpenzi, usiogope kabisa, na hivi nimepata mchumba na siogopi kushere nae Mungu ndio muweza wa kila jambo,ikiwa rizk yangu basi atanioa na kama hatooa bac sio Rizik yangu kipenzi, ila natemea mazuri toka kwake inshallah 🙏
Aise unanipa moyo wa kuzidi kusimama' barikiwa
Masha Leo umitulia uko vzuri🤣 lakini nakupenda bure love
More love from 🇰🇪🇰🇪❤️,show iko😘
Hapa nimependa da Masha utaratibu ,polite unajibu Kwa umakini congrat
sasa masha unanyaka 25 so 28 mana mtoto ananyaka 13 ulipata mimba na 15 sasa 15+13=28 leo ati una 25 mme alokuowa ana 23 sija alewa mimi masha kwa kweli.
Kumbe kuna.muda unakua MTU eeeh big up sana dadake
Masha nakupenda dada
50000 siku 3 daah watu wanaachiwa 6000 siku 3😂😂😂 ni hela nyingi sana hyo na mshukuru Mungu maana kuna wengine hawapew kabisa.
Aniulize mimi...kuna wanawake hawana shukran jmn..dah..50?
Yan hajielewi ht chembe na ndomana hawapatani na dr kumbuka
Ajabu nayo 50,000 sku tatu aitoshei😂😂😂😂😂😂 masha looooh!🤨
Mh masha kumbe ww unataka upewe lak kila bada 3 kua nahuruma wengine hatuion
Apo ndobaazi ya wanawake wanafeli kwani mtoto niwakwangu pekeangu eti elfu 50 kwa siku tatu bado haitoshi 😂😂 ndomaana nasemaga baazi ya wanawake wakizaa nawanaume yule mtoto wa na fanya kama kitega uchumi chake kwedraaa bora ata dida umemchana ukweli nawengine wajue ilooo
Dida tena😂😂😂 sio masham sham mpenzi
Dida tena😀😀😀
😂😂😂 ila wanawake tuna moyo maana kudate na kumbuka mchambaji😂😂😂
Mashaallah mashaaa leo unaonge vizr
Basi kumbe mnasaidiana mtoto lazima msaidiane kuhudumia vizuli sana
Nawarudienetu....ama waonaje...
Kuna mahojiano DK kumbuka aliwahi kusema Mtoto alozaa na Masha alikufa au walizaa watoto wawili
Vicha wote yy na dk🤣🤣
Mimi naona wanatu changanya 2😅😅😅🤣🤣🤣
Siwezi kumkumbusha mtu majukumu yake km yeye anajijuwa ni baba basi mm km mm nitalea mwenyewe
Love you both
We have to help each other
Life is too hard 💔
Masha leo nimekupenda umeongea kistarabu xana kama sio ww
Anaumwa
@@zainabukhamisi8076 😂😂😂😂😂
Yaan afu ni mtu amBaye anaujasili waivyo kwenye kuongea ni ngembe tu za kutafutia ugali😂😂😂 nimempenda bule kumbe hata kwa wakwe atajituliza
Masha alianza mahusiano akiwa na Miaka 15 ila sai mnamsema Paula ameanza mahusiano akiwa mdogo na yy sai ako 18, na Bado hajazaa, tulieni wambea Paula ni mtu mzima sai
Yani kumbuka hapo anamakosa kisheria kabaka kabisaaa alitakiwa kwanza afunguliwe mashtaka yakumbaka na kumzalisha mtoto
Umeambiwa KUMBUKA siomwanaumewake wakwanza
Hahaha kumbuka njooo hukuu kunasalamuu zakooo hukuuuu
@@rizikiabdalla3308 kabisa
Kabla ya magu sheria ilikua inamruhusu binti kuolewa from 14 years as long as ameridhia so case ya kubaka haiapply
@@minzamariamcasmir189 ,
Kumbe we mdada mpole 😍😍
Lazima awe responsible fully. Yeye baba. Hata kama mama ana kazi ni wajib wa baba. Mama iwe anaongeza tuu kwa mapenzi yake. Lakini wajibu ni wa baba
Jichanganye ndio maana wanaume siku hatuoi maana baadh ya wanawake mmetugeuza ATM.Elf50 Kwa siku tatu
Duuh bora uliachka
Wanawake kama nyingi mko wengi sana...sijui pesa zenu mnataka kujenga kijijini kwenu.
Dada umeenda shule kweli' ?? Akli yako 0 ,,,hyo mtoto atajivunia nin kwa mama Kam hata Mia yako humpi untegemea kwa baba Ake kila kitu thaman yako itakuwa iko wapi kwa mtoto..halfu akikuwa mkubwa unataka akuhudumie ...jitambuen wanawake wa kiafrika hizo dhan zimebadilika Now Ni 50/50 ktk uchumi ktk kila kitu hampaswi kuwa jengea chuki watoto bila sbbu baadae utasikia nililelewa na single mother.nimejifunza kitu sio kuoA tuu hata wanawake wa kuzaa nao inabidi tuchhunge Sanaa wanaume wenzangu
Yaaan Narudia Tena kafanye ..Mental health check-up Mirembe hospital
@@amaniomballa1855 mama darja yake haitaki shilingi pumbavu wewe. Kumbeba miezi tisa na kumzaa kwa uchungu mkali , kumnyonyesha na kumlea unaviweza wewe. Allah kampandisha darja mama mara 3 halafu baba. Leo kutoa huduma mavi ya mdomo yamekutoka. Pumbav zako. Leeni mtoe huduma acheni ushoga. Kuweni marijali
Nimependa sana huyu dada anaongea vizuri hajamnanga mzazi mwenzie
Mashallah masha muzuri munoo iseee
Masha umepenzaaa sana
Mbn leo katulia iv kumbe anaheshim media
Diva ka sauti mashallah ❤❤❤❤
Usingemuuliza hilo swali Kumbuka anatoa shs ngapi tungeona huyu fala anaonewa
Kabisa... Wanawake wanapenda kutupakazia sana
Masha hajielewi jmn kuna wenzako ht iyo 10 kwa cku 3 hawapati mshukuru mungu ndo mana Dr kumbuka anasemage ww chizi, loho ada nusu wenzio ht iyo theruthi hawaipati wanapambana wenyewe loh.
Manshallah murembo
Namtetea masha mwanaume iliukamilike kuitwa mwanaume utakiwi kuyakimbia majukum yako kwaiyo uyo kumbuka inatakiwa alipe hada yote ,kazi yamasha nikumlea mtoto nakusaidia vitu vidogo vidogo iyondo kaz yamwanamke .
Hivi ninyi wanawake mkojee?? Why Alipe Ada yote yy pekee na mtoto Ni wao wote mwanaume nae ana majukum yake huko kwake,, halfu na mtoto kamchukua ana kaa nae hyo mtoto Akiwa mkubwa Tena ndio kwanza Ataanza kutangaza Nimelelewa na single mother cjui baba hakunitunza kila huduma atapeleka kwa mama Ake yaan wanawake wa kiafrika Wana kasumba na huwajaza chuki watoto ebu fikilia mtu Anatum 50 evn a three days na Ada Analipa lakn bado mama Anatangaza ahudumii mtoto hyo mtoto Anakula pesa ebu mtu pumzishe jamn tukiachan wazazi ugomvi usiwahusishe watoto jamn hayo maisha ya kumtegemea baba kwa kila kitu yamepitwa na wakat jaman si mlitaka 50/50 na
Mimi kama mwanamke nakataa. Wanawake achaneni na hii mentality. Majukumu ya familia ni ya wote wawili, kwanini ada liwe jukumu la mwanaume. Ndio maana wanaume wanaendelea kuwashusha chini na kuwanyanyasa. Hii ni 2021. Hebu tuachane na mentality za mabibi zetu. Kama Kumbuka anaweza tuma elfu 50 baada ya siku tatu, hapo utasema haudumii vya kutosha kweli? Huyu Kumbuka mwenyewe kwa pesa gani aliyonayo. Mtoto walizaa wote, wahudumie wote. PERIOD!
@@joank7929 Bora wewe unaye jitambua Mimi nahisi Ni Elimu pia changamoto Hawa dada zetu Elimu sio kwa Ajili ya kuajiliwa tuu jaman hizi Ni Athari ya ujinga ..hivi mtoto umemuweka tumbon miezi 9 hujiskij vibaya mwanaume kumuhudumia peke ake Raha na fura ya mzazi Ni kutoa Ulicho nacho. Kwa Ajili ya mwanao..ata mtoto pia ataon thaman yako kma mama.
Nyiyi kaeni naimani zenu ,kwasababu atamimi pia hii ni imani yangu kwaiyo kilamtu abaki naimani yake
@@amaniomballa1855 mwanaume ndo anajukumu la kulea watoto, acheni ujinga hapa.
Masha vula🥰🥰🥰
Siku tatu efu amsini arafu unasema audumii wewe niurize mimi😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂hata mia sijewahi pewa n wala ajali
Tz wa Dada ni warembo mashallah
Masha, mara umeishia darasa la nne, mara la saba, so which is which?
Nyie ndio amjui Masha ni kweli amezaa na kumbuka ila kilicho fanya kumbuka amkatae mtt wa Masha ni bahada ya Masha kumuita shoga ndio sababu kubwa ya kumbuka kumususa mtoto Alie zaa na masha
Ngoj jibu atakalo letewa na kumbuk 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Nakupenda
Huyu dada haeleweki alisema anamiaka 20 then amesoma na Ben Paul na mtoto wake anamiaka 13😲😲
Masha mshukuru Mungu 50000 kwa siku tatu nyingi sana wenzako 20000 ni kwa mwezi
😀😀😀😀😀
Miaka 13 ya mtoto na miaka 15 yamama jumlisheni apo tupate umri wamasha don dadaetu😀😀😀😀
Af jana lasema anamiaka 25 😀😀😀
Ila so mkubwa kumbe bado kadogo tu
@@saadacharasaada1958 unapata 28!
Halafu mnamutukana Paula ni Malaya ameanza wanaume akiwa mdogo, haya sikilizeni kwa Masha love alizaa akiwa na miaka 15 na alianza kulala na wanaume akiwa miaka 13. Kula bata Paula.
umeongea vzr xana
Nmempenda zangu mashalove wangu 🏊♀️😌
Kumbe kumbuka Alibaka
KUMBUKA alikutanjia ishakuwa nyeupe 🤣🤣
Et elfu 50 n kidogo kwa siku 3 hii miwanawake hii bure kabasa
MIAKA KUMI NA TANO, UNAAMBIWA KUMBUKA SIO WA KWANZA, DUUUH.. UTAKUA NA SUGU WEWE.
Uoni ilo domo
😄😄😄😄😄
@@mdalamgir-gu9hu noma sana..atakua katoka na semi tatu huyu
Kwasababu yeye kasema! Kuna maajabu ukifunuliwa uyaone utashtuka watu wanaanza toka std 1.
Mutaratibu yeye mashallah lakini Sasa siku laumu ila wewe umekufuru mungu dada kwa kukata maziwa kuna risk sana
Kidogo nimeona hii ananifanya niwezee kumfatilia ikiwa anadilii na vituu vyaa jamii na sio upumbavu nitakupenda naa nitakusikiliza
Wote akili zao sawa mtoto mungu amnusuru
Masha filamu ya turufu imekubadilisha hadi raa umekuwa mtaratiiibu
Dr kumbuka kumbe ulitembea namtoto mdogo, 😯
C naye alikuwa kakijana mdogo enzi hizo🤣🤣🤣
Unaulizwa mlifanyaje mpaka mukapata mtato😂😂😂😂
Saidia mzazi mwenzako 😂
Mm namshaur tu masha angerudsha roho wakaishi pmja najulea MTT hakuna alokua hakoseei masha mpz mm nishabiki yako hongera kwakupndeza mwaaaaa
Wachekesha wewe love udumiwe nyoooooko ww😜
Masha ❤️💖
Hahahaha amenichekesha miaka kumi 5 mwanaume sio wakwanza 😂😂😂😂😂😂
Diva unajua kuwatuliza watu ,huuyo masha katulia
Eti akimuhudumia mtoto wake anihudumie na Mimi hahahaha
Masha ma nyonyo mrembo sana 😍😍😍😍😍
Diva ilove you
Jamani masha mashallalh
Umeanza kuchezea rugu kitambo!!!!!miaka 15!!!!!!!
😁😁😁chiz ww
Dada upo saw uki tulia namependa ila baba mtoto yupo sawa
Masha 😂😂😂 akiudumiya mtot akudumiye nawew we moto sasa
Shosti kawa mpole leo😂
Hahahaha
😂😂
Kama sio yeye vile masha kapole😃😃
Ni hatar
Elfu 50 huyo mtu wewe ndo hujatulia mm ningekuwa natoka elfu 15 kwa siku 3
Hi jamani kweri
Jmn masha kapendeza
Kumbe huyu Dada ni mpole kiac hiki ss ule mcharuko anaupataga wapi
Km sie vile
Hahaha eeehh Leo amikaa vzuri hana mambo mengi
Umaarufu unakazi kuutafuta
Île nikazi ndo inampa ugali
Tatizo maziwa
Masha usituzingue,eti unamume mwengine kisha Dr kumbuka akuudumie,ulisikia wapi wewe
yaa inamana gani Tuwe tunatumia kiswahili Moja KWA Moja vipindi
Haaaah wewe 50000 Kwa sku3 jamani wewe Dada unaona ndogo kaah ulitaka million jamaniii
Yaani miaka 15 lkn ulishakuwa na madanga mengine
Mimi mwenyewe nimeshangaa
Kumbe mashalove Ni mtulivu hivi 😅🤲 sikutegemea
Usapoti mtoto na mama wakatimumeachana hatakamamumeachana
Hahha nimecheka et anihudumie mmh nilichokielewa hapo ni kwamba baba anahudumia sema kunachembembe za mapenz hapa
Muongo huyu miaka 15 ya yeye kuzaa na miaka 13 ya mtoto jumla 28 ndio miaka yake 😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Diva una changanya maisha na kidhungu chako
Hizo kope zimeharibu dada
Kumbe huyu Dada mpole khaaa
Iyo mikope sasa
Miaka kumi na tano Dk kumbuka alikuwa sio mwanaume wako wa kwanza hatar sana
DK.kumbuka Hana kosa hapo
50000 ndogo mmmh kazikwe rikweri naaikiwawezakoata miya100 awapewi
Huyu masha leo mulimfunda kabla ya mahojiano? Maana kawa mpoleee! Hadi amekua mtamu
Kumbe masha mkubw ana myaka 28
Dr kumbuka nasubili majibu
Pita na kwangu
Dr kumbuka ulibaka hahahahaja
Diva ajifanya Mzungu tu ongea Swahili tu
Mchnane huyo
Ila leo umekwama Diva mtu anaumwa si ungemuacha apone kwanza???
Mtangazaj upo vzr ata udumiwaje na yye
Yani wewe Masha umechemka tafuta sababu nyingine KWA mzazi mwenzio LAkama umemis miuno yake Ya uzazi hapo sawa
Masha manyonyo
Mpumbavu sana kumbe huyu mama, elfu hamsini kwa siku tatu hutoshekii haaaa, wenzio iyoo hawaipati, et anataka ahudumiwe na yeye we si unapesa zako ukimfukuza ushasahau na broo zako
Halafu mna mtukana paula wakat mtaani miaka 15 tuu watu wanapakuliwa
Hahaha
Mtoto anatakiwa kulipiwa full school fees na matumizi yote na baba yake
C hd uwe na iyo bahati
Km sio yy vile alivyotulia
🤣🤣🤣🤣
Kumbe unahudumiwa unajishaua tuuu hamsini kwa cku tatu nyingi saana