NILIPATA MTOTO NIKIWA NA MIAKA 15 / DR KUMBUKA NI BABA MTOTO WANGU, SIPENDI MWANAUME ANAONGEA SANA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 14 лип 2021
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 188

  • @fadyaabdulhakim1896
    @fadyaabdulhakim1896 3 роки тому +29

    Anpendeza akiwa hivi cool big up sis

  • @omjaber5959
    @omjaber5959 3 роки тому +23

    yani katika interview zote hii masha amekuwa mtulivu sana

  • @bigbossmanbossman6946
    @bigbossmanbossman6946 3 роки тому +36

    Kumbe masha love she's so cool n polite

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 роки тому +10

    Mshukuru Mungu Masha, mimi mtoto wangu, nalipa ada mwenyewe, namvalisha mwenyewe, kila kitu mwenyewe na mimi ni single mother, na ukimuona mtoto wangu utafikiri Ana huduma pande mbili lakini haijawahi kutokea hicho kitu, na juzi Ada haijaisha bado miezi sita iishe mtoto kasema shule hawasomi malengo yake hayata timia nisije mlaumu baadae, ada haikurudishwa ya miezi sita, nimemtafutia shule nyingine nimelipa ada upya ya Mwaka mzima, sasaivi yupo uko anasoma, tuulize sisi wenzio, tujenge na mishahara hiyohiyo, tupendezeshe mtoto na mimi mwenyewe kiukweli najipenda na pesa hiyohiyo, Mshukuru Allah Masha ndugu yangu 👏

    • @bettymwasa1079
      @bettymwasa1079 2 роки тому

      Hongera kipenzi daaaah kuna mda hofu huwa inanishika ila naamini Mungu atanitendea

    • @saumusalimuhassan2499
      @saumusalimuhassan2499 2 роки тому

      @@bettymwasa1079 Usijali mpenzi, usiogope kabisa, na hivi nimepata mchumba na siogopi kushere nae Mungu ndio muweza wa kila jambo,ikiwa rizk yangu basi atanioa na kama hatooa bac sio Rizik yangu kipenzi, ila natemea mazuri toka kwake inshallah 🙏

    • @bettymwasa1079
      @bettymwasa1079 2 роки тому

      Aise unanipa moyo wa kuzidi kusimama' barikiwa

  • @fatushabdi2786
    @fatushabdi2786 3 роки тому +29

    Masha Leo umitulia uko vzuri🤣 lakini nakupenda bure love

  • @judythasiko8648
    @judythasiko8648 3 роки тому +17

    More love from 🇰🇪🇰🇪❤️,show iko😘

  • @biommy6700
    @biommy6700 3 роки тому +4

    Hapa nimependa da Masha utaratibu ,polite unajibu Kwa umakini congrat

  • @asmdori7579
    @asmdori7579 3 роки тому +6

    sasa masha unanyaka 25 so 28 mana mtoto ananyaka 13 ulipata mimba na 15 sasa 15+13=28 leo ati una 25 mme alokuowa ana 23 sija alewa mimi masha kwa kweli.

  • @emmy85sweetie99
    @emmy85sweetie99 3 роки тому +13

    Kumbe kuna.muda unakua MTU eeeh big up sana dadake

  • @shekhamohammed416
    @shekhamohammed416 3 роки тому +3

    Masha nakupenda dada

  • @sekelamwambungu356
    @sekelamwambungu356 3 роки тому +13

    50000 siku 3 daah watu wanaachiwa 6000 siku 3😂😂😂 ni hela nyingi sana hyo na mshukuru Mungu maana kuna wengine hawapew kabisa.

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 3 роки тому +1

      Aniulize mimi...kuna wanawake hawana shukran jmn..dah..50?

    • @violethmapunda3500
      @violethmapunda3500 3 роки тому

      Yan hajielewi ht chembe na ndomana hawapatani na dr kumbuka

    • @happymgatha1942
      @happymgatha1942 2 роки тому

      Ajabu nayo 50,000 sku tatu aitoshei😂😂😂😂😂😂 masha looooh!🤨

    • @lucyhusein4043
      @lucyhusein4043 2 роки тому

      Mh masha kumbe ww unataka upewe lak kila bada 3 kua nahuruma wengine hatuion

  • @eliudijastini645
    @eliudijastini645 3 роки тому +20

    Apo ndobaazi ya wanawake wanafeli kwani mtoto niwakwangu pekeangu eti elfu 50 kwa siku tatu bado haitoshi 😂😂 ndomaana nasemaga baazi ya wanawake wakizaa nawanaume yule mtoto wa na fanya kama kitega uchumi chake kwedraaa bora ata dida umemchana ukweli nawengine wajue ilooo

  • @joycechaz2840
    @joycechaz2840 3 роки тому +6

    😂😂😂 ila wanawake tuna moyo maana kudate na kumbuka mchambaji😂😂😂

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 2 роки тому +2

    Mashaallah mashaaa leo unaonge vizr

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 3 роки тому +8

    Basi kumbe mnasaidiana mtoto lazima msaidiane kuhudumia vizuli sana

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 3 роки тому +6

    Kuna mahojiano DK kumbuka aliwahi kusema Mtoto alozaa na Masha alikufa au walizaa watoto wawili

    • @Ryoof-qo7if
      @Ryoof-qo7if 3 роки тому +2

      Vicha wote yy na dk🤣🤣

    • @roseuwambe893
      @roseuwambe893 3 роки тому

      Mimi naona wanatu changanya 2😅😅😅🤣🤣🤣

  • @fatmakiruwasha2378
    @fatmakiruwasha2378 3 роки тому +4

    Siwezi kumkumbusha mtu majukumu yake km yeye anajijuwa ni baba basi mm km mm nitalea mwenyewe

  • @aishaaboud4406
    @aishaaboud4406 2 роки тому +3

    Love you both
    We have to help each other
    Life is too hard 💔

  • @bettyobedy8938
    @bettyobedy8938 3 роки тому +7

    Masha leo nimekupenda umeongea kistarabu xana kama sio ww

    • @zainabukhamisi8076
      @zainabukhamisi8076 3 роки тому +1

      Anaumwa

    • @dangotee5051
      @dangotee5051 3 роки тому +1

      @@zainabukhamisi8076 😂😂😂😂😂

    • @annastaziasanga9699
      @annastaziasanga9699 3 роки тому +1

      Yaan afu ni mtu amBaye anaujasili waivyo kwenye kuongea ni ngembe tu za kutafutia ugali😂😂😂 nimempenda bule kumbe hata kwa wakwe atajituliza

  • @dan_platnumz8790
    @dan_platnumz8790 3 роки тому +2

    Masha alianza mahusiano akiwa na Miaka 15 ila sai mnamsema Paula ameanza mahusiano akiwa mdogo na yy sai ako 18, na Bado hajazaa, tulieni wambea Paula ni mtu mzima sai

  • @agnesdidas2790
    @agnesdidas2790 3 роки тому +8

    Yani kumbuka hapo anamakosa kisheria kabaka kabisaaa alitakiwa kwanza afunguliwe mashtaka yakumbaka na kumzalisha mtoto

    • @fatemaligalawa1918
      @fatemaligalawa1918 3 роки тому +4

      Umeambiwa KUMBUKA siomwanaumewake wakwanza

    • @rizikiabdalla3308
      @rizikiabdalla3308 3 роки тому +2

      Hahaha kumbuka njooo hukuu kunasalamuu zakooo hukuuuu

    • @mwangiakila8020
      @mwangiakila8020 3 роки тому

      @@rizikiabdalla3308 kabisa

    • @minzamariamcasmir189
      @minzamariamcasmir189 3 роки тому +1

      Kabla ya magu sheria ilikua inamruhusu binti kuolewa from 14 years as long as ameridhia so case ya kubaka haiapply

    • @lucymtui6712
      @lucymtui6712 3 роки тому

      @@minzamariamcasmir189 ,

  • @kanboi5
    @kanboi5 3 роки тому +9

    Kumbe we mdada mpole 😍😍

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf 3 роки тому +4

    Lazima awe responsible fully. Yeye baba. Hata kama mama ana kazi ni wajib wa baba. Mama iwe anaongeza tuu kwa mapenzi yake. Lakini wajibu ni wa baba

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 3 роки тому

      Jichanganye ndio maana wanaume siku hatuoi maana baadh ya wanawake mmetugeuza ATM.Elf50 Kwa siku tatu
      Duuh bora uliachka

    • @abdulsinga2464
      @abdulsinga2464 3 роки тому

      Wanawake kama nyingi mko wengi sana...sijui pesa zenu mnataka kujenga kijijini kwenu.

    • @amaniomballa1855
      @amaniomballa1855 3 роки тому

      Dada umeenda shule kweli' ?? Akli yako 0 ,,,hyo mtoto atajivunia nin kwa mama Kam hata Mia yako humpi untegemea kwa baba Ake kila kitu thaman yako itakuwa iko wapi kwa mtoto..halfu akikuwa mkubwa unataka akuhudumie ...jitambuen wanawake wa kiafrika hizo dhan zimebadilika Now Ni 50/50 ktk uchumi ktk kila kitu hampaswi kuwa jengea chuki watoto bila sbbu baadae utasikia nililelewa na single mother.nimejifunza kitu sio kuoA tuu hata wanawake wa kuzaa nao inabidi tuchhunge Sanaa wanaume wenzangu

    • @amaniomballa1855
      @amaniomballa1855 3 роки тому

      Yaaan Narudia Tena kafanye ..Mental health check-up Mirembe hospital

    • @Queen-be1uf
      @Queen-be1uf 3 роки тому

      @@amaniomballa1855 mama darja yake haitaki shilingi pumbavu wewe. Kumbeba miezi tisa na kumzaa kwa uchungu mkali , kumnyonyesha na kumlea unaviweza wewe. Allah kampandisha darja mama mara 3 halafu baba. Leo kutoa huduma mavi ya mdomo yamekutoka. Pumbav zako. Leeni mtoe huduma acheni ushoga. Kuweni marijali

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi2425 2 роки тому +3

    Nimependa sana huyu dada anaongea vizuri hajamnanga mzazi mwenzie

  • @chainbre275
    @chainbre275 3 роки тому +3

    Mashallah masha muzuri munoo iseee

  • @princehancesam9892
    @princehancesam9892 3 роки тому +4

    Mbn leo katulia iv kumbe anaheshim media

  • @angelbwija9547
    @angelbwija9547 3 роки тому +2

    Diva ka sauti mashallah ❤❤❤❤

  • @MarcoPolo-ol2lz
    @MarcoPolo-ol2lz 3 роки тому +8

    Usingemuuliza hilo swali Kumbuka anatoa shs ngapi tungeona huyu fala anaonewa

    • @badmanno.1650
      @badmanno.1650 3 роки тому

      Kabisa... Wanawake wanapenda kutupakazia sana

  • @violethmapunda3500
    @violethmapunda3500 3 роки тому

    Masha hajielewi jmn kuna wenzako ht iyo 10 kwa cku 3 hawapati mshukuru mungu ndo mana Dr kumbuka anasemage ww chizi, loho ada nusu wenzio ht iyo theruthi hawaipati wanapambana wenyewe loh.

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 2 роки тому +1

    Manshallah murembo

  • @maisarakaitaba4347
    @maisarakaitaba4347 3 роки тому +11

    Namtetea masha mwanaume iliukamilike kuitwa mwanaume utakiwi kuyakimbia majukum yako kwaiyo uyo kumbuka inatakiwa alipe hada yote ,kazi yamasha nikumlea mtoto nakusaidia vitu vidogo vidogo iyondo kaz yamwanamke .

    • @amaniomballa1855
      @amaniomballa1855 3 роки тому

      Hivi ninyi wanawake mkojee?? Why Alipe Ada yote yy pekee na mtoto Ni wao wote mwanaume nae ana majukum yake huko kwake,, halfu na mtoto kamchukua ana kaa nae hyo mtoto Akiwa mkubwa Tena ndio kwanza Ataanza kutangaza Nimelelewa na single mother cjui baba hakunitunza kila huduma atapeleka kwa mama Ake yaan wanawake wa kiafrika Wana kasumba na huwajaza chuki watoto ebu fikilia mtu Anatum 50 evn a three days na Ada Analipa lakn bado mama Anatangaza ahudumii mtoto hyo mtoto Anakula pesa ebu mtu pumzishe jamn tukiachan wazazi ugomvi usiwahusishe watoto jamn hayo maisha ya kumtegemea baba kwa kila kitu yamepitwa na wakat jaman si mlitaka 50/50 na

    • @joank7929
      @joank7929 3 роки тому

      Mimi kama mwanamke nakataa. Wanawake achaneni na hii mentality. Majukumu ya familia ni ya wote wawili, kwanini ada liwe jukumu la mwanaume. Ndio maana wanaume wanaendelea kuwashusha chini na kuwanyanyasa. Hii ni 2021. Hebu tuachane na mentality za mabibi zetu. Kama Kumbuka anaweza tuma elfu 50 baada ya siku tatu, hapo utasema haudumii vya kutosha kweli? Huyu Kumbuka mwenyewe kwa pesa gani aliyonayo. Mtoto walizaa wote, wahudumie wote. PERIOD!

    • @amaniomballa1855
      @amaniomballa1855 3 роки тому

      @@joank7929 Bora wewe unaye jitambua Mimi nahisi Ni Elimu pia changamoto Hawa dada zetu Elimu sio kwa Ajili ya kuajiliwa tuu jaman hizi Ni Athari ya ujinga ..hivi mtoto umemuweka tumbon miezi 9 hujiskij vibaya mwanaume kumuhudumia peke ake Raha na fura ya mzazi Ni kutoa Ulicho nacho. Kwa Ajili ya mwanao..ata mtoto pia ataon thaman yako kma mama.

    • @maisarakaitaba4347
      @maisarakaitaba4347 3 роки тому

      Nyiyi kaeni naimani zenu ,kwasababu atamimi pia hii ni imani yangu kwaiyo kilamtu abaki naimani yake

    • @rose_Winchester86
      @rose_Winchester86 3 роки тому

      @@amaniomballa1855 mwanaume ndo anajukumu la kulea watoto, acheni ujinga hapa.

  • @nurahyusuph9771
    @nurahyusuph9771 3 роки тому

    Masha vula🥰🥰🥰

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko5096 3 роки тому +7

    Siku tatu efu amsini arafu unasema audumii wewe niurize mimi😂😂😂😂😂😂😂

  • @aishambise6529
    @aishambise6529 3 роки тому

    Tz wa Dada ni warembo mashallah

  • @Fetty-i1v
    @Fetty-i1v 3 місяці тому

    Masha, mara umeishia darasa la nne, mara la saba, so which is which?

  • @user-bu5gb8rk6j
    @user-bu5gb8rk6j 2 місяці тому

    Nyie ndio amjui Masha ni kweli amezaa na kumbuka ila kilicho fanya kumbuka amkatae mtt wa Masha ni bahada ya Masha kumuita shoga ndio sababu kubwa ya kumbuka kumususa mtoto Alie zaa na masha

  • @mwajumahamisi2006
    @mwajumahamisi2006 3 роки тому +3

    Ngoj jibu atakalo letewa na kumbuk 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @halimashango3808
    @halimashango3808 2 роки тому

    Nakupenda

  • @alexandrucarmen3185
    @alexandrucarmen3185 3 роки тому +1

    Huyu dada haeleweki alisema anamiaka 20 then amesoma na Ben Paul na mtoto wake anamiaka 13😲😲

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 3 роки тому +1

    Masha mshukuru Mungu 50000 kwa siku tatu nyingi sana wenzako 20000 ni kwa mwezi

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa3988 3 роки тому +2

    Halafu mnamutukana Paula ni Malaya ameanza wanaume akiwa mdogo, haya sikilizeni kwa Masha love alizaa akiwa na miaka 15 na alianza kulala na wanaume akiwa miaka 13. Kula bata Paula.

  • @lolyngoty4573
    @lolyngoty4573 2 роки тому +1

    Nmempenda zangu mashalove wangu 🏊‍♀️😌

  • @agnesdidas2790
    @agnesdidas2790 3 роки тому +6

    Kumbe kumbuka Alibaka

  • @ellyswai1801
    @ellyswai1801 3 роки тому +3

    Et elfu 50 n kidogo kwa siku 3 hii miwanawake hii bure kabasa

  • @victormushi6641
    @victormushi6641 3 роки тому +16

    MIAKA KUMI NA TANO, UNAAMBIWA KUMBUKA SIO WA KWANZA, DUUUH.. UTAKUA NA SUGU WEWE.

    • @mdalamgir-gu9hu
      @mdalamgir-gu9hu 3 роки тому +1

      Uoni ilo domo

    • @mariamibrahim8725
      @mariamibrahim8725 3 роки тому +1

      😄😄😄😄😄

    • @victormushi6641
      @victormushi6641 3 роки тому

      @@mdalamgir-gu9hu noma sana..atakua katoka na semi tatu huyu

    • @fridageorge2809
      @fridageorge2809 3 роки тому

      Kwasababu yeye kasema! Kuna maajabu ukifunuliwa uyaone utashtuka watu wanaanza toka std 1.

    • @shekinahmurhububa7980
      @shekinahmurhububa7980 2 роки тому

      Mutaratibu yeye mashallah lakini Sasa siku laumu ila wewe umekufuru mungu dada kwa kukata maziwa kuna risk sana

  • @amourhasaan7242
    @amourhasaan7242 3 роки тому +1

    Kidogo nimeona hii ananifanya niwezee kumfatilia ikiwa anadilii na vituu vyaa jamii na sio upumbavu nitakupenda naa nitakusikiliza

  • @rahmaabdallah2053
    @rahmaabdallah2053 2 роки тому +1

    Wote akili zao sawa mtoto mungu amnusuru

  • @bimkubwaothman3726
    @bimkubwaothman3726 3 роки тому

    Masha filamu ya turufu imekubadilisha hadi raa umekuwa mtaratiiibu

  • @vero57
    @vero57 3 роки тому +3

    Dr kumbuka kumbe ulitembea namtoto mdogo, 😯

    • @hopechidera
      @hopechidera 3 роки тому

      C naye alikuwa kakijana mdogo enzi hizo🤣🤣🤣

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 11 місяців тому

    Unaulizwa mlifanyaje mpaka mukapata mtato😂😂😂😂

  • @ogolakay
    @ogolakay 3 роки тому +4

    Saidia mzazi mwenzako 😂

  • @alisaid5378
    @alisaid5378 3 роки тому

    Mm namshaur tu masha angerudsha roho wakaishi pmja najulea MTT hakuna alokua hakoseei masha mpz mm nishabiki yako hongera kwakupndeza mwaaaaa

  • @fatmamnyenze7722
    @fatmamnyenze7722 3 роки тому +8

    Wachekesha wewe love udumiwe nyoooooko ww😜

  • @mariellerashidi4649
    @mariellerashidi4649 3 роки тому +1

    Masha ❤️💖

  • @glorysaimon8238
    @glorysaimon8238 3 роки тому +1

    Hahahaha amenichekesha miaka kumi 5 mwanaume sio wakwanza 😂😂😂😂😂😂

  • @iluminathakapange4220
    @iluminathakapange4220 2 роки тому

    Diva unajua kuwatuliza watu ,huuyo masha katulia

  • @dorisfabian4776
    @dorisfabian4776 3 роки тому +4

    Eti akimuhudumia mtoto wake anihudumie na Mimi hahahaha

  • @angelbwija9547
    @angelbwija9547 3 роки тому +2

    Masha ma nyonyo mrembo sana 😍😍😍😍😍

  • @benignendikumana8009
    @benignendikumana8009 3 роки тому

    Diva ilove you

  • @shamilahussein5294
    @shamilahussein5294 3 роки тому +1

    Jamani masha mashallalh

  • @salimomary6279
    @salimomary6279 3 роки тому +2

    Umeanza kuchezea rugu kitambo!!!!!miaka 15!!!!!!!

  • @a.k.astudio5351
    @a.k.astudio5351 3 роки тому

    Dada upo saw uki tulia namependa ila baba mtoto yupo sawa

  • @shushu8105
    @shushu8105 3 роки тому +1

    Masha 😂😂😂 akiudumiya mtot akudumiye nawew we moto sasa

  • @deelissa2746
    @deelissa2746 3 роки тому +5

    Shosti kawa mpole leo😂

  • @jojomohamed3418
    @jojomohamed3418 9 місяців тому

    Kama sio yeye vile masha kapole😃😃

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 3 роки тому +1

    Ni hatar

  • @sadamramadhan9887
    @sadamramadhan9887 Рік тому

    Elfu 50 huyo mtu wewe ndo hujatulia mm ningekuwa natoka elfu 15 kwa siku 3

  • @munirayusuph1297
    @munirayusuph1297 3 роки тому

    Hi jamani kweri

  • @fettymkupasi5962
    @fettymkupasi5962 2 роки тому

    Jmn masha kapendeza

  • @musakhamis6906
    @musakhamis6906 3 роки тому +9

    Kumbe huyu Dada ni mpole kiac hiki ss ule mcharuko anaupataga wapi

  • @judyjudy2758
    @judyjudy2758 3 роки тому

    Masha usituzingue,eti unamume mwengine kisha Dr kumbuka akuudumie,ulisikia wapi wewe

  • @joharikitundu
    @joharikitundu 3 роки тому

    yaa inamana gani Tuwe tunatumia kiswahili Moja KWA Moja vipindi

  • @zabibubashiri3034
    @zabibubashiri3034 3 роки тому

    Haaaah wewe 50000 Kwa sku3 jamani wewe Dada unaona ndogo kaah ulitaka million jamaniii

  • @allymngwaya2831
    @allymngwaya2831 3 роки тому +2

    Yaani miaka 15 lkn ulishakuwa na madanga mengine

  • @lolyngoty4573
    @lolyngoty4573 2 роки тому

    Kumbe mashalove Ni mtulivu hivi 😅🤲 sikutegemea

  • @abelfrancis8437
    @abelfrancis8437 Рік тому

    Usapoti mtoto na mama wakatimumeachana hatakamamumeachana

  • @neemakiswaga4509
    @neemakiswaga4509 2 роки тому

    Hahha nimecheka et anihudumie mmh nilichokielewa hapo ni kwamba baba anahudumia sema kunachembembe za mapenz hapa

  • @roseuwambe893
    @roseuwambe893 3 роки тому

    Muongo huyu miaka 15 ya yeye kuzaa na miaka 13 ya mtoto jumla 28 ndio miaka yake 😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌

  • @habibahabiba7128
    @habibahabiba7128 3 роки тому

    Diva una changanya maisha na kidhungu chako

  • @tabynas4485
    @tabynas4485 3 роки тому +2

    Hizo kope zimeharibu dada

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi2425 2 роки тому

    Kumbe huyu Dada mpole khaaa

  • @pamojaparts6234
    @pamojaparts6234 3 роки тому

    Iyo mikope sasa

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 2 роки тому

    Miaka kumi na tano Dk kumbuka alikuwa sio mwanaume wako wa kwanza hatar sana

  • @agathadawson5949
    @agathadawson5949 3 роки тому

    DK.kumbuka Hana kosa hapo

  • @zaimideko9097
    @zaimideko9097 2 роки тому

    50000 ndogo mmmh kazikwe rikweri naaikiwawezakoata miya100 awapewi

  • @rosekaiza2716
    @rosekaiza2716 2 роки тому

    Huyu masha leo mulimfunda kabla ya mahojiano? Maana kawa mpoleee! Hadi amekua mtamu

  • @raissamugisha1653
    @raissamugisha1653 3 роки тому

    Kumbe masha mkubw ana myaka 28

  • @janetahmed6948
    @janetahmed6948 3 роки тому +1

    Dr kumbuka nasubili majibu

  • @fizzoboi6649
    @fizzoboi6649 2 роки тому

    Pita na kwangu

  • @mirajishaban9855
    @mirajishaban9855 3 роки тому

    Dr kumbuka ulibaka hahahahaja

  • @felistersmejumaa5188
    @felistersmejumaa5188 3 роки тому

    Diva ajifanya Mzungu tu ongea Swahili tu

  • @jescamakira5686
    @jescamakira5686 3 роки тому +1

    Mchnane huyo

  • @mararegiononline3457
    @mararegiononline3457 3 роки тому

    Ila leo umekwama Diva mtu anaumwa si ungemuacha apone kwanza???

  • @raymondurio2733
    @raymondurio2733 3 роки тому +3

    Mtangazaj upo vzr ata udumiwaje na yye

    • @zainamwingila8268
      @zainamwingila8268 3 роки тому +1

      Yani wewe Masha umechemka tafuta sababu nyingine KWA mzazi mwenzio LAkama umemis miuno yake Ya uzazi hapo sawa

    • @mohamedismail3884
      @mohamedismail3884 3 роки тому +1

      Masha manyonyo

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 2 роки тому

    Mpumbavu sana kumbe huyu mama, elfu hamsini kwa siku tatu hutoshekii haaaa, wenzio iyoo hawaipati, et anataka ahudumiwe na yeye we si unapesa zako ukimfukuza ushasahau na broo zako

  • @khalossalim3723
    @khalossalim3723 3 роки тому

    Halafu mna mtukana paula wakat mtaani miaka 15 tuu watu wanapakuliwa

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 3 роки тому

    Mtoto anatakiwa kulipiwa full school fees na matumizi yote na baba yake

  • @lynnisaack7892
    @lynnisaack7892 3 роки тому

    Km sio yy vile alivyotulia

  • @abelfrancis8437
    @abelfrancis8437 Рік тому

    🤣🤣🤣🤣

  • @tiffahtiffahbaaby8239
    @tiffahtiffahbaaby8239 2 роки тому

    Kumbe unahudumiwa unajishaua tuuu hamsini kwa cku tatu nyingi saana